kilimo

  1. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Mifugo yaanza kampeni ya kunywa maziwa shuleni Wilayani Rungwe

    Dkt. Mackrina Nombo, Mtaalamu wa Lishe Wizara ya Mifugo na Uvuvi kupitia Mradi wa Mageuzi ya Tasnia ya Maziwa na Mabadiliko ya Tabianchi ulio chini ya Wizara hiyo unaofadhiliwa na Mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo ya Kilimo (IFAD) imeanza kampeni ya unywaji wa maziwa shuleni ikiwa ni hatua...
  2. Panctuality

    JamiiForums Tanzania Namna kilimo kinavyoweza kutatua ukosefu wa ajira nchini.

    KILIMO KAMA SULUHISHO LA UKOSEFU WA AJIRA TANZANIA: USHAURI KWA SERIKALI KUJENGA TAIFA LA WAAJIRI KUPITIA SEKTA YA KILIMO. Utangulizi Tatizo la ukosefu wa ajira limeendelea kuwa moja ya changamoto kubwa zinazolikabili taifa la Tanzania, hasa kutokana na ongezeko la idadi ya vijana wanaomaliza...
  3. A

    JamiiForums Tanzania KERO Wananchi haturidhishwi na utendaji wa Afisa Kilimo Wilaya ya Magu, Kata ya Lubugu

    Kuna Afisa Kilimo Wilaya ya Magu, Kata ya Lubugu haturidhiki na utendaji wake, ashafungua duka la kilimo na mifugo muda mwingi anautumia kukaa dukan kwake. Bidhaa anazotuuzia mara nying zile za ruzuku kwa mfano mbolea nyingi anatuuzia za ruzuku kwa bei ya juu na hata mbegu za mahindi ukikwangua...
  4. N

    JamiiForums Tanzania Hii ni Lushoto Karibu kwa uwekezaji wa KILIMO Cha umwagiliaji mda wote,

    Kijiji cha Lunguza Kata ya Lunguza Wiraya ya Lushoto Mashamba yapo 0772582186, bei Kati ya laki na nusu, laki mbili mpaka laki tatu kutegemeana na shamba , yapo ya kumwagia kwa pump na yapo ya kutumia maji yanayotoka mlimani bila pamp ,
  5. M

    JamiiForums Tanzania Vijana: Tusisubiri Ajira Pekee, Fursa Zipo Kilimo na Ufugaji

    VIJANA WENZANGU: Hakuna Atakayekuja Kubadilisha Maisha Yetu Isipokuwa Sisi Wenyewe Leo nimeamua kushare mawazo machache kwa kila kijana anayehangaika kutafuta maisha. Ukweli ni kwamba wengi wetu tunasubiri muda mzuri, mtaji mkubwa au mtu wa kutushika mkono. Lakini muda mzuri hauji wenyewe...
  6. Ex Spy

    JamiiForums Tanzania TANZIA Prof. Pius Mbawala afariki dunia. Aliwahi kuwa Naibu Waziri wa Kilimo na Ushirika na Mbunge wa Namtumbo

    Kwakuwa hii sijaiona JF, nimeona niiweke for our records: Aliyekuwa Naibu Waziri wa Kilimo na Ushirika na Mbunge wa Namtumbo, Prof.Pius Mbawala, amefariki dunia akiwa anapatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa familia, Prof. Mbawala...
  7. Jifunafu

    JamiiForums Tanzania Salaam kwa wadau wa jukwaa la kilimo

    Habari ndugu zangu,napenda kuwaeleza kile kilichotokea Hadi kuto kupatikana hapa jukwaani. Nilipotea hapa jukwaani kwa muda mrefu baada ya kutoa post yangu iliyo zungumzia shuhuda ya safari yangu ya kuelekea kule katavi kwa shughuli ya kilimo. Tangu wakati huo zilijitokeza changamoto nyingi...
  8. Red black

    JamiiForums Tanzania Nashauri serikali itenge eneo hata la hekari 700 pajengwe ukuta ambapo raia hawataingia kizembe then kifanyike kilimo cha zao la Bangi kisasa.

    na watu binafsi pia wapewe vibali waanze kilimo hicho kuwepo na mashamba darasa, Zao la Bangi likishaa komaa na kukaushwa liwe processed kidogo then lipelekwe nje direct kwenye viwanda vya madawa ya binadamu. Tz mapori ni mengi sana
  9. Wang chung

    JamiiForums Tanzania Je ulishawahi kupata hasara kwenye kilimo hadi ukahisi kuzimia?

    Mwaka Jana baada ya kutoka chuo niliona ni Bora nijiajiri kwenye kilimo . Nilipanda viazi mviringo mwezi wa saba na nikavuna mwezi wa 12 hapa nilipata faida asilimia 120% . Mara ya pili nilipanda viazi vya msimu mwezi wa 11 mwaka Jana na nimevuna mwaka huu mwezi wa tatu . Hapa nilipata hasara...
  10. HONOURABLE PETER

    JamiiForums Tanzania Kilimo cha vitunguu

    Wataalamu wa kilimo cha vitunguu maji naomba uelewa juu ya kilimo hicho maana nimepitapita vijiji vya mkoani Tabora nikakutana na zao hili. Naomba somo, soko na biashara yake ilivyo!
  11. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Kwanini matajiri wengi wakifikisha miaka 60+ huanza kurudi kwenye kilimo?

    kama umegundua Watu wengi wanaofanikiwa kwenye biashara au sekta nyingine mbalimbali, wakifika umri mkubwa hasa miaka 60 na kuendelea, wanaanza kuhamishia nguvu zao kwenye kilimo. Mfano, Shabiby wa dodoma amefanya sana biashara ya mabasi na siasa, lakini sasa anaonekana kuwekeza kwa ukubwa...
  12. Pfizer

    JamiiForums Tanzania Msigwa: Bwawa la Kidunda ni mradi wa kimkakati kwa Maji, Kilimo na Nishati

    ‎ ‎Msemaji Mkuu wa Serikali, Ndugu Gerson Msigwa, ameipongeza Wizara ya Maji kwa usimamizi madhubuti wa ujenzi wa Bwawa la Maji Kidunda, akieleza kuwa mradi huo ni miongoni mwa miradi mikubwa ya kimkakati Nchini inayotarajiwa kuleta mageuzi makubwa katika sekta ya maji, kilimo, nishati na...
  13. bless on

    JamiiForums Tanzania Kilimo Cha maparachichi ya kisasa utajiri njenje

    Maparachichi ya kisasa kwa Sasa limekuwa zao kubwa sana la kibiashara wateja wanakufuata shambani Maparachichi yanasafirishwa nje ya nchi mti wa parachichi unakaa miaka 60 yaani kama ilikuwa unafikiria ulime nini Lima parachichi la kisasa utakuja kunishukuru usije sema sijakuambiaa.
  14. darautobroker

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Kilimo kwanza yenye sunroof ya diesel iko sokoni

    Bei/Price🏷️👉🏾TSH 168M Call📞+255 747 999 927 LAND CRUISER VX V8(EL) Year: 2009 LOW MILEAGE Engine: 1VD-FTV Fuel Used: DIESEL Transmission: AUTO ✨Sunroof ✨Leather Seats ✨Cruise Control ✅Clean Interior ✅Well-Maintained ✅Swap Deals Available
  15. ufalmedigital

    JamiiForums Tanzania Je, kilimo cha mijini ndicho suluhisho la chakula na biashara ya baadaye?

    Katika dunia ya sasa ambapo miji inaongezeka kwa kasi na gharama za maisha zinapanda kila siku, watu wengi wameanza kugundua nguvu ya “Kilimo cha Mijini” kama njia ya kujitosheleza kwa chakula na hata kujiongezea kipato. Lakini swali kubwa ni: 👉 Inawezekana kweli kulima ukiwa mjini? 👉 Ni mazao...
  16. N

    JamiiForums Tanzania Je, ni halali kwa vijana wa leo (Gen Z) kuwekeza zaidi katika teknolojia na starehe kuliko kuwekeza katika kilimo na biashara?

    Kumekuwa na ongezeko kubwa la vijana wa kizazi cha 2000 (Gen Z) kuelekeza nguvu, muda, na rasilimali zao katika starehe na teknolojia; ikiwemo mitandao ya kijamii, gaming, mavazi, kamali(kubeti), na ajira za mtandaoni, badala ya sekta za uzalishaji kama kilimo na biashara ambazo zilikuwa uti wa...
  17. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Masomo Yanayoongoza Kuzalisha Mamilionea Duniani.Kwa Takwimu Hizi Wanangu wa Kilimo Tutatoboa kweli au Tuhame Kambi?

    My Take Kwa wale tulioko kwenye sekta ya Kilimo ,hizi takwimu zinakatisha tamaa na zinalazimisha kurudi kwenye drawing board. https://www.threads.com/@thestarkenya/post/DXZ5Ey4jQ-b?xmt=AQF0I7ra76rglfFzjxe5u6sxGi2YPqdh3zZJ9wuksUZgTpM7mQGwAQJMz-9oOcbbZfeauGA5&slof=1
  18. J

    JamiiForums Tanzania Nataka kufanya kilimo Igula - Iringa

    Habari Machief zangu nataka kwenda kufanya kilimo mkoa wa Iringa kijiji cha Idodi - Igula so nisaidieni taarifa zozote zinazo husiana
  19. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Hivi ile project ya Kilimo ya BBT iliishia wapi?

    Nani anaweza kutupa mrejesho kuwa ule mradi wa uwekezaji kwenye Kilimo Al maarufu kama "Build Better Tomorrow -BBT" matokeo yake yamekuwa chanya au hasi Kwa kiasi gani?
  20. Prof Phraoh AI

    JamiiForums Tanzania Tofauti na Binadamu, Siafu pia wanajishughulisha na kilimo

    ‎kuna aina ya siafu, wale ambao unawaona wanasafiri kwa msafara huku wamebeba majani. hawa huwa hawakai tu katika makoloni makubwa, wanajishughulisha na kilimo kitu ambacho kwa muda mrefu kilidhaniwa kuwa ni sifa ya binadamu pekee. ‎ ‎Siafu wa kundi la Leafcutter ant wamekuwa wakilima fangasi...
Back
Top Bottom