The Sheriff
JF-Expert Member
- Oct 10, 2019
- 617
- 1,800
Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango amesikitishwa na kitendo cha Mhandisi wa kilimo (agricultural engineer) kapewa usimamizi wa ujenzi wa hospitali ya wilaya ya Mwanga, mkoani Kilimanjaro.
Kisingizio alichopewa ni eti kumekosekana mhandisi hivyo wakaona ni bora Mhandisi wa Kilimo angalau alete kaujuzi kake pale kwenye mradi unaohitaji Mhandisi wa Ujenzi (Civil Engineer)
Mpango amesema tayari ameagiza Waziri wa Tamisemi kupeleka timu kwa ajili ya uchunguzi na kurekebisha ili hospitali hiyo iweze kukamilika na kuanza kazi, na kwamba kwa watakaobainika kuhusika wachukuliwe hatua.
Nchi ya vibweka!
Kisingizio alichopewa ni eti kumekosekana mhandisi hivyo wakaona ni bora Mhandisi wa Kilimo angalau alete kaujuzi kake pale kwenye mradi unaohitaji Mhandisi wa Ujenzi (Civil Engineer)
Mpango amesema tayari ameagiza Waziri wa Tamisemi kupeleka timu kwa ajili ya uchunguzi na kurekebisha ili hospitali hiyo iweze kukamilika na kuanza kazi, na kwamba kwa watakaobainika kuhusika wachukuliwe hatua.
Nchi ya vibweka!