katavi

The Katavi mouthbrooder (Haplochromis katavi) is a species of cichlid fish endemic to Tanzania where it is found in the Lake Rukwa drainage. This species can reach a length of 9.9 centimetres (3.9 in) TL.

View More On Wikipedia.org
  1. Stephano Mgendanyi

    RC Mrindoko: Katavi Imepokea Zaidi ya Trilioni 1.2 Ndani ya Miaka Mitatu ya Rais Samia

    RC MRINDOKO: KATAVI IMEPOKEA ZAID YA TRIL. 1.2 NDANI YA MIAKA 3 YA RAIS SAMIA Mkuu wa mkoa wa Katavi, Mh. Mwanamvua Mrindoko amesema katika kipindi cha miaka Mitatu ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, Mkoa huo umefanikiwa kupokea zaidi ya Trilioni 1.2...
  2. Stephano Mgendanyi

    RC Mwanamvua Mrindoko: Zaidi ya Trilioni 1.2 Zatolewa Kubadilisha Katavi Miaka Mitatu ya Rais Samia

    Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko kwa kushirikiana na wakuu wa wilaya zote zilizopo ndani ya mkoa wa Katavi wameeleza mafanikio yaliyofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta Samia Suluhu Hassan kwa kipindi cha miaka mitatu ya uongoziwake ambayo yameleta matokeo chanya...
  3. Roving Journalist

    Jeshi la Polisi mkoani Katavi imekamata Watuhumiwa 128, wamo wa Dawa za Kulevya, Gongo Lita 223

    Jeshi la Polisi mkoani Katavi imekamata Watuhumiwa 128 kwa makosa mbalimbali wakiwa na vielelezo vya makosa hayo. Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi, Kaster Ngonyani amesema wamenaswa kupitia msako na doria ambazo zinaendelea kila wakati ili kuhakikisha usalama unaendelea kuwepo.
  4. M

    Kumbe ndio maana Katavi na Sumbawanga wanaua. Kwanini uharibu maisha ya mtu?

    Yaani napalangana kuuza kangala na huku napiga kazi.. Kuna dada mmoja alinikuta kazini (Kapuni naliweka jina lake.) Aliponikuta kazini alikuja hajui kitu. Nikamfundisha kazi. Baada kujua kazi. Akabadilika akaanza kunichafua kwa mabosi. Asubuhi bosi akija anakuja amenuna. Ghafla nikaanza...
  5. Roving Journalist

    Ashikiliwa kwa kukutwa na Koki 330 za bomba, mali ya Mamlaka ya maji Katavi

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi kwa kushirikiana na Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira (MUWASA) Mpanda wamefanikiwa kumnasa Gaudensia Assenge (45) kwa kukutwa na koki 330 za bomba ambazo zinadaiwa ni mali ya wizi. Kamishina Msaidizi wa Jeshi la Polisi, Kaster Ngonyani amesema mtuhumiwa...
  6. Roving Journalist

    Katavi: Wanaume watakiwa kutembelea Watoto Vituo vya Yatima

    Shirika la Nyumba (NHC) limepeleka moyo wa mawingu katika kituo cha watoto yatima kilichopo Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi ambapo limetoa zawadi mbalimbali zenye thamani ya zaidi ya Tsh. Milioni mbili. Afisa Habari wa Shirika hilo, Domina Rwemanyila amesema jukumu la kutoa zawadi kwa watoto...
  7. JanguKamaJangu

    Katavi: DC Mpanda aagiza mwekezaji kurudisha mto

    Wananchi wa Kijiji cha Mtisi kilichopo Kata ya Sitalike, Halmashauri ya Ndimbo Mkoani Katavi wamedai kukerwa na mwekezaji aliyewekeza katika machimbo yaliyo katika kijiji hicho ambapo mwekezaji huyo amehamisha mto ili shughuli yake iende kadri anavyotaka. Mkuu wa Wilaya ya Mpanda, Jamila Yusuf...
  8. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Martha Mariki atoa mashuka 100 katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Katavi

    Mbunge Martha Mariki Atoa Mashuka 100 Katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Katavi MBUNGE wa Viti Maalumu Mkoa wa Katavi, Mhe. Martha Mariki kupitia Chama cha Mapinduzi [CCM] Mkoa wa Katavi ametoa Shuka 100 kwaajili ya kuwasidia wagojwa katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Katavi na Vituo vya afya...
  9. JanguKamaJangu

    Katavi: 18 wamekamatwa kwa kuuza sukari nje ya bei elekezi

    Wafanyabiashara 18 Mkoa wa Katavi wamekamatwa kwa kuuza sukari kinyume na bei elekezi ya Serikali ambapo katika mkoa wa huo sukari inapaswa kuuzwa kuanzia Tsh. 2,900 hadi 3,200. MrinMkuu wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua Mrindoko amewataka Wafanyabiashara kuzingatia maelejezo ya Serikali hususani...
  10. JanguKamaJangu

    Katavi: Wavuvi Nsimbo wameomba kurudishiwa pesa zao kukatiwa vibali vya uvuvi

    Wananchi waliokuwa wakifanya shughuli zao katika Mto Katuma ulioko Kata ya Sitalike, Halmashauri ya Nsimbo Mkoani Katavi wameomba kurudishiwa pesa zao walizotoa kwa ajili ya kukatiwa vibali vya uvuvi ambavyo havikuainisha eneo rasmi ya kufanyia shughuli hiyo. Meleji Mollel ambaye ni Afisa...
  11. Roving Journalist

    Katavi: UCSAF yajenga Kituo cha Redio Mpimbwe

    Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) ambao ndio wafadhili wakuu wa kujenga vituo vya Serikali kupitia Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamekamilisha ujenzi wa kituo cha redio ya jamii katika Halmashauri ya Mpimbwe Mkoani Katavi chenye thamani ya zaidi ya Tsh. Milioni 200 ikiwa ni...
  12. Roving Journalist

    Katavi: Madaktari Bingwa 18 kutoka Marekani kutua Hospitali ya Tanganyika

    Mganga Mkuu wa Hospitali ya Wilaya ya Tanganyika Mkoani Katavi, Dkt. Alex Mrema amesema wanatarajia kupokea timu ya Madaktari Bingwa 18 kutoka Nchini Marekani kwa ajili ya kutoa huduma ya matibabu ya upasuaji ambapo itafanyika bila malipo (bure). Madaktari hao wanatarajia kufika tarehe...
  13. Roving Journalist

    Katavi: Wananchi wacheleweshwa kulipwa fidia

    Baadhi ya wakazi wa Kata ya Shanwe, Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wameiomba Serikali kuwalipa fidia yao ambayo imetokana na kupisha mradi wa maji wa miji 28 unaotekelezwa katika Manispaa ya Mpanda. Wamesema kila wanapouliza kuhusu kulipwa fidia yao wanapewa majibu yasiyowafurahisha ambapo...
  14. JanguKamaJangu

    Katavi: Wafanyabiashara wamkataa Afisa wa TRA

    Wafanyabiashara wa soko la Majimoto katika Halmashauri ya Mpimbwe Wilaya ya Mlele Mkoa wa Katavi wameitaka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kumuondoa Afisa Mfawidhi wa Kituo cha Majimoto, Fraseck Mwakalenga kwa madai ya kukusanya kodi kiholela ikiwemo matumizi ya lugha za kukera. Wakizungumza...
  15. Roving Journalist

    Katavi: Nyasi zaota kwa wingi katika Kituo cha Afya kilichojengwa kwa Milioni 500

    Licha ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuendelea kujenga na kuboresha Zahanati na vituo vya Afya lakini bado kuna baadhi ya Watumishi wa Serikali wamedaiwa kutokuwa Wazalendo katika kutunza na kulinda miundonbinu ya Afya. Kituo cha Afya Ugala kilichopo Kata ya Ugala, Halmashauri...
  16. Roving Journalist

    Katavi: Mkuu wa Wilaya ya Mpanda ahimiza vipaumbele vya Bajeti ya 2024/2025

    Kikao cha Kamati ya Ushauri wilaya ya Mpanda (DCC) Mkoani Katavi kimepitisha rasimu ya Bajeti ya 2024/2025 kwa jumla ya zaidi ya Shilingi Bilioni 53 (Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda zaidi ya Shilingi Bilioni 27 na Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo zaidi ya Shilingi Bilioni 26). Mbali na...
  17. BigTall

    Paul Makonda amuweka Afisa Madini wa Katavi kikaangoni

    Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda amemtaka Afisa Madini Mkoa wa Katavi, Mhandisi Andrew Mwalugaja kuhakikisha anafuata sheria na taratibu za kuhakikisha utoaji leseni za uchimbaji madini unazingatia uzalendo huku uongozi wa mkoa ukisisitizwa kumaliza mgogoro...
  18. Roving Journalist

    Katavi: Mkandarasi akwamisha mradi wa maji wa Miji 28

    Wakati Serikali inaendelea kutekeleza miradi ya maji hapa nchini ili wananchi waweze kusogezewa huduma ya maji hasa kwa kumtua mama ndoo kichwani, imeeleza kuwa bado baadhi ya wakandarasi wanashindwa kutekeleza miradi hiyi kwa wakati ambapo mradi wa maji unaotekelezwa katika bwawa la Milala...
  19. Roving Journalist

    Katavi: Ubovu wa barabara katika Manispaa ya Mpanda, TARURA yanyooshewa kidole

    Ubovu wa barabara nyingi katika Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi umetajwa kuwa kero katika shughuli za kibinadamu hasa katika kipindi hiki cha masika ambapo barabara nyingi zinaendelea kuharibika na zingine kutelekezwa licha ya ahadi kutolewa na Wakala wa Barabara Mjini na Vijijini (TARURA)...
  20. JanguKamaJangu

    Katavi: Wachimbaji wadogo wa Dhahabu Mpanda wailalamikia Serikali kushindwa kutatua mgogoro wa muda mrefu

    Wachimbaji wadogo wa dhahabu katika Kiiji cha Dilifu kilichopo Kata ya Magamba iliyopo Wilaya ya Mpanda Mkoani Katavi wameulalamikia uongozi wa wilaya hiyo kwa kushindwa kutatua mgogoro baina yao, muwekezaji na kikundi kinachomiliki leseni ya uchimbaji madini katika eneo hilo. Wachimbaji hao...
Back
Top Bottom