Bei ya mafuta duniani imepungua kwa kiasi kikubwa kufuatia tangazo la Rais wa Marekani, Donald Trump, kuhusu makubaliano ya kusitisha mapigano kwa muda wa wiki mbili.
Mapema Jumanne, pipa moja la mafuta katika soko la kimataifa lilikuwa likiuzwa kwa dola 103.42, huku mafuta ya Marekani...
Akizungumza na Vyombo vy habari leo Aprili 6, 2026 Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokraisa na Maendeleo (CHADEMA), John Heche amesema kuna ma- caretel (Kundi la wafanyabiashara) ambao wanajimilikisha uchumi wa Tanzania, akidai kuna taarifa wanazofuatilia kuwepo kwa kampuni moja yenye ukaribu...
Habari wandugu,
Hawa jamaa sijui upeo wao upoje,badala ya kukaa na kutafuta solution wanasema serikali imeongeza bei kidogo kuliko wengine ,nilitegemea watajadili inflation inayokuja au endapo mafuta yamekosekana kabisa watafanya nini,ni muda mchache tu utafika wimbo wa ukosefu wa mafuta utaanza...
Kwa takribani siku ya tatu leo Daladala kwa route ya Tegeta - Posta/ Kariakoo, Bunju - Morocco daladala zimezidi kua chache kulinganisha na siku za huko nyuma
Abiria wamekua ni wengi kwenye vitu vya abiria njia ya Bunju - Posta/ Kariakoo.
Mbali na hivo usafiri wa Bajaj pia umekua na ongezeko la...
Naomba kujua sio kwa ubaya pia kwanini Tanzania bara na Zanzibar bei ya mafuta zinapishana sana?
Bei ya Tanzania 4000 lakini Zanzibar ni 2900.
Sisi ni nchi moja ila kwann tunatofaut kubwa sana hapa.
Kwanini mamlaka zetu wajifunze kwa wenzetu?
Mbunge wa Jimbo la Kalenga, Jackson Gidel Kiswaga akizungumza leo Aprili 2, 2026 kwenye Bunge la 13 Mkutano wa 3 kikao cha 3 Dodoma, ameeleza kuwa kulingana na hali ya kukosekana kwa mafuta duniana kufuatia mgoggoro unaondelea mashariki ya kati inabidi watanzania wakubali bei ya mafuta...
Mafuta yakipanda automatically gharama za maisha zitapanda kila kitu kitapanda bei.
Serikali zenye akili zina futa kodi na ushuru kwenye mafuta ili kuzuia bei ya mafuta kupanda na kudhibiti mfumuko wa bei kuzuia kupanda kwa gharama zote za maisha ,na hiyo ndiyo maana ya serikali kwa ajili ya...
Moja kwa moja.
Watu wengi wanadhani vita ikiisha basi maisha yatarudi kawaida na bei za mafuta katika soko la Dunia zitashuka na kurudi katika hali ya kawaida.
Msichokijua kwamba atahari ya hii vita zinaweza kuchukua muda mrefu kwani baadhi ya mashambulizi yameharib kabisa miundombinu ya...
Waati Serikali ya Tanzania ikitaja vita vinavyoendelea kati ya Marekani na Israel dhidi ya Iran kuwa ndiyo chanzo cha ongezeko la bei za mafuta kuanzia Aprili 1, 2026, utata umegubika suala hilo kutokana na kauli za viongozi wa Serikali waliowahakikishia Watanzania kuwa kuna mafuta ya kutosha...
Habari wanabodi.... Kauli ya Rais ni Sheria....
Watanzania wote tuna imani na tunaamini kwamba Rais akitoa kauli juu ya jambo fulani bhasi hakuna mtu wa kupinga, kinachofuata hua ni utekelezaji na utendaji juu ya kauli hiyo.
Sasa bhasi kwa pamoja tumuombe Rais Samia aseme neno Juu ya...
Kama nchi ilikua na akiba ya kutosha ya mafuta inakua vip bei inapandishwa ghafla ina maana stock iliyokuepo imeisha ? au wameamua kupandisha bei ya mafuta kwa kutazama soko la Dunia wakati nchini tuna reserve ya kutosha kwa bei ya zamani!!
Ikiwa nchi ilikua na akiba ya kutosha tulitegemea bei...
Kulingana na hali ya Mvutano unaoendelea Masharaiki ya Kati Mataifa mengi kwa sasa yanapitia hali ngumu kwenye issue ya mafuta hasa baada ya Iran kufunga Mlango mkuu wa bahari ya Hormuz unaotumika kwenye usafirishaji wa Mafuta.
Baadhi ya nchi za Afrika zimeamua kutumia mkakati wa kupunguza...
Leo nimepita nimekuta wese linasima 3820, nikashangaa sana nikaamua tu nijaze full tank, kwasababu najua baada ya muda huenda yatafika 5700, kama hali itaendelea kua mbaya baada ya muda tutakutana na 6500 kisha hii bei ya leo itaanza kuonekana ilikua mteremko sana.
chakuomba ni kwamba watu...
Nigeria inakabiliwa na ongezeko kubwa la bei ya mafuta, licha ya kuanza kazi kwa kiwanda cha kusafisha mafuta cha Dangote, ambacho ni kikubwa zaidi barani Afrika.
Bei zimepanda kwa takribani asilimia 65%, huku sehemu kubwa ya mafuta yake yenyewe imefungwa katika makubaliano ya kulipa madeni kwa...
Rais mwendawazimu wa US anasema kupanda kwa bei ya mafuta duniani ni faida kubwa kwa US kwa sababu wao ni wazalishaji wakubwa zaidi duniani.
==============
IRAN WILL BE STOPPED!
The United States is the largest Oil Producer in the World, by far, so when oil prices go up, we make a lot of money...
Watumiaji wa bidhaa za mafuta Tanzania wataendelea kuugulia maumivu ya ongezeko la bei baada ya Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) kutangaza bei kikomo zitakazotumika Machi mwaka huu.
Katika bei hizo, watumiaji wa mafuta ya dizeli wameshuhudia ongezeko la bei zaidi ikilinganishwa na...
Najua ndani ya week hii EWURA hamtaniangusha
Irani Kuna vita, Iran imeshbuliwa na Israel na USA, uchumi wa Dunia unayumba
EWURA mna sababu za msingi za kupandisha bei ya petroleum na diesel fuel ⛽
Nitafurahi mno
Safari hii yawezekana kabisa kuwa Trump kayakanyaga.
Hii vita inaanza kuonekana kwenda vile labda ambavyo hawakutarajia.
Tayari wanajeshi wa Marekani washakufa na huenda wakaendelea kufa.
Marekani ishapoteza ndege kadhaa. Wao Marekani wanadai zimetunguliwa na Kuwait kwa bahati mbaya lakini...
Bei ya mafuta duniani ilishuka baada ya taarifa kwamba Marekani imefikia makubaliano na Venezuela ili kupokea hadi dola bilioni 2 za mafuta yaliyokuwa yakipelekwa China, hatua iliyosababisha mkanganyiko wa kisiasa na uchumi kwenye soko la nishati.
Rais Donald Trump alitangaza kwamba Marekani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.