jiji

Jiji refers to an ethnic and linguistic group based in Kigoma Region, Tanzania.
If tribes are classified by language and not by race, Bajiji (Jiji people) are part of Baha (Ha people) since their language is the same. Traditionally they were organized into a separate kingdom, Bujiji (Swahili Ujiji, same as the Arab town of Ujiji near Kigoma), and formed part of Buha (Uha, Ha territory) with other kingdoms: Heru, Bushingo (Ushingo), Ruguru (Luguru), Muhambwe and Buyungu, all of them in Kigoma Region, Tanzania.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Songea kuwa Jiji?

    Katika kuzunguka mitandaoni nimekuta habari za Songea kuandaliwa kuwa jiji nikajaribu kwenda deep nione kipi kimefanya hoja hiyo hot nikaona yafuatayo: 1. UN wameitaja Songea kuwa mji unaokua kwa kasi. Ripoti ya UN/WEF inasema nini: A. Miongoni mwa miji 15 inayokua haraka zaidi duniani: Ripoti...
  2. Nicolas J Clinton Gabone

    Dar Es Salaam Jiji, linalokua haraka kuliko Mipango yake

    DAR ES SALAAM, JIJI LINALOKUA HARAKA KULIKO MIPANGO YAKE Nianze kwa RAI kuhusu upanuzi wa Barabara za Sam Nujoma na New Bagamoyo kwa kutumia njia zile zile za awali. Kwa maoni yangu, huenda tumeelekeza nguvu yetu katika suluhisho la muda mfupi sana badala ya muda mrefu. Kinachonisikitisha ni...
  3. Kichuguu

    "Pamba Jiji" wabadilishe jina waitwe "Mwanza Jiji"

    Pamba United ilikuwa timu iliyokuwa inamilikiwa na chama cha ushirika cha Nyanza Cooperative Union, ambacho kilikuwa kinajihusisha na zao la pamba tu. Timu hii ilipofufuliwa tena chini ya Halmashauri ya jiji la Mwanza, imeendelea kutumia jina la Pamba ambalo halina uhusiano wowote na timu hiyo...
  4. A

    KERO Mbeya Jiji: Nusu ya fedha za kujikimu kwa ajira za Walimu wa mwaka 2025 hatujalipwa

    Ni zaidi ya mwaka sasa tangu walimu tuliopata ajira mwaka 2025 turipoti kazini, lakini bado hatujalipwa fedha za kujikimu ambazo ni stahiki ya kila mtumishi wa umma. Kwa mujibu wa taratibu za utumishi wa umma, fedha hizi zinapaswa kulipwa ndani ya siku saba baada ya mtumishi kuripoti katika...
  5. Traxtion

    Kwanini Mbeya ni jiji? My Detailed Explanation

    Moja ya maswali ambayo watu wengi wanauliza mara kwa mara hapa jukwaani ni kwa nini Mbeya ni jiji. Wengine wanasema kuwa hata miji kama Iringa, Moshi na Morogoro ingefaa kuitwa jiji kuliko Mbeya. Ukiangalia sababu kubwa inayofanya watu kuleta comparison kama hizi utagundua wengi wao wanaangalia...
  6. Jidu La Mabambasi

    Awamu ya 6 na Jiji la Dar - barabara kwishney!

    Kwa sasa hivi Jiji la Dar halina mwenyewe. Awamu ya 6 iko Dodoma, Dar itajiju. Katikati ya Jiji kuna mahandaki kama tuko Bulyanhulu machimboni. Mama anatoa Fedha lakini sijui zinaliwa na nani?
  7. BINARY NO

    KERO Mwanza: Wamachinga wanafunga barabara kwa kupanga vitu barabarani na nje ya maduka makubwa hivo kupelekea usumbufu kwa wapitaji

    Jiji la Mwanza licha ya kupewa upendeleo wakati wa JPM hadi kujengewa stand kubwa mbili za kimkakati ya Nyegezi (Nyamagana) na Nyamhongolo (Ilemela) lakini bado viongozi waliopewa kuongoza Jiji hilo wapo karne ya 18. Bado ma bus yanaingia Mjini kabisa eneo linaitwa NATA na kupakilia abiria pale...
  8. Roving Journalist

    RC Mtanda: Anayedai kubomolewa kimakosa, kama amevunjiwa kimakosa atalipwa na Jiji, kama alikosea hiyo ni haki yake

    Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda amewataka Maafisa Habari, Uhusiano na Mahusiano wa Serikali kuuza huduma zinazotolewa kwa jamii ili umma ujue utekelezaji wa kila siku wa shughuli kwa jamii. Mtanda ameyasema hayo leo tarehe 28 Mei, 2026 wakati akizungumza na uongozi wa Chama cha Maafisa...
  9. Raia mpya

    Je, Tanga imeondelewa hadhi ya jiji?

    Tanga sio jiji , bajeti ya mwaka 2025/2026 katika miundombinu ya majiji haikuhusishwa hasa barabara kubwa ,na bajeti ya juzi ya mwaka 2026/2027 napo pia haipo kwenye list yaani mpaka Njombe ndani ikiungajishwa na Mbeya ila Tanga hola. Kwenye bajeti za flyover waziri wa ulega alitaja watajenga...
  10. The Watchman

    Chalamila: Uwekwe utaratibu wa kuweka Tozo kwa magari yanayoingia Katikati ya Jiji

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila akizungumza alipotembelea Makao Makuu ya TFF, Ilala, Karume "Tumeruhusu kila aina ya usafiri kuingia barabarani. Nafikiri mliwahi kunisikia wakati fulani nikasema... nilitania tu, lakini nilikuwa namaanisha. Ni ule utani wa kweli kweli. Nilikuwa...
  11. M

    FT: Simba 1 - 0 Dodoma Jiji | Uwanja wa KMC, Mei 24, 2026

    Mechi kati ya Simba na Dodoma Jiji inapigwa leo, Mei 24, 2026 kwenye uwanja Wa KMC, Simba inaingia kwenye mche huu ikiwa nyumba ya Yanga kwa pointi 2, Ikiwa na alama 55 ya pili kwenye msimamo huku Dodoma ikiwa na alama 33, na ya 8 kwenye msimamo. Nani kuongeza alama? Ni moja au 3 acha tuone au...
  12. M

    Hadhi ya Mwanza na majiji mengine ipo wapi? Tukisema hizi ni dharau tunakosea? Bajeti na mikopo ni kwajili ya miradi ya Dar na Dodoma?

    MIRADI YA MIUNDOMBINU YA MAJIJI – BAJETI YA MWAKA 2026/27 1. JIJI LA DAR ES SALAAM BRT na Maboresho Makubwa ya Barabara I. BRT Awamu ya 3: Maktaba – JNA – Gongolamboto (km 23.3) II. BRT Awamu ya 4: Maktaba – Morocco – Mwenge – Tegeta pamoja na Mwenge – Ubungo (km 30.1) III. BRT Awamu ya 5...
  13. M

    Ningerudi upya kufanya maamuzi ya ujenzi nikiwa na usafiri wa uhakika, ningejenga km 20 nje ya jiji au manispaa kwenye mji mdogo, utulivu ni wa muhimu

    Post hii haihusu DSM, inahusu majiji mengine na manispaa za mikoani, Ukiishi Dar lazima tu ujifunze ku-adapt maisha ya mjini, hata ukijenga kilometa 40 nje utajikuta kwenye miji mikubwa kama kibaha Kama ningerudi upya kufanya maamuzi ya ujenzi, nikiwa na usafiri wa uhakika, ningejenga kilometa...
  14. N'yadikwa

    Wizara ya Ujenzi, Wizara ya Afya & TANROADS, ingilieni kati hali ya vumbi jiji la Mbeya kabla haijageuka janga la afya ya umma

    1/ Kutoka Uyole hadi Mbalizi, wananchi wanakumbana na vumbi lisilomithirika kila siku. Hali hii si tu kero, bali ni tishio kubwa kwa afya za wakazi wa jiji la Mbeya hasa wafanyabiashara. Magari yanatimua vumbi zito sana pale katikakati ya jiji kwa sasa. 2/ Vumbi hili linaongeza hatari ya...
  15. A

    KERO Halmashauri ya Jiji Dar ina mpango gani na Soko la Ilala Boma? Lina mazingira hatarishi kiafya

    Nimekuwa nikitembelea Soko la Ilala Boma kununua bidhaa za ndani kwa ajili biashara ya genge, sasa ni takribani miaka minne imepita. Kusema ukweli, soko hilo lipo katika hali mbaya licha ya kuchangia kwa kiwango kikubwa kwenye mapato ya Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Katika kipindi hiki...
  16. Inside10

    TANZIA Meya Mstaafu Mahmoud Mussa Wa Jiji La Zanzibar Afariki Dunia

    Aliyekuwa Mwakilishi wa Jimbo la Kikwajuni na Mstahiki Meya Mstaafu wa Jiji la Zanzibar, Ndg. Mahmoud Muhammed Mussa amefariki Dunia leo Aprili 6, 2026. Taarifa za kifo chake zimethibitishwa na Familia ambapo Maziko yatafanyika kwake Fuoni Mambosasa na Maiti itaswalia Msikiti wa Mwembeshauri...
  17. C

    dodoma jiji walimu tuliokidhi vigezo tunatakiwa kuto rushwa ili tuthibitishwe kazini

    tunaombwa rushwa ili kuthibishwa kazini baadhi ya ma maafisa tsc na utumishi takukuru fuatilieni hili
  18. Traxtion

    Skyline ya jiji la Dar es Salaam imepanuka sana

    Miaka ya nyuma, skyline ya Dar es Salaam ilikuwa simple sana, majengo machache marefu, mengi yakiwa ya kati tu. Lakini leo hii, mji umebadilika kwa kasi kubwa ajabu. Maeneo kama Posta, Upanga, Masaki na Kariakoo yameanza kujazwa na majengo ya kisasa (high-rise buildings), mengi yakiwa na ofisi...
  19. Traxtion

    Je ni kweli kuwa jiji la Tanga limeacha kukua?

    Nimekuwa nikisikia sana kuwa jiji la Tanga halikui, linabaki hivyo hivyo miaka nenda miaka rudi. Sasa sijawahi kufika Tanga, je madai haya yana ukweli wowote? Kama ni kweli serikali itafute namna ya kufufua hili jiji liendelee kukua. Wajenge hata vyuo vikuu, viwanda au namna yoyote tu jiji liwe...
  20. K

    Dodoma Jiji VS Simba Sports Club Jamhuri Stadium 22/2/2026.

    Mtanange ukiwa unaendelea, mzani ushaanza Kuwaelemea Wenyeji. Mnyama yuko mbele kwa bao 2... Kipute kinaelekea halftime
Back
Top Bottom