maajabu

  1. The unpaid Seller

    JamiiForums Tanzania Video: kuna maajabu huwezi kuamini ukisimuliwa, mpaka uone mwenyewe !!

    salaam, Hakuna haja ya kusimulia, tazama mwenyewe .... https://vt.tiktok.com/ZSQ39G9yF/ kwa wanaoweza kuingia ticktok bfya link https://vt.tiktok.com/ZSQ39G9yF/
  2. Nyani Ngabu

    JamiiForums Tanzania Maajabu ya ‘maridhiano’ yanayotajwa tajwa na ‘serikali’!

    Siulizi kwa kejeli wala kebehi. Nauliza kimaanani kabisa. Watu walioshinda uchaguzi kwa 98%…. Watu waliopigiwa kura milioni 31+…. Watu ambao serikali yao inawakamata na kuwaweka ‘wahaini’ jela na magerezani…. Watu ambao wanaamini kabisa kuwa watu wote waliouliwa Oktoba 29 waliuliwa kihalali...
  3. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Maajabu ya Tanzania.

    Nimeikuta hii huko Youtube. https://youtu.be/TdpZMM5cbo4?si=BQFl2tp0WEveObmJ
  4. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Bunge la Ulaya (EU) lapinga Msaada wa Euro Milioni 156 (Tsh. Bilioni 440+) kwa Tanzania. Wataja Haki za Binadamu na Uchaguzi wa 2025

    Wakuu, Kuna mvutano mzito unaoendelea huko Ulaya kati ya Bunge la Umoja wa Ulaya (European Parliament) na Kamisheni ya Umoja wa Ulaya (European Commission) kuhusu mpango wa kuipatia Tanzania msaada wa kimaendeleo wa kiasi cha Euro Milioni 156 (zaidi ya Tsh. Bilioni 440). Kwa mujibu wa taarifa...
  5. BabaMorgan

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna watu wameshindikana maajabu hayawezi kuisha

    Kuna Gen Z nilikuwa nae kwa mwaka jana sasa mwaka huu mwanzoni Kuna wahuni wakaweka mguu Kati mi naona katoto kanazidi kupendeza afu dharau zinazidi kishingo upande nikakubali yaishe. Sasa sijui ni mkosi ama udomo zege kila binti nayejaribu kuapproach nakula za uso sasa ikabidi nirudi rasmi...
  6. Echolima1

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Maajabu ya Umoja wa Mataifa kuhusu Israel

    ⚠️Picha za picha kali sana⚠️ GRAPHIC-VIDEO Umoja wa Mataifa umeongeza vyombo vya Israeli kwenye orodha yake nyeusi ya unyanyasaji wa kijinsia unaohusiana na migogoro kwa mara ya kwanza, ukitaja Huduma ya Magereza ya Israeli katika ripoti ya 2026 na kuweka mamlaka zingine za Israeli chini ya...
  7. Yoda

    JamiiForums Tanzania Thamani na nidhamu ya muda Japan ni maajabu kwingine duniani

    Anaandika BSAT Properties katika ukurasa wake wa X Nilikuwa kwenye treni huko Tokyo. Tulisimama katikati ya vituo. Tangazo kwa Kijapani, kisha kwa Kiingereza: “Tunaomba radhi kwa kuchelewa. Tutaendelea safari muda mfupi.” Kuchelewa kulikuwa kama dakika tatu hivi. Hakukuwa jambo kubwa. Treni...
  8. Kubwjing

    JamiiForums Tanzania Kifahamu kitabu cha ajabu zaidi Duniani "Voynich Manuscript" na maajabu yake

    Hiki kitabu nilianza kusikia habari zake kupitia kwa Babu yangu kipenzi Mzee Moustapha Ameer, alikuwa mwandishi pia aliniambia kuna vitabu vingine si vya kusoma kwasababu hata wao kamwe hawakuwahi kuvielewa ila alinielewesha kuhusu kitabu cha One Thousands and One Night (Alf Laylah-wa Laylah) Mi...
  9. Alloyce PR

    JamiiForums Tanzania Bara la Afrika na maajabu yake

    MAAJABU YA BARA LA AFRIKA. "Tajiri yuko tayari kutoa mamilioni kufadhili sherehe yako ya kijinga, lakini ukimwomba TZS 500,000 ya mtaji, anapata 'stroke' ya ghafla. Ni hapa pekee ambapo unaweza kuwa 'Most Wanted' (unatafutwa sana), si kwa sababu wewe ni jambazi, bali kwa sababu CV zako zimejaa...
  10. Frank Wanjiru

    JamiiForums Tanzania TANZIA Askofu Sarah Wega afariki kwa ajali ya bodaboda

    Askofu wa Kanisa la The House of Prayer International Ministry, Kanda ya Songwe na muimbaji wa nyimbo za injili, Sarah Wega, amefariki dunia baada ya Pikipiki (bodaboda) aliyokuwa akisafiria kupata ajali ya kugongwa na lori iliyotokea Machi 16, 2026 katika eneo la Chapwa, Wilaya ya Momba mkoani...
  11. Wakusolve

    JamiiForums Tanzania Siri ya watu wenye high frequency(aura) na maajabu yake katika maisha

    High frequency(aura) ni energy au uwezo ambao mtu anakuwa nao kutoka kwa Mungu( God) au presence of God within. Kwa nini watu hawa wana high frequency ni sababu ya pure heart(upendo) sehemu yoyote yenye upendo uwa ina high frequency au aura, Mungu ili uwepo ndani yako lazima moyo wako uwe na...
  12. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Maajabu mwenyekiti achaguliwe na chama alafu msajiri aje amtengue kwani mwenyekiti wa chama cha siasa aliteuliwa na msajiri?

    Maajabu mwenyekiti achaguliwe na chama alafu msajiri aje amtengue kwani mwenyekiti wa chama cha siasa aliteuliwa na msajiri? Kwani msajiri ndio alimpa kazi mwenyekiti wa chama cha siasa haya mambo yalianza kama utani baada ya kuanza kuchezea chadema na ACT kwa kutumia ofisi ya msajiri sahivi...
  13. Kifurukutu

    JamiiForums Tanzania KERO Maajabu! Goba Mageti hadi mtaa wa Muhimbili, Dar es Salaam eneo hili halina mtandao

    Igweeeeeee Hii nchi ukiifikiria kiundani utaishia kulaani wazazi wako kukuzaa bongo Nimepata kwenda kumtembelea rafiki yangu ana site yake huko goba, mji umepangika vizuri na watu wanaishi maisha standard ikiwa na ujenzi wa kisasa kabisa Ajabu ya eneo hili goba mageti hususani upande huu wa...
  14. R

    JamiiForums Tanzania Maajabu, tume ile inakutana na wateule wanufaika wa utawala wà aliyeiunda

    Leo ni katelephone. Sasa huyu ana ukweli gani atakaousema wakati ni mnufaika wa utawala aliyeiteua Tume na ni mshukiwa wa matendo àliyoyaundia tume!
  15. AXIOM APEX VERBOSE

    JamiiForums Tanzania NILIPOKUA Mkoa X nikapatiwa Dawa ya Maajabu kwa ajili ya Matibabu ya Haraka, Nikapona

    Nilipokua Mkoa X Mwaka Z, ghafla tu nikaanza kuumwa ugonjwa fulani siuelewi ulipotokea mpaka nikaanza kuhisi labda nishapigwa kipapai au namna gani vile maana ule Mkoa unasifika kwa hayo masuala ya kuroganarogana tu, usiku hakulaliki mchana hakukaliki na haakutembeleki baridi sio baridi joto sio...
  16. S

    JamiiForums Tanzania Haya ni maajabu!! Rais anashinda ndani kama utumbo?!!

    Amejawa na hofu, na anamuona kila mtu ni adui kwake. Ametenda uovu mzito kiasi kwamba siyo tu anawaogopa watu, bali mpk leso yake inamtisha. Ni rahisi kumfitinisha hata na watoto wake. Kama mnabisha, mtumieni Wanu au Abdul SMS yenye maneno "tuletee hata leso yake". Ujumbe huu tu ukionekana...
  17. Kijakazi

    JamiiForums Tanzania Maajabu ya muslims!

    UAE, Saudi Arabia, Bahrain, oman & co. hairuhusiwi kusali barabarani ktk nchi karibia zote za kiarabu zilizostaarabika, na ukionekana kwa mfano dubai unakamatwa mara moja kwa kufunga barabara na kubugudhi wengine lkn muslims wa tanzagiza, ulaya au hata USA wanafunga barabara kusali na...
  18. K

    JamiiForums Tanzania Mambo yaliyotikisa 2025 nchini Tanzania, namba 8 ni maajabu

    Hapa ni orodha ya matukio yaliyotikisa nchini tanzania 2025 Maandamano na Mauaji ya Raia (Oktoba 29) Maandamano makubwa dhidi ya serikali, ambapo maelfu ya raia waliuawa au kujeruhiwa baada ya polisi kutumia nguvu kupita kiasi. Samia Kutangazwa Mshindi wa Uchaguzi Bila Kura kuhesabiwa...
  19. Nelly

    JamiiForums Tanzania Kuna Shida na kama isipopatiwa tiba tutakuwa watu wa ajabu kuliko maajabu yenyewe...

    Inakuwaje mtu ambae sio medical professional kupewa majukumu ya kuongoza wizara nyeti ya afya? Na hii inatokea kwenye wizara nyingi tuu na matokeo yake ndio kama haya... Mnakera na kutia aibu asee
  20. ngara23

    JamiiForums Tanzania Maajabu ya Kanisa Katoliki

    1. Kanisa katoliki halijawahi kuongelea dini yoyote, hata kama ni washindani wao 2. Kanisa katoliki halijitangazi 3. Kanisa katoliki muda wa ibada ni saa 1 hadi 2. 4. Ukiondoka hupigiwa simu hata uasi miaka 10 na ukirudi huulizwi ulikuwa wapi? 5. Hakuna muda wa kutabiri, sijui uponya, fukuza...
Back
Top Bottom