kurudi

Indotyphlops braminus, commonly known as the brahminy blind snake and other names, is a nonvenomous blind snake species found mostly in Africa and Asia, but has been introduced in many other parts of the world. They are completely fossorial (i.e., burrowing) animals, with habits and appearance similar to earthworms, for which they are often mistaken, although close examination reveals tiny scales rather than the annular segments characteristic of true earthworms. The species is parthenogenetic and all known specimens have been female. The specific name is a Latinized form of the word Brahmin. No subspecies are currently recognized.

View More On Wikipedia.org
  1. Mmawia

    JamiiForums Tanzania HUYU MBUNGE ASIRUDI JIMBONI MAANA HAJUI KIJANA NI YUPI

    Wana jamvi naomba tumsikikize Mbunge wetu kupitia chama tawala. Inanipa shida kuamini kama anajua maana ya vijana au wazee. Kwangu mimi ningemshauri arudi darasani badala ya kurudi jimboni Kwale maana vijana hakuwatendea haki.
  2. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Picha ya raia wa Zimbambwe baada ya kurudi akitokea Afrika Kusin tangu 2009

    Kumekuwepo Picha inayosambazwa kwenye mitandao ya Facebook, Instagram na X (zamani Twitter) kumuonesha mwanaume wa Zimbabwe aliyekwenda Afrika Kusini mwaka 2009 na kurejea nyumbani baada ya miaka 16 kufuatia mashambulizi dhidi ya wahamiaji (xenophobic attacks), ambapo amekuta nyumba ya familia...
  3. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Je kurudi nyuma kwa sukuma gang(Team JPM) kutaathiri mwitikio ya Maandamano 7/7?

    Habari za Sabato! Harakati na siasa ni kama mchezo wa Draft au wale wakulungwa wanacheza Chess games. Mtu yeyote anayejua kucheza Draft kikamilifu basi harakati na siasa hazitamsumbua. Kwenye Chess au Draft watu wengi huziona Kete. Lakini sisi wabobevu hatuishui kuziona Kete kama kete. Bali...
  4. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Kwanini matajiri wengi wakifikisha miaka 60+ huanza kurudi kwenye kilimo?

    kama umegundua Watu wengi wanaofanikiwa kwenye biashara au sekta nyingine mbalimbali, wakifika umri mkubwa hasa miaka 60 na kuendelea, wanaanza kuhamishia nguvu zao kwenye kilimo. Mfano, Shabiby wa dodoma amefanya sana biashara ya mabasi na siasa, lakini sasa anaonekana kuwekeza kwa ukubwa...
  5. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Good News kwa Wapenzi wa SUV: Mitsubishi wametangaza kurudi kwa Gari yao pendwa PAJERO!

    Leo Tar 29 May, officially Mitsubishi wametangaza ujio wa SUV yao pendwa Pajero, baada ya kuisitisha mwaka 2021 ilipokua 5th generation. Kwahiyo Pajero 6th Gen inakuja mwaka huu 2026, na wamefanya teaser kidogo sana bila kusema sifa za gari. Ikumbukwe Pajero ilianza mwaka 1982 na zimeuzwa...
  6. NYOLODO

    JamiiForums Tanzania Nafikiria kurudi kijijini kabisaaa, karibu na makaburi ya ukoo

    Wakuu ! Salam haisaidii zaidi ya mikakat na ushaur wenu. Nkmekuwa naishi kama ngedere au "guruguja" yani kila zahma balaa tupu. Nimegubikwa na mikopo nadaiwa mpaka na songesha na mshahara kwa hatua niliyofikia hautoshi hata kula milo mitatu. Mke na watoto, familia n mm mwenyew maisha ya...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Wasira: CCM tulichepuka, tunataka Kurudi Njia Kuu

    Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara Stephen Wasira amesema CCM imeazimia kujifanyia tathimini kwa kupata maoni ya wanachama wake ngazi za chini kuelekea uchaguzi wa chama hiko kwa lengo la kupata viongozi bora na kushughulikia kikamilifu changamoto za Watanzania. Ameyasema haya mkoani Kigoma...
  8. masai dada

    JamiiForums Tanzania People from 90 kurudi chini

    Upo kipindi gani Therapy,Gym au devorce Au vyote kwa pamoja Au maombi🤣
  9. M

    JamiiForums Tanzania FT: Manchester United 3-2 Liverpool | EPL | Old Trafford | 3 May 2026

    Macho yote leo yako Manchester United na Liverpool watakapokutana katika dimba la Old Trafford kwenye mchezo wa English Premier League. Huu ni mtanange wa kihistoria wenye ushindani mkubwa, kila timu ikihitaji pointi muhimu ili kujihakikishia nafasi ya tatu na kushiriki mashindano ya Ulaya...
  10. McLaren

    JamiiForums Tanzania Cyprian Musiba aikacha ACT Wazalendo, aomba ridhaa ya kurudi CCM

    Mwanaharakati na Mwanasiasa Cyprian Majura Musiba, ametangaza rasmi kurejea katika Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuanzia Januari Mosi, 2026, akisema amefanya uamuzi huo kwa hiari yake bila kushawishiwa na mtu yeyote. Katika barua ambayo imenaswa na Royal TV ikionesha uamuzi huo tangu mapema Januari...
  11. figganigga

    JamiiForums Tanzania Nimewakumbuka CHAUMMA. Waliahidiwa Vyeo sasa wanaomba kurudi CHADEMA. Eti Shetani aliwapitia🤣🤣

    Yeriko Nyerere aliwaingiza chaka wakina John Mrema. Eti Mbowe kamwambia anajiunga nao.. Sasa wanamsumbua John Heche wakitaka kurudi. Waliahidiwa Vyeo... Ila havijapatoka.. Wamekata tamaa.. Salum Mwalimu anafanya biashara gani hadi ajenge Ghorofa Dodoma? Wengine hata hamu ya kuandika vitabu...
  12. Masalu Jacob

    JamiiForums Tanzania Siku maalumu: Kila wiki ya mwisho wa mwezi Viongozi wawe wanatembea kwa Miguu kwenda Ofisini na kurudi majumbani mwao

    Habari Tanzania !.. Naomba wananchi tuamue na tuanzishe utamaduni maalumu; kwa kila kiongozi wa Taifa wawe wanatembea kwa miguu kutoka mahali wanakoishi kwenda Ofisini na kurudi nyumbani kila wiki ya mwisho wa mwezi. Yaani Jumatatu mpaka Jumapili. Faida 1. Hii itawawezesha kupata uzoefu wa...
  13. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Waziri wa ulinzi Israel, Katz: Wakazi 600,000 wa Lebanon kusini hawataruhusiwa kurudi kwenye makazi yao tena

    Waziri wa Ulinzi wa Israeli Katz: amesema; "Wakazi 600,000 wa kusini mwa Lebanon ambao wamehamishwa hawataruhusiwa kurudi hadi usalama wa wakazi wa kaskazini mwa Israeli utakapohakikishwa. Nyumba zote katika vijiji vilivyo karibu na mpaka wa Lebanon zitaharibiwa. Israeli itaunda eneo la ulinzi...
  14. I

    JamiiForums Tanzania Cuba inavyozidi kurudi kwenye zama za mawe

    Cuba ilitumbukia gizani kwa mara ya pili katika muda wa chini ya wiki moja Jumamosi, Machi 21, baada ya mtandao wake wa kitaifa wa nishati kushindwa tena, ukiwa umeathiriwa na miundomsingi iliyozeeka na kizuizi cha mafuta kilichowekwa na Marekani. Usiku ulipoingia, mitaa ya Havana mara nyingi...
  15. D

    JamiiForums Tanzania Naweza vipi kurudi kwenye utumishi wa umma iwapo niliacha mwenyewe kazi?

    Nikiacha kazi mwaka 2015 kutokana na sababu za kiafya na nikapokea mpaka mafao yangu ya PSPF. Lakini sasa nimekuwa fit na naweza kufanya kazi kama kawaida. Nilijaribu kuandika barua utumishi kuomba kurudi maana nilikuwa nikiomba kazi naambiwa nina check namba hivyo siwezi ajiriwa na mimi...
  16. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Ulishawahi kurudi kumshukuru mtoa mada/comment kutokana na content yake kuwa na msaada, hamasa, hint au suluhisho kwako?

  17. Damaso

    JamiiForums Tanzania Taifa Stars wamejiandaa kurudi?

  18. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Sheria ikoje rais akipata mental health problem na madaktari wakathibitisha itachukua muda mrefu kurudi kawaida au asirudi kabisa.

    Je rais wa nchi akipata tatizo la afya ya akili sheria inasemaje kuhusu yeye kuendelea kuongoza nchi? Kikawaida mtu mwenye tatizo la afya ya akili (sio lazima awe chizi kabisa ) ni ngumu kugundua kama ana hiyo shida, ila walio karibu yake wakishirikiana na madaktari ndio wanaweza kugundua hilo...
  19. D

    JamiiForums Tanzania Ushaaamua kuwa wa moto Mama, acha tena kurudi kwenye baridi

    Hamna haja ya kuwa vuguvugu Mimi ni mtu wa bara lakini nakusapoti harakati zako. Toa Mwigulu WEKA MZANZIBAR Toa Padre IMMA WEKA MZENJI Hakikisha unaisuka timu yako ambayo itabadlisha Katiba isiwe na ukomo wa kugombea, kama unahitaji tena unagombea isiwe ukomo miaka 10, nguvu hiyo unayo maana...
  20. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania JamiiForums yarudi hewani

    Sasa bila ya VPN unaweza kuipata ndani ya Tanzania. Angalu sasa ile washa na kuzima VPN ilikuwa inakera, mara uwashe kuingia JF mara uzime kuacess mobile app na app za kibenki. Updates Naona mtandao umezuiliwa tena, mamlaka bado hazisomami.
Back
Top Bottom