Humo ndiko Mungu amehifadhi mafanikio, furaha na amani ya maisha yako, ni suala la wewe tu kuamua kuingia kwenye ndoa na hatimae kuanza kufurahia Neema na Baraka za Mungu alizokuandalia uzifurahie katika maisha yako hapa duniani.
Kwani hujawahi kuona mtu baada tu ya kuingia kwenye ndoa mafuriko...
"Hofu ya watu watanionaje"
imewachelewesha watu wengi sana kutimiza ndoto zao za thamani.
Watu wengi wana ndoto kubwa,mawazo makubwa,vipaji na uwezo wa kufanya mambo makubwa sana.
Lakini wanashindwa kuanza kwasababu wanaogopa na kuhofia kuwa watachekwa,watakosolewa au kuonekana tofauti na...
Baada ya Iran kushindwa mbinu zake zote kuifuta israel kwenye uso wa dunia mara kadhaa!! Leo tena kuna Bango jipya la matangazo katika Uwanja wa Palestina mjini Tehran, Iran leo linaipa Israeli miaka mingine 15 ya kuwepo. Siku 5,218 zimesalia.
Nina uhakika asimia 100% Iran wataangukia pua tu!!
Nimeona mtandsoni waziri Wa Ujenzi, Bw Ulega akijipigia sound at serikali itajenga Flyover Mwenge na Morocco.
Kama mkazi wa Dar, nikikumbuka hizi sinkelele za kwanzankuzisikia.
Zaidi ya miaka mitano iliyopita tulisikia kuwa kuna Flyover tano zitajengwa Dar. Flyover hizo ni Mwenge, Morocco...
Nimeota namuuliza swali Mwl. Julius Kambarage Nyerere kwamba Kama misingi ikiharibika mwenye haki atafanya nini?
Nyerere akashindwa kujibu, akalia sana akaanza kusema yeye kama mjenga misingi alifanya makosa makubwa sana kuiacha CCM kwenye genge la wahuni, na kuwanyima wananchi katiba inayohost...
Jumamosi njema!
Kila uwekezaji mkubwa huanza na uamuzi mmoja sahihi. Leo inaweza kuwa siku yako ya kupata nyumba au kiwanja cha ndoto zako.
📍 Viwanja vya Uwekezaji
🏠 Nyumba za Kupanga na Kuuza
🏢 Apartments na Commercial Properties
💼 Ushauri wa Uwekezaji wa Real Estate
📞 Piga Simu au WhatsApp...
Wakuu salaam!
Naota nakutana sana na huyu rafiki yangu aliyefariki mwaka 2018 ,si mara moja Wala mara mbili ni mara ya nne sasa na yote ni huu mwaka tu.
Naota shule imefungua tumekutana tena namuuliza 'mbona ulikua hunitafuti likizo ? na yeye aniuliza mbona na wewe ulikua hunitafuti?' basi...
Wakati mtoto wa Kitanzania mwenye umri wa miaka 10, Ayubu Shaaban, alipopanda jukwaani katika Taasisi ya Confucius katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, watu wachache tu katika ukumbi uliojaa watu ndio walitarajia mvulana huyo mpole angevutia hadhira kwa lugha fasaha ya Kichina.
Akiwa amevalia...
Arsenal imetwaa ubingwa wa Premier League 2025/26 baada ya Manchester City kulazimishwa sare ya Goli 1-1 kutoka kwa Bournemouth, matokeo hayo yanamaanisha hakuna timu itakayoweza kufikia alama za Arsenal na zote zikiwa zimesaliwa na mchezo mmoja.
Hadi sasa Arsenal ina pointi 82, Man City ni ya...
Siku hizi ukikutana na kijana ana laptop, ring light na simu nzuri usidhani ni IT specialist… mwingine anakesha usiku kucha akihariri video ya sekunde 45 huku background kuna motivational music na caption “never give up”.
Lakini ukiangalia reality ya game yenyewe unaweza ukaanza kujiuliza… hivi...
Kuota ndoto kwa binadamu ni kawaida kabisa na kuna ndoto zitokanazo na rekodi ya ubongo ambazo hazina athari yeyote na si za kutilia maanani.
Lakini kuna ndoto zingine hutakiwi kuzipuuza kabisa mfano mm nilikuwaga siamini kabisa kuhusu utabiri wa ndoto lakini kilicho nitokea mwaka juzi...
Mnyororo wa umaskini (Generational Poverty) siyo tu hali ya kukosa fedha bali ni mfumo wa kimaisha, kifikra, na kijamii unaorithishwa kutoka kizazi kimoja kwenda kingine. Katika familia na ukoo
Umaskini huu hufanya kazi kama gereza lisilo na kuta, ambapo watoto huzaliwa na kukuta madeni...
UBINAFSI
ULAFI
UKANDA
TAMAA
UNYAMA
UMALAYA WA KISIASA.
Hivi ni vitu ambavyo vipo kwa kila mwanadamu ila kwa mtu mweusi ndio pumzi yake.
Tulipata watu wachache ambao waliviweka hivi kando ila mkaishia kuwageuka nyie wenyewe na kuwaua.
Mnakula vya watu kwa ulafi huku mkisingizia wazungu kwa...
Umofia Wadau.
Nipo ndotoni ndugu zangu kiukweli, hivi watu wamekufa kiasi kile ila Viongozi hawajutii wala kusikitika wanachofanya ni kujipalilia waendelee "KULA"
Labda wale wa Rohoni mnipe tafsiri sahihi ya hili bila kujali Imani ya Dini zenu:-
1. Kila mtu aitii Mamlaka iliyo kuu;kwa maana...
Shule ya Sekondari Zanaki jijini Dar es Salaam, shule ya wasichana inayomilikiwa na serikali ya Tanzania, mwanafunzi wa kike anayeitwa Rosemary Thadei Mushi anasimama mbele ya wanafunzi wenzake, akiwaongoza kwa umakini jinsi ya kutamka maneno ya Kichina kwa kufuata lafudhi sahihi.
Katika...
Nimeota niko ndani ya nyumba nimefungiwa siwezi kutoka yani kifupi nimetekwa lakni nilikuwa natafuta kila siku njia ya kutoroka nakosa lakini akaja mgeni ndani kumbe hajui kama nimetekwa pale
Basi nikamuomba anifungulie mlango nilisingizia kuna mtu ananiita nje baada ya kunifungulia nikaanza...
Walimu hasa mlioko vijijini. Najua hali ya ufundishaji ni ngumu lakni hakuna namna, komaeni na hizo kishikwambi angalau kukuza ndoto za vijana mfano kuna Dj arts, kuchora, kuimba nk. Ila zinakufa na walimu wameshikilia hizo vishikwambi mikononi wengi wakizitumia kwa kuangalia movie na...
Jf ujumbe ndio huo.
Na kuhusu hawa kina
Echolima1 na jina lingine anajiita Mlaleo
Sa kichaa mwenzenu atasema nini hapa Iran karibu watanza kushambulia kutumia Fighter Jets
https://youtu.be/ImHc0t4N7JM?si=y2YSieqz2zadMYuF
Tunawasubiri kwenye vita vya chini pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.