vitu

Vitus (), according to Christian legend, was a Christian saint from Sicily. He died as a martyr during the persecution of Christians by co-ruling Roman Emperors Diocletian and Maximian in 303. Vitus is counted as one of the Fourteen Holy Helpers of medieval Roman Catholicism.
Saint Vitus' Day is celebrated on 15 June. In places where the Julian Calendar is used, this date coincides, in the 20th and 21st centuries, with 28 June on the Gregorian Calendar.
In the late Middle Ages, people in Germany celebrated the feast of Vitus by dancing before his statue. This dancing became popular and the name "Saint Vitus Dance" was given to the neurological disorder Sydenham's chorea. It also led to Vitus being considered the patron saint of dancers and of entertainers in general.Vitus is considered the patron saint of actors, comedians, dancers, and epileptics, similarly to Genesius of Rome. He is also said to protect against lightning strikes, animal attacks and oversleeping. Vitus is the patron saint of the city of Rijeka in Croatia; the towns of Ciminna & Vita in Sicily, Forio on the Island of Ischia, in Campania, Italy; the contrada of San Vito, in Torella dei Lombardi, in Avellino, Italy; the town of Rapone, Italy; the town of Winschoten and the Gooi region in the Netherlands, the Italian colony of San Vito in Costa Rica, and the town of St. Vith located in Belgium.
Various places in Austria and Bavaria are named Sankt Veit in his honour.

View More On Wikipedia.org
  1. Waufukweni

    Ambwene Yesaya (A.Y): Niwe mkweli suala la kutengeneza Mdundo wa Taifa, haliwezekani

    Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Ambwene Yesaya (A.Y), ameeleza mtazamo wake kuhusu mjadala wa “mdundo wa taifa” katika mahojiano na kituo cha redio cha East Africa Radio, Aprili 10, 2026 akisisitiza kuwa muziki hauwezi kulazimishwa kuwa na mwelekeo mmoja bali hujijenga na kukua kiasili. AY...
  2. C

    Tetesi: Ukubwa wa Mdomo/Vidole huakisi vitu vingi mwilini mwa binadamu

    Ukubwa wa mdomo/vidole vya mkono humaanisha pia ukubwa wa maumbo ya baadhi ya viungo vingine mwilini mwa binadamu. Gen Z chagua kwa makini. Usije kujuta. Asanteni.
  3. Red black

    Bangi inaweza kukufanya ukumbuke vitu ambavyo haijawahi kutokea kabisa. Unajiona uko New York kumbe uko Kigoma ndani ndani

    unajiona tajiri una majumbu kila city kumbe ni hallucinations inayosababishwa na shada/bangi Cc Vincenzo Jr
  4. stabilityman

    Vitu vya kuzingatia unapojenga nyumba ya makazi kwenye eneo lenye udongo wa mfinyanzi

    vitu vya kuzingatia unapojenga nyumba ya makazi kwenye eneo lenye udongo wa mfinyanzi Udongo wa mfinyanzi (clay soil) ni mgumu kujengea kwa sababu huvimba ukiwa na maji na kusinyauka ukikauka. Hii husababisha nyufa kwenye kuta na msingi. Haya mambo 8 muhimu ya kuzingatia ukijenga kwenye udongo...
  5. Waufukweni

    Mbunge Salvator: Kama vitu vinavyojadiliwa bungeni havitekelezeki ni ngumu kutoboa

    Mbunge wa Misungwi mkoani Mwanza, Silvery Salvator amesema kuwa utekelezaji hafifu wa uamuzi na mijadala ya Bunge unakwamisha maendeleo na mafanikio ya Serikali. Akichangia bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu bungeni jijini Dodoma leo Jumanne, Aprili 14, 2026, Salvator ameeleza kuwa uzoefu wake...
  6. R

    Baba Levo: CCM sio wabunge wa ndio, kuna vitu tumekubaliana kwenye ilani ya chama ukipinga umechanganyikiwa

    Mbunge wa Kigoma Mjini, Clayton Revocatus Chipando maarufu Baba levo amesema kuwa wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) hawapo bungeni kwa ajili ya kukubaliana na kila hoja inayowasilishwa, bali huchambua na kuchukua msimamo kulingana na maslahi ya wananchi. Ameongeza kuwa tayari kuna baadhi ya...
  7. Chizi Maarifa

    Ukiwa na Pesa halafu Hendisamu kuna vitu huwezi fanya kwa mwanamke

    Huwezi hangaikia mwanamke. Kumfukuzia au yeye akuzungushe. Na ukiwa naye huhitaji kumfanya mpaka amalize. Ukimaliza wewe mwenye uhitaji inatosha. Sisi wenye pesa na mvuto mwanamke anamaliza kwa wakati. Mi nawaza issues za maana nikazane masaa mawili ili akojoe? No way. Siwezi. Nina pesa...
  8. Traxtion

    Inakuwaje nchi moja inakuwa na mafanikio makubwa hivi?

    Hivi wakuu mnaionaje Marekani Achana na maisha expensive, gharama kubwa za matibabu, mauaji mengi, school shootings, extreme sprawling cities and everything Ukifikiria kiundani Marekani ina success nyingi sana kwa kweli Mfano kwenye 1. Entertainment Marekani mziki wao ni always Global hits...
  9. kyagata

    Wakuu,kiukweli nikionaga hivi vitu huwa nazimia

    Wakuu,huo ndo ukweli wangu.
  10. M

    Huwa unafanya vitu gani baada ya kutoka kazini ili kuuweka mwili sawa kwa siku nyingine?

    Huwa unafanya vitu gani baada ya kutoka kazini ili kuuweka mwili sawa kwa ajili ya siku nyingine au ukitoka kazini unaingia kazini tena huna muda wa kufanya vitu vingine kabisa Mimi huwa napumzika kidogo hata kama kuna shughuli nyingine ya kufanya siingii kuifanya moja kwa moja hasa zile nzito...
  11. Mshana Jr

    Vitu viwili vilivyo vitakatifu: Ardhi na uumbaji

    Kuna vitu kamwe havipaswi kuchezewa kunajisiwa wala kuharibiwa kwa namna yoyote ile.. Vitu hivyo ni ardhi na uumbaji Unajua katika imani nyingi na mitazamo ya kiroho, ardhi na uumbaji huchukuliwa kuwa vitu vitakatifu kwa sababu ni kazi ya mikono ya Muumba. Na hilo halijaja kwa bahati mbaya bali...
  12. K

    Nuru ya Mama Samia haitaweza kung'ara tena bila kubadilisha vitu hivi!

    1. Polisi wafuate sheria kwasasa ndiyo wamekuwa kama serikali. Badalisha wote wa juu leta Polisi ya wananchi. Umeshangaza watu sana kumtoa waziri ambaye angeweza kukusaidia 2. Jeshi kwa jeshi hili la kichawa hatakubalika 3. Tume huru na wasimamizi wa vyama vya kisiasa waache upendeleo na...
  13. C

    Vitu nilivyoona ambavyo vinanipa utata nikivifikiria hadi leo

    Nilivyokuwa shule ya msingi kulikuwa na tabia ya wasichana kuzimia, iliaminika wana majini, wengine walikua wanaoata hadi nguvu ya kusukuma watu wa kubwa na kuwaumiza, au kurusha madawati, au kukimbia hadi kwenye miti mikubwa ( mikuyu ) Nilichokishuhudia nachokumbuka hadi leo, kuna wasichana...
  14. VERBOSE

    Je! Ni vitu gani ukiambiwa ufanye unaweza kufanya wakati wowote hata ukikurupushwa usingizini saa 7 usiku?

    Swali limenyooka hio wakuu, yaan halijapinda kabisa. Sasa nakuuliza wewe hapo ni kitu gani unaweza kufanya hata ukiwa usingizini yaan umelala ila ukaambiwa ufanye na ukafanya saa 7 usiku bila shida na ukakifanya kwa kukinyoosha kabisa. Mimi nina vitu km vitatu ila kwa leo nitataja vitu viwili...
  15. Amba Samedi

    Ukwasi Muhimu: Vitu Kadhaa vya Kuzingatia (Cash is King)

    Habari wanaJF, Natumaini mmeamka salama. Dunia ishageuka kuwa uwanja wa vita: leo TZ, kesho Iran nk. Na mafuta yanaweza kupanda kwa sababu... tutaliongelea siku nyingine. Leo tujadili ukweli fulani wenye kauchungu: Kumiliki mali nyingi sio sawa na kuwa na ukwasi (cash flow). Unaweza kuwa na...
  16. NALIA NGWENA

    Vitu vitatu vitakavyoiua Simba SC kwenye dabi ya kariako 1/03/2036

    Naaam hayawi hayawi Sasa yamekua !! Asiyekia na mwana basi aeleke jiwe " hayo Si maneno yangu NALIA NGWENA aka Under cover Bali ni maneno ya Wahenga, na sipo hapa kutabili kama shekhe yahya Bali nazungumza kama mwanasayansi Wa Mpira ukipenda niite Isack Newton kwenye ulimwengu Wa Mpira...
  17. A

    German and British intelligence, Iran Haiwezekani Kushindwa Vitu

    Ujumbe ndio huo German and British intelligence, Iran Haiwezekani Kushindwa Vitu sababu hata ushambulie vipi wanauwezo wa kuendelea kutengeneza Hypersonic Missiles. https://youtu.be/YXakMdE7HBw?si=Q5Snggh94ExijJuF
  18. ELI COHEN

    Kuna vitu flani ukishakuwa 35+ unapaswa kuwa na majibu yao, huu sio tena umri wa kujiuliza uliza na kutokuwa na msimamo wa kile unachokiamini

    Unapaswa uwe na jibu binafsi la kama unamiini Mungu yupo na unamtumainia au lah. Unapaswa kuwa na malengo tayari unayoyaamini na unaya pambania kwa jasho na damu ili upige hatua zaidi ya ulipoyafikia. Huu sio umri tena wa kuwaza kama kijana wa miaka 22 "hivi nifanye kitu gani" Ni umri ambao...
  19. M

    Uamuzi sahihi ni kuchukua vitu vyako uwaachie chumba ukapange kwengine?

    Umetulia zako ulikopanga, rafiki yako wa kijijini kuna siku anakucheki "mkuu naombaa nije kutulia kwako kama wiki moja kuna mchongo nasubiria." Kwa heshima na support unamwambia "haina noma" Kapiga mishe zake karibia mwezi lakini mambo hayakai sawa, unakuwa muelewa hakuna njia iliyonyooka...
Back
Top Bottom