mwili

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. G

    JamiiForums Tanzania Mzee Philipo umezeeka mwili ila Kili bado za kijinga

    Nimesikiliza mjadala leo kwenye DW mchana huu uliohusu swala ra maridhiano. CCM iliwakilishwa na mzee Philipo mstaafu. Kwa kusikiliza jinsi alivyokuwa akitetea chama chake kwa hoja za kitoto, nimeamini kuwa kumbe sio kile uzee unaendana na hekima, kazeeka na ujinga wake
  2. J

    JamiiForums Tanzania Ni dhambi kuchora tattoo kwenye mwili

    Ni dhambi kuchora tattoo kwenye mwili Maandiko katika kitabu cha Mambo ya Walawi 19: 28: “Msichanje chale yo yote katika nyama ya miili yenu kwa ajili ya wafu, wala MSIANDIKE ALAMA MIILINI MWENU; mimi ndimi Bwana”. Bwana alikataza watu kuchanjwa chale kwa sababu chale zote zinahusiana na ibada...
  3. Red black

    JamiiForums Tanzania Je, akili au ufahamu (consciousness) wa binadamu unatoka wapi ndani ya mwili?

    Je, akili au ufahamu (consciousness) wa binadamu unatoka wapi ndani ya mwili? Niko hapa kujifunza Zaidi.
  4. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Kuanzia miaka ya 27 mpaka 31 sijawahi hata kuumwa homa. Hivi kinga ya mwili nayo huwa inaingia "prime" halafu baadaye inaanza kushuka?

    Sio kwamba naiombea homa irudi, Mungu aniepushe nayo mbali. Ila kuna jambo nimeligundua kuhusu maisha ya binadamu, sijui na kwenu ipo hivyo. Nikiwa mtoto wa shule ya msingi nilikuwa mtu wa kuumwa mara kwa mara. Kuna zile siku unaishiwa nguvu kabisa, mwili unalegea, macho yanakuwa mazito...
  5. Dogoli kinyamkela

    JamiiForums Tanzania Utasikia “njoo tukupine mwili mzima”! Au mwingine “tunapima magonjwa yote”, ukienda unamkuta na kipimo cha QMRA

    UTASIKIA NJOO TUKUPINE MWILI MZIMA AU MWINGINE TUNAPIMA MAGONJWA YOTE , UKIENDA UNAMKUTA NA KIPIMO CHA Quantum Magnetic Resonance Analyzer (QMRA)😄 Halafu gharama ya mwili mzima 20,000 tu 😆😆
  6. Design Your Idea

    JamiiForums Tanzania Nimesoma hii comment ya huyu hadi mwili umesisimuka

    Pole sana bwana PERAMIHO YETU 1
  7. Equation x

    JamiiForums Tanzania Acha kutumia mikono kama pambo la mwili

    Kazi ya mikono ni kulima, kufuga, kujenga, kutengeneza vitu n.k We mikono yako, unaitumia kwa kazi zipi?
  8. FORBIDDEN HISTORY

    JamiiForums Tanzania Wadada na style ya kujiuza na kujisponsa haiwezi kuisha kama mama zao wapo tayari kupokea pesa kutoka kwa wanao wanazopata kwa kujiuza na kwa masponsa

    Kuna nyumba unakuta watoto watatu wote wa kike wamezaliwa nyumbani, unaweza kujiuliza maswali kwanini haya yatokee ila kiukweli mama mtu amekuwa akipokea pesa za vocha kama zote sasa anashindwa aanzie wapi kuwakemea watoto na tabia zao za umalaya maana kuchakatwa kwa jagina zao zimemsaidia hadi...
  9. Bin Shaib

    JamiiForums Tanzania Nina stess kali za kuoa mpaka nakonda mwili

    Wakuu habari ya uzima wenu na majukumu ya maendeleo yenu naamini MUNGU anazidi kuwapigania usiku na mchana. Basi twende moja kwa moja kwenye maada,kiukweli wakuu nakabiliwa na stress mpaka kuna wakati nashindwa kutimiza majukumu yangu ya kazi kisa kuwaza itakuaje kuhusu ndoa?,,lini ntaoa kwa...
  10. Lupweko

    JamiiForums Tanzania Inakuaje marehemu Ayatollah Ali Khamenei ni muisilamu ila mwili wake unachelewa kuzikwa?

    Tumekuwa tukiambiwa kuwa imani ya kiisilamu hairuhusu kuchelewesha kumzika marehemu. Ayatollah Ali Khamenei alifariki tarehe 28/02/2026. Mara ya kwanza niliwaelewa Iran kwa kuchelewesha mazishi ya kiongozi wao kwa kuwa hali ya kiusalama na kijamii ilikuwa haijatulia. Lakini hapo juzi juzi...
  11. PAYE

    JamiiForums Tanzania Majonzi, vilio vyatawala mwili wa Dereva wa Heche ukiwasili Tarime

    Asubuhi ya Julai 4, 2026, mwili wa aliyekuwa dereva wa Makamu Mwenyekiti CHADEMA Bara John Heche, marehemu Suez Dani Maradufu umewasili katika Hospitali ya Wilaya ya Tarime (Bomani) kwa ajili ya kuhifadhiwa. Mwili huo umepokelewa kwa vilio na simanzi na ndugu, jamaa, marafiki, pamoja na...
  12. figganigga

    JamiiForums Tanzania Deogratius Mahinyila, kushuhudia mwili unafanyiwa postmortem, ni kumkomaza mapema.. CHADEMA Msirudie😭😭😭

    Kuna siku nilichaguliwa na Familia kwenda Mochari kuosha Mwili wa ndugu yangu, hakika ilikuwa kazi ilinipa wakati mgumu. Hata chumba cha Mochwari hakijafunguliwa lakini macho yashakuwa mekundu kwa machozi. Ukienda kuosha maiti, ndo utajua hapa duniani sisi so chochote si lolote. Ilinichukua...
  13. Street brain

    JamiiForums Tanzania Arusha Walking Fitness route Tuanze Mazoezi ya Kutembea Kila Weekend Ili Kuweka Mwili Sawa!.. waliopo Arusha tu

    Habari wanajf!!! Nimeamua kuanzisha group ili ili tuweze kufanya mazoezi ya kutembea pamoja kila siku ya weekend (Saturday na Sunday).
  14. MSHUAH

    JamiiForums Tanzania Tengeneza Mwili Imara: Faida Kuu. za Collagen Kwenye Ngozi, Viungo na Nywele Zako.

    Sababu Kuu za Kutumia Collagen Kila Siku Kurudisha Ustahimilivu wa Ngozi: Collagen hufanya kazi kama "gundi" inayoshikilia ngozi. Inasaidia kupunguza mikunjo, kuzuia ngozi kulegea, na kuifanya ionekane nyororo, yenye unyevu na ya ujana zaidi. Kuimarisha Viungo na Mifupa: Inasaidia kulinda na...
  15. The unpaid Seller

    JamiiForums Tanzania Video: Jinsi Energy drinks zinavyo chakaza mwili na kuua nguvu za kiume mazima.

    salaam, Wakuu kizazi hiki tunaangamia huku tunachekelea. Nimekutana na video ticktock MADHARA YA HIZI ENERGY. Oya weka dhamira ya kuachana nazo. Tazama mwenyewe link hapo chini https://vt.tiktok.com/ZSQEygmWJ/
  16. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania AI inaenda kupewa Mwili Jiandae Kuachia hiyo Ajira yako

    Wana-bodi, Katika muktadha wa Mapinduzi ya Tano ya Viwanda (Industrial Revolution 5.0), tunashuhudia mabadiliko makubwa ya kimfumo (Systemic Shifts) yanayotishia kubomoa kabisa miundo ya kijamii na kiuchumi tuliyoizoea. Kwa muda mrefu, mijadala kuhusu Artificial Intelligence (AI) imejikita...
  17. Red black

    JamiiForums Tanzania Kweli huu mwili wangu hauna shukrani kabisa

    Wakuu Kweli huu mwili wangu hauna shukrani kabisa🥵
  18. B

    JamiiForums Tanzania Ulishawahi kukutana na Mpenzi/ Mchumba mwenye Chale nyingi kwenye Mwili wake? Nini kilikushangaza? Ulichukuliaje?

    Binafsi BushDokta naamini ktk tiba ya mizizi na mimea kama ilivyokuwa hapo kale. Kamwe siamini ktk ushirikina au mambo ya mauza uza. Mwaka fulani nilikutana na Msichana Mrembo mzuri anavutia, Mpole, na tabia njema shape kama loote( kwa wale mnaopenda mitulinga). Kilichonishangaza ni wingi wa...
  19. Burn the bridge _Tz

    JamiiForums Tanzania Ni kawaida mwili kuchoka, kuhisi homa na mafua baada ya kuanza mazoezi ya kukimbia?

    Nauliza tu wakuu nisijekufa bure
  20. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Ngono salama hurefusha umri wa kuishi na kuimarisha afya ya mwili

    Kufanya ngono salama na yenye upendo huongeza maisha ya binadamu badala ya kuyafupisha, kwani tendo hili huboresha afya ya mwili na roho kwa wakati mmoja. Kisayansi, watu wanaoshiriki tendo la ndoa mara kwa mara hupunguza hatari ya kufa mapema kwa asilimia 50 kutokana na . kuimarika kwa afya...
Back
Top Bottom