takukuru

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO TAKUKURU-Tabora, toeni taarifa kwa umma juu uchunguzi wa mhakiki mali (Muuzaji wa minada ya serikali ya Tabora) kuhusu kuficha baadhi ya magari

    Siku ya tarehe 26 mwezi 5, 2026 mhakiki mali wa Tabora au dalali wa Serikali ambaye ni mtumishi wa Serikali chini ya hazina kaficha baadhi ya magari taktibani 5 ya mnada uliokuwa Tabora kama Land Cruiser ya OCD Tabora (lot no 4), Land Rover puma n.k zilizokuwa kwenye mnada ambayo ni kwa maslahi...
  2. Abtali Mwerevu

    JamiiForums Tanzania Mfano wa Maswali ya Usaili PCCB TAKUKURU Mtihani wa Mchujo

    Vijana wengi wameitwa katika usaili wa mchujo TAKUKURU au PCCB. Usaili huu ni wa kuandika na unafanyika kwa njia ya kompyuta. Wengi walioitwa katika usaili, hawajui hasa ni maswali ya aina gani yanatoka. Ni jambo la hatari kwenda katika mtihani ambao hujui maswali yataulizwa kuhusu nini, endapo...
  3. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Takukuru iingilie kati kufanya uchunguzi juu ya matumizi ya fedha yanayofanywa na Makonda na wizara ya maliasili na utalii kuleta wanamichezo nchini.

    Hizi ni pesa za walipa kodi na ni pesa ambazo zilipaswa kutumika kwa maendeleo ya Watanzania. Sasa wanaletwa akina Rio Ferdinand, wacheza mieleka wapiga masumbwi na wakata viuno kwa kigezo cha kukuza utalii. Huu ni upigaji na wizi wa pesa za umma ambao hayati Magufuli kama angekuwepo...
  4. Jidu La Mabambasi

    JamiiForums Tanzania TAKUKURU mnalala kwa makusudi: Ufisadi miradi ya ujenzi uko wazi na mnajidai hamuuoni!

    Huu mkeka wa ufisadi umepamba moto miaka ya karibuni bila kuchukuliwa hatua, TAKUKURU ina fuatilia vidagaa, na ni kwa vile wakubwa wanahusika katika hii grand corruption. Ujenzi sasa hivi ni sekta inakaribia kubomoka kabisa kutokana na corruption inayowahusu Wachina, Taasisi za ujenzi, hasa...
  5. M

    JamiiForums Tanzania TAKUKURU NAONA NI BORA IWEKWE CHINI YA JESHI YA WANANCHI (JWTZ)

    Rushwa ni adui wa TAIFA Kwa ufupi naomba nikuonyeshe why nasema Rushwa ni adui wa TAIFA. 1. Rushwa inawanyima wanyonge haki zao. Mnyonge hasikilizwi popote labda awe na rupia ndo atavunja uzia. 2. Rushwa ni chanzo cha maovu yanayotokea kwenye TAIFA. Mfano:- (a) mtoto kabakwa, baba wa mtoto...
  6. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania TAKUKURU: Alex Msama bado anatafutwa

    Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Kinondoni imesema inaendelea na msako wa Alex Msama ili ajibu mashtaka yanayomkabili Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam ijumaa, Mei 15, 2026, Naibu Mkuu wa Takukuru Mkoa wa Kinondoni, Elizabeth Mokiwa, amesema tangu...
  7. Y

    JamiiForums Tanzania Yohana Msita: TAKUKURU wanaopanga majengo wanapata wakati mgumu pale waliowapangisha wanapofanya makosa

    Kamati ya Bunge Yashauri Serikali Kukamilisha Ujenzi wa Ofisi za TAKUKURU Dodoma – Kamati ya Bunge imeitaka Serikali kuhakikisha inakamilisha ujenzi wa ofisi za Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) katika ngazi ya mikoa na wilaya, ili kuimarisha utendaji wa taasisi hiyo na...
  8. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Kigezo cha cheti cha Darasa la 7 ajira ya TAKUKURU kiangaliwe vizuri

    Mimi ni kijana ninayeomba ajira zilitolewa TAKUKURU lakini kuna sharti la Cheti cha Darasa la Saba, ukweli mtupu kuwa tuliohitimu Mwaka 2015 Darasa la Saba hatukupata vyeti hadi sasa havipo. Hii inatia ugumu kupata nafasi kwa kigezo hiki kwani miaka mingine wana vyeti, hii itatukosesha nafasi...
  9. Abtali Mwerevu

    JamiiForums Tanzania Nafasi za Kazi TAKUKURU

    TAKUKURU imetangaza nafasi za kazi, nafasi mpya za kazi zilizotangazwa na TAKUKURU zimegawanyika katika makundi mawili: Kundi la kwanza, Muombaji awe na angalau elimu ya shahada ya kwanza iliyotolewa na chuo kinachotambuliwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika moja ya fani...
  10. Solo Traveller

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu kwa vijana wa kuomba kazi TAKUKURU

    Wakuu nafasi zimetoka 500 kwa bachelor na diploma naomba Uzi huu uwe maalumu kupeana abc za taratibu za kuomba ajira nk
  11. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania DC Sixtus Mapunda: Wananchi wananiambia hawataki kwenda Polisi, bora niwapeleke TAKUKURU kwa kuwa kuna haki

    Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Sixtus Mapunda. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imesisitiza kuendelea kushiriki katika shughuli za kijamii sambamba na jukumu lake la msingi la kupambana na rushwa, ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono juhudi za Serikali katika kuboresha huduma za afya...
  12. Penguinelli Cactussini

    JamiiForums Tanzania Nimefurahi TAKUKURU kuokoa Shilingi milioni 259.2 kati ya mabilioni kwenye ripoti ya CAG

    Hii inaonyesha ni kwa namna gani TAKUKURU wamejipanga kukabiliana wezi wa mali za umma. Yamepotea mabilioni na mikataba ya magumashi ila WAMEFANIKIWA kuokoa Shilingi milioni 259.2 lazima tuipongeze ni hatua kubwa.
  13. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania TAKUKURU yawafikisha Mahakamani Wabunge wawili wa Chato Kusini na Chato Kaskazini

    TAKUKURU GEITA YAWAFIKISHA MAHAKAMANI WABUNGE NA MADIWANI MAJIMBO YA CHATO KASKAZINI NA CHATO KUSINI Ndugu Wanahabari, Kati ya tarehe 28.11.2025 na tarehe 30.11.2025 TAKUKURU (M) Geita ilipokea taarifa za uwepo wa vitendo vilivyoshukiwa kuwa ni vya rushwa vilivyofanywa na Mhe. Cornel Lucas...
  14. B

    JamiiForums Tanzania KERO Wanufaika wa Kituo cha Mama Kibonge (Buza) ni kina nani? Wanaidharau hadi TAKUKURU huku Wananchi tukiendelea kuteseka

    Licha ya Mamlaka ya TAKUKURU Temeke kushauri utaratibu wa Daladala kufika hadi Kituo cha Buza Kanisani badala ya kuishia katika kile kituo chao kipya cha Mama Kibonge, yaani ratiba zirejee kama ilivyokuwa awali, bado mambo yamekuwa magumu kutekelezeka. Mjadala wa awali ~ TAKUKURU: Tunafanya...
  15. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania TAKUKURU Temeke: Tumeamfikisha Askofu Mahakamani kwa tuhuma za kughushi nyaraka za ardhi

    Katika kipindi cha Oktoba hadi Disemba 2025, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Temeke imefanikisha kumfikisha mahakamani Askofu Renatus Joseph Nyalali, Askofu kutoka kanisa la Hosanna Assemblies of God Tanzania (HAOGT), kwa tuhuma za kughushi nyaraka na kutoa nyaraka za...
  16. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania TAKUKURU: Tunafanya uchunguzi Kituo cha Buza Kanisani kuhamishwa, tunashauri kwa sasa utaratibu wa zamani urejee

    MKUU WA TAKUKURU TEMEKE (M) - HOLLE MAKUNGU TAARIFA KWA UMMA TAKUKURU TEMEKE YACHUKUA HATUA KUFUATIA KERO YA WANANCHI BUZA Temeke Februari, 2026 Ndugu Waandishi wa Habari, TAKUKURU Mkoa wa Temeke tumewaita leo kufuatia taarifa ya kero ya wananchi wanaoishi eneo la Buzza, Wilaya ya Temeke...
  17. R

    JamiiForums Tanzania Zungu: Wabunge wapo huru kutoa mawazo na kufanya majadiliano. Sijatoa Kibali Mbunge kuhojiwa TAKUKURU

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Zungu, amekanusha madai ya vyombo vya habari yanayodai kuwa baadhi ya wabunge wameitwa kuhojiwa na TAKUKURU kutokana na michango yao wakati wa mjadala wa hotuba ya Rais. Akizungumza bungeni Dodoma Februari 5, 2026, amesema ofisi yake...
  18. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Shabiby: Sijaitwa TAKUKURU na hakuna wa kunitisha

    Akizungumza na waandishi wa habari leo Februari 02, 2026, katika viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Shabiby amesema taarifa hizo si za kweli, akisisitiza kuwa hakuna hata mmoja wao aliyepokea wito kutoka TAKUKURU kama inavyodaiwa. “Hapana, mimi sijawahi kuitwa, na hata nimemuuliza mwenzangu Kangi...
  19. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania TAKUKURU yawaita Shabiby na Kangi Lugola

    Gazeti la Mwananchi la Januari 31, 2026 hii ndiyo haba kuu ambapo wamedai, Bosi wa Takukuru afunguka sakata likichukua sura mpya, orodha yasubiriwa. Wasomi wataka hoja zisiishie bungeni, hatua zifuate. Huku Chief Odemba akiandika alichokisema, Crispin Chalamila, Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya...
  20. H

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mwigulu aelekea Morogoro kufungua mkutano wa mwaka wa TAKUKURU

    WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba akisafiri kwa Treni ya reli ya kiwango cha kimataifa (SGR) kutoka Dar es Salaam kuelekea Morogoro ambapo atamwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt. Samia Suluhu Hassan katika mkutano wa mwaka wa viongozi wa TAKUKURU, unaofanyika leo Januari 26, 2026.
Back
Top Bottom