wizara ya afya

  1. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Hospitali Kwangwa: Ndg. Butiku alihudumiwa kulingana na taratibu, mtumishi aliyedai gharama zaidi nje ya mfumo atachukuliwa hatua

    Baada ya ndugu wa Butiku kuripoti mazingira ya rushwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Kumbukumbu ya Mwl. Nyerere (Kwangwa) walipomfikisha kupata huduma, hospitali yatoa ufafanuzi; Pia soma; Mwenzetu Warioba yupo ICU - Hospitali ya Kwangwa, Watumishi wanatubambikia bili zenye harufu ya...
  2. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Kwanini TACAIDS na Waziri wa Afya imenyamazia ishu ya Cherry na Dotto Magari?

    Kutwa Serikali kupitia Wizara pamoja na TACAIDS mlikuwa na Kampeni yenu ya Kupinga Unyanyapaa kwa Watu walioathirika na VVU. Sasa kama ile Kampeni yenu ilitumia Mabilioni ya Fedha kupitia Vyombo mbalimbali vya Habari kupinga Unyanyapaa hivi ingekuwa kweli imefanikiwa huu Upumbavu wa akina...
  3. Hamissi Hamza Jr

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Wizara ya Afya isibadili utaratibu wa utoaji huduma kwenye vituo vya afya?

    Utoaji Wa Huduma wa Wahudumu wa Afya kwenye Vituo vya afya nchini ni wa udhalilishaji na kutweza utu Wa Wagonjwa/Wahitaji wa huduma ya afya, Si Sawa Mama Mjamzito kupimwa njia au Kuzalishwa na Daktari/Mtoa huduma wa kiume, Pia Utaratibu wa Kuchoma watu Wazima Sindano za Makalio uondolewe kwa...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Afya imekosa viongozi waadilifu hadi kuteua wenye tuhuma nzito za ufisadi?

    Wizara ya Afya imekosa viongozi waadilifu hadi kuteua wenye tuhuma nzito za ufisadi? Kupitia jukwaa hili la JamiiForums, tunapenda kuhoji na kuomba ufafanuzi wa wazi kutoka kwa viongozi wa Wizara ya Afya pamoja na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kuhusu muendelezo wa teuzi...
  5. A

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini watumishi wa huduma afya wakiwa kazini wanavaa sana yeboyebo je ndio utaratibu rasmi wa wizara ya afya?

    Nipo katika hospital ya Wilaya ya Mkalama muda huu. Naona kila mhudumu wa afya anapita kavailia uniform nadhifu lakini cha kushangaza chini wanavaa yeboyebo tena za shilingi elfu tano tano. Je, ndio utaratibu rasmi wa Wizara ya Afya?
  6. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Dkt. Seif Abdallah Shekalaghe kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uhamisho na uteuzi wa viongozi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, uhamisho na uteuzi huo ni kama ifuatavyo: (i) Dkt. Seif Abdallah Shekalaghe amehamishwa kutoka...
  7. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Aliyekuwa Mganga Mkuu wa Serikali, Dkt. Grace Elias Magembe ateuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya

    YAH: UHAMISHO NA UTEUZI WA VIONGOZI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uhamisho na uteuzi wa viongozi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, uhamisho na uteuzi huo ni kama ifuatavyo: (i) Dkt. Seif...
  8. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Dkt. Erastus Sylvanus: Wizara ya Afya haijapata ripoti ya mlipuko wa magonjwa ya tumbo

    Dkt. Erastus Sylvanus, Mkurugenzi wa Idara ya Huduma za Dharura na Maafa kutoka Wizara ya Afya amesema hawajapata malalamiko ya watu kuumwa magonjwa ya tumbo kwa wingi na kwamba wale wenye changamoto hiyo ni vema wakafika hospitali kupata huduma. Hoja ya Mdau ~ Ni kama kuna mlipuko wa homa ya...
  9. robinson crusoe

    JamiiForums Tanzania LENGO NI WIZI: Mkwe yuko wizara ya Afya bajeti imeongezwa. Bashe alikuwa Kilimo bajeti ikaongezwa

    Kweli kabisa mitandao inabaini mapema kabisa! Ktk kupanga bajeti za nchi, bajeti inaongezwa kutegemea nani ni waziri, na anapangiwa makatibu wakuu wa aina fulani. Trend hii ilijionesha kwa Bashe. akaja na program ya mfukoni, akafanya ufisadi anavyotaka, mitandao tukaandika, akina Mpina wakauliza...
  10. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Taasisi ya Saratani Ocean Road yamuonesha Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya jinsi Mtambo wa Cyclotron unavyofanya kazi

    Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Dkt. Seif Shekalaghe ametembelea kwenye banda la Taasisi ya Saratani Ocean Road lililopo kwenye Ukumbi wa Bunge jijini Dodoma na kueleza kuwa anahitaji maelezo mengi kutambua ubora wa kazi za Taasisi hiyo akieleza kuwa inajulikana kuwa ni Taasisi imara sana ndani...
  11. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Afya Yaomba Kuidhinishiwa Bajeti Tril. 1.8 Mwaka 2026/27, Fungu 52

    Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa ameliomba Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuidhinisha kiasi cha Shilingi trilioni 1.8 kwa ajili ya Matumizi ya Wizara hiyo katika mwaka wa fedha 2026/27 Fungu 52. Mchengerwa ameyasema hayo leo Mei 11, 2026 Bungeni jijini Dodoma wakati akiwasilisha...
  12. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Waziri Mchengerwa: Wizara ya Afya imefikia 72% ya Makusanyo, Fedha za Nje zaendelea kuimarisha Huduma Za Afya

    Wizara ya Afya pamoja na taasisi zake imeendelea kuimarisha utoaji wa huduma za afya nchini kupitia ukusanyaji wa mapato na matumizi ya fedha katika utekelezaji wa miradi na huduma mbalimbali za afya kwa wananchi. Hayo yamesemwa na Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa leo Mei 11, 2026, wakati...
  13. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Ujenzi, Wizara ya Afya & TANROADS, ingilieni kati hali ya vumbi jiji la Mbeya kabla haijageuka janga la afya ya umma

    1/ Kutoka Uyole hadi Mbalizi, wananchi wanakumbana na vumbi lisilomithirika kila siku. Hali hii si tu kero, bali ni tishio kubwa kwa afya za wakazi wa jiji la Mbeya hasa wafanyabiashara. Magari yanatimua vumbi zito sana pale katikakati ya jiji kwa sasa. 2/ Vumbi hili linaongeza hatari ya...
  14. A

    JamiiForums Tanzania KERO Wizara ya Afya itusaidie tulipwe fedha tunaofadhiliwa sekta ya Afya katika Vyuo Vikuu nje

    Tunaomba Serikali kuwalipa hela za matumizi na ada wafadhiliwa wa kada za ubingwa na ubobezi katika sekta ya afya wanaosomeshwa katika Vyuo Vikuu nje ya nchi. Mwaka umepita tangu tumepatiwa hela za kujikimu. Tunaishi maisha magumu nje ya nchi kwa kucheleweshewa hela za matumizi. Tunaomba...
  15. University of Dodoma (UDOM)

    JamiiForums Tanzania UDOM yazindua mafunzo ya mradi wa Kimataifa wa AI kuboresha huduma za Ultrasound kwa Wajawazito

    Mafunzo ya ukusanyaji wa takwimu kwa ajili ya mradi wa “AI-Assisted Ultrasound Feasibility and Assessment of Resources and Integration (SAFARI)” yameanza rasmi Jumatatu, tarehe 30 Machi 2026, na yanatarajiwa kuhitimishwa tarehe 1 Aprili 2026. Mafunzo hayo yanafanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa...
  16. DogoWaNjombe

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Afya: Asilimia 76.5 ya Watu Wazima Tanzania wameoza meno, Watoto ni Asilimia 31

    Mkurugenzi Msaidizi wa Huduma za Afya ya Kinywa na Meno kutoka Wizara ya Afya, Dk. Baraka Nzobo amesema kuwa, kulingana na tafiti zilizofanyika, inaonesha kuwa kati ya Watanzania watu wazima, zaidi ya asilimia 76 wanakabiliwa na matatizo ya meno, huku watoto wakikabiliwa na tatizo hilo kwa...
  17. S

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Udanganyifu wa mitihani Paradigms

    Chuo cha Paradigms institute kilichopo kimara Dar es salaam pale wanaandaa waiting wa hovyo kwenye sector ya afya hasa course ya clinical medicine. Yani wanafunzi wanatajiwa majibu ya mitihani tena mitihani ya afya procedure book zinafojiwa mitihani ya cats ya wodini hawafanyi yani hakuna chuo...
  18. N

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Afya: Kuna ongezeko la magonjwa ya mlipuko yakiwemo mafua makali ya Influenza, UVIKO-19, Dengue na Kipindupindu

    Wizara ya Afya imetoa tahadhari kwa wananchi kuhusu ongezeko la magonjwa ya mlipuko yakiwemo mafua makali ya Influenza, UVIKO-19, homa ya Dengue na Kipindupindu na kutoa wito kwa jamii kuzingatia kikamilifu hatua za kinga ili kudhibiti maambukizi. Taarifa hiyo imetolewa leo Februari 25,2026 na...
  19. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Afya: Kuna ongezeko la Mafua makali ya influenza na UVIKO 19 nchini Tanzania

    Pia soma Visa vya UVIKO-19 vyaongezeka nchini, Dar es Salaam ikiwa kinara
  20. A

    JamiiForums Tanzania KERO Ahadi hewa ya Utekelezaji wa Muundo wa Utumishi kwa Sekta ya Afya (Kada ya Uuguzi na Ukunga) kwa Mwaka wa Fedha 2025/2026

    JE ILIKUWA NI AHADI HEWA YA KUPITISHWA NA KUANZA UTEKELEZAJI WA MUUNDO WA UTUMISHI KWA SEKTA YA AFYA (KADA YA UUGUZI NA UKUNGA) KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 ILIYOTOLEWA NA OFISI YA RAIS – MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA MWEZI MEI 2025? Habari, Kwa masikitiko makubwa napenda...
Back
Top Bottom