Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,834
- 18,835
#BIASHARA Bei ya rejareja ya mafuta ya petroli katika mwezi Desemba 2022 kwa mkoa wa Dar es Salaam, imepungua kwa shilingi 59 kwa lita ambapo petroli itauzwa shilingi 2,827 kwa lita, na bei ya dizeli pia imepungua na itauzwa kwa shilingi 3,247 kwa lita.
Bei hizi zitaanza kutumika kesho Desemba 07, 2022.
Wakati huo huo bei za mafuta zimezidi kushuka zaidi kwenye soko la dunia ambapo sasa ni dola 79 kwa pipa moja
Bei hii ni sawa na bei iliyokuwepo kabla ya vita ya Urusi na Ukraine iliyoanza mwezi wa 2 mwaka huu, ambapo kipindi hicho hapa nchini yalikuwa yakiuzwa kati ya shilingi 2400 na 2500
Angalia graph hii hapa chini kuhusu bei za mafuta duniani
Bei hizi zitaanza kutumika kesho Desemba 07, 2022.
Wakati huo huo bei za mafuta zimezidi kushuka zaidi kwenye soko la dunia ambapo sasa ni dola 79 kwa pipa moja
Bei hii ni sawa na bei iliyokuwepo kabla ya vita ya Urusi na Ukraine iliyoanza mwezi wa 2 mwaka huu, ambapo kipindi hicho hapa nchini yalikuwa yakiuzwa kati ya shilingi 2400 na 2500
Angalia graph hii hapa chini kuhusu bei za mafuta duniani