David Zacharia Kafulila (born 15 February 1982) is a Tanzanian NCCR–Mageuzi politician and Member of Parliament for Kigoma South constituency since 2010.
Nini kimemfanya Kafulila kuwa anazunguka sehemu mbalimbali hasa vyuoni kufundisha PPP wakati Tanzania imekuwa ikifanya miradi ya PPP miaka mingi sana tangu awamu ya tatu enzi za Rais Mkapa?
PPP imekuwepo kwenye afya ambapo serikali imekuwa ikishirikiana na makanisa katika hospitali, bandarini...
Mhadhara wa umma unaofanyika katika Chuo Kikuu Mzumbe, Ndaki ya Mbeya umehudhuriwa na wataalamu na wanazuoni mbalimbali ambapo Mhadhiri wa chuo hiko kutoka Idara ya Mafunzo ya Biashara na Mtaalam wa Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP), Dkt. Jasinta Msamula amemuelezea Mkurugenzi...
Wasalaam, Hivi ndivyo alivyofanya David Kafulila chuo kikuu cha DODOMA, amefafanua jambo moja baada ya jingine kwa kina, Soma mpaka mwisho l,
===
1. $1 Trilioni Club inawezekana
Historia inatufundisha: Korea Kusini ilitoka uchumi wa ∼$90-100 bilioni → $1+ trilioni ndani ya miaka 25. Mwaka 1995...
Leo ni siku ya familia duniani. Hii ni taasisi ya msingi katika ujenzi wa Nchi, Uchumi na Taifa lolote duniani.
Moja ya changamoto kubwa kiuchumi inayokabili familia zetu nyingi ni changamoto ya uzazi wa mpango.Hivyo ukubwa wa familia zaidi ya uwezo wa wazazi kumudu gharama za watoto kuwapa...
===
Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Ubia nchini (PPPC), Bwana David Kafulila, amesema kuwa wakati wa kupitisha sheria za ubia, Tanzania iliruhusu kutatua migogoro kwa mamlaka za ndani. Hata hivyo, pale ambapo suluhu haikupatikana, ama kwa upande wa mwekezaji au taasisi ya umma, kulihitajika haki ya...
KAFULILA ANASEMA UBIA (PPP) NI NGUZO MUHIMU KATIKA KUIMARISHA SEKTA YA AFYA NA UUGUZI
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP Centre), David Kafulila, amesema kuwa ubora wa rasilimali watu kupitia afya na elimu ndio msingi mkubwa wa Tanzania kufikia...
Ni, Ubia wa PPP wa Dola Milioni 116: Vituo vya Ukaguzi wa Vyombo vya Moto Kujengwa Mikoa 26
===
Dar es Salaam – Tanzania imepiga hatua kubwa katika kuvutia mitaji binafsi kupitia ubia wa sekta ya umma na sekta binafsi (PPP), baada ya kusainiwa mkataba wa thamani ya Dola za Marekani milioni 116...
Mkurugenzi wa Kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila katika salamu zake za Meimosi amesema ingawa sheria ya kumlinda mtumishi wa Umma dhidi ya matumizi mabaya ya madaraka kutoka kwa viongozi waovu, Lakini kwa sasa imekuwa mzigo kwa walipa kodi kwa sababu ugumu wa kumwondoa mtumishi...
Heshima sana wanajamvi,
Kafulila tunaweza kumweka katika kundi la wanasiasa wepesi sana.
Hana akili zaidi ya kujikomba na kusifu waliomteua.
Nimekuwa nikijiuliza mara kwa mara kuna nini hadi Tumbili kila uchao utamsikia kasema hili kabwatuka lile.
Ukitazama kauli zake nyingi zimejaa ujinga na...
===
Akiongea katika kikao cha Baraza la Wafanyakazi Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana Kafulila aliwapongeza wafanyakazi kwa mafanikio makubwa ya kuifanya ajenda ya PPP kueleweka kwa kasi kwa umma na mfumo mzima wa Serikali.
Akaendelea kusema, Mafanikio hayo yamepelekea...
https://youtube.com/live/luCqPlMzdcU?feature=share
Sikiliza hii David Kafulila na wenzake wakifafanua jinsi Taifa litakavyokusanya trlioni 477 za Maendeleo kwenye FYDP-IV (2026|27-2030|31)
Ni muda mrefu sasa Kafulila hajasikika akileta taarifa za PPP kama tulivyomzoea akitoa taarifa na kudadavua mambo mbalimbali ya uchumi.
Kabla ya October 2025 Kafulila alikuwa moto sana na taarifa zake za PPP zilijaa kwenye media hadi hapa jukwaani.
Kulikoni?
https://www.youtube.com/live/0oisjyeeiTk?si=ZyTQ-O1IFxIhOKkd
MDAHALO KUHUSU UENDESHAJI ENDELEVU WA BANDARI UNAENDELEA PEACOCK HOTEL
Baraza la Wasafirishaji Tanzania (Tanzania Shippers’ Council – TSC) leo linaendesha mdahalo wa ngazi ya juu wa Sekta ya Umma na Binafsi (Public–Private Dialogue)...
Katika kusheherekea sikuu ya X-Mass hivi ndivyo alivyoandika katika ukurasa wake wa X zamani Tweeter Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchini kati ya Sekta ya Umma(Serikali ) na Sekta Binafsi (mtu au kampuni) PPPC Bwana David Kafulila amesema:-
Ni siku muhimu sana, hasa katika Ukristo...
https://youtu.be/aelk3E55QHA?si=n_yvK4_P-DV6jWtd
Na Mwandishi Wetu
Mjadala kuhusu mustakabali wa bandari nchini Tanzania umekuwa ukivutia hisia kali katika nyanja za kisiasa, kiuchumi na kijamii. Katika mahojiano maalum, Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia (PPPC), Bw. David Kafulila, ametoa...
WACHIMBAJI WADOGO WAGEUKA NGUZO YA SEKTA YA MADINI TANZANIA.
Na Mwandishi Wetu,
Katika historia ya sekta ya madini nchini, wachimbaji wadogo mara nyingi walionekana kama sehemu isiyo rasmi, inayochangia kwa kiwango kidogo katika pato la taifa. Lakini chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu...
KAULI HII YA KAFULILA INAFUNGA MJADALA
Na Mwandishi Wetu,
Dar es Salaam, Katika mahojiano ya moja kwa moja kupitia kipindi maarufu cha DK45 kinachorushwa na runinga ya ITV kila Jumatatu, Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia (PPP Centre), Bw. David Kafulila, ametoa taswira pana kuhusu ndoto ya...
Wazo kuu hapa ni kwamba utajiri wa kweli wa matajiri haujatokana na kuwa na rasilimali asilia (kama mafuta, madini, au ardhi yenye rutuba) bali ubora wa rasilimali watu (human capital), yaani, ujuzi, maarifa, ubunifu, nidhamu, na uwezo wa kufanya kazi kwa pamoja wa wananchi wake.
Naomba...
Na Mwandishi Wetu,
Katika kongamano maalum kuhusu hali ya uchumi na mwelekeo wa Taifa kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, Bw. David Zacharia Kafulila, mchambuzi wa masuala ya Sera na uchumi ambae pia ni Mkurugenzi mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini kati ya Serikali na Sekta binafsi nchini PPPC...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.