Ruto, or Rutto, is a surname of Kenyan origin that may refer to:
Evans Rutto (born 1978), Kenyan marathon runner and two-time winner of the Chicago Marathon
Isaac Ruto, Kenyan politician for the United Republican Party
Paul Ruto (born 1960), Kenyan middle-distance runner and 1993 world champion
Ronald Kipchumba Rutto (born 1987), Kenyan steeplechase and marathon runner
William Ruto (born 1966), Kenyan politician and Deputy President of Kenya
Serikali ya Rais William Ruto imeahidi kuhakikisha haki inapatikana baada ya kifo cha mwimbaji wa gospel Rachel Wandeto aliyefariki kufuatia shambulizi la kuteketezwa kwa petroli jijini Nairobi.
Waziri wa Usalama wa Ndani Kipchumba Murkomen alilaani tukio hilo akilitaja kama la kusikitisha na...
Speaking during the funeral of Ann Nyatoro Ndung’u, the mother of the East African Legislative Assembly (EALA) Member of Parliament, Nairobi Senator Edwin Sifuna and the Linda Mwananchi lead, delivered a direct message concerning President Ruto ahead of 2027 poll
"There is no other formula...
There has been a rumor spreading on social media, especially on Facebook, quoting that: ‘William Ruto is being used by the French to plot my death, just like they did to Thomas Sankara. I am trying to save Africa, but he is busy dining with our enemies. Kenyans should reject Ruto.’ Ibrahim...
The Kenyan political landscape is currently witnessing a tectonic shift as we approach the 2027 elections. The once "impenetrable" alliances of the 2022 polls have dissolved, replaced by a high-stakes battle for regional supremacy and ideological dominance.
Ruto Vs Gachagua
Before their...
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba jana Mei 11, 2026 alishiriki chakula cha jioni cha kitaifa kilichoandaliwa na Rais wa Kenya Dkt. William Ruto kwa heshima ya Wakuu wa Nchi na Serikali wanaoshiriki Mkutano wa Ushirikiano wa Afrika na Ufaransa
Dkt. Mwigulu yupo nchini Kenya akimuwakilisha Rais...
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba akisalimiana na Rais wa Kenya Dkt. William Ruto wakati wa hafla ya ufunguzi wa Mkutano wa Ushirikiano kati ya Afrika na Ufaransa (Africa Forward Summit: Africa-France Perternship for Innovation and Growth) unaofanyika jijini Nairobi Kenya, leo Mei 12...
afrika
dkt. mwigulu
dkt. mwigulu nchemba
hafla
kati
kenya
mkutano
mkuu
mwigulu
mwigulu nchemba
na rais
rais
rais wa kenya
ruto
ufunguzi
ushirikiano
wakati
waziri
waziri mkuu
william
william ruto
Kenya and Côte d’Ivoire are set to strengthen diplomatic ties after Ivorian President Alassane Ouattara announced plans to open an embassy in Nairobi following bilateral talks with President William Ruto. The discussions took place ahead of the ongoing Africa Forward Summit in Nairobi...
My Take
Usije Waamini Wakunya ni Moja ya watu matapeli ,wanafiki na haters wakubwa wa Tanzania.
Hapa bwana Ruto ameamua kutumia Nguvu kubwa sana kumshawishi Dangote Ahamishie wazo la kujenga kiwanda Tanga kwenda Mombasa kisa alitakiwa kujibu hadharani tuhuma za kujifanya Rais wa Kenya na...
Kabla ya Rais kwenda mahali kunakuwa na communication nyingi na Objectif ya Safari.
Ya Kwamba Samia was not informed in advance juu ya project ya Tanga - inaacha maswali mengi juu ya Idara ya Usalama wa Taifa na Taasisi ya Ikulu
Na Kama ni kweli ilikuwa hivyo: it was supposed to be indoors...
Mama Samia kasema na kumwomba Ruto awashughulikie wapinzani huko Kenya kama yeye anvyowashughulikia huku Tanzania.
Hii kauli si tu kuwa ni undiplomatic lakini ni kuingilia mambo ya ndani ya nchi jirani.
Kwa viwango vyovyote si kauli ya kistaarabu kisiasa.
Hapo ndio najiuliza kama speech writers...
Speech ya Rais Ruto ilikuwa safi kutoka Kwa mtu smart.
Imejaa weledi, sera, taaluma na utashi wa maendeleo
Hotuba ya Samia imejaa visasi na chuki Kwa wananchi
Aibu naona zaidi Kwa michango ya wabunge waliotoa, ilikuwa ni pongeza na uchawa
Mara Ruto ni mpenda watu, mara oooh yaani upumbavu tu...
Guys guys
Wakati samia aliongea kwa jaziba, Muhemko na chuki huku akihamasisha uonevu juu ya raia.
Ruto kajibu kwa akili kubwa kwamba hao GenZ wala siyo tatizo. The big challenge ni "umaskini na ajira".
Ni dhahiri kabisa kizimkazi hamna kitu kwa kweli
"Niruhusu nitoe shukrani zangu za dhati kabisa kwa Mheshimiwa Rais, dada yangu, Samia Suluhu Hassan. Kwa mwaliko wake wa heshima kwangu kufanya ziara hii ya kihistoria katika taifa lenu tukufu na la kindugu, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania."
#RutoBungeni
Rais wa Kenya, William Samoei Ruto, leo Mei 5, 2026, amelihutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akisisitiza umuhimu wa ushirikiano wa kiuchumi na kuunganisha nguvu katika kupambana na changamoto zinazozikabili nchi zote mbili.
Pia soma Samia: Nimeongea na Rais Ruto, wale watoto wetu...
05 May 2026
Dodoma, Tanzania
LIVE / MUBASHARA : Rais William Ruto Akihutubia Bunge la Tanzania || Mei 5, 2026
RUTO - MAADUI WETU SI WATANZANIA AU WAKENYA MAADUI WETU NI UKOSEFU WA AJIRA, UMASIKINI, MARADHI, NARUDIA WATANZANIA NA WAKENYA SI MAADUI WETU
https://m.youtube.com/watch?v=mimwwdurzMU...
Rais wa William Ruto ameanza ziara ya siku mbili nchini Tanzania kuimarisha uhusiano kati ya majirani hawa wa Afrika Mashariki. Ziara hii inaonekana kuwa muhimu sana hasa kwa masuala ya biashara, ajira na maendeleo ya kikanda.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka Ikulu ya Tanzania, Ruto atakutana na...
President William Ruto has rewarded record-breaking athlete Sebastian Sawe with KSh8 million and a set of customized number plates in recognition of his outstanding achievement on the global stage.
Sawe, who recently made headlines for his remarkable performance in long-distance running, was...
The quote attributed to President William Ruto in the image is false and appears to be a piece of political satire or "fake news" generated amid real political tensions in April 2026.
While the image references real events such as the "Linda Mwananchi" rally held in Kisumu on April 26, 2026...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.