ujenzi

  1. kagoshima

    JamiiForums Tanzania Mpango wa kutumia SUMA JKT kandasasi za ujenzi uliishia wapi?

    Tukiwaambia CCM ndo kikwazo cha maendeleo ya inchi hii muwe mnaelewa. Na tatizo kubwa ni rushwa wanazopata kwa kuwapa tenda wachina hata kujenga jengo tu. Kama SUMA jkt walijenga ikulu na majengo mengi ya umma kwa viwango bora kabisa na garama ndogo, kwanini baada ya kifo cha magufuli tenda za...
  2. I

    JamiiForums Tanzania Unatafuta Mitambo ya Ujenzi kutoka China? Hivi Ndivyo Unavyoweza Kuepuka Utapeli

    Salamu zenu, wenzangu. Ninauliza swali: Ni njia gani bora ya kupata vifaa vya ujenzi kama mitambo ya kuchimba na mitambo ya kupakia kutoka China bila kuingia kwenye udanganyifu? Kuna kituo cha biashara cha kimataifa cha mitambo ya ujenzi nchini China ambacho kinalenga kurahisisha mchakato wa...
  3. Lamomy

    JamiiForums Tanzania Wanaume wa aina hii, najitolea misumari kwenye ujenzi wa sanamu zenu…

    Mwanaume anayekusaidia kutoa miguno wakati wa kudinyana. Anakuuliza “Vipi mama nakuumiza mke wangu? Pole beibeyyy 😘 Misumari kilo moja Halafu kuna Yule anakuangalia usoni kisha anakuuliza nini mamaa nipunguze kasi? Unamjibu hapana traaamuuuu 😹😹😹 Misumari kilo mbili Halafu kuna yule anataka...
  4. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Warsame: Tunaongeza nguvu ya ujenzi wa Bomba la Gesi Asilia (Kilomita 22) kabla ya El Niño

    UJENZI wa bomba la gesi asilia lenye urefu wa kilomita 22 kutoka Kisemvule hadi Mbagala umeingia hatua muhimu, huku Kampuni ya Rashal Energies Limited ikiongeza kasi ya kazi katika maeneo ya njia yanayoweza kuathiriwa zaidi na mvua kubwa. Kwa mujibu wa Mkurugenzi Mtendaji wa Rashal Energies...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Boma linapatikana kwa mauzo – Kimanzichana, Mkuranga

    Wana-JF, boma linauzwa moja kwa moja kutoka kwa mmiliki. Limefikia kozi 11 na lina potential nzuri kwa mwekezaji anayehitaji kuendeleza ujenzi kulingana na matumizi yake. 🏠 Vyumba 5 – 4 Master 🛋️ Sitting Room | 🍽️ Dining | 🍳 Kitchen | 📦 Store 📐 Kiwanja: mita za mraba 19m × 17m na 18m × 14m 💧...
  6. M

    JamiiForums Tanzania BOMA LA KISASA UJENZI KOZI YA 11

    Wana-JF, boma linauzwa moja kwa moja kutoka kwa mmiliki. Limefikia kozi 11 na lina potential nzuri kwa mwekezaji anayehitaji kuendeleza ujenzi kulingana na matumizi yake. 🏠 Vyumba 5 – 4 Master 🛋️ Sitting Room | 🍽️ Dining | 🍳 Kitchen | 📦 Store 📐 Kiwanja: mita za mraba 19m × 17m na 18m × 14m 💧...
  7. BICTEM

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kujifunza ufundi ujenzi

    Kama title isemavyo, nahitaji kupata fundi kujenga anifundishe kujenga, nitafanya kazi kama saidia huku akinipa ujuzi, mkoa wowote ule nitafika. Nawasilisha.
  8. H

    JamiiForums Tanzania Chomete akabidhi tofali 1,000 kwa ajili ya ujenzi wa ofisi ya serikali ya mtaa

    Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara Mhe. Ghati Zephania Chomete tarehe 05 Septemba, 2026 amekabidhi tofali elfu moja (1,000) kwa ajili ya ujenzi wa ofisi ya serikali ya mtaa wa Chomete, Kata ya Sabasaba katika Halmashauri ya Mji wa Tarime, Mkoani Mara. Tofali hizo zimekabidhiwa na Mhe. Dorice...
  9. Dolla_Mbili

    JamiiForums Tanzania WANAHITAJIKA MAFUNDI UJENZI DAR-ES-SALAAM, UBUNGO, KAZI NI UPIGAJI WA PLASTER

    Mafundi wa ujenzi, kazi ni upigaji wa plaster siku ya kesho tarehe 07/09/2026 wanahitajika wa kutosha kama unaweza ama unamfahamu mdau anayeweza kufanya hili jambo mjuze aweze kusogea karibu, Asubuhi na mapema tukimbizane........ Kazi ni kubwa na mafundi ni wengi sana wanaohitajika kwa wepesi...
  10. H

    JamiiForums Tanzania DKT. MWIGULU AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA JENGO LA OFISI ZA HALMASHAURI YA BAHI

    DKT. MWIGULU AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA JENGO LA OFISI ZA HALMASHAURI YA BAHI Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Jumamosi, Septemba 5, 2026, amekagua maendeleo ya ujenzi wa Jengo la Ofisi ya Utawala la Halmashauri ya Wilaya ya Bahi na kuweka jiwe la msingi la mradi huo, unaolenga...
  11. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Hakuna Ujenzi wa Gaza mpya mpaka wakubwa liane na Matakwa yetu-Benjamin Netanyahu

    Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu kuhusu Gaza: Hakutakuwa na ujenzi mpya huko Gaza isipokuwa, kwanza kabisa, kutakuwa na uondoaji wa kijeshi. Siwezi kukuambia ni aina gani ya ujenzi mpya utakaokuwa; tunajadili hili na marafiki zetu wa Marekani. Wakati mwingine tunaonana ana kwa ana...
  12. Kicheche mkali

    JamiiForums Tanzania Usianze ujenzi kama hujafahamu haya machache

    🚨 KELVIN Hk: USIANZE KUJENGA KAMA HUJUI NYUMBA YAKO ITAKUGHARIMU KIASI GANI HADI MWISHO! Watu wengi huanza ujenzi wakiwa na pesa ya foundation tu. Foundation inaisha… wanaendelea kutafuta pesa. Walls zinaisha… wanatafuta tena. Roofing… tena wanatafuta pesa Plaster, milango, madirisha...
  13. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania SERIKALI YAMJIBU MBUNGE WA KAWE KUHUSU UJENZI WA SOKO LA TEGETA NYUKI

    Mbunge wa Jimbo la Kawe Jijini Dar es salaam Mhe, Timoth Geoffrey Anyosisye ameishauri Serikali kukarabati Soko la Tegeta Nyuki, akisema miundombinu yake imechakaa na kusababisha wafanyabiashara pamoja na wateja kufanya shughuli zao katika mazingira magumu. Timoth akiuliza swali bungeni jijini...
  14. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Jengo Pekee Ambalo Halijasombwa na Mafuriko ya Nepal Limeonesha Umuhimu wa Ujenzi unaozingatia viwango na vigezo vya Kihandisi kwenye majengo ya Umma.

    Wataalamu wa uhanrdisi wa majengo wamefanya uchambuzi ni Kwa nini jengo Pekee la gorofa lilibakia limesimama bila kuangushwa na kusombwa na Mafuriko yenye Nguvu ya Nepal wakati majengo yote ya jirani yalioshwa. Jambo hili Limeonesha Umuhimu Kwa Serikali na watu binafsi kufuata vigezo na...
  15. PAYE

    JamiiForums Tanzania ACT-Wazalendo: Muda wa meli kukaa Bandari ya Dar umeongezeka, kumechochea mfumko wa bei

    Waziri Kivuli wa Ujenzi, Uchukuzi na Miundombinu kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Mtutura Abdallah Mtutura, ameishutumu Serikali kwa kuwadanganya wananchi kuhusu ufanisi wa Bandari ya Dar es Salaam. Mtutura ameeleza kuwa kipimo mahsusi cha ufanisi wa bandari ni muda ambao meli inachukua tangu...
  16. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Mwijaku atangaza kuuza jumba lake baada ya kushindwa ujenzi

    Baada ya siku kadhaa kutangza kushindwa kuendelea na ujenzi wa jumba lake Dc mwijaku kupitia ukurasa wake wa instagram ameamua kuweka wazi kuwa ana luza jumba lake hilo kwa thamani ile ile aliokuwa ana omba kumalizia kwenye finishing ya jumba hilo. """kujenga nyumba ni upetevu wa pesa kwa kweli...
  17. Kicheche mkali

    JamiiForums Tanzania Elimu kuhusu Ujenzi wa Minara ya Tank za maji

    🏗️ MNARA WA TANK LA MAJI — SEHEMU YA 1/6 🚨 UNATAKA KUJENGA MNARA WA TANK LA MAJI? USIANZE NA NGUZO! Watu wengi wanaanza kwa kuuliza: ❌ “Nguzo ziwe na ukubwa gani?” ❌ “Niweke nondo mm ngapi?” ❌ “Msingi uchimbwe kiasi gani?” Lakini swali la kwanza linapaswa kuwa: 👉 TANK LITAKUWA NA UWEZO...
  18. Kicheche mkali

    JamiiForums Tanzania Kuhusu Ujenzi wa MAKANISA NA MISIKITI

    ⛪🕌 UNATAKA KUJENGA KANISA AU MSIKITI? USIANZE NA CEMENT! Watu wengi wakipata kiwanja cha kujenga sehemu ya ibada, kitu cha kwanza wanachofikiria ni: “Tuanze kununua cement, mchanga na kokoto.” 😅 Lakini hapo ndipo tatizo linaweza kuanzia. Kabla hujanunua hata mfuko mmoja wa cement, jiulize...
  19. Kicheche mkali

    JamiiForums Tanzania Gharama za ujenzi zinatofautiana

    KWA NINI GHARAMA ZA UJENZI HAZIFANANI? Umeshawahi kujiuliza: Kwa nini nyumba ya 150 SQM inaweza kugharimu tofauti na jengo jingine lenye 150 SQM? Jibu ni hili: SQM PEKE YAKE HAIAMUI GHARAMA YA JENGO. Nyumba ya makazi inaweza kuwa na partitions nyingi, vyumba, vyoo na finishing mbalimbali...
  20. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Je haiwezekani katika bwawa la rufiji wakapandikizwa sato?

    Ili watanzania baada ya miaka miwili wafaidi kitoweo hiki adhimu sana na kinono?... Bila kufanya biashara ya kuwalisha na kupata gharama za ziada, yaani waishi katika misingi ya asili, je linawezekana? #Wajuzi mtujuze! -SATO -SANGARA
Back
Top Bottom