For majority part of my life,
Nilikuwa najiuliza what's the point of all of this?? Sasa leo baada ya meditation na fasting ya kina.
Jibu limekuja,
Sio utambuzi wa kujua mimi ni nani, au kwa nini maishani. Bali kutambua sikupaswa hata kuuliza kabisa.
Leo ndo nimetambua kuwa mimi ni kila kitu...