mali

Mali ( (listen); French pronunciation: [mali]), officially the Republic of Mali (French: République du Mali; Bambara: Mali ka Fasojamana; N'Ko script: ߡߊߟߌ ߞߊ ߝߊߛߏߖߊߡߊߣߊ), is a landlocked country in West Africa. Mali is the eighth-largest country in Africa, with an area of just over 1,240,000 square kilometres (480,000 sq mi). The population of Mali is 19.1 million. 67% of its population was estimated to be under the age of 25 in 2017. Its capital is Bamako. The sovereign state of Mali consists of eight regions and its borders on the north reach deep into the middle of the Sahara Desert, while the country's southern part, where the majority of inhabitants live, features the Niger and Senegal rivers. The country's economy centers on agriculture and mining. Some of Mali's prominent natural resources include gold, being the third largest producer of gold in the African continent, and salt.Present-day Mali was once part of three West African empires that controlled trans-Saharan trade: the Ghana Empire (for which Ghana is named), the Mali Empire (for which Mali is named), and the Songhai Empire. During its golden age, there was a flourishing of mathematics, astronomy, literature, and art. At its peak in 1300, the Mali Empire covered an area about twice the size of modern-day France and stretched to the west coast of Africa. In the late 19th century, during the Scramble for Africa, France seized control of Mali, making it a part of French Sudan. French Sudan (then known as the Sudanese Republic) joined with Senegal in 1959, achieving independence in 1960 as the Mali Federation. Shortly thereafter, following Senegal's withdrawal from the federation, the Sudanese Republic declared itself the independent Republic of Mali. After a long period of one-party rule, a coup in 1991 led to the writing of a new constitution and the establishment of Mali as a democratic, multi-party state.
In January 2012, an armed conflict broke out in northern Mali, in which Tuareg rebels took control of a territory in the north, and in April declared the secession of a new state, Azawad. The conflict was complicated by a military coup that took place in March and later fighting between Tuareg and other rebel factions. In response to territorial gains, the French military launched Opération Serval in January 2013. A month later, Malian and French forces recaptured most of the north. Presidential elections were held on 28 July 2013, with a second-round run-off held on 11 August, and legislative elections were held on 24 November and 15 December 2013.

View More On Wikipedia.org
  1. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa Sio Automatic 50/50: Mahakama Yatoa Uamuzi Kuhusu Mali ya Wanandoa

    Umeishi kwenye ndoa, mkajenga mali pamoja, halafu ndoa ikavunjika - je, kila mmoja anaondoka na 50%? Mahakama ya Rufaa imesema: si lazima. Mahakama ya Rufaa nchini Kenya imeamua kuwa kuwa kwenye ndoa pekee hakumpi mwenza haki ya moja kwa moja ya kupata nusu ya mali ya ndoa. Badala yake, mgao...
  2. Whitney Houston

    JamiiForums Tanzania Kisheria inawezekana kukataa kurithishwa mali za wazazi?

    Wana jamvi kwema? Kama inawezekana kukataa kuandikwa kama mrithi wa baadae wa wazazi naombeni utaratibu wa kisheria ili kukamilisha jambo hilo. Mmiliki bado yupo hai ...lakini nahitaji kujitoa ktk makaratasi ambayo namimi nimeandikwa kama mrithi wa baadae wa wazazi.. Sitaki chochote
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kusajili mshambuliaji kutoka mali ni sawa na kuingia msituni kuvua samaki!

    Tuliambiwa tumesajili Doumbia wa ukweli kutoka ligi kuu ya Mali, tena alikuwa mfungaji bora kwenye ligi hiyo. Hiyo ni taarifa ya kweli. Lakini ligi kuu ya mali si chochote kitu, si miongoni mwa kumi bora katika mkeka wa ubora wa ligi kuu hapa Afrika. Mkeka huo huu hapa: Top 10 African Football...
  4. R

    JamiiForums Tanzania Mali: Mwandishi na Influencer wahukumiwa jela miaka 7 kwa kukosoa serikali

    Agosti 17, 2026, Mahakama ya Mali imemhukumu kifungo cha miaka saba jela mtangazaji maarufu na influencer wa mitandaoni, ambao wote walikuwa wakikosoa utawala wa kijeshi nchini humo Mtangazaji wa televisheni na redio, Mohamed Youssouf Bathily, maarufu kama Ras Bath, amehukumiwa na mahakama ya...
  5. Parabolic

    JamiiForums Tanzania Polisi kuendelea kushikilia mali za watuhumiwa hata kesi inapoisha - Sheria inasemaje?

    Malalamiko ya baadhi ya wananchi na taasisi kuhusu mali zao kuchukuliwa na Jeshi la Polisi wakati wa kukamatwa yameibua mjadala kuhusu mipaka ya mamlaka ya polisi katika kushikilia mali zinazodaiwa kuwa sehemu ya ushahidi wa uchunguzi wa makosa ya jinai. Malalamiko ya hivi karibuni yametolewa...
  6. Fbn

    JamiiForums Tanzania KERO:Polisi ni wezi na matapeli wa mali za watu

    Ili swala la malalamiko idara ya polisi lijaanza leo ila lilikuwa mda tu. Polisi ni wezi na matapeli. Hapa JF mtakuwa mashuuda na malalamiko. Kwa nini ukiwa na kesi au wamekukamata wanachukua mali zako mfano simu, laptop,pesa hata wakija nyumbani kwako wanaweza kubeba hata friji na ukifatilia...
  7. Karim Mussa

    JamiiForums Tanzania KOSA LA UHARIBIFU WA MALI

    kifungu cha 326 (1) cha Kanuni ya Adhabu [Sura ya 16 R.E 2023]. Chini ya kifungu hiki upande wa Mashtaka au tuseme mlalamikaji anatakiwa kuthibitisha yafuatayo; i. Kwamba mtuhumiwa alikuwa ameharibu au kuharibu mali. ii. Mali hiyo iliyoharibiwa au kuharibiwa ni mali ya mtu mwingine. iii...
  8. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Mali itatoboa kweli? Mbona kama imezidiwa hoi

    Tutegemee kuona nchi mpya kutoka Mali? Maana waasi wa wamepamba moto sana.
  9. idiomer

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa wilaya Mvomero hana uchungu wa mali na maisha ya wananchi

    Wananchi mazao yao yameharibiwa na mwekezaji na kuna mgogoro ila yeye anasema Ijumaa?? Kweli wananchi ndio mabosi wako unasema Ijumaa? Who are you? Maulidi Dotto? Sipendi kuona mwananchi wa wakawaida wakionewa basi tuu
  10. Pakome

    JamiiForums Tanzania Kama CHADEMA inadaiwa na Mwaipopo mali, fedha au chochote mrudishieni kwasababu kila kukicha anawalaumu hadi koo linamkauka

    Sijajua kama kuna madai kati ya Mwaipopo na CHADEMA kwasababu kila kukicha analaumu akidai CHADEMA ni Chama kiovu Amekuwa akilaumu kucha kutwa hadi koo kumkauka, imefikia hatua ya kuwaita CHADEMA, Wananchi wanaoiunga kuwa ni wajinga Huku akidai kuwa yeyote atakayepanga kumdhuru atateketea yeye...
  11. instinct desire

    JamiiForums Tanzania Heche kuendelea kuwepo ofisini licha ya kashifa za ubadhirifu wa mali za chama ni maana halisi ya Siasa biashara

    Wanasiasa wa Tanzania (hawa wa upinzani) wameshajijengea dhana ya kuwa watakula ofsini kwahyo hawana mubadala wa kupata Hela nje ya Siasa ndo maana ni vigumu sana kuachia madaraka licha ya kuwa wanakashifa za kula Hela za chama. Heche hakutakiwa kuendelea kuwepo ofsn mpaka muda huu nadhani ni...
  12. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Alichofafanua Dk Nchimbi ni kuwa katiba ya sasa haifai sababu haikutungwa na wananchi. Ilitungwa na wanaCCM ishirini ni mali ya CCM.

    Hii ndio tafsiri sahihi ya ujumbe wa Dk Nchimbi. Kwamba watanzania wapambane ili kupata katiba ambayo ni mali ya wananchi. Mwaka 1977 baada ya Asp na Tanu kuungana Mwl Nyerere kwa udikteta wake aliunda kamati ya watu 20 ikiongozwa na Thabiti Kombo. Wakatunga hii katiba ya sasa ya mwaka 1977...
  13. Fbn

    JamiiForums Tanzania Hivi ni mali ya serikali na kisheria kuanzia kikatiba,polisi mpaka mahakamani.

    1.Uhai. 2.Kinyeo. 3.Sehemu za jinsia KE au Me. 4.Viungo vya pilau vya mwanadamu. 5 .Haki 6. Basic needs 7.Rasilimali za nchi na mali.
  14. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Ilikuwaje mfumokristo ulishindwa kuzuia Mali za Kanisa kutaifishwa?

    Jana nilipata fursa kwenda shule ya sekondari Tosamaganga iliyopo hapa Iringa. Nilipokuwa pale nikajiuliza ile hoja ya watu kuwa Tanzania inaongozwa kwa kufuata mfumokristo inatokana na nini hasa. Maana kama Serikali chini ya Mwalimu Julius Nyerere (mkatoliki) ilitaifisha taasisi za Afya...
  15. peno hasegawa

    JamiiForums Tanzania Je, Magari yanayotolewa na mbunge wa Moshi Mjini, Ibrahim Shayo, Kuwahudumia Wananchi Moshi Mjini ni Mali ya Serikali au Bado ni Mali yake Binafsi?

    Ni jambo jema kwa viongozi, taasisi na wananchi kuhakikisha kuwa mali zinazotumika kwa ajili ya kutoa huduma za umma zinasimamiwa kwa uwazi na kwa kuzingatia sheria na taratibu za Serikali. Kutokana na taarifa zilizotolewa kuhusu magari yaliyokabidhiwa kwa ajili ya kuhudumia wananchi wa Jimbo...
  16. Richard

    JamiiForums Tanzania Marekani yapanga kufanya mashambulizi dhidi ya magaidi wa JINM nchini Mali

    Bwana Sebastian Gorku akizungumza na waandishi wa habari. Raisi Donald Trump amekuwa akishauriana na watu mbalimbali ndani ya utawalal wake nai pia kufikiria ombi la nchi ya Mali kusaidiwa kuondoa magaidi wa JNIM ambao wana mahusiano na kundi la Al Qaeda. JINM ambao kirefu chake ni Jama’at...
  17. CAPO DELGADO

    JamiiForums Tanzania Wakuu naombeni msaada kupata hizi nyimbo

    Habari wakuu nina shid sana na Nyimbo za Franco FRANCO RUAMBO LUANZO MAKIADI Nyimbo za Madilu mult sytem Asanteni sana. Natanguliza Shukran Nyingi.
  18. youngkato

    JamiiForums Tanzania Jina la Biashara ni Mali Yako. Je, Limeshasajiliwa?

    Jina la Biashara ni Mali Yako. Je, Limeshasajiliwa? Watu wengi huwekeza muda, fedha na ubunifu kujenga biashara zao, lakini husahau kulinda kitu cha kwanza kinachowatambulisha, ambacho ni jina la biashara. Fikiria hali hii. Umeanzisha biashara, umetengeneza nembo, mabango, kurasa za mitandao...
  19. and 998 others

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Anko Shamte kudai mali walizochuma na Mtalaka wake

    Kama mnavyojua Anko amepewa talaka 3 na tayari washatengana na Mama. Nataarifiwa anakusudia kupeleka shauri mahakaman ili kupata hako ya mali walizochuma na mtalaka wake.
  20. H

    JamiiForums Tanzania Diamond: Mali zangu zinatambulika kwa jina la Mama Dangote

    Diamond amefunguka kuwa Mali zake amesaini kwa jina la Mama yake wakati akisherekea sikukuu ya kuzaliwa ya mama yake Mama Dangote na amesema yeye ndio amenifanya Watanzania wanitambue amenipigania sana kwenye safari yangu ya Mziki ikiwemo aliuza Pete yake ya ndoa ili tu niwe na uwezo wa kurecord...
Back
Top Bottom