Kufikia leo tarehe 2 Juni 2026, bei ya mafuta ghafi kwenye soko la dunia imeonyesha mabadiliko makubwa katika mwezi uliopita (Mei), ambapo bei imeshuka kwa takriban asilimia 15% hadi 20% kutegemeana na aina ya mafuta ghafi.
Mchanganuo wa mabadiliko hayo kwa soko la leo uko hivi:
'-Mafuta ya...
Kupanda kwa bei ya mafuta kuna athari kubwa kwa uchumi wa wananchi na taifa kwa ujumla. Mafuta yanapopanda, gharama za usafiri, chakula, uzalishaji na huduma mbalimbali huongezeka. Hata kama kuna sababu za kimataifa zinazoathiri soko la mafuta, jukumu la serikali ni kuweka sera madhubuti za...
Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Petroli nchini Kenya (EPRA) imetangaza marekebisho mapya ya bei za mafuta, Katika mapitio hayo, bei ya dizeli imepunguzwa kwa Sh10.06 kwa lita, huku mafuta ya taa yakiongezeka kwa Sh38.60 kwa lita, wakati bei ya Super Petrol ikibaki bila mabadiliko. Mabadiliko...
Watu 4 wafariki dunia kufutia maandamano ya kupinga bei ya mafuta yaliyofanyika jana May 18, 2026, huku mgomo wa magari(matatu) ukiendelea kwa siku ya pili licha ya Diseli kushushwa kwa Tsh. 202.51 (KSH 10.06) na kuwa Tsh. 4687.47 (KSH 323.86) huku Petrol ikiendelea kuwa Tsh. 4312.85 (KSH...
Mamlaka ya Kudhibiti Nishati na Petroli nchini Kenya (EPRA) imetangaza kupunguza bei ya dizeli kwa Shilingi za Kenya 10.06 kwa lita baada ya shinikizo kutoka kwa waendeshaji wa sekta ya usafiri waliopinga ongezeko kubwa la bei ya mafuta.
Katika mapitio mapya yaliyotangazwa Jumatatu jioni, bei...
Lei, Mei 18 kwenye baadhi ya maeneo kumeonekana migomo na maandamano ya watu wakidai bei ya mafuta imekuwa kubwa sana hivyo wanahitaji uwajibikaji bdi ishuke
Hii ni Barabara ya Thika kuelekea mjini... wenye magari wanalazimika kurudi....Vijana wanawataka warudi nyumbani wasiingie town....hofu ya wezi ni kubwa pia
Maeneo ya Kitengela
=============
Gavana wa Nairobi, Johnson Sakaja, ametangaza kusitishwa kwa mgomo wa wasafarishaji kwa muda wa wiki...
Mwanaichi wa kawaida Kenya amebaki confused na hii mchezo ya fuel prices. Last month tu serikali ilitangaza bei ya mafuta imepanda vibaya, wananchi wakalalamika, pressure ikaongezeka online na kwa ground, then ghafla prices zikashushwa kidogo kama “relief.” Sasa barely a month later, boom...
NB: Table hii haihusiani na bei mpya iliyotangazwa leo. Imetumika tu kujenga hoja.
Jumla ya tozo ambazo zipo kwenye bidhaa ya mafuta ya Petrol na Dizeli kwa kila lita moja ni kama 30% ya bei. Serikali iiangalie namna ya kupunguza tozo hizi hata kwa 50%. Nchi kadhaa za Afrika kama Namibia...
Njia rahisi sana ya kupunguza bei ya mafuta kwa wenye akili watanielewa
Mfano
Kodi zote ni 31% ya bei ya mafuta
Ths 3500 kwa lita kodi zote ni Tsh 1,085
Mfano sasa bei ni Tsh 4500 kodi ni Tsh 1,395
Serikali ikisema tu kwamba badala ya kukusanya kodi kwa 31% tukusanye kwa kiasi kabla ya vita...
Wakenya wamepata good news kidogo baada ya Energy and Petroleum Regulatory Authority (EPRA) kutangaza kushuka kwa bei ya mafuta kuanzia April 16 hadi May 14, 2026.
Kulingana na taarifa, bei ya Super Petrol imeshuka kwa KSh 9.37 per litre na Diesel kwa KSh 10.21 per litre ndani ya Nairobi. Hii...
Wakuu,
Naona sasa ni mwendo wa kumuonea mnyonge, yaani viongozi wa Afrika sasa wameona hii ndo njia ya kujitetea kwa wananchi wao kwa kushindwa kuwajibika kwenye hili janga la mafuta
Juzi tu Kizimkazi alitoka kulinganisha Tanzania na bei ya mafuta Marekani na Ulaya hadi akapenyezewa
--------...
Mtakuja kuniambia. Time will tell! Nchi hii ya kijambazi, majizi , wala Rushwa hata Hormuz ikifunguliwa to 100 % functional to let tankers sail through, na bei ya dunia ikashukakuwa kama mwanzo, HAPA BEI YA MAFUTA HAITASHUKA.
Akina Msoga and Co. Ltd, ndipo sasa wanakuwa trillionaires!
Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limetangaza kuanza kwa tathmini ya athari za ongezeko la bei ya mafuta katika sekta ya usafiri wa majini, hatua inayolenga kubaini kama kuna haja ya kurekebisha nauli za abiria. Tathmini hii imechochewa na mabadiliko ya bei elekezi za mafuta yaliyoanza...
Tunakuwa na viongozi fake ambao hata bei ya mafuta hawawezi kupiga mahesabu madogo na kujua. Leo ndiyo watuwakilishe kwenye mikataba ya bandari na mafuta. Wamejaza machawa vilaza nchi nzima🤦🏾♂️🤦🏾♂️🤦🏾♂️🤦🏾♂️ mapinduzi ni lazima hapa
MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafirishaji Ardhini (LATRA), Habibu Suluo, amesema kuwa kupanda kwa bei ya Mafuta ya sasa haiathiri nauli hivyo nauli zitaendelea kubaki vile vile.
Suluo ameongeza kuwa nauli zinaweza kupandishwa ikiwa bei ya Mafuta itapanda kwa kiwango kikubwa...
Akizungumza Aprili 8, 2026 katika hafla ya uapisho wa viongozi mbalimbali aliowateua hivi karibuni, Rais Samia ametoa mchanganuo wa bei za mafuta kwa mataifa ya Ulaya na Marekani, akieleza kwa Tanzania ni nafuu na bado kuna uhakika wa Mafuta kwa miezi mitatu.
Soma pia Rais Samia: Naanza...
Rais Samia amedai kuwa bei ya Mafuta nchini ni ndogo ukilinganisha na nchi nyingine licha ya kupunguza ushuru, wananchi muwe watulivu hili jambo halijasababishwa na Serikali yetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.