wivu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Fbn

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wana wivu wa ajabu sana.Ukiwa ujaoa hakuna mwenye mda na wewe,Ukioa kila mwanamke analazimisha kuwa wake

    Kipindi sijaoa hakuna mwanamke mwenye kusumbuka na mimi ,kila niliyetaka kumuoa alikuwa hataki. Baada ya kuoa na maisha ya ndoa yani kila mwanamke akiona pete kidoleni au kunijua wanatengeneza mazingira washike nafasi hiyo. Walikuwa wapi siku zote.
  2. Best home tutor

    JamiiForums Tanzania Tanzania iko katika matishio ya amani na usalama chanzo wivu wa rasilimali zetu

    Katambi ajitetea na agizo lake la kuzuia mikutano :'Sijakiuka Katiba', awashukia vikali CHADEMA Akizungumza leo Juni 27, 2026,wakati wa maadhimisho ya siku ya wazee duniani huko mkoani Shinyanga, Waziri wa Mambo ya Ndani, Patrobasi Katambi amekanusha juu ya kuvunja Katiba na kueleza matishio ya...
  3. Best home tutor

    JamiiForums Tanzania Amani ndio msingi mkuu wa Taifa,tuilinde amani kwa wivu mkubwa

    Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Dkt. Josephat Gwajima, amewataka vijana wa Kitanzania kuwapuuza watu wanaochochea vurugu na machafuko kutoka nje ya nchi (MARIA SARUNGI NA GENGE LAKE) na badala yake kuelekeza nguvu zao katika shughuli za maendeleo na ujenzi wa taifa. Akizungumza Jumapili...
  4. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kumbe Sir Alex Ferguson anazeeka na chuki na wivu wa ajabu hadi leo?

    Nilidhani mtu ukifanikiwa, ukastaafu na kuzeeka basi wivu na bifu za kitoto basi unawaachia vijana, lakini sio kwa huyu mzee Inaonekana ilimuuma sana Arsenal ilivyochukua ubingwa wa EPL na kufika fainali ya UEFA huku timu yake ukiwa inampa matatizo ya moto, japo imepata unafuu sasa hivi Hebu...
  5. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Wivu ni darasa la mwisho kabla hujawa mchawi

    Wivu mbaya na chuki ya kupitiliza ni sumu kali ya kiroho inayomfanya mtu aanze kufikiria au kutenda mambo ya kishirikina na kijicho. Huu usemi usemao "Wivu ni darasa la mwisho kabla ya kufuzu kuwa mchawi" una ukweli mkubwa kiroho. Kimaandiko na kiimani, wivu si tu hisia mbaya ya kibinadamu...
  6. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Asante Mungu kwa hii Nyota Kali uliyonibariki nayo, japo nakiri inatusababishia tuchukiwe, turogwe na tuonewe wivu sana

    Yote yaliyosemwa hapa yamenitokea na yanaendelea pia kunitokea kila Siku kwani nina Shuhuda za kutosha. Asante sana Mwenyezi Mungu kwa hii Tunu yako kubwa ambayo uliichagua iwe ndani yangu Mimi GENTAMYCINE. Kwa wale ambao mnajijua mna hii Nyota kama yangu na ambayo imesemwa hapa kama ukitaka...
  7. T

    JamiiForums Tanzania Bodaboda auwawa na mwili wake kutupwa porini huko mkoani Morogoro

    Dereva wa bodaboda aliyefahamika kwa jina la Ally Kambi (24), mkazi wa Kingolwira Manispaa ya Morogoro, anadaiwa ameuawa kisha kuporwa pikipiki na watu ambao bado hawajajulikana waliomkodi eneo la Mkono wa Mara, Wilaya ya Morogoro. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Andrew Kantimbo...
  8. Huihui2

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wivu wa mapenzi wasababisha familia nzima ifukuzwe kutoka Uingereza

    Serikali ya Uingereza iliwafukuza baba, mama, na watoto wao watatu kurudi Nigeria baada ya kuuza mali zao zote na kukopa 40,000,000Tsh ili kuhamia Uingereza. Tobore aliuza nyumba yake huko Otokutu, ardhi yake huko Opete, Lexus 330 yake nyeusi, duka lake kubwa la maduka, na pia alikopa...
  9. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Acheni Wivu wa Kike!, Kumuonea Wivu Mwenye Kismat, Mwenye Nacho, Anaongezewa!. Huu Ubunge Tuu, Kelele Hivi!, Atakapokuwa Waziri, Mtafura Kujinyonga?.

    Wanabodi, Hili ni bandiko la kuwaomba Watanzania tuacheni kuwa na wivu wa kike!, kumuonea wivu mtu mwenye nyota yake, bahati yake, kismeti chake, ambaye pia ni mwenye nacho, anapoongezewa!. Aliyesema mwenye nacho ataongezewa sio mimi ni YEYE mwenyewe ndiye aliyesema "mwenye nacho ataongezewa"...
  10. Keynez

    JamiiForums Tanzania Kiongozi anasimama anasema foleni inasababishwa na magari machafu yasiyo na AC

    Leo nilikutana na clip moja ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Chalamila. Katika clip hiyo Chalamila anasema moja ya sababu inayosababisha foleni zisiishe ni uwepo wa magari yenye namba A, na mengine ambayo ni machafu na hayana AC (kiyoyozi). Halafu bado mna matumaini ya kuletewa maendeleo na...
  11. Inside10

    JamiiForums Tanzania Ridhiwani Kikwete: Mafanikio Ya Tanzania Yanaonewa Wivu Na Wengi

    https://www.instagram.com/reel/DUsyVutAudz/?igsh=N3lkOHM0bm52anVs
  12. haszu

    JamiiForums Tanzania Inakuaje madada mzuri anakuja kuishi maisha ya ajabu na ya hovyo mbali na kua na soko?

    Wazazi wanapaswa kuwaambia ma binti zao wajijue kua wao ni wazuri tangu wakikwa wadogo, kua uzur wao ni kura turufu, utawavutia wengi lakini pia haudu, hii itawafanya waweze kufanya maamuzi sahihi kwa wakati sahihi kabla hawajachelewa. Leo nimekutaa na rafiki yangu wa muda mrefu, akiwa chuo...
  13. Keynez

    JamiiForums Tanzania Wanatuambia "wanatuchochea kwa sababu wanatuonea wivu na madini yetu", wakati huo huo, serikali inatumia bilioni 2.5 kuwashawishi wayanunue

    Kuna hii taarifa inasambaa inayosema kuwa serikali ya Tanzania inatumia zaidi ya shilingi bilioni 2.5 kutafuta ushawishi ndani ya Marekani, ikiwemo kuwashawishi Serikali ya Marekani na wadau wengine wa huko watamani kununua madini yetu. Napenda kuwakumbusha kuwa kabla na baada ya MO29, viongozi...
  14. Its Tesha

    JamiiForums Tanzania Mabeberu wanamezea mate Uranium yetu, wanatuonea wivu

    Tukisema tuna viongozi wa hovyo mnasema tunatumika na mabeberu haya kunyweni hilo tope Uranium zipo chini!!!
  15. K

    JamiiForums Tanzania Je kuwaonea wivu Venezuela ni sawa! Utawala wao kama wetu tu

    Je kuwaonea wivu Venezuela ni sawa! Utawala wao kama wetu tu? Mimi ni bora tungekuwa kama Venezuela na kujenga nchi upya ya kidemokrasia kuliko kutawaliwa na watu kama tulionao na udikiteta wa kijinga jinga. Wizi na ufisadi , udini uliojaa , uzanzibari na ubara , utekaji na wizi wa kura. Ni...
  16. M

    JamiiForums Tanzania Mfumo dume, chuki wivu na udini ni baadhi ya sababu kwa watu kueneza chuki dhidi ya utawala wa awamu ya sita

    Binafsi sioni kama Rais Samia ana makosa ambayo yeye ndiye Rais wa kwanza kuyafanya, Kama ni mambo ya kutekwa yalikwepo toka enzi ya Dr Ulimboka Kama ni uchaguzi wenye udanganyifu ccm haijawahi kushinda bila wizi ndiyo tabia yake Ufisadi upo toka kipindi cha nyerere Maisha magumu toka...
  17. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Ni jambo/kitu gani watanzania tunacho kinachofanya tuonewe wivu na nchi zingine?

    Hoja ya kwamba tunaonewa wivu na nchi nyingine duniani imekuwa ni kama alama ya siasa za CCM kwenye kuzuia isikosolewe. Hivi ni jambo ama kitu gani tulichonacho Tanzania kinachofanya tuonewe wivu na nchi zingine?
  18. O

    JamiiForums Tanzania Simbachawene ni presidential material, atunzwe na alindwe kwa wivu mkubwa

    Ukitulia vizuri ukachambua mambo ya siasa na wanasiasa kwa jicho la tatu, utagundua Tanzania ina uhaba wa wanasiasa wenye utulivu. Lakini kila nikimuona Simbachawene naiona future iliyo bora kabisa kwa ustawi wa nchi yetu. Namsihi aendelee hivyo hivyo, unaweza kuwa mtulivu na mwenye hekima na...
  19. Arsenal Gunner

    JamiiForums Tanzania Kuna watu wanasema waandamanaji Wana wivu na matajiri, mbona Mo Dewij na Bakhresa hawajachomewa vitu vyao?

    Kuna majitu yanasema waandamanaji wamefanya vurugu kuchoma masheli maduka magari eti kisa wivu Sasa najiuliza kama wivu mbona hawa matajiri mo na Bakhresa hawajachomewa vitu vyao inakuaje nyie choka mbaya wenye viduka vya nguo na vya simu muchomewe na hao mafisadi wachomewe ujue mnatatizo...
  20. SSH2025_2030

    JamiiForums Tanzania Watanzania tuache uvivu na wivu

    1. Tupunguze ujuaji na wivu kwa waliofanikiwa (wakiwemo Wafanyabiashara na viongozi wetu). 2. Tufanye kazi kwa bidii. Tulipe Kodi bila shuruti. Tutafanikiwa. #OktobaTunatiki. NB: Viongozi wetu wakifanikiwa tunajaa jazba, why?
Back
Top Bottom