kisa

The Kisa, also known as Abakisa or Abashisa, are one of the sixteen tribes of the Luhya nation of Kenya. They occupy Kisa location in Khwisero division of Butere-Mumias district. The Kisa are sandwiched between the Marama of Butere, the Idakho of Kakamega and the Nyore of Vihiga district. The people of Kisa speak Olushisa. A few basic words in the Kisa Language include :

Kuka = Grandfather
Kukhu = Grandmother
Papa = Father
Mama = Mother

View More On Wikipedia.org
  1. britanicca

    JamiiForums Tanzania Je yawezekana siku Moja akatokea Rais akaomba kukaa pembeni kisa suala la Afya?

    Nimewaza tu kwa sauti na kwa maono ya Kimadhabau, Je yawezekana Rais akatokea huko mbeleni (Sisemi wa sasa) akaomba kupimzika kwa maslahi ya Taifa? 1. Inaweza kuwa ni kweli anataka kupumzika kisa Afya 2. Yaweza kuwa Nia njema kwa kusoma michezo ya wanaotaka kumrithi kwa mtandao akaamua akae...
  2. Ushimen

    JamiiForums Tanzania Kisa: Nilivyo fukuzwa kwenye nyumba niliyo panga kwasababu ya nanii

    Kwanza nilikua bize sana ndiomaana sikuleta mrejesho wa tukio lililo nipata wiki iliyopita..... Kile chumba nilichokua nimepanga hakikua na dari juu, sasa wapangaji wenzangu (mke na mumewe) walikua wakifanya mambo yao nasikia, ila walikua wanawasha radio kwa sauti ya juu hata usiku wa maneno...
  3. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Kutana na Kijana Anaishi Kwenye Maji Muda Wote Kama Mamba, Kisa Kizima Hichi Hapa

    Katika kijiji cha Beldanga, kilichopo Wilaya ya Murshidabad nchini India, kuna kisa cha kusikitisha na kinachovuta hisia cha kijana mwenye umri wa miaka 16, Iqbal Sheikh. Kwa miaka mitano sasa, Iqbal anajikuta katika hali isiyo ya kawaida inayomfanya atumie siku kadhaa akikaa ndani ya mabwawa...
  4. E

    JamiiForums Tanzania Dk Nchimbi aingia kwenye historia ya vigogo waliotimuliwa CCM kisa kutofautiana na Rais, chama

    Siku mbili baada ya Dk Emmanuel Nchimbi kujiuzulu nafasi ya Makamu wa Rais, hatimaye CCM imemfukuza uanachama. Taarifa ya kufukuzwa kwa Dk Nchimbi ilitolewa saa 4:30 usiku wa Agosti 26, 2026 na Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk Asha-Rose Migioro katika ofisi ndogo za makao makuu Lumuumba Dar es...
  5. Ndagullachrles

    JamiiForums Tanzania Ni unyama, ndivyo unavyoweza kusema baada ya House Girl, mtoto wake kukatwakatwa kwa mapanga na House Boy kisa mapenzi

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linamsaka kijana mmoja aliyetajwa kwa jina la Emmanuel Elisante Mariki, mkazi wa kijiji cha Lyasongoro, kata ya Marangu, Wilaya ya Moshi kwa tuhuma za kujeruhi watu wawili . Tukio hilo limetokea usiku wa saa kumi na nusu alfajiri ya Agosti 24 katika kijiji...
  6. K

    JamiiForums Tanzania Wanaodhani Mh. Lisu hatahukumiwa kunyongwa, warejee kisa cha Babu Seya na kesi yake ya ubakaji

    Nadhani walio wengi mnakumbukumbu na aina ya kesi aliyohukumiwa nayo Babu Seya na familia yake Kesi ile haikuwa ya uhaini kama ya Tundu Lisu, lakini iliendeshwa kimezengwe mizengwe kama ya Tundu Lisu Ilivuta hisia za wengi kama hii ya Tundu Lisu, Ushahidi wa kesi ile uliohusisha watoto wadogo...
  7. Alexido jz instagram

    JamiiForums Tanzania Amuua mwenzake kisa elf 1000 ya kamali

    Kijana aloefahamika Kwa jina la Dickson ameuwawa Kwa kuchomwa kisu cha shingo na rafiki yake Kareem. Tukio hili limetokea dar, kiwalani. vijana hao walikua wakicheza kamali, ndipo Dickson aliliwa buku na kugoma kuitoa, Kareem alichukia na kutoa kisu Kisha kumshambulia shingoni mara mbili na...
  8. A

    JamiiForums Tanzania Je wewe ni mhitimu wa digrii au diproma ya kodi ambae umechoka kukaa mtaani bila kazi kisa huna uzoefu wa taaluma yako?

    Ewe mhitimu wa kodi hii ni nafasi njema kwako' (i). Unapenda kupata uzoefu ili uanze kutengeneza pesa kwa kutatua matatizo ya wafanya biashara na makampuni mbalimbali. (ii). Unahitaji kupata uzoefu kwenye taaluma yako ili uaminiwe na waajiri pindi unapoitwa kwenye interview. (iii). Tumia career...
  9. Nyendo

    JamiiForums Tanzania Asusiwa chakula msibani kisa huwa hali kwenye misiba ya wengine

    Tulikuwa kwenye msiba mmoja huku Buhigwe Kigoma, tulikuja kumsindikiza jamaa yetu aliyefiwa na dada yake, kufika msibani watu walikuwa wengi tu kama kawaida ya msiba huku watu wakiendelea kumsadia mfiwa shughuli za pale kama kuandaa chakula. Cha kushangaza baada ya kumaliza kupka kila mtu...
  10. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Kisa cha Dr. Nyambane na mauaji ya mkewe huko Kenya

    Taasisi ya ndoa na mahusiano kwa ujumla ni taasis yenye changamoto nyingi san . wewe Ikiwa uko kwenye ndoa na mambo yanaenda vizuri , basi hiyo ni baraka kubwa sana na umshukuru sana baba muumba aliye juu Mbinguni. Kisa hiki nachokupa kimetokea huko Kenya kwa majirani kwenye Kaunti ya...
  11. C-C Digital Pro

    JamiiForums Tanzania Mipango ya siri ya Walokole na WAKRISTO kumuua Civilian-Coin kisa hamwamini Yesu Kama Mungu wao imevuja.

    Taarifa ambazo zimetufikia mchana huu ni kuwa makundi makundi ya Walokole yamesukwa kufanya mauaji kwa Siri au hadharani ya kumuua Bw. Civilian-Coin Nalimi Kisandu almaarufu CIVILIAN-COIN taarifa nyeti tumezipata. Aidha wamejipanga kuua au kumbambika kesi yoyote ile Bw. Civilian-Coin. Hata...
  12. A

    JamiiForums Tanzania KERO Watumishi wa Bunda DC hatujapokea Posho za Masaa ya ziada mwezi Julai, inadaiwa zimegharamia mbio za Mwenge

    Habari, nawasilisha malalamiko haya kwa niaba ya watumishi wa Bunda DC. Kwa kawaida, watumishi tumekuwa tukipokea posho za masaa ya ziada kila mwezi, fedha ambazo hutolewa na Hazina kwa ajili ya kuwalipa watumishi wanaostahili. Hata hivyo, katika hali isiyo ya kawaida, hadi sasa hatujapokea...
  13. bless on

    JamiiForums Tanzania Kisa cha Mary J. Blige: Usaliti na Mtego wa Fedha

    Katika umri wa miaka 47, akiwa anatakiwa kupumzika na kufurahia matunda ya jasho lake la zaidi ya miaka 20 kwenye muziki, Malkia wa Hip-Hop Soul, Mary J. Blige, alipanda jukwaani usiku na mchana kufanya ziara (tours) za kimataifa bila kupumzika. Lakini safari hii, hakuwa anafanya shoo hizo kwa...
  14. de Gunner

    JamiiForums Tanzania Mtu kureport ametukanwa kisa kazidiwa hoja ni utoto

    Kuna watu humu wanaroho nyepesi sana. Yaani hawana emotional maturity kabisa Yaani nimeanzisha uzi unakuja na maneno machafu, then na kujibu kiustaarabu alafu una report kwa modz eti umetukanwa? Aisee mnachekesha sana. Anyways.. Najua mimi ni platinum maana hakuna kiumbe mwingine hapa wa...
  15. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Kisa cha Zimbabwe kuchapisha kiasi kikubwa cha fedha, lakini bado ikakabiliwa na upungufu wa cash mtaani

    Tujikumbushe kuhusu kisa hiki cha Zimbabwe Thamani ya fedha iliporomoka kiasi kwamba manunuzi ya kawaida yalihitaji kiasi kikubwa sana cha noti, hali iliyozalisha picha maarufu za watu kubeba mafungu makubwa ya fedha kwa ajili ya bidhaa za msingi. Cha kushangaza zaidi ni kwamba, pamoja na...
  16. bless on

    JamiiForums Tanzania Kisa cha Dola 10 Zilizotupwa Mtoni jasho la mtu haliliwi

    Salamu sio lazima twende moja kwa moja kwenye kisa Cha kweli chenye hekima kubwa👇 Zamani kidogo, kulikuwa na mzee mmoja tajiri na mchapa kazi aliyekuwa anamiliki mali na biashara nyingi. Alikuwa na mtoto mmoja wa kiume aliyekuwa mvivu sana, asiyetaka kufanya kazi yoyote na aliyekuwa anasubiri tu...
  17. M

    JamiiForums Tanzania Aliingilia Msafara wa Mwenge na hicho ndicho Polisi waliamua kumfanyia. Je, ni haki?

    Jamaa aliingilia msafara wa Mwenge huko Bariadi, Simiyu, Kijiji cha Nkololo. Hivi ndugu zetu baadhi ya askari na mgambo, mbona mna roho ngumu hivi? Haya maisha hamuwazi kwamba nafasi zenu zitaisha? Kama alingilia msafara wa Mwenge, si kuna sheria zinazoweza kufuatwa? Huenda bwana huyu alikuwa...
  18. LIKUD

    JamiiForums Tanzania Kisa cha jamaa anaetembea na mke wa fundi kinyozi

    Jamaa mmoja aliingia saluni akakuta Pana watu kama watano na kinyozi wa sita. Akauliza kama kuna foleni kubwa akajibiwa kwamba wanao nyoa ni watatu tu yaani aliyekuwa ananyoa kwa muda ule na wengine wawili waliokuwa wameketi kwenye sofa, hawa wawili wengine walikuwa washkaji zake kinyozi...
  19. Huihui2

    JamiiForums Tanzania KKKT Loliondo wasalia nje kisa hawamtaki Mchungaji aliyeletwa na Askofu

    Mgogoro unaendelea katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Loliondo, Jimbo la Maasai Kaskazini, umeingia katika hatua mpya baada ya waumini kuendelea kufanya ibada nje ya jengo la kanisa kwa zaidi ya wiki nane, wakipinga kuondolewa kwa mchungaji wao, Hery Johannes...
  20. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Kisa cha Irene Gakwa na Nathan Hightman. Unsolved murder mystery.

    Nimekutayarishia tafsiri ya Kiswahili sanifu, rahisi kueleweka na yenye mtiririko mzuri: Writing Irene Gakwa alikuwa na umri wa miaka 32. Alizaliwa na kukulia karibu na jiji la Nairobi, Kenya, katika familia iliyokuwa na upendo na mshikamano mkubwa. Alikuwa mtoto wa mwisho kati ya watoto...
Back
Top Bottom