kafulila

David Zacharia Kafulila (born 15 February 1982) is a Tanzanian NCCR–Mageuzi politician and Member of Parliament for Kigoma South constituency since 2010.

View More On Wikipedia.org
  1. Chai na Uji

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Takwimu zinaonesha wanawake wanapindua meza kwenye Uchumi na wanatumia 90% ya kipato chao kwaajili ya familia wakati Wanaume ni 35%

    Mkurugenzi wa Kituo cha Ubia nchini Tanzania (PPPC), David Kafulila, akizungumza na wasomi wa Tengeru Institute of Community Development (TICD) jijini Arusha, alitoa maelezo ya kuvutia kuhusu nafasi ya wanawake katika uchumi na maendeleo ya Taifa. Kafulila alikuwa akijibu swali la Chiku mmoja...
  2. CM 1774858

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Rais Samia ametoa Shilingi trilioni moja ili kuwakopesha wakulima kwa riba ya 9% zipo NMB na CRDB nia kukuza Kilimo walau kwa 8-10%

    https://www.instagram.com/reel/Dc-fV2YAgEN/?stkn=MTI3M3czY3cyajR1NA==
  3. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Serikali ya awamu ya sita imeamua kuajiri Motivation speaker bwana David Kafulila

    Ukimsikiliza vizuri huyu jamaa huwezi kuelewa kwa undani dhamira halisi ya awamu ya sita tulianza na BBT ya Hussein Bashed kisha tukaingia Road fund. Yote yamecolapse sasa amekuja bwana Kafulila David ambaye amekuja kwa speed ya ngiri na mawazo ya Motivation speaker.
  4. J

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Uongozi wa Wanawake kwenye taasisi huleta faida zaidi | London Stock Exchange

    Kafulila: Taasisi Inayoongozwa na Mwanamke Huleta Mafanikio zaidi. Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini Tanzania (PPPC), Bwana David Kafulila, akihutubia katika Tengeru Institute of Community Development (TICD) jijini Arusha, amesema kuwa taasisi yoyote itakayoongozwa na mwanamke kwa...
  5. Y

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Sifa mojapo kubwa ya PPP ni kupunguza Ukubwa wa Serikali, sio sawa kwa Serikali kumiliki mpaka stendi au Parking

    === Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini Tanzania (PPPC), Bwana David Kafulila, akijibu swali kutoka kwa Muhidini, mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Tengeru Institute of Community Development (TIDC), amesema kuwa jamii imara ni ile yenye stability na welfare. “Tukisema tunataka kujenga...
  6. M

    JamiiForums Tanzania VIDEO: Hili somo la David Kafulila sasa naona limeeleweka kwa Watanzania

    == Mkurugenzi David Kafulila ameendelea kusimama kama sauti ya kizazi kipya cha viongozi wanaoelekeza Watanzania kwenye mustakabali wa taifa lenye uchumi ulio mkubwa ambao ni shindani na unaoshirikishisha watu wengi. Katika hotuba na mijadala yake, amesisitiza kuwa DIRA2050 si ndoto ya...
  7. Yoda

    JamiiForums Tanzania Katika mkakati wa PPP ya Kafulila serikali isijenge stendi na masoko.

    Serikali sasa iachane na ujenzi wa stendi za magari na masoko. Haya ni mambo yanayoweza kufanywa na watu binafsi na pia hakuna maana tena ya kujenga majengo makubwa ya kukufanya watu pamoja kama stendi na masoko. Serikali sasa ijikite katika kujenga miondombinu ya reli na viwanja vya ndege...
  8. Y

    JamiiForums Tanzania Hii sio Dunia ya Serikali kuhodhi ujenzi wa miradi yote mpaka choo- David Kafulila

    Kafulila: Serikali Haiwezi Kujenga Kila Kitu, Sekta Binafsi Ipewe Nafasi. == Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC), David Kafulila, amesema Serikali haiwezi kumudu kugharamia kila aina ya mradi nchini, hasa miradi ya kibiashara, wakati mahitaji ya...
  9. Y

    JamiiForums Tanzania TICD ARUSHA: Kafulila katika mhadhara maalum wa Umma

    https://www.youtube.com/live/pMhiTp9NL64?si=xROoNvI7LdkavRdN Mjadala wa PPP na Maendeleo ya Tanzania Waendelea Arusha == Mjadala kuhusu nafasi ya Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP) katika kuchochea maendeleo ya Tanzania unaendelea leo, Agosti 14, 2026, katika kongamano la Public...
  10. M

    JamiiForums Tanzania PICHA: Ubia si hiari, ni mkakati madhubuti wa kuikomboa nchi kiuchumi-David Kafulila

    Na Mwandishi Wetu Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba, amesema Serikali itaendelea kuimarisha mazingira yanayowezesha maendeleo ya sekta ya lojistiki, usafirishaji na elimu ya ufundi ili kufanikisha utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo, akisisitiza kuwa sekta hizo ni nguzo...
  11. M

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Hayati Benjamini Mkapa aliweza kuukuza Uchumi wa Tanzania na kuwa karibu sana na wa Kenya | Endelea kupumzika kwa amani Mzee Mkapa

    SEHEMU YA KUMBUKUMBU YA RAIS MKAPA: MIAKA 6 TANGU ATUAGE Anaandika Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC), Bw. David Kafulila, kupitia mtandao wa X. Na David Kafulila Julai 24, 2026 Kwa mujibu wa takwimu za Shirika la Fedha Duniani (IMF), ukubwa wa...
  12. M

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Suala sio kuwa na watu wengi Swali ni Je, wanazalisha nini kwa wingi wao | Singapore inawatu mil 6 lakini imetupita mbali kiuchumi

    == Akihutubia katika mhadhara wa umma maalum uliofanyika Chuo Kikuu cha SUA, Bwana David Kafulila, Mkurugenzi Mkuu wa PPPC Tanzania, alisema mjadala kuhusu kupunguza idadi ya watu una sura mbili: wa kiimani na wa kiuchumi. Alisisitiza kuwa yeye hawezi kuingilia mjadala wa kiimani, lakini katika...
  13. M

    JamiiForums Tanzania VIDEO: Hii Dunia imejaa madeni kila kona haiwezi kujiendesha kwa Kodi na Mikoo tena | Tegemeo la Dunia kwa sasa ni Ubia (PPP) - Kafulila

    KAFULILA: DUNIA IMEJAA MADENI UBIA NDIO SULUHISHO Mkurugenzi Mtendaji wa PPPC, David Kafulila, akizungumza katika mhadhara wa umma Chuo Kikuu cha Sokoine (SUA), alisema kuwa ajenda ya ubia kati ya sekta ya umma na sekta binafsi siyo ya Tanzania pekee, bali ni mwenendo wa dunia kwa sasa...
  14. Yoda

    JamiiForums Tanzania Kwa nini Kafulila amegeuka kuwa mwalimu wa kufundisha PPP na faida yake ni ipi?

    Nini kimemfanya Kafulila kuwa anazunguka sehemu mbalimbali hasa vyuoni kufundisha PPP wakati Tanzania imekuwa ikifanya miradi ya PPP miaka mingi sana tangu awamu ya tatu enzi za Rais Mkapa? PPP imekuwepo kwenye afya ambapo serikali imekuwa ikishirikiana na makanisa katika hospitali, bandarini...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Mbeya: Chuo Kikuu Mzumbe wamtaja Kafulila kama mtaalamu mwenye uzoefu zaidi na usimamizi wa miradi ya PPP

    Mhadhara wa umma unaofanyika katika Chuo Kikuu Mzumbe, Ndaki ya Mbeya umehudhuriwa na wataalamu na wanazuoni mbalimbali ambapo Mhadhiri wa chuo hiko kutoka Idara ya Mafunzo ya Biashara na Mtaalam wa Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP), Dkt. Jasinta Msamula amemuelezea Mkurugenzi...
  16. M

    JamiiForums Tanzania UDOM: Hizi hapa hoja 15 nzito alizozipangua David Kafulila

    Wasalaam, Hivi ndivyo alivyofanya David Kafulila chuo kikuu cha DODOMA, amefafanua jambo moja baada ya jingine kwa kina, Soma mpaka mwisho l, === 1. $1 Trilioni Club inawezekana Historia inatufundisha: Korea Kusini ilitoka uchumi wa ∼$90-100 bilioni → $1+ trilioni ndani ya miaka 25. Mwaka 1995...
  17. M

    JamiiForums Tanzania PICHA: David Kafulila aifikisha Tanzania nafasi ya 9 Duniani kwa PPP.

    Hongera Rais Samia, Hongera Kafulila Hongera team PPP Centre
  18. Y

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Happy family day Tanzania

    Leo ni siku ya familia duniani. Hii ni taasisi ya msingi katika ujenzi wa Nchi, Uchumi na Taifa lolote duniani. Moja ya changamoto kubwa kiuchumi inayokabili familia zetu nyingi ni changamoto ya uzazi wa mpango.Hivyo ukubwa wa familia zaidi ya uwezo wa wazazi kumudu gharama za watoto kuwapa...
  19. U

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Tanzania ili kufikia Uchumi wa USD Trillion Moja lazima tufikie uwekeezaji wa USD Trillion 3.7 hili haliwezekani kwa Kodi na Mikopo

    === Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Ubia nchini (PPPC), Bwana David Kafulila, amesema kuwa wakati wa kupitisha sheria za ubia, Tanzania iliruhusu kutatua migogoro kwa mamlaka za ndani. Hata hivyo, pale ambapo suluhu haikupatikana, ama kwa upande wa mwekezaji au taasisi ya umma, kulihitajika haki ya...
  20. Bibianna

    JamiiForums Tanzania KAFULILA: Happy Wauguzi day, Kwa mujibu wa WHO, uwiano unaopendekezwa ni wauguzi 45 kwa kila watu 10,000, huku Afrika ikiwa ni 18 kwa watu 10,000

    KAFULILA ANASEMA UBIA (PPP) NI NGUZO MUHIMU KATIKA KUIMARISHA SEKTA YA AFYA NA UUGUZI Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP Centre), David Kafulila, amesema kuwa ubora wa rasilimali watu kupitia afya na elimu ndio msingi mkubwa wa Tanzania kufikia...
Back
Top Bottom