Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Muliro Jumanne Muliro amewapongeza Wakaguzi na Askari wa vyeo mbalimbali 32 waliofanya vizuri zaidi katika utendaji kazi za Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam.
=====
KAMANDA MULIRO AWAPONGEZA ASKARI...
Tatizo letu Watanzania ni kuingiza siasa kwenye profession kila idara mnaingiza suasa jeshini, vyuoni nk, hata leo mmepeleka wanasiasa wanini.
Waacheni watoto wacheze mpira, hatutaki kusikia mambo ya mama wala nini.
Habari za usiku wakuu wa kazi,
Poleni na msiba wa mama JPM hakika hakuna aliyeumbiwa kukaa milele kwenye hii dunia.
Wakuu Twenzetu kwenye mada tajwa hapo juu nimekuwa kwenye kibarua kwa takribani miaka mitatu sasa .
Mshahara ni mdogo japo unasaidia kujikimu ila katika hali isiyo ya kawaida...
Situmii pombe,
Situmii sigara.
Situmii kitimoto
Sio mtu wa wanawake
Kilevi changu ni kula vizuri sana, mfano Leo weekend
Nimepika nyaama ya mbuzi kilo Moja na ndizi za kukaanga nakupa taratibu.
Hakika Sina kilevi zaidi ya kula vizuri
BAWASIRI NI NINI?
Bawasiri ni ugonjwa unaotokana na kuvimba au kupasuka kwa mishipa ya damu sehemu ya haja kubwa na kupelekea kuota kwa kinyama au uvimbe ambao ndio huitwa bawasiri.
Sababu kubwa ya mtu kupata bawasiri ni mgandamizo sehemu ya haja kubwa, ambapo mgandamizo huo hupelekea kupasuka...
Watu wengi hudhani huduma ya kwanza ni kazi ya madaktari pekee. Lakini ukweli ni kwamba dakika za kwanza kabla ya hospitali kufika zinaweza kuamua maisha ya mtu.
Fikiria hali hizi:
🔥 Mtoto ameungua maji moto
😮💨 Mtu amekabwa na chakula
🩸 Ajali imesababisha kutokwa damu
⚡ Mtu amepigwa na umeme
🧠...
Hapa Afrika Mashariki watu wengi uangalia skendo na vitu visivyokuwa na umuhimu hili kumuweka mtu pale kileleni.
Diamond Platinumz ni msanii mkubwa tu Afrika Mashariki, lakini soko la dunia la muziki limekuwa likimsumbua sana na ujikuta akitumia nguvu sana kufanya collaboration na A-list wa...
Najua huku kuna watu wengi, wanapenda kunukia vizuri..
Sasa hapa tutofautishe brand names na manukato mazuri ya bei ya kiTanzania..
Kama unataka brand kubwa kubwa wewe inbox unapata mzigo wako saafi kamili..
Lakini wale ndugu zangu mnaopenda uturi kama mimi
Njpe jina nikupe bei.. nauza Namba...
Pamoja na wote wanasiasa wanajaribu kufuata trend ya wananchi. Kwasasa tred ipo kwenye kudai haki, kupinga sheria mbovu, kupinga utekaji, undugu, u bara na u zanzibari, kupinga rushwa na kutaka haki kwa kila mtu bila kujali chama. Sasa kwa misingi hiyo hata ndani ya CCM kuna wengi hawapendi...
Moja ya sifa kubwa ya mwanaume ni kunyandua vizuri.
Hivyo wanaume wenzangu jitahidini kujifunza kunyandua vizuri,upatapo mwanamke.Kwenye kunyandua usiwe na huruma, tumia nguvu,staili na ufundi
Walimu wengi wanaishi maisha magumu sana.
Nyumba za shida na mazingira ya kufundishia ya shida na tabu tupu.
Inakuwaje chama kupewa uraia imekuwa kipaumbele kuliko maendeleo ya walimu?
Mbunge wa Kigoma mjini akifanya mahojiano na Chief Odemba amesema “Bado kuna baadhi ya Sehemu hatujafanya Vizuri, Viongozi na wanachama wa CCM tukubali pale ambapo hatujafanya Vizuri ili tutibu huo ugonjwa, Lakini kukataa tu kwamba tumeshatisha sana, tumetisha kwenye nini?”
Shikamoon wakubwa
Wadogo zangu hamjambo!
Jamani si kila mtu ana njaa,au ana shida,si kila mwanamke anajiuza,kuuza mwili ni Aina na hulka ya mtu tu Marry Mimi siwezi ,napenda kuwa na mwanaume mmoja na kutulia naye, bahati mbaya hawapo pia unaishia kuumizwa na kuchukia mahusiano.
Tuachane na...
Zamani ilikuwa ngumu sana kusikia habari za sisi wanaume kuitwa viba100. Kwa nini? Sababu wanawake wengi walitunza Jagina zao. Kwa sasa unakuta mwanamke humo ndani anaingiza tango, anaingiza mhogo n.k
Bado hajaweka vipipi utamu, hajaweka magadi n.k hapo Jagina itakuwa the same kweli? Unakuta...
Kuna huyu kijana anaitwa Gasper Comic kwa kweli yuko vizuri sana lakini ni kama jamii haimuoni hivi
Most of the times anazungumzia masuala Tanzania kwa kutumia jina la Malawi
Mwamba yuko vizuri sana lakini jamii bado haijamzingatia
KESHO SAA 10 JIONI HAKIKISHA UNAFIKA KWENYE SHEREHE / KIKAO CHA xxxxxx. USIKOSE !
Ni message ambayo huwa inapokelewa vizuri sana na watu wa kawaida wakiwaza kukutana na watu wengi pamoja na vyakula lakini kwa Introvert huwa wanachukia sana 😂😂
Wadau leo niko very stressed.
Nimeamua nianze kula konyagi mapema tu maana kazi siipendi tena.
Naenda kazini nikiwa sina raha. Mkuu wa shule anafuatilia maisha yangu.
Kijibiashara cha kuuza kangala hakilipi zaidi ya kupata hela ya kula.
Rafiki zangu wengi wana maisha mazuri na wametoboa...
Mimi ni kijana ninayeomba ajira zilitolewa TAKUKURU lakini kuna sharti la Cheti cha Darasa la Saba, ukweli mtupu kuwa tuliohitimu Mwaka 2015 Darasa la Saba hatukupata vyeti hadi sasa havipo.
Hii inatia ugumu kupata nafasi kwa kigezo hiki kwani miaka mingine wana vyeti, hii itatukosesha nafasi...
Anonymous (c258)
Thread
ajira
cheti
darasa
darasa la 7
kigezo
takukuru
vizuri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.