ewura

Kate Victoria Teiba Abbam, born Ewura Ekua Badoe (1934-2016) was a Ghanaian journalist, editor and consultant on women and development. Abbam founded Ghana's first women's magazine, Obaa Sima (The Ideal Woman), in 1971.

View More On Wikipedia.org
  1. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania EWURA hawazalishi chochote ila kazi yao kupanga bei ya mafuta. Ifutwe kama tulivyofuta SSRA

    NB: Table hii haihusiani na bei mpya iliyotangazwa leo. Imetumika tu kujenga hoja. Jumla ya tozo ambazo zipo kwenye bidhaa ya mafuta ya Petrol na Dizeli kwa kila lita moja ni kama 30% ya bei. Serikali iiangalie namna ya kupunguza tozo hizi hata kwa 50%. Nchi kadhaa za Afrika kama Namibia...
  2. McLaren

    JamiiForums Tanzania Tanzania's Fuel Crisis: Petrol Surpasses Tsh 4,115 in Dar Es Salaam as Middle East War intensifies

    The Energy and Water Utilities Regulatory Authority (EWURA) has announced a significant hike in fuel prices, effective today, May 6, 2026. The move comes as global energy markets grapple with the fallout from an escalating conflict in the Middle East. Price Adjustments in Dar es Salaam...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Yusuph Lupilia: Mafuta yamepanda tukiwa na stock ya miezi mitatu nchini, hapo tumepigwa

    Mwenyekiti wa Umoja wa Wasafirishaji Mwanza, Yusuph Lupilya akizungumza katika mkutano wa wadau wa usafirishaji uliondaliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Ardhini (Latra), amesema kuwa serikali ilipandisha bei ya mafuta ikiwa imetoka kutuambia kuwa kuna mafuta ya kutosha kwa miezi mitatu.
  4. John Haramba

    JamiiForums Tanzania KERO Ninaponunua umeme na kukatwa 3% ya REA na 18% ya VAT si ni sawa na kulinipisha kodi mara 2 kwa kitu kilekile?

    Unaponunua umeme unakatwa Kodi ya Ongezeko la Thamani ambayo ni Asilimia 18 ya pesa uliyotoa, kisha TANESCO wanakukata 1% wanasema ni hela ya EWURA, baada ya hapo . TENA unakatwa 3% eti pesa ya REA. Je, kwa nini mlaji anaigharimikia Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) na...
  5. Tindo

    JamiiForums Tanzania Baada ya Tulia kutumika, mumewe boss wa Ewura naye apigwa chini

    Tulia Ackson aliyekuwa anaona sifa kutunga sheria mbaya, na kutumika kulinda uovu wa serekali bungeni, alipigwa chini. Na kabla hajapoa vizuri mumewe naye kapigwa chini Sasa wakae wapitie uovu waliofanikisha kwenye nchi hii, kisha watuletee mrejesho wa wao kugeuka kuwa madekio.
  6. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania Kuzima ishu ya Jambo tumeletewa uteuzi wa Angela Kizigha kuwa mbunge, na Mkurugenzi wa Ewura kutenguliwa!

    Wakuu, Aweee hii ni kali! Yaani mtu ana skendo kama mia kidogo anateuliwa kuwa Mbunge badala ya kwenda kuchunguzwa kwa tuhuma zote zilizoibuliwa dhidi yake. Samia anazidi kutuona manyani aisee! Halafu mkurugenzi wa EWURA anatenguliwa kwa nini ikiwa yeye anafuata maelezo tu? Samia alikuwa...
  7. S

    JamiiForums Tanzania Anaeamini EWURA waliangaza bei mpya za mafuta bila baraka au serikali kuwa na taarifa, awahi Mirembe hospitali

    Huu ndio mtazamo wangu na kama kuna watanzania wanaamini hivyo, basi hao ni watanzania mzigo kwa Taifa hili. Na hata viongozi wa Bunge sitaki kuamini nao walikuwa hawana taarifa kiasi kwamba wanapanga kuitisha kikao cha Bunge kujadili swala hilo labda wabunge wengine ndio nao walikuwa hawajui.
  8. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania Bei ya mafuta kuanzia Aprili 1, 2026: Petroli Dar imefikia TZS 3,820; Kagera ikigonga TZS 4,070. Dizeli ipo kati ya TZS 3,806 - 4,078

    Bei za mafuta zimetangazwa, wakisema imechangiwa na vita mashariki ya kati. Ile stock walisema ipo ya kutosha hadi July imeishia wapi? Wazee wa kupiga dili washaingia mzigoni, yaani wanasahau kitu wamesema hata mwezi haujaisha - ghafla akiba imeyeyuka! =====
  9. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Bei ya Mafuta yapanda katika bandari zote kuanzia Machi 4, 2026

    Watumiaji wa bidhaa za mafuta Tanzania wataendelea kuugulia maumivu ya ongezeko la bei baada ya Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) kutangaza bei kikomo zitakazotumika Machi mwaka huu. Katika bei hizo, watumiaji wa mafuta ya dizeli wameshuhudia ongezeko la bei zaidi ikilinganishwa na...
  10. M

    JamiiForums Tanzania EWURA: Tunaomba sana kesho utufanyie jambo lililotukuka

    Kesho baba EWURA tunakuomba utuvushe sisi wauza mafuta kuanzia vituo vya mafuta mpaka wauza vidumu Tunakuomba upige kwenye mshono kwa pigo takatifu hii itasaidia kupanda kwa bei za usafiri na bidhaa ili tuweze kujipatia faida juu ya faida. Kwa wale washangiliaji, mtakatifu Trump amewasikia...
  11. ngara23

    JamiiForums Tanzania EWURA mnasubiri nini kupandisha bei ya mafuta, hamuoni vita huko Iran?

    Najua ndani ya week hii EWURA hamtaniangusha Irani Kuna vita, Iran imeshbuliwa na Israel na USA, uchumi wa Dunia unayumba EWURA mna sababu za msingi za kupandisha bei ya petroleum na diesel fuel ⛽ Nitafurahi mno
  12. F

    JamiiForums Tanzania Dotto Biteko afanya uteuzi wa board members EWURA CCC

    Ewura CCC walitangaza nafasi za wajumbe wa bodi mwishoni mwa mwaka jana.. Watu wenye uzoefu wa tasnia ya nishati waliomba na hatimae waliitwa kwenye usaili. Sharia ya EWURA imeweka wazi kuwa baada ya usaili waziri wa nishati anatakiwa kuchagua watu 7 akiwemo mwenyekiti wa bodi. Tunaomba...
  13. Replica

    JamiiForums Tanzania Nadharia (Technical): Kilichotokea mpaka akauti nyingi zikadukuliwa

    Jana May 20 ulitokea mshtuko baada ya akaunti nyingi za mitandao ya kijamii kudukuliwa kwa pamoja idadi kubwa ikiwa taasisi za Serikali. Watu hawa wametumia kurasa za mtandao wa X na youtube. 1. Mitandao hii miwili ya X na youtube inarusu third party app kustream. Mfano nataka kuweka tukio...
  14. Just Pray

    JamiiForums Tanzania Ewura yatangaza bei za mafuta mwezi Aprili, Dar Petroli yapanda hadi 3,037

    Bei ya mafuta imeendelea kuongezeka kwa miezi miwili mfululizo huku kwa watumiaji wa petroli wakilazimika kuzama zaidi mfukoni. Taarifa hiyo imetolewa leo Jumatano Aprili 2, 2025 na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura). Bei ya mafuta ya petroIi Aprili hii...
  15. Y

    JamiiForums Tanzania Leseni ya EWURA kwa mtumishi wa umma

    Habari Wana JF natumaini mu wazima. Mimi ni muhitimu wa chuo mwaka 2024 katika fani ya umeme. Katika kujitafuta na kupambana na ajira bado sijabahatika ila nimeona Kuna leseni zinazotolewa na EWURA ambazo zitanisaidia katika kufanya vibarua vyangu. Swali langu. Je, nikikata leseni hiyo wa...
  16. Pfizer

    JamiiForums Tanzania MUWSA kinara wa tuzo za EWURA kwa mwaka 2023/2024

    Ninayo furaha kubwa kuwataarifu kwamba, Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Moshi imefanikiwa kushinda Tuzo Mbili zinazotolewa na EWURA kwa mwaka 2023/24 1. Tumeshinda tuzo ya Mamlaka bora nayotoa huduma Bora za majisafi na Usafi wa Mazingira kati ya nyingine 19 zenye wateja zaidi ya...
  17. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania EWURA yatatua migogoro 258 kati ya Julai 2023 hadi Juni 2024

    Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imesema kati ya Julai 2023 hadi Juni 2024 imefanikiwa kutatua migogoro 258 ya malalamiko kuhusiana na sekta inazozisimamia. Hayo yameelezwa na Meneja Uhusiano na Mahusiano wa EWURA, Titus Kaguo wakati wa mafunzo ya udhibiti wa huduma za...
  18. H

    JamiiForums Tanzania EWURA wamezuia petroli na dizeli kuuzwa kwenye madumu. Wenye mashine zinzazotumia nishati hizo wafanye nini?

    Sote tunatambua kuwa EWURA wamezuia mafuta ya petrol na Diesel kuuzwa kwenye madumu. Swali langu kwa wale watu ambao wana mashine zinazojienndesha kwa kutumia hiyo nishati watafanyaje? Kwa mfano nina trekta liko shamba kilomita kadhaa je kila nitakohitaji mafuta lazima niendeshe Trekta kwenda...
  19. Mindyou

    JamiiForums Tanzania EWURA yatoa wito na kutangaza kipindi cha kupokea mapingamizi wa waliopata leseni ya kufanya biashara ya mafuta Tanzania

    Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) hivi karibuni imetoa taarifa kwa umma kuhusu maombi ya vibali vya ujenzi wa miundombinu ya mafuta na leseni kwa ajili ya biashara na shughuli mbalimbali katika sekta ya mafuta ya petroli. Taarifa hiyo ya EWURA imewataja waliiomba vibali vya ujenzi...
  20. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Bei ya Mafuta yashuka mwezi Novemba, EWURA yatahadharisha wauzaji

    Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza kushuka kwa bei za mafuta ya petroli na dizeli nchini kwa mwezi Novemba 2024, ikilinganishwa na bei za mwezi Oktoba. Kwa mujibu wa EWURA, bei ya petroli kwa lita moja kwa bandari ya Dar es Salaam imepungua kutoka Shilingi 3,011...
Back
Top Bottom