Katavi: 18 wamekamatwa kwa kuuza sukari nje ya bei elekezi

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,308
5,460
Wafanyabiashara 18 Mkoa wa Katavi wamekamatwa kwa kuuza sukari kinyume na bei elekezi ya Serikali ambapo katika mkoa wa huo sukari inapaswa kuuzwa kuanzia Tsh. 2,900 hadi 3,200.

MrinMkuu wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua Mrindoko amewataka Wafanyabiashara kuzingatia maelejezo ya Serikali hususani bei elekezi ya sukari huku akitoa onyo kwa yeyote atakaye uza au kuficha sukari, Sheria kali zitachukuliwa dhidi yake.

Amesema Mkoa wa Katavi hadi tarehe 29.02.2024 umepokea Tani 244 za Sukari ambapo Sukari nyingine inatarajiwa kufika ndani ya mkoa huo.
 
Poleni kwa wafanyabiashara mliokamatwa. GET RICH OR DIE TRYN.
 
Back
Top Bottom