ruto

Ruto, or Rutto, is a surname of Kenyan origin that may refer to:

Evans Rutto (born 1978), Kenyan marathon runner and two-time winner of the Chicago Marathon
Isaac Ruto, Kenyan politician for the United Republican Party
Paul Ruto (born 1960), Kenyan middle-distance runner and 1993 world champion
Ronald Kipchumba Rutto (born 1987), Kenyan steeplechase and marathon runner
William Ruto (born 1966), Kenyan politician and Deputy President of Kenya

View More On Wikipedia.org
  1. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Eastleigh yakumbwa na mvutano baada ya agizo la Rais William Ruto kuhusu wafanyabiashara wa kigeni

    Mvutano umeibuka katika eneo la Eastleigh, Nairobi, kufuatia agizo la Rais William Ruto la kuchukuliwa hatua dhidi ya raia wa kigeni wanaoendesha biashara ndogo nchini. Rais Ruto alisema Septemba 2 kuwa biashara ndogo kama uchuuzi na maduka madogo zinapaswa kuhifadhiwa kwa Wakenya, akieleza...
  2. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Ruto aagiza waamiaji haramu waondoke Kenya kabla ya 7 Sep 2026

    Rais wa Kenya, William Ruto, ameagiza kuanza kwa operesheni ya nchi nzima dhidi ya raia wa kigeni wasio na vibali na wanaoendesha biashara ndogo ndogo, maduka ya rejareja, vibanda na biashara za kuzunguka mitaani. Wafanyabiashara hao wameelekezwa kufunga biashara zao. Hatua hiyo inalenga kuzuia...
  3. Poppy Hatonn

    JamiiForums Tanzania Ruto awafukuza waabudu sanamu waondoke Kajiado.

    Rutto kawafukuza Tata Chemicals waondoke Kenya Halafu wametokea wanaharakati wengi from the woodwork wanamwambia kwamba anawafukuza from underhanded motives Nasikia Ruto kabadili uamuzi wake .
  4. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rais William Ruto awataka Wageni kuacha kufanya biashara ndogo na kuachia Wakenya wazifanye

    Rais William Ruto ameagiza hatua zichukuliwe dhidi ya raia wa kigeni wanaoendesha biashara ndogo ndogo nchini Kenya, akisema nafasi hizo zinapaswa kuwa kwa Wakenya. Akizungumza na wafanyabiashara wa Micro, Small and Medium Enterprises (MSMEs) katika Ikulu ya Nairobi Jumatano, Septemba 2, Rais...
  5. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Rais Ruto wa Kenya akiri serikali yake kuua waandamanaji GenZ 2024. Rais Samia na serikali yake wanaweza kuwa na ujasiri huu kwa mauaji ya 29/10/2025?

    Rais wa Kenya, William Ruto, amekiri kuwa kulikuwa na makosa katika namna Serikali ilivyoshughulikia maandamano ya vijana wa Gen Z mwaka 2024, akitambua maumivu yaliyosababishwa na vifo, madai ya kukamatwa kiholela, kutoweka kwa watu na matumizi ya nguvu kupita kiasi... Ruto ametoa kauli hiyo...
  6. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Polisi Wapata Muonekano Mpya: Rais William Ruto Azindua Sare Mpya Kiganjo

    Rais William Ruto amezindua rasmi sare mpya za maafisa wa General Duty wa Kenya Police Service katika hafla iliyofanyika Ijumaa, Agosti 28, 2026, katika Kenya Police Training College, Kiganjo, Kaunti ya Nyeri. Chini ya muundo huo mpya, maafisa watavaa shati za rangi ya sky blue, suruali za...
  7. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania “Hakuna Mkenya Anayepaswa Kufa kwa Kukosoa Serikali” - Rais William Ruto Asema Maandamano ya Amani Ni Msingi wa Demokrasia

    Rais William Ruto amesema hakuna Mkenya anayepaswa kupoteza maisha, uhuru au heshima yake kwa sababu tu ya kuikosoa serikali, kutoa maoni yasiyopendwa na wengi au kushiriki maandamano ya amani. Akizungumza katika Kongamano la 16 la Katiba lililofanyika KICC, Nairobi, Agosti 27, 2026, Ruto...
  8. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rais William Ruto aagiza uchunguzi wa vifo vya Waandamanaji wa Gen Z

    Rais William Ruto ameagiza uchunguzi huru na wa kina kuhusu vifo, madai ya utekaji nyara, kukamatwa kinyume cha sheria na matumizi ya nguvu kupita kiasi yaliyoripotiwa wakati wa maandamano ya Gen Z ya 2024 na yaliyofuata. Akizungumza wakati wa maadhimisho ya miaka 16 ya Katiba ya 2010 katika...
  9. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania ICC Yarudi Tena Kwenye Siasa za Kenya? Upinzani Wataka Rais William Ruto Achunguzwe Kuhusu Ghasia za Kisiasa

    Miaka 15 baada ya kesi za ICC kutawala siasa za Kenya, jina la Rais William Ruto limetajwa tena katika wito unaoelekezwa The Hague - wakati huu Kenya ikielekea Uchaguzi Mkuu wa 2027. Muungano wa upinzani umetaka Ofisi ya Mwendesha Mashtaka wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) kuchunguza...
  10. O

    JamiiForums Tanzania FALSE Image of Kenya Defence Forces Recruits Displaying ‘TUTAM’ Formation for President Ruto

    An image circulating on social media appears to show Kenya Defence Forces (KDF) recruits lying on the ground and forming the word “TUTAM”, a slogan associated with President William Ruto and his supporters. The image has been shared as though it captures a real formation by KDF recruits...
  11. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rais William Ruto Apiga Simu Karen Hospital Kuhusu SHA: Je, Mfumo Mpya Unafanya Kazi?

    Rais William Ruto amempigia simu Mkurugenzi Mtendaji wa Karen Hospital, Juliet Gikonyo, kutaka kujua iwapo hospitali hiyo inapokea malipo kutoka kwa Social Health Authority (SHA). Katika mazungumzo hayo, Gikonyo alithibitisha kuwa hospitali hiyo inapokea fedha kutoka SHA na kueleza kuwa, kwa...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Mwakani 2027 William Ruto ni ngumu kupenya

    Kwa hiyo kolabo ya wanasiasa wa upinzani naona Kasongo na Soprono watapelekwa nyumbani asubuhi mapema. Mmoja Sugoi mwingine Tharaka. Labda washindwe kuwa na umoja mpaka mwisho ila kwa Wakenya na imani nao kidogo fofauti na wanasiasa wa upinzani hapa kwetu.
  13. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rais William Ruto Aongoza Sherehe Ya 46 Ya Kupitisha Kikosi Cha KDF Eldoret

    Rais William Ruto amewaongoza viongozi wa serikali, makamanda wa usalama, familia na wananchi katika sherehe ya 46 ya KDF Pass-Out Parade iliyofanyika katika Defence Forces Recruit Training School, Kamagut, Uasin Gishu. Sherehe hiyo imeashiria kukamilika kwa mafunzo ya kijeshi kwa muda wa miezi...
  14. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Seneta John Methu Aitaka Serikali Ya Rais Ruto Kuweka Wazi “Scorecard” Ya Miaka Minne

    Seneta wa Nyandarua John Methu ameisukuma serikali ya Rais William Ruto kutoa hesabu kamili ya utendaji wake tangu ilipoingia madarakani mwaka 2022. Methu amesema serikali haipaswi kupuuza ukosoaji kutoka kwa aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua kwa kumkumbusha tu kuwa aliwahi kuwa sehemu ya...
  15. O

    JamiiForums Tanzania FALSE FACT CHECK: Did Ruto Really Say Kenyans Shouldn’t Be Consulted?

    A viral graphic circulating on social media claims President William Ruto said Kenya needs a new Constitution that would not require the government to consult the people. The quote, presented alongside Ruto’s image, reads: “We need a new Constitution that does not require us to consult the...
  16. mambo_safi

    JamiiForums Tanzania Picha ya wakati Isaya Yunge akimvalisha pete binti wa Ruto

    Nataka kuona Yunge anamvalisha Charlene pete nani alipiga magoti? Au wote walikuwa kama kambale?
  17. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rais William Ruto Awakaribisha Wakenya 5,000 Katika Majadiliano Ya Vision 2060

    Rais William Ruto anatarajiwa kuwa mwenyeji wa zaidi ya Wakenya 5,000 kutoka kaunti zote 47 katika mkutano wa kitaifa unaofanyika leo, Jumatano, Agosti 12, 2026, katika KICC, Nairobi, kujadili mwelekeo wa Kenya kuelekea Vision 2060. Mkutano huo unaashiria mwanzo wa ushirikishwaji wa umma katika...
  18. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ruto Atangaza Muungano Wa Kenya Kwanza Na Odm Kuelekea Uchaguzi Wa 2027

    Rais William Ruto ametangaza kuwa Kenya Kwanza na ODM zimekubaliana kuunda muungano wa kisiasa utakaochuana pamoja katika Uchaguzi Mkuu wa 2027. Ruto alitoa tangazo hilo Jumatatu, Agosti 10, 2026, baada ya mkutano wa viongozi wa Broad-Based Government mjini Naivasha. Alisema uamuzi huo...
  19. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kalonzo: Opposition will defeat Ruto by more than 70% in 2027

    Wiper Patriotic Front leader Kalonzo Musyoka has expressed confidence that the opposition will decisively defeat President William Ruto in the 2027 General Election, predicting a victory margin of more than 70 per cent. Kalonzo said Kenyans are increasingly dissatisfied with the Ruto...
  20. F

    JamiiForums Tanzania Wakenya na ujanja wao wameshindwa kuona mabinti wa Ruto!!!

    Binti wa kwanza June Ruto ni mke wa Dr. Alexander Ezenagu Minigeria. Charlene binti yake mwingine anaeolewa na Isaya Yumbe Mtanzania Pamoja na kutudharau Watanzania wakajifanya mashapu, inakuwaje mabinti wa rais wanaolewa nje? Vijana wa kiume wa Kenya mnashindwa wapi au ni kwa sababu ya one...
Back
Top Bottom