madawa ya kulevya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. S

    Esther Bulaya: Serikali iwekeze katika kutibu waathirika wa dawa za kulevya

    Ester Bulaya ameshauri Serikali kuwekeza katika kutibu waathirika wa dawa za kulevya, aliongelea kuwa multi clinic Nchini zipo 11 na wanaohitaji matibabu ni maelfu, asilimia ya dawa za kulevya kuzalishwa duniani imeongezeka na siyo dawa zote huwa zinakamatwa Nchini. Sober House zipo 40 nchini...
  2. W

    Davido akanusha mzaha wa tuhuma za kukamatwa na dawa za kulevya nchini Kenya siku ya wajinga

    Mwanamuziki kutokea nchini David Adeleke, maarufu kama “Davido”, amekanusha uvumi kwamba amekamatwa nchini Kenya alipokuwa katika ziara ya muziki Aprili 1, 2024 baada ya dawa za kulevya kupatikana kwenye ndege yake binafsi. Kufuata uvumi huo mwimbaji huyo wa Nigeria amesema atachukua hatua za...
  3. Erythrocyte

    Utawala wa Awamu ya 5, Paulo Makonda alisingizia Watu kuuza Madawa ya kulevya bila Ushahidi wowote. Alilenga kuwadhalilisha tu

    Tunahitimisha zile nyuzi zetu za mwezi wa Mungu , Kwenye utawala wa awamu ya 5 , Bwana Paulo Makonda aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam , alijipa cheo cha Kitengo cha kudhibiti Madawa ya kulevya kabla ya kudhibitiwa, huku akiutangazia umma kwamba ataweka hadharani Majina ya Waingizaji na...
  4. Chizi Maarifa

    Genge la wauza madawa ya kulevya lamuua kikatili "Snitch" kutoa onyo kwa wengine huko Kilimanjaro

    Ni wazi kuna police ambao wamehusika na kutoa taarifa za huyu jamaa kuwa ndiye anawahujumu wauza madawa ya Kulevya ambao kwa sasa wamerudi na kasi mpya, ari mpya na nguvu mpya. Kumhujumu rais wetu sami.
  5. Ileje

    Kutotaja jina la papa wa madawa ya kulevya ni kutengeneza mazingira ya ufisadi

    Jana Kamishina wa Mamlaka Kudhibiti na kupambana na madawa ya kulevya (DCEA) Bw. Lyimo alitangaza kumnasa mmoja wa Mapapa wakubwa duniani wa biashara ya madawa ya kulevya akiwa na wenzake watatu. Papa huyo aliyekamatwa na zaidi ya gram 600 za cocaine hajatajwa jina hivyo hakuna mwananchi ye yote...
  6. K

    Biashara ya madawa ya kulevya chini ya uongozi wa Samia

    Kuna wimbi la ongezeko la biashara na matumizi ya madawa ya kulevya toka Samia angie madarakani. Wanasiasa na wafanyabiashara wanajihusisha na biashara ya madawa ya kulevya waziwazi. Vijana wanauza na kutumia madawa ya kulevya waziwazi. Miaka miwili ya Samia haina tofauti na miaka 10 ya utawala...
  7. Kingsmann

    Waliokuwa wanasafirisha Tani 3 za madawa ya kulevya wafikishwa mahakamani

    Wanandoa pamoja na mfanyakazi wa ndani wa kiume, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashtaka mawili ya kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroin na ethamphetamine zenye uzito wa kilo 3,049. Wanandoa hao ni Najim Mohamed (52) na mkewe Maryam Mohamed (50) pamoja...
  8. Pdidy

    Kilo 3000 za madawa ya kulevya zakamatwa..shikamoo kamishna na bado watasema wametesa sana watu

    Hongerasana mh kamishna lyimo kwa kazi nzuri................... Naangalia itv hapa naona mamlaka yetu wamekamata madawa ya kulevya kg 3000 Kamishna lyimo amesema mtandao waliokamata n mkubwa anafurahi kuona kile walichokitafuta wamekipata Mh lyimo anasema atapambana na mapapa mpaka huu...
  9. Donnie Charlie

    Wafanyabiashara wa madawa ya kulevya wana nguvu sana (Video ipo chini)

    Jalisco New Generation Cartel au CJNG, ambayo zamani ilijulikana kama Los Mata Zetas, ni muungano wa uhalifu uliopangwa wa Mexico wenye makao yake makuu mjini Jalisco ambao unaongozwa na Nemesio Oseguera Cervantes, mmoja wa wafanyabiashara wanaotafutwa zaidi duniani...
  10. Erythrocyte

    CCM Vipande vipande, waliotuhumiwa kuuza madawa ya kulevya awamu ya 5 wapanga kujiuzulu

    Hii ni kwa sababu mtu aliyewasingizia bila ushahidi amepewa Cheo ndani ya Chama na hajawahi kuomba radhi kwa uongo wake huo . Taarifa zaidi zinadokeza kwamba watakaojiuzulu wanatoka ndani ya Chama na serikalini , lengo likiwa ni kulinda heshima zao binafsi na familia zao "AMANG'ANA GASARIKILE"
  11. FRANCIS DA DON

    Nchi hii ni bora ukutwe na madawa ya kulevya ila sio maini ya swala

    Haya , huyu nae kala miaka 20 Jela kwa kukutwa na maini ya Swala aliyoyanunua kwa shs.1,000/= Mwingine miaka 22 https://www.jamiiforums.com/threads/picha-ya-uso-wa-mtu-aliekata-tamaa-ya-kuishi-baada-ya-kuhukumiwa-miaka-22-jela.2155829/
  12. Mganguzi

    Mirungi na Bangi sio dawa za kulevya, Mungu aliipanda kwa manufaa ya mwanadamu! Wa kumhoji ni Mungu siyo kutesa watu kwa makosa yasiyo yao

    Biblia inasema mungu akaumba majani ya kondeni ,na Kila Jani mungu anamakusudi nalo ,Kuna majani mungu aliyaumba yawe dawa mengine mboga! Na hata kiburudisho! Mirungi inajiotea yenyewe maporini Huko , nimtu akitafuna eti anakamatwa! Wakukamatwa ni mungu ,na WA kuhojiwa ni mungu! Bangi inaota...
  13. fundi radio

    SoC03 Ulanguzi wa Dawa za kulevya kwenye masoko na minadani ni hatari kwenye ustawi wa jamii yetu

    Utangulizi. Baada ya kuja kwa ubepari , uhuru wa watu kufanya Biashara popote ilichangia kuwa na muingiliano wa wafanyabiashara kutoka sehemu mbalimbali Dunia . Hapo ndipo walanguzi wakubwa walipopata nafasi kupitisha Madawa ya kulevya, kwenye viwanja vya ndege, mipakani Kwa njia ya Barabara...
  14. Tausi Rehani

    Young Lunya na muonekano mithili ya mrahibu wa dawa za kulevya

    Kwa wasiomfahamu, Young Lunya Ni Moja ya Rappers wenye flow kali hapa Bongo inayoambatana na unyamwezi mwingi. Going to the point, Muonekano wa Young Lunya hivi karibuni umekuwa wa kutia Mashaka, Huenda Msanii huyu ana chembechembe za utumiaji wa madawa kutokana na kupoteza muonekano wake wa...
  15. Requal

    Nimeshangazwa na Sms za mpenzi wangu ambae nilitegemea awe mke wangu. Inavyoonekana atakuwa anajihusisha na madawa ya kulevya

    Mtu ambae niko nae kwenye mahusiano kwa zaidi ya miaka 4, nikiwa na mipango ya kuoana nae. Leo nimejikuta nashindwa kumuelewa, Hapa chini ni baadhi ya text nilizochati nae kabla ya kumpigia simu kujiridhisha ni yeye kweli Tukaendelea Baada ya hizi text nikaona isiwe tabu nikampigia simu, the...
  16. Logikos

    Submarines (Homemade) zinavyopitisha Madawa ya Kulevya

    Hii habari ipo BBC jinsi Submarines zinavyopitisha madawa ya Kulevya; ni ngumu kuzishika na kwa kipindi kirefu sana zimekuwa zikitumika kupitisha madawa haya hata Barani Afrika... Kwa full Article: ========= Cocaine smuggling submarine reveals Europe's drug crisis I'm about to climb into...
  17. Idugunde

    Paul Makonda arudishwe kuwa Mkuu wa Mkoa Dar kuinusuru na Ushoga, Usagaji, Dawa za Kulevya na vibaka

    Hali kwa Dar sio nzuri kabisa. Vijana wa kiume wanapaka mpaka lipstiki? Bangi na madawa yanavutwa vibarazani. Vijana wa kiume wanajiuza kabisa. Alafu mkuu wa nchi anabembeleza eti tusiige mila mbaya za wazungu tuige kuvaa suti badala ya kukemea hadharani kisa tu Kamala Harris atatembelea Bongo...
  18. S

    Hayati Magufuli: Ukiwagusa wauza dawa za kulevya usitegemee watanipenda

    Moja ya nukuu ya Hayati Magufuli kuhusu madawa ya kulevya 'Ukiwagusa hawa waliokuwa wanapata fedha kwa madawa ya kulevya usitegemee kama watakupenda na mimi sitaki wanipende lakini vijana tutakaokuwa tumewaokoa tangu tutangaze hii vita ni wengi watajibu siku moja kwa ajili ya faida ya Tanzania...
  19. T

    Clouds TV imeanza kuwa kituo cha kutetea wauza madawa ya kulevya

    Clouds TV jana iliita muuza madawa ya kulevya anaeitwa Jack Cliff kuja kujitetea jinsi alivyokamatwa na madawa ya kulevya. Taarifa za uhakika zinaonyesha kua mamlaka nchini China/Macau zilimkamata Jack akiwa na madawa ya kuelvya aina ya Heroine kilo 1.1 mwilini mwake na kupelekea kufungwa...
  20. Lupweko

    Utafiti 2018: Unguja kinara katika ukahaba, ulawiti na madawa ya kulevya nchini

    Utafiti huu ulifanywa na Wizara ya Afya ya Zanzibar mwaka 2018 Chanzo: https://www.ippmedia.com/sw/habari/unguja-kinara-ukahaba-dawa-za-kulevya
Back
Top Bottom