halmashauri

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. 9

    JamiiForums Tanzania Halmashauri ya wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro inawatelekeza wastafu bila kuwarejesha maskani baada ya kustafu utumishi wa umma.

    Halmashauri ya wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro inawatelekeza wastafu bila kuwarejesha maskani baada ya kustafu utumishi wa umma.
  2. A

    JamiiForums Tanzania KERO Halmashauri ya Mpimbwe inawatesa Wazabuni kwa kutolipa madeni

    Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe hailipi madeni kwa sisi ambao tumefanya zabuni nao, na ukifuatilia malipo unajibiwa vibaya. Pia wamejipa majukumu ya TRA kwa kuzuia malipo endapo unadaiwa TRA, jambo ambalo ni kinyume na sheria pamoja na taratibu. Tunaziomba mamlaka za juu kuchukua hatua kwani...
  3. A

    JamiiForums Tanzania KERO Changamoto ya maji Songe Kilindi

    Makao makuu ya Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi ni wiki Sasa hakuna maji, na hakuna maelezo yoyote ya lini maji yatatoka. Kwa sasa ndoo ya maji inauzwa Tsh 1000 mtaani. Sijajua changamoto ni nini lakini waziri wa maji amekuja hapa mara mbili na viongozi wanaahidi kutojirudia kwa hii...
  4. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kutohama kwa Mshahara wa Mtumishi baada ya kuhama kutoka halmashauri moja kwenda nyingine

    OW-TAMISEMI wanatumia vigezo gani kuhamisha mishahara na taarifa za utumishi? Kama wanataka rushwa waseme ili niwatumie wanihamishie taarifa zangu, haiwezekani mwaka wa pili huu tangu nihamie halmashauri nyingine lakini taarifa na mshahara zinasoma halmashauri nilikotoka hii siyo sawa...
  5. A

    JamiiForums Tanzania KERO Tarime: Ajira Mpya 2024 (Maafisa kilimo, Idara ya utawala) hatujalipwa fedha za kujikimu mpaka sasa 2026

    AJIRA MPYA 2024 HÀLMASHAURI YA MJI TARIME HATUJALIPWA FEDHA ZA KUJIKIMU.
  6. A

    JamiiForums Tanzania KERO Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru inachelewesha sana kutoa mikopo ya 10% kwa vijana

    Sisi Tumeomba mikopo ya halmashauri kupitia mfuko WA vijana,wanawake, wazee na walemavu maarufu kama mikopo ya Asilimia 10% ,Tangu Mwaka Jana mwezi wa nane lakini Hadi Leo hakuna dalili za kuupata mkopo huo. Tumetumia gharama na Muda wetu mwingi Sana ,kila wakati wakiwa Wanatuita kwenye vikao...
  7. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Halmashauri ya Chato: Tumepokea malalamiko ya Fedha za Kujikimu, mamlaka zinafanyia kazi kwa mujibu wa taratibu za serikali

    UFAFANUZI KUHUSU MADAI YA FEDHA ZA KUJIKIMU KWA WATUMISHI AJIRA MPYA Halmashauri ya Wilaya ya Chato inapenda kutoa ufafanuzi kuhusu taarifa zinazosambaa kwenye baadhi ya mitandao ya kijamii zikihusu madai ya baadhi ya watumishi wa ajira mpya kuhusu kucheleweshwa malipo ya fedha za kujikimu...
  8. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kuomba uhamisho Halmashauri ya Handeni ni kama umetangaza vita na mabosi

    Kero yangu ni suala la uhamisho Halmashauri ya Mji Handeni limekuwa kama vita, maboss wanakalia barua za Watumishi za uhamisho kuhama imekuwa kipengele kikubwa hapo.
  9. A

    JamiiForums Tanzania KERO AJIRA MPYA Halmashauri ya Wilaya ya MBOGWE-GEITA hatujapatiwa FEDHA ZA KUJIKIMU tangu mwaka jana

    Tukiwauliza viongozi hatupewi majibu tunaishiwa kutishiwa tu na kujibiwa kisiasa kuwa akama ni haki yetu tutaipata hata kwa kuchelewa sana
  10. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kero ya muundo wa ustawi wa jamii ndani ya halmashauri

    Kuna haja kubwa sasa ya kuzungumzia changamoto inayowakumba Maafisa Ustawi wa Jamii nchini. Pamoja na kwamba Wizara ya Afya na Wizara ya maendeleo ya jamii jinsia, wanawake na makundi maalumu zilitenganishwa tayari, bado katika Halmashauri nyingi Ustawi wa Jamii inaendelea kubaki chini ya Idara...
  11. A

    JamiiForums Tanzania KERO Rushwa na utapeli wa baadhi ya wafanyakazi wa Ardhi Halmashauri ya Bagamoyo

    Nimekutana na kadhia kubwa ambayo nilinunua viwanja kadhaa kwenye mfumo wa tausi eneo la bagamoyo. Na mwaka huu mwanzoni nilitaka kufatilia kupata hati ya viwanja vyangu. Ila nilishangaa kila mfanyakazi wa halmashauri ili akufanyie kitu flani ni anahitaji umlipe. Nilikaa siku mbili nafatilia...
  12. A

    JamiiForums Tanzania KERO Halmashauri ya Bunda ilichukua eneo letu kujenga Hospitali, haijatulipa fidia tangu Mwaka 2019

    Mimi ni mwanakaya wa familia iliyotoa eneo la shamba kwa ajili ya ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Bunda kupitia makubaliano na Serikali ya Halmashauri mwaka 2019. Kupitia makubaliano hayo, halmashauri ilichukua eneo la shamba la familia yetu kwa madhumuni ya ujenzi wa hospitali, huku ikiahidi...
  13. J

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kuhama kutoka halmashauri kwenda tasisi zinahusika na Ujenzi hasa barabara

    Mimi ni Civil Engineer ninahitaji kuhama kutoka halmashauri kwenda kwenye taasisi zenye miradi ya kiuhandisi, huku nilipo hakuna kazi za kiuhandisi nakaa ofisi tu naona taaluma yangu haitumiki ipasavyo, ninahitaji nipate Sehemu ya kuanzia kwenye mchakato wa kuhama
  14. A

    JamiiForums Tanzania KERO Ajira mpya Halmashauri ya Wilaya Kwimba - Mwanza hatujalipwa fedha za kujikimu

    Sisi Ajira mpya kutoka Halmashauri ya Wilaya Kwimba Mkoa wa Mwanza tuna karibia miezi sita sasa tangu tuajiriwe lakini kila tukiulizia kuhusu fedha za kujikimu hatupewi jibu lolote, tuliajiriwa Januari 2026. Majibu tunayopewa huku kwenye group hayaeleweki wanatuambia serikali ndiyo inatoa pesa...
  15. Travis Kitengo

    JamiiForums Tanzania HONGERA SANA MKUU WA SHULE YA SEKONDARI DR.NCHIMBI HALMASHAURI YA BUNDA-MJI KWA KUCHAGULIWA KUWA MFANYAKAZI HODARI

    Pongezi sana ndugu Ngassa Benard Mahangila kwa kuchaguliwa kuwa mfanyakazi hodari katika halmashauri ya mji wa bunda kwa kuchaguliwa kuwa mfanyakazi hodari ndani ya halmashauri.Nafikiri pongezi hizi zinastahili kabisa na hazina walakini.Kusimamia mradi wa ujenzi wa shule ya sekondari Nyasura...
  16. A

    JamiiForums Tanzania KERO Waalimu wa Ajira Mpya Halmashauri ya KALAMBO – Rukwa tulijiriwa 2025, hatujathibitishwa kazini mpaka sasa

    Tuna kilio chetu cha Waalimu wa Ajira Mpya Halmashauri ya Wilaya ya KALAMBO Mkoa wa RUKWA, tumeajiriwa tangu Mwaka 2025 mwezi wanne, mpaka leo tuko mwezi wa tano 2026 bado hatujathibitishwa kazini. Soma Pia: Ajira Mpya (Kada ya Afya na Walimu), Manispaa ya Kibaha tuna mwaka mmoja na nusu sasa...
  17. A

    JamiiForums Tanzania KERO Viongozi wa Kijiji cha Mlimba B, Halmashauri ya Mlimba, Wilaya ya Kilombero mkoani MOROGORO wananyanyasa wananchi

    Viongozi wa kijiji cha Mlimba 'B' katika Halmashauri ya Mlimba wamekuwa kero kwa wananchi kwani wamekuwa wakitoza faini ya Tsh. 10,000/= kwa kila mwananchi asipohudhuria kwenye mkutano wa serikali ya kijiji na kwenye shughuli za maendeleo ambazo ni kusafisha barabara ambazo zinafanyika kila siku...
  18. A

    JamiiForums Tanzania KERO Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea ifanyiwe uchunguzi, Watumishi Walimu tunadai stahiki zetu, tukihoji tunapewa vitisho

    Kero yetu ni kutolipwa fedha ya kujikimu, sisi ni Walimu Ajira Mpya mwaka 2025 katika Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea, tukifuatilia tunapewa majibu ya kukatisha tamaa, na vitisho pia!! Serikali itusaidie, maana hatuna pa kwenda!! Ajira mpya ya 2026, wamekuja, ndani ya wiki moja tu wakalipwa...
  19. A

    JamiiForums Tanzania KERO Halmashauri ya Mkalama-SINGIDA, walimu ajira mpya 2026 hatujalipwa pesa zetu za kujikimu

    Walimu ajira Mpya halmashauri ya Wilaya Ya MKALAMA-SINGIDA hatujalipwa Pesa zetu za Kujikimu Tangu Tumeripoti mwezi January 2026. Kila tukifuatilia Tumekuwa Tukipewa Majibu yasioridhisha kwetu sisi. Kwani Pesa ya Kujikimu kwa mtumishi wa Ajira mpya ni Haki kisheria. Hii inapelekea matatizo ya...
  20. A

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Fedha za kujikimu, Walimu Halmashauri ya Chato tumepewa laki 1 badala ya Laki 9, bora wasingetupa

    Habari za muda naomba utusaidie kupasa sauti kwa kweli Halmashauri yetu ya Chato hawajatutendea haki sisi walimu wa sekondari tulioajiriwa Mwaka 2025. Walitupa fedha za kujikimu shilingi laki moja tu, walitulipa 27 Aprili 2026, kwanini sisi tumepewa fedha kidogo angali wenzetu wa Shule ya...
Back
Top Bottom