Synthesizer
JF-Expert Member
- Feb 15, 2010
- 11,143
- 18,774
Vita ya Urusi na Ukraine imeathiri karibu nchi zote duniani, na hasa upande wa mafuta. Vita hii imeleta hali ambayo haikubaliki duniani kote na ndani ya Urusi pia. Kimsingi, Putin ndio anaonwa kua chanzo cha haya yote.
Na ni wazi Putin hakutarajia kwamba hali ya vita na Ukraine ingekua kama ilivyo sasa. Kwa sasa anawaza sana jinsi ya kuepukana na aibu ya kupigwa na Ukraine. Juzi hapa alichukua hatua ya kulipiza kisasi na kupiga miji katika maeno ya raia, jambo ambalo alijua kabisa ni kosa kubwa sana katika sisa za kimataifa. Anatapatapa (desparate) na sasa kuna wasiwasi nje na ndani ya Urusi kwamba anaweza kutumia silaha za nuklia.
Mafanikio ya Ukraine yametokana na silaha sa kisasa sana tuka NATO. Ni silaha ambazo huwezi hta kukificha kifaru, na zinafanya Ukraine waone kila sehemu silaha za Urusi zilipo na kuzipiga wanavyotaka. Urusi ndio sasa wanatambua teknolojia ya NATO kwenye kuziona silaha zake iko juu sana. Kutumia vifaru kwenye vita ni sawa na kuamua kujiua! Ukraine amepiga maghala ya silaha karibu yote yanayoonekana katika sehemu zilizochukuliwa na Urusi, na lengo sasa ni kuizuia Urusi kupeleka silaha zaidi maeneo hayo, ndio maana wanaharibu madaraja.
Na juzi hapa kajaribu kujikosha na kusema nchi za Ulaya bado zinaweza kuendelea kutumia gesi ya Urusi maana kuna bomba lipo kusafirisha gesi hii kupitia Germany. Putin ameanza kulia poo lakini Wajerumani wamekataa ofa yake.
Na pia Ulaya imeamua kwamba hata vita ikiisha hawataki tena kuitegemea Urusi kwa gesi na mafuta. Hivyo hata vita ikiisha na Putin bado akawa raisi, hali ya uchumi kwa Urusi haitakuwa nzuri kwa kuwa atakuwa na mafuta na gesi kwa wingi bila kuwa na sehemu za kuyauza. Hili litaporomosha sana bei ya mafuta na gesi duniani. Saud Arabia kwa kutambua hili ameanza kujiweka karibu na upande wa Ukraine. Wamewapa USD 400 milioni kukabili athari za makombora ya Urusi kwa wananchi.
Katikati ya mafanikio ya kivita ya Ukraine, nchi hiyo na Ulaya wanatambua kwamba hata kama Ukraine wakifanikiwa kuyaondoa majeshi ya Urusi Ukraine na kurudisha maeneo yote huku Putin akiendelea kuwa Raisi wa Urusi, kuna sku atarudi tena akiwa amejiandaa vizuri zaidi na vita itakuwa mbaya zaidi. Kwa hiyo wanaona suluhisho la kudumu ni Putin kutokuwa raisi wa Urusi, eidha kwa kulazimishwa kuondoka, au ikibidi kuuwawa (assassination). Wanasema hili ndilo lilikuwa lengo la vikwazo vya uchumi kwa Urusi na matajiri wa Urusi, na lazima lifanikiwe ili amani ipatikane.
Ndani ya Urusi, kutambua kwamba kuendelea kwa Putin kuwa raisi wa Urusi ni janga litakaloendelea kuwakabili hata kama vita na Ukraine ikiisha, kumeanza kuleta vuguvugu wanalotaka mataifa ya Ulaya - Putin aondoke kwa njia moja au nyingine. Apinduliwe? Auwawe? Moja kati ya haya mawili linakuja na litaathiri sana bei ya mafuta, hasa kuitelemsha. Watch this space
Na ni wazi Putin hakutarajia kwamba hali ya vita na Ukraine ingekua kama ilivyo sasa. Kwa sasa anawaza sana jinsi ya kuepukana na aibu ya kupigwa na Ukraine. Juzi hapa alichukua hatua ya kulipiza kisasi na kupiga miji katika maeno ya raia, jambo ambalo alijua kabisa ni kosa kubwa sana katika sisa za kimataifa. Anatapatapa (desparate) na sasa kuna wasiwasi nje na ndani ya Urusi kwamba anaweza kutumia silaha za nuklia.
Mafanikio ya Ukraine yametokana na silaha sa kisasa sana tuka NATO. Ni silaha ambazo huwezi hta kukificha kifaru, na zinafanya Ukraine waone kila sehemu silaha za Urusi zilipo na kuzipiga wanavyotaka. Urusi ndio sasa wanatambua teknolojia ya NATO kwenye kuziona silaha zake iko juu sana. Kutumia vifaru kwenye vita ni sawa na kuamua kujiua! Ukraine amepiga maghala ya silaha karibu yote yanayoonekana katika sehemu zilizochukuliwa na Urusi, na lengo sasa ni kuizuia Urusi kupeleka silaha zaidi maeneo hayo, ndio maana wanaharibu madaraja.
Na juzi hapa kajaribu kujikosha na kusema nchi za Ulaya bado zinaweza kuendelea kutumia gesi ya Urusi maana kuna bomba lipo kusafirisha gesi hii kupitia Germany. Putin ameanza kulia poo lakini Wajerumani wamekataa ofa yake.
Na pia Ulaya imeamua kwamba hata vita ikiisha hawataki tena kuitegemea Urusi kwa gesi na mafuta. Hivyo hata vita ikiisha na Putin bado akawa raisi, hali ya uchumi kwa Urusi haitakuwa nzuri kwa kuwa atakuwa na mafuta na gesi kwa wingi bila kuwa na sehemu za kuyauza. Hili litaporomosha sana bei ya mafuta na gesi duniani. Saud Arabia kwa kutambua hili ameanza kujiweka karibu na upande wa Ukraine. Wamewapa USD 400 milioni kukabili athari za makombora ya Urusi kwa wananchi.
Katikati ya mafanikio ya kivita ya Ukraine, nchi hiyo na Ulaya wanatambua kwamba hata kama Ukraine wakifanikiwa kuyaondoa majeshi ya Urusi Ukraine na kurudisha maeneo yote huku Putin akiendelea kuwa Raisi wa Urusi, kuna sku atarudi tena akiwa amejiandaa vizuri zaidi na vita itakuwa mbaya zaidi. Kwa hiyo wanaona suluhisho la kudumu ni Putin kutokuwa raisi wa Urusi, eidha kwa kulazimishwa kuondoka, au ikibidi kuuwawa (assassination). Wanasema hili ndilo lilikuwa lengo la vikwazo vya uchumi kwa Urusi na matajiri wa Urusi, na lazima lifanikiwe ili amani ipatikane.
Ndani ya Urusi, kutambua kwamba kuendelea kwa Putin kuwa raisi wa Urusi ni janga litakaloendelea kuwakabili hata kama vita na Ukraine ikiisha, kumeanza kuleta vuguvugu wanalotaka mataifa ya Ulaya - Putin aondoke kwa njia moja au nyingine. Apinduliwe? Auwawe? Moja kati ya haya mawili linakuja na litaathiri sana bei ya mafuta, hasa kuitelemsha. Watch this space