bei ya mafuta

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. saidoo25

    Spika Tulia abebeshwa zigo la kashfa ya kupanda kwa bei ya mafuta ya Petroli Tanzania

    Hali ya mafuta ni mbaya ambapo leo watanzania wenzetu wa Kyerwa Ruberwa Mkoa wa Kagera wanauziwa mafuta ya Petroli kwa Tsh 3,647 kwa lita huku wale wa Ukerewe Mkoa Mwanza wakiuziwa lita moja kwa Tsh 3,619 kwa mujibu wa Tangazo la EWURA. Mjadala huu umeitikisa nchi tangu bei hiyo mpya itangazwe...
  2. OLS

    Bei ya mafuta ndani ya mwaka mmoja imepanda kwa takribani 50%

    Ukiangalia bei za Petroli na Dizeli kwa kipindi cha mwaka mmoja. Yaani ukifananisha Agosti 2021 na Agosti 2022 utaona kuna percentage change ya takribani 50%. Dizeli ndio imepanda kwa kiasi kikubwa kwa kuwa ni zaidi ya 50% huku petroli imeongezeka kwa zaidi 45% kutegemea na bandari...
  3. G

    Lake oil wanajuaje kupanda kwa bei ya mafuta kabla haijatangazwa?

    Imekuwa ni kawaida kila inapokaribia wiki ambayo bei mpya ya mafuta hutangazwa, vituo pendwa vinavyomilikiwa na wanasiasa maarufu, hudai hawana mafuta kungojea bei mpya. Hii huwa ni dalili ya kupanda kwa bei ya mafuta. Swali la kujiuliza wanajuaje mapema kuwa mafuta yatapanda bei? Huu mtandao...
  4. JF Member

    Bei ya Mafuta: Rais Samia, badili uongozi wa juu ili wananchi tupate ahuweni

    Chonde Rais Samia, utuonee huruma wananchi wako. Tunaonba sana, kwa aina ya uongozi wa Juu kabisa uliouweka kwenye nishati, na kama ukiendelea kuwepo tutaumia na kuishia kukulaumu wewe kila uchao. Pamoja nar udhuku unayo toa, italiwa na mafuta yatazidi kupaa na bei za Vitu vingine vitapanda...
  5. R

    Wataalamu wa vikokotoo, Bilioni 100 imepunguza Ukali wa Bei ya Mafuta kwa kiasi Gani? Kuna Haja ya kuendelea na hii Ruzuku?

    Habari JF, Bei mpya zimetangazwa kuanza kutumika Tar 6/7/2022, hivi hizi pesa tulikopo IFM na Benki ya Dunia bilioni 100 za ruzuku zimepunguza ukali wa bei ya Mafuta kwa kiasi Gani? Ukiringanisha na kabla ya bilioni 100. Je, kuna Haja ya kuendelea kukopa?
  6. Jidu La Mabambasi

    Hata Joe Biden wa US apunguza kodi katika bei ya mafuta!

    Rais Joe Biden wa Marekani, leo ameondoa kodi katika mafuta ili kuwapa nafuu wananchi wake. Amewataka Magavana wa States za nchi hiyo vile vile wapunguze kodi na tozo katika States zao. KWETU TZ VIPI? Hapa Tz kodi na tozo katika mfuta bado zipo kati ya Tshs 800 hadi 900.
  7. Kiturilo

    Bei ya mafuta imeshuka, na nauli je?

    Faida ya kushusha bei ya mafuta ilikuwa na bei ya vitu vingine vishuke kuleta unafuu wa maisha. Lakini sasa kama tunaambiwa kushusha bidhaa zingine inahitaji mchakato mrefu, kwa kweli inasikitisha sana. Soma: EWURA yatangaza bei mpya ya mafuta zinazoanza kutumika Juni Mosi
  8. Meneja Wa Makampuni

    Kukokotoa punguzo la bei ya mafuta ya petroli na dizeli kwa mwezi wa sita 2022 baada ya kuongezewa ruzuku ya billioni 100 (100B)

    Kukokotoa punguzo la bei ya mafuta ya petroli na dizeli kwa mwezi wa sita 2022 baada ya kuongezewa ruzuku ya billioni 100 (100B) Habarini za leo great thinkers, Habarini za jumapili, Kama nilivyo ahidi kwamba nitatafuta muda wa kufanya hesabu ili tuweze kufahamu punguzo la bei ya mafuta ya...
  9. benzemah

    EWURA yatangaza bei mpya ya mafuta zinazoanza kutumika Juni Mosi

    Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei mpya ya mafuta zinazoanza kutumika Juni mosi, huku kukiwa na unafuu kutoka na ruzuku ya shilingi Bilioni 100 iliyotolewa na Rais Samia mapema mwanzoni mwa mwezi huu. Bei mpya zilizotangazwa na EWURA zinaonesha kuwa petrol itauzwa...
  10. NAMBA MOJA AJAYE NCHINI

    Kuliko kukopa ili kushusha bei ya mafuta kwanini tusitumie Tozo zetu kufanya hivyo

    Wakuu, Waziri wa fedha alitangaza tozo zilizopitishwa na Bunge letu,na kujinasibu kuwa tumekusanya fedha nyingi Sana za tozo. Kwa kuwa lengo la tozo hizi zilikuwa kujenga madarasa na vituo vya afya nchini lakini tulikopa tena kwa ajili ya ujenzi huo. Kwanini tozo zile tusitumie kushusha bei...
  11. BestOfMyKind

    Zanzibari si sehemu ya serikali ya Jamhuri? Hebu ona bei yao ya mafuta

    hii ni taarifa ya Zura(EWURA ya Zenji) mwezi huu tar 4 juu ya bei ya mafuta: Pettrol - Tsh.2642 , Diesel- Tsh.2644 na hii ni taarifa ya EWURA ya jamhuri tarehe na mwezi kama wa ZURA; Petrol - Tsh. 3148, Diesel - 3258 Maisha tunayoishi huku bara wapemba wasingeweza.
  12. Replica

    UCHUMI: Inawezekana kupanda bei ya mafuta ya kula ikawa jambo jema

    Leo nimepita maduka kadhaa, kwenye shelf za maduka husika yamejaa mafuta ya kula yameandikwa Singida yakiwa yametengenezwa kwa zao la alizeti linalolimwa sana Singida. Hii imetokana na bei ya mafuta mengine kupaa hivyo watumiaji na wafanyabiashara kuamua kuhamia Singida, bei ya mafuta kutoka nje...
  13. OLS

    Tutatoa hela kwa muda gani kunusuru bei ya mafuta?

    Rais ametangaza kutoa bilioni kadhaa kwa ajili ya mafuta, lakini hatujui vita vya Ukraine vitaisha lini hivyo ni ngumu kujua kwa muda gani tutaendelea kutoa hela au kuondoa tozo na kodi kwenye mafuta. Moja ya misingi ya Marekani ni kutokuwa na rafiki au adui wa kudumu. Nadhani na sisi tuwe...
  14. S

    Rais Samia kwa sasa utakapoweka ruzuku kwenye bei ya mafuta utakuwa umewapa zawadi wafanyabiashara, sio kuwapunguzia Watanzania makali ya maisha

    Kutokana na hali kali za maisha zinazotokana na kupanda kwa bei ya mafuta, juzi hapa mama Samia aliondoa tozo ya Shs 100 kwenye bei ya mafuta, na baada ya Bunge kuitaka serikali kuchukua hatua zaidi kutoa nafuu ya bei ya mafuta, Mama Samia alimuagiza January Makamba kutangaza ruzuku ya shilingi...
  15. Ferruccio Lamborghini

    Rais Samia amechagua njia sahihi kushusha bei mafuta

    RAIS Samia Suluhu Hassan, ameamua kulikabili sakata la mgogoro wa mafuta kwa kutoa maelekezo ya kujibana katika matumizi ya ndani ya Serikali. Kwa nini hii ndio njia sahihi? Nitaeleza; Wapo waliopendekeza kuondoa tozo mbalimbali kwenye mafuta ili bei ipungue. Ni mawazo lakini msaada wake upo...
  16. Ileje

    Ruzuku ya serikali ya bilioni mia moja kwenye mafuta ni kituko katika kupunguza bei ya mafuta

    Hakika serikali inacheza na akili zetu ni afadhali ingekaa kimya kuliko kutoa matumaini ya unafuu wa maisha ambao haupo. Ni ukweli uliowazi kuwa serikali imehusika kwa kiasi kikubwa kupanda kwa gharama za maisha kwa sababu ingewezekana kabisa serikali kuchukua hatua za kuzuia kupanda kwa bei za...
  17. JF Member

    Bei ya Mafuta kushuka kwa Shilingi 29, Mnaelewaje hapa?

    Hii hapa ni summary ya hotuba ya Waziri kuhusu Mafuta. Mnaonaje? Mnaielewa ama tumechezewa tu?
  18. W

    Mjadala: Je, ruzuku ya bilioni 100 kwenye mafuta itapunguza bei ya mafuta kwa kiasi gani? "Jambo letu hatarini"

    Ndugu zangu, Leo siku ya jumanne tarehe 10.05.2022 Ndugu Januari Makamba, Waziri wa Nishati akiwa bungeni ametangaza uamuzi wa serikali kutoa ruzuku ya takribani bilioni 100 za kitanzania. Nikirejea uamuzi wa Waziri Makamba miezi michache iliyopita wa kuondoa tozo ya shilingi 100 kwenye mafuta...
  19. Magazetini

    Serikali kutoa ruzuku ya bilioni 100 kunusuru bei ya mafuta. Yaomba mkopo IMF na Benki ya Dunia

    Bunge litaendelea na vikao vyake leo na kubwa linalotarajiwa kutokea ni mrejesho wa hatua ambazo Serikali inatarajiwa kuchukua kukabiliana na kupanda kwa kasi bei za mafuta kunakotajwa kusababishwa na vita ya Urusi na Ukraine. Hali hiyo ilipelekea ongezeko la nauli kwenye daladala ambalo mara ya...
  20. CM 1774858

    Rais Samia Suluhu anafanya vizuri bei ya mafuta ukanda wa maziwa makuu

    === Kwa unyenyekevu mkubwa hebu pitia hizi taarifa za World Petrol Price uone majirani zetu wanavyoteseka kwa bei kubwa ya Mafuta pengine itakuzindua uache lawama kwa Rais wako anayekupambania usiku na Mchana, === Pamoja na kwamba Rais Samia Suluhu Hassan sio rais wa nchi ya Burundi bei ya...
Back
Top Bottom