Shirkika la habari la Marekani - CNN limeripoti kwamba, bei ya mafuta imepaa kufikia $100 kwa pipa moja
Hii ni baada ya Jeshi la Yemen linaloungwa mkono na Iran, Houthis, kutangaza kufunga mlango wa bahari nyekundu , Bab-el-Mandeb, na kutoruhusu meli aina yeyote kuvuka
Hivi karibuni, Jeshi la...
Obwere bei ni 4,209 per litre ila Busurwa ni 4,750 wakat n ndan ya wilaya moja na amekuwa akifatiliwa anadanganya et ni kwa ajili ya wavuvi wake lakin n uongo hana wavuvi anawauzia wananchi wa Busurwa .
Kuna namna anashirikiana na wenye mamlaka
Moja kwa moja kwenye kero yangu:
Nimeona tangazo la EWURA kutangaza kuwa bei ya mafuta ya petroli na dizeli imeshuka kwa sh 96 and 151 kwa mafuta yanayoshushiwa katika bandari ya Dar-es-salaam .
Bei mpya
Petroli: Sh 3,990 kwa lita
Dizeli: Sh 4,182 kwa lita
mpaka sasa sijaelewa kwanini mafuta...
Maneno anayosema Mbunge wa Viti Maalumu, Sigrada Mligo, kwenye video kwa maandishi
Sigrada- "Mmeona wabunge huko wana wanakutana wanajadili mafuta? Yaani wako siriasi kuwasemea wananchi kuhusu mafuta? Bunge siriasi linatakiwa lisimamishe ratiba zote lijadili jambo la dharura la mafuta kwa...
Shalom Shalom wakuu...!!
Katika kuperuzi kwangu mtandaoni nimekutana na taarifa kutoka kwa shirika la habari la kimataifa la Al Jazeera ikisema kuwa bei ya mafuta imeshuka sana katika viwango ambavyo havijapatwa kushuhudiwa toka vita ya Marekani akishirikiana na Israel dhidi ya taifa la Iran...
Hivi neno uzalendo mnajua maana yake? Mbatuambia tuipende nchi yetu huku nyie wenyewe mkiishi kwenye dimbwi la anasa na watoto wenu.
Bei ya mafuta Huko duniani imeshuka Kwa kiwango cha chini kabisaa lkn bado mnakuja kupunguza Tsh 96 hivi nyie ni wazima kweli?
Mbona kwenye kupanda mlipandisha...
EWURA Hakuna excuse sahivi. Petrol na Diesel ziwe under 3,500 Tsh kwa July, hafu August ndio isivuke 3,000 Tsh. Masaa machache yajayo tunasubiria mkeka wenu.
Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi amesema kuwa Serikali imezitaka mamlaka za TPDC, PBPA na EWURA kuhakikisha kuwa punguzo la bei ya mafuta katika soko la dunia linaanza kuonekana kwa wananchi nchini kuanzia mwezi ujao.
Agizo hili linakuja kufuatia kuanza kushuka kwa bei ya mafuta ghafi...
Hi serikali huwa inachezea sana wananchi kwenye suala la bei ya mafuta. Kwa mfano, siku zote huwa tuna akiba ya mafuta yaliyonunuliwa ya miezi mitatu. Vita ya Iran na USA ilipoanza, japo tulikuwa bado na akiba ya mafuta ya miezi mitatu iliyonunuliwa kwa bei poa, serikali kwa makusudi iliamua...
Kufikia leo tarehe 2 Juni 2026, bei ya mafuta ghafi kwenye soko la dunia imeonyesha mabadiliko makubwa katika mwezi uliopita (Mei), ambapo bei imeshuka kwa takriban asilimia 15% hadi 20% kutegemeana na aina ya mafuta ghafi.
Mchanganuo wa mabadiliko hayo kwa soko la leo uko hivi:
'-Mafuta ya...
Kupanda kwa bei ya mafuta kuna athari kubwa kwa uchumi wa wananchi na taifa kwa ujumla. Mafuta yanapopanda, gharama za usafiri, chakula, uzalishaji na huduma mbalimbali huongezeka. Hata kama kuna sababu za kimataifa zinazoathiri soko la mafuta, jukumu la serikali ni kuweka sera madhubuti za...
Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Petroli nchini Kenya (EPRA) imetangaza marekebisho mapya ya bei za mafuta, Katika mapitio hayo, bei ya dizeli imepunguzwa kwa Sh10.06 kwa lita, huku mafuta ya taa yakiongezeka kwa Sh38.60 kwa lita, wakati bei ya Super Petrol ikibaki bila mabadiliko. Mabadiliko...
Watu 4 wafariki dunia kufutia maandamano ya kupinga bei ya mafuta yaliyofanyika jana May 18, 2026, huku mgomo wa magari(matatu) ukiendelea kwa siku ya pili licha ya Diseli kushushwa kwa Tsh. 202.51 (KSH 10.06) na kuwa Tsh. 4687.47 (KSH 323.86) huku Petrol ikiendelea kuwa Tsh. 4312.85 (KSH...
Mamlaka ya Kudhibiti Nishati na Petroli nchini Kenya (EPRA) imetangaza kupunguza bei ya dizeli kwa Shilingi za Kenya 10.06 kwa lita baada ya shinikizo kutoka kwa waendeshaji wa sekta ya usafiri waliopinga ongezeko kubwa la bei ya mafuta.
Katika mapitio mapya yaliyotangazwa Jumatatu jioni, bei...
Lei, Mei 18 kwenye baadhi ya maeneo kumeonekana migomo na maandamano ya watu wakidai bei ya mafuta imekuwa kubwa sana hivyo wanahitaji uwajibikaji bdi ishuke
Hii ni Barabara ya Thika kuelekea mjini... wenye magari wanalazimika kurudi....Vijana wanawataka warudi nyumbani wasiingie town....hofu ya wezi ni kubwa pia
Maeneo ya Kitengela
=============
Gavana wa Nairobi, Johnson Sakaja, ametangaza kusitishwa kwa mgomo wa wasafarishaji kwa muda wa wiki...
Mwanaichi wa kawaida Kenya amebaki confused na hii mchezo ya fuel prices. Last month tu serikali ilitangaza bei ya mafuta imepanda vibaya, wananchi wakalalamika, pressure ikaongezeka online na kwa ground, then ghafla prices zikashushwa kidogo kama “relief.” Sasa barely a month later, boom...
NB: Table hii haihusiani na bei mpya iliyotangazwa leo. Imetumika tu kujenga hoja.
Jumla ya tozo ambazo zipo kwenye bidhaa ya mafuta ya Petrol na Dizeli kwa kila lita moja ni kama 30% ya bei. Serikali iiangalie namna ya kupunguza tozo hizi hata kwa 50%. Nchi kadhaa za Afrika kama Namibia...
Njia rahisi sana ya kupunguza bei ya mafuta kwa wenye akili watanielewa
Mfano
Kodi zote ni 31% ya bei ya mafuta
Ths 3500 kwa lita kodi zote ni Tsh 1,085
Mfano sasa bei ni Tsh 4500 kodi ni Tsh 1,395
Serikali ikisema tu kwamba badala ya kukusanya kodi kwa 31% tukusanye kwa kiasi kabla ya vita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.