Shamba linauzwa Ng'ong'ona _Dodoma,Karibu na UDOM,njia ya kuelekea mvumi_Muungano.
Lina ukubwa wa ekari 2.5, Maeneo hayo yameanza kupimwa na Kuna makampuni ya upimaji ,Pia linafaa Kwa kilimo kama , Zabibu, Ufuta,Alizeti,Mahindi,Mtama,Maharage,Mbaazi,nk .
Karibu uwekeze,namba ya muhusika...