vizuri

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mad Max

    Mcheza kwao Hutunzwa? G. Russell, L. Hamilton na L. Norris Wamefanya vizuri sana kwenye F1 British GP Leo!

    Kama kawaida Leo tena British GP imetawaliwa sana na Waingereza. P1 ingawa imechukuliwa na mtoto wa Monaco ila Waingereza wamefanya vizuri sana. Ingawa bado game mwanzo, tushashuhudia 8 GP bado 14 tu tukamilishe mwaka. Matokeo bado yanamfeva Kimi wa Mercedes. Dogo ataweza kuhold moto?
  2. Think2

    Ukiwa mgeni sehemu yeyote fuata taratibu ili uishi vizuri na wenyeji wako

    Mahali popote mbali na nyumba kutoa mkoa wako wanataratibu zao za kuishi kijamii watu wengi wanashindwa kuishi sehemu nyingine kwasababu wameshindwa kufuata taratibu za mahali huko Iko hivi mfano Mara rorya huku hutaki kula chakula wakazi wakikuangalia hii imewashinda watumishi wengi...
  3. Robert Heriel Mtibeli

    Kama shule inafundisha vizuri, kwanini wakati wa kusajili inachukua wanafunzi waliopata A na B badala ya D na F?

    Hamjambo! Nimekuta mjadala sehemu. Shule inajivunia mazingira mazuri, waalimu mahiri, na zana bora za ujifunzaji na kufundishia. Huku ikijigamba inauwezo wa kufaulisha. Swali linakuja, kama kweli shule inasifa hizo. Kwa nini Kigezo kikuu cha mwanafunzi anayejiunga shule hizo sharti afaulu...
  4. Roving Journalist

    IGUWASA yatoa ufafanuzi kuhusu hoja ya Mdau aliyehoji utendaji wa Mamlaka hiyo

    TAREHE: 9 JUNI 2026 TAARIFA KWA UMMA: KANUSHO LA TAARIFA ZA UPOTOSHAJI ZINAZOSAMBAZWA KWENYE MITANDAO YA KIJAMII Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Igunga (IGUWASA) imebaini kuwepo kwa taarifa mbalimbali zinazosambazwa kupitia mitandao ya kijamii zenye lengo la kupotosha umma kuhusu...
  5. figganigga

    Dar: Muliro awapongeza Askari Polisi waliofanya Vizuri 29 Oktoba 2025

    Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Muliro Jumanne Muliro amewapongeza Wakaguzi na Askari wa vyeo mbalimbali 32 waliofanya vizuri zaidi katika utendaji kazi za Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam. ===== KAMANDA MULIRO AWAPONGEZA ASKARI...
  6. Q

    Watoto wanacheza vizuri, mkiingiza siasa mtaharibu

    Tatizo letu Watanzania ni kuingiza siasa kwenye profession kila idara mnaingiza suasa jeshini, vyuoni nk, hata leo mmepeleka wanasiasa wanini. Waacheni watoto wacheze mpira, hatutaki kusikia mambo ya mama wala nini.
  7. Sakwe

    Kesho mambo yakienda vizuri nitafukuzwa kazi chanzo ni marafiki

    Habari za usiku wakuu wa kazi, Poleni na msiba wa mama JPM hakika hakuna aliyeumbiwa kukaa milele kwenye hii dunia. Wakuu Twenzetu kwenye mada tajwa hapo juu nimekuwa kwenye kibarua kwa takribani miaka mitatu sasa . Mshahara ni mdogo japo unasaidia kujikimu ila katika hali isiyo ya kawaida...
  8. Burn the bridge _Tz

    Kula vizuri ndio kilevi changu, kwa hili nashukuru sana Mungu

    Situmii pombe, Situmii sigara. Situmii kitimoto Sio mtu wa wanawake Kilevi changu ni kula vizuri sana, mfano Leo weekend Nimepika nyaama ya mbuzi kilo Moja na ndizi za kukaanga nakupa taratibu. Hakika Sina kilevi zaidi ya kula vizuri
  9. pandex bawasiri

    Ifahamu kwa undani Bawasiri na namna ya kujiepusha nayo

    BAWASIRI NI NINI? Bawasiri ni ugonjwa unaotokana na kuvimba au kupasuka kwa mishipa ya damu sehemu ya haja kubwa na kupelekea kuota kwa kinyama au uvimbe ambao ndio huitwa bawasiri. Sababu kubwa ya mtu kupata bawasiri ni mgandamizo sehemu ya haja kubwa, ambapo mgandamizo huo hupelekea kupasuka...
  10. ufalmedigital

    Uko nyumbani ghafla Mtu anaanguka, hapumui vizuri au anavuja damu, utafanya nini?

    Watu wengi hudhani huduma ya kwanza ni kazi ya madaktari pekee. Lakini ukweli ni kwamba dakika za kwanza kabla ya hospitali kufika zinaweza kuamua maisha ya mtu. Fikiria hali hizi: 🔥 Mtoto ameungua maji moto 😮‍💨 Mtu amekabwa na chakula 🩸 Ajali imesababisha kutokwa damu ⚡ Mtu amepigwa na umeme 🧠...
  11. Mhaya

    Joshua Baraka anaweza kuja kuwa Tishio East Africa endapo atajipanga vizuri

    Hapa Afrika Mashariki watu wengi uangalia skendo na vitu visivyokuwa na umuhimu hili kumuweka mtu pale kileleni. Diamond Platinumz ni msanii mkubwa tu Afrika Mashariki, lakini soko la dunia la muziki limekuwa likimsumbua sana na ujikuta akitumia nguvu sana kufanya collaboration na A-list wa...
  12. Hornet

    Wapenda Kunukia .. nipen nafasi niwasanue vitu vizuri

    Najua huku kuna watu wengi, wanapenda kunukia vizuri.. Sasa hapa tutofautishe brand names na manukato mazuri ya bei ya kiTanzania.. Kama unataka brand kubwa kubwa wewe inbox unapata mzigo wako saafi kamili.. Lakini wale ndugu zangu mnaopenda uturi kama mimi Njpe jina nikupe bei.. nauza Namba...
  13. K

    Ni vizuri Mama Samia anapoteza nguvu ndani ya CCM

    Pamoja na wote wanasiasa wanajaribu kufuata trend ya wananchi. Kwasasa tred ipo kwenye kudai haki, kupinga sheria mbovu, kupinga utekaji, undugu, u bara na u zanzibari, kupinga rushwa na kutaka haki kwa kila mtu bila kujali chama. Sasa kwa misingi hiyo hata ndani ya CCM kuna wengi hawapendi...
  14. fimboyaukwaju

    Mwanaume, jitahidi kunyandua vizuri

    Moja ya sifa kubwa ya mwanaume ni kunyandua vizuri. Hivyo wanaume wenzangu jitahidini kujifunza kunyandua vizuri,upatapo mwanamke.Kwenye kunyandua usiwe na huruma, tumia nguvu,staili na ufundi
  15. M

    Kwa hiyo Chama akipewa uraia ndio Taifa Stars itafanya vizuri? Hii CCM imekosa maono. Hawafikirii kuboresha maisha ya Walimu wanafikiria porojo

    Walimu wengi wanaishi maisha magumu sana. Nyumba za shida na mazingira ya kufundishia ya shida na tabu tupu. Inakuwaje chama kupewa uraia imekuwa kipaumbele kuliko maendeleo ya walimu?
  16. W

    Baba Levo: Viongozi wa CCM tukubali pale ambapo hatujafanya vizuri, baadhi ya sehemu hatujafanya vizuri

    Mbunge wa Kigoma mjini akifanya mahojiano na Chief Odemba amesema “Bado kuna baadhi ya Sehemu hatujafanya Vizuri, Viongozi na wanachama wa CCM tukubali pale ambapo hatujafanya Vizuri ili tutibu huo ugonjwa, Lakini kukataa tu kwamba tumeshatisha sana, tumetisha kwenye nini?”
  17. Tronics guru

    INAUZWA Uzi wa vitu vizuri; vacuum bottles,lunch box ,jugs nk vipo hapa

    Travel 1pcs Reja Reja 60,000
  18. Marry Diana

    Nadhani si vizuri na haipendezi

    Shikamoon wakubwa Wadogo zangu hamjambo! Jamani si kila mtu ana njaa,au ana shida,si kila mwanamke anajiuza,kuuza mwili ni Aina na hulka ya mtu tu Marry Mimi siwezi ,napenda kuwa na mwanaume mmoja na kutulia naye, bahati mbaya hawapo pia unaishia kuumizwa na kuchukia mahusiano. Tuachane na...
  19. Chizi Maarifa

    Madhara ya wanawake kutotunza jagina zao vizuri na athari yake

    Zamani ilikuwa ngumu sana kusikia habari za sisi wanaume kuitwa viba100. Kwa nini? Sababu wanawake wengi walitunza Jagina zao. Kwa sasa unakuta mwanamke humo ndani anaingiza tango, anaingiza mhogo n.k Bado hajaweka vipipi utamu, hajaweka magadi n.k hapo Jagina itakuwa the same kweli? Unakuta...
  20. PAGAN

    Kabla sijapona vizuri, hapa hospitali wananiambia nirudi nyumbani. Hii kweli haki wajameni?

Back
Top Bottom