Ndio napanda kwenye jukwaa title kama ilivyotumwa kwenye laini yangu ya halotel. Vip huko nyie mmetumiwa nini??
Tuambatanishe na kapicha kama kapo. JOTO LA MAANDAMANO NI KALI
Leo mjinga ndio anakuwa na cheo na kila kitu.
Kwa nini dotto magari kafikia kuziaki wenye elimu wakati anachokitumia kimetengenezwa na wenye elimu.
Tanzania kama mzazi kumbatia mawazo ya mtoto wako na ndoto zake.
Walimu wengi wameharibu ndoto za watoto hata mliopo hapa JF mnaweza kutoa...
Kuna swali huwa ninalojiuliza sana peke yangu, naomba nishare hapa
Utasikia watu wakisema ulimwengu wa roho, ulimwengu wa siri. Hivi huo ulimwengu huwa ni upi?
Je, mambo ya ulimwengu wa roho au ulimwengu wa siri huwa ni pamoja na ndoto tunazoota usiku au mchana?
Au tuseme ndoto huwa ni dunia...
Hakuna njia ya uhakika ya kurejesha ndoto ambayo tayari umeisahau kabisa. Ndoto nyingi hupotea haraka sana baada ya kuamka kwa sababu ubongo hauzihifadhi kwenye kumbukumbu za muda mrefu kwa nguvu kama matukio ya kawaida.
Hata hivyo, unaweza kujaribu kuongeza uwezekano wa kuzikumbuka:
Kaa...
Natamani nyumba ya ndoto zangu iwe ni mchanganyiko kamili wa teknolojia ya kisasa na utulivu wa mazingira ya asili.
Ninaamini kuwa mazingira bora na safi kama haya yanachangia kwa kiasi kikubwa afya njema ya mwili na akili, pamoja na kuleta furaha ya kweli maishani.
Ni lengo langu kuu kufanya...
Habari ya hasubuhi
Ili Tanzania ipate maendeleo ya kweli kuna mambo yanatakiwa yafanyike.Mfano kipindi cha miaka tu tumekopa zaidi ya Trioni 54 lakini ukiangalia miradi ya utekelezaji unaona kama hazishabihani.Ushauri wangu ili tupate maendeleo ni ufuatao
1.Viongozi tunaowachagua tusichague...
Wakuu nimeota hivi
"Nilikuwa mimi na marafiki zangu tukitembea njiani pamoja tukafika sehemu tukakuta kuna hitilafu ya nyaya za umeme. Tukashauriana tupande juu ili turekebishe nyaya tukajaribu ila tukakosa belt balance position. Ikabidi turuke kwenye paa la nyumba. Ili tusubirie hizo belt...
Maskini akitaka kufanya biashara anajiulza vipi kama nitapoteza? Then anagairi. Wakati matajiri hua wanajiuliza vip kama itafanikiwa?then anachukua hatua. (rudia tena kusoma hiyo sentensi)
Ukweli ni kwamba kila kitu unachoona kimefanikiwa kilianza na uncertainty. Yaani hakikua na uhakika ama...
Humo ndiko Mungu amehifadhi mafanikio, furaha na amani ya maisha yako, ni suala la wewe tu kuamua kuingia kwenye ndoa na hatimae kuanza kufurahia Neema na Baraka za Mungu alizokuandalia uzifurahie katika maisha yako hapa duniani.
Kwani hujawahi kuona mtu baada tu ya kuingia kwenye ndoa mafuriko...
"Hofu ya watu watanionaje"
imewachelewesha watu wengi sana kutimiza ndoto zao za thamani.
Watu wengi wana ndoto kubwa,mawazo makubwa,vipaji na uwezo wa kufanya mambo makubwa sana.
Lakini wanashindwa kuanza kwasababu wanaogopa na kuhofia kuwa watachekwa,watakosolewa au kuonekana tofauti na...
Baada ya Iran kushindwa mbinu zake zote kuifuta israel kwenye uso wa dunia mara kadhaa!! Leo tena kuna Bango jipya la matangazo katika Uwanja wa Palestina mjini Tehran, Iran leo linaipa Israeli miaka mingine 15 ya kuwepo. Siku 5,218 zimesalia.
Nina uhakika asimia 100% Iran wataangukia pua tu!!
Nimeona mtandsoni waziri Wa Ujenzi, Bw Ulega akijipigia sound at serikali itajenga Flyover Mwenge na Morocco.
Kama mkazi wa Dar, nikikumbuka hizi sinkelele za kwanzankuzisikia.
Zaidi ya miaka mitano iliyopita tulisikia kuwa kuna Flyover tano zitajengwa Dar. Flyover hizo ni Mwenge, Morocco...
Nimeota namuuliza swali Mwl. Julius Kambarage Nyerere kwamba Kama misingi ikiharibika mwenye haki atafanya nini?
Nyerere akashindwa kujibu, akalia sana akaanza kusema yeye kama mjenga misingi alifanya makosa makubwa sana kuiacha CCM kwenye genge la wahuni, na kuwanyima wananchi katiba inayohost...
Jumamosi njema!
Kila uwekezaji mkubwa huanza na uamuzi mmoja sahihi. Leo inaweza kuwa siku yako ya kupata nyumba au kiwanja cha ndoto zako.
📍 Viwanja vya Uwekezaji
🏠 Nyumba za Kupanga na Kuuza
🏢 Apartments na Commercial Properties
💼 Ushauri wa Uwekezaji wa Real Estate
📞 Piga Simu au WhatsApp...
Wakuu salaam!
Naota nakutana sana na huyu rafiki yangu aliyefariki mwaka 2018 ,si mara moja Wala mara mbili ni mara ya nne sasa na yote ni huu mwaka tu.
Naota shule imefungua tumekutana tena namuuliza 'mbona ulikua hunitafuti likizo ? na yeye aniuliza mbona na wewe ulikua hunitafuti?' basi...
Wakati mtoto wa Kitanzania mwenye umri wa miaka 10, Ayubu Shaaban, alipopanda jukwaani katika Taasisi ya Confucius katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, watu wachache tu katika ukumbi uliojaa watu ndio walitarajia mvulana huyo mpole angevutia hadhira kwa lugha fasaha ya Kichina.
Akiwa amevalia...
Arsenal imetwaa ubingwa wa Premier League 2025/26 baada ya Manchester City kulazimishwa sare ya Goli 1-1 kutoka kwa Bournemouth, matokeo hayo yanamaanisha hakuna timu itakayoweza kufikia alama za Arsenal na zote zikiwa zimesaliwa na mchezo mmoja.
Hadi sasa Arsenal ina pointi 82, Man City ni ya...
Siku hizi ukikutana na kijana ana laptop, ring light na simu nzuri usidhani ni IT specialist… mwingine anakesha usiku kucha akihariri video ya sekunde 45 huku background kuna motivational music na caption “never give up”.
Lakini ukiangalia reality ya game yenyewe unaweza ukaanza kujiuliza… hivi...
Kuota ndoto kwa binadamu ni kawaida kabisa na kuna ndoto zitokanazo na rekodi ya ubongo ambazo hazina athari yeyote na si za kutilia maanani.
Lakini kuna ndoto zingine hutakiwi kuzipuuza kabisa mfano mm nilikuwaga siamini kabisa kuhusu utabiri wa ndoto lakini kilicho nitokea mwaka juzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.