kupata

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. ufalmedigital

    JamiiForums Tanzania 🎓🚀 ChuoSmart: Jukwaa la Kisasa la Kujifunza, Kupata Kazi na Kukuza Vipaji Tanzania

    Katika dunia ya leo, elimu na ujuzi wa vitendo ndiyo silaha kubwa ya mafanikio. ChuoSmart ni jukwaa la kidijitali linalounganisha elimu, ujuzi, vipaji na fursa za kazi katika sehemu moja kwa lugha rahisi ya Kiswahili. Jukwaa hili linalenga kuwasaidia wanafunzi, vijana, wafanyakazi na...
  2. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Ni muhimu sama taifa, kuanzisha kampeni ya mapema ya kuwakataa vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi kwenye sanduku la kura 2030.

    Hii itachochea kwa kiasi kikubwa ari ya uzalendo miongoni mwa wananchi, na kuweka maslahi mapana ya waTanzania wote mbele kuliko maslahi binafsi. Kwakua vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi nchini wameshajibainisha wenyewe, ni jukumu letu sasa kama waTanzania kuchukua hatua muafaka za makusudi...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Umuhimu wa Hesabu;Tumia Kigawe Kikubwa cha shirika (KKS) kupata size ya tiles na kupunguza upotevu(kukata kata).

    Wengi huwa tunajiuliza umuhimu wa hesabu mbali mbali tulizofundishwa mashuleni/vyuoni.Ukweli ni kwamba hesabu zote zina matumizi muhimu sana katika maisha yetu. Kigawe kikubwa cha shirika (KKS) kinaweza kukusaidia kujua size ya tiles ili kupunguza upotevu (wastage) inayotokana na kukata kata...
  4. Prakatatumba abaabaabaa

    JamiiForums Tanzania Mzazi anaona bora mtoto alipwe laki 3 akiwa ameajiriwa kuliko kupata million 1 ya kujitafutia

    Nadhani hili mentality ipo sana kwa wazazi wetu hasa ambao. Hawakufika shule nadhani, waliishi katika dunia ambayo waliamini kuajiriwa ndio kila kitu. Week iliyopita nilikua kwenye mji mmoja unaitwa Msalala geita hapo, kuna harakati sana za madini, nikakutana na homeboy wangu mmoja...
  5. Fbn

    JamiiForums Tanzania Nitajie nchi za Afrika tokea kupata uhuru au sehemu nyengine urusi ilivyounga mkono nchi zikawa na maendeleo makubwa ya kutisha

    Sawa ni super pawa ila sijawahi kuona sehemu urusi anapounga mkono pakawa salama zaidi ya watu kupitia mateso,vita visivyo kuwa na ukomo,maendeleo yanakuwa kwenye jeshi tu na watawala wala sio wananchi. Tukiwachekea hawa tuna ungana na historia za wengine.
  6. Simeone

    JamiiForums Tanzania Nawezaje kupata namba ya NIDA?

    Wakuu kwema, Umepita muda wa mwezi mmoja tangu nijiandikishe nida ili kupata kitambulisho cha Taifa, sijatumiwa sms na NIN na kawaida wanasema inachukua wiki 1 tu kutoa namba Mwenye kujua jinsi ya kuangalia kama namba imetoka au kujua maombi yapo hatua gani anielekeze. ASANTENI.
  7. SAMBOZAM

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanauke: Mbinu za kupata utajiri usioyumba [Kushuka yaani ni Kupanda tu hadharani]

    Oa Mwanamke kabila la Wakikuyu toka Kenya Ni mabepali wazuri sana
  8. SAMBOZAM

    JamiiForums Tanzania Mbinu za kupata utajiri usioyumba [Kushuka yaani ni Kupanda tu hadharani]

    Jiunge CCM
  9. Kitomai

    JamiiForums Tanzania Tunakusaidia Kupata Property Inayokufaa!

    🏡 Je, unatafuta nyumba ya kupanga au kununua? Tuna options mbalimbali katika maeneo ya Upanga, Masaki, Oysterbay, Mikocheni na maeneo mengine ya Dar es Salaam. ✅ Apartments za Kisasa ✅ Nyumba za Kupanga na Kuuza ✅ Viwanja vya Uwekezaji ✅ Commercial Properties 📞 Piga Simu au WhatsApp: 0784...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Kama kuna kosa kubwa alilolifanya Mwl Nyerere ni kusaidia mataifa ya kusini kupata uhuru. Mpaka leo hili kosa linatugharimu

    Pesa nyingi ilitumika kusaida nchi za kusini mwa Afrika na akasahau kabisa kujenga taifa lake. Watanzania waliishi maisha dhiki huku mataifa ya nje yakinufaika na kupata uhuru. Miaka 26 aliyetawala Mwl Nyerere aliiacha nchi hovyo kiuchumi na maendeleo. Naishia hapa....
  11. M

    JamiiForums Tanzania Nawezaje kupata Trial ya Chat Gpt plus, Option ipo ila inakwama nikiweka payment details ?

    Huwa nikiingia chatgpt kwenye pc naona kuna sehemu ya trial kujaribu kwa mwezi moja bure Ila nikiingiza details za kwenye kadi ya mpesa visa card inakataa Kuna rafiki yangu alitumia vpn ya Marekani na kupata option ya paypal ikakubali lakini bado yupo kwenye ofa ya kawaida
  12. R

    JamiiForums Tanzania Zitto: Kuwa na Bunge ambalo asilimia 96 ni Chama kimoja huwezi kupata Fikra tofauti

    Kiongozi Mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe akifanya Mahojiano na Clouds Media leo Mei 28, 2026 "Kuwa na bunge ambalo ni 96% ni chama kimoja huwezi kupata fikra tofauti. Kwa hiyo, wala sio afya wala sifa kuwa na control ya mawazo ya upande mmoja tu."- Amesema Zitto Kabwe
  13. O

    JamiiForums Tanzania JINSI YA KUPATA AVN NUMBER

    Kwa wanaohitaji msaada WA kupata AVN NUMBER, KUAPLY HELSB mkopo (Avn number) na chuo nitext kwa 0622569980
  14. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Wiki moja tu ya mikutano ya CCM wamechanganyikiwa na kupata mfadhaiko wa kisiasa.

    Chadema wawe makinini sana kila wanapoenda kufanya mikutano. Maana imeonekana wanaCCM wamechanganyikwa na sasa hawapati usingizi. Ulinzi uimarishwe maana kama wameanza kukata watu mapanga msishangae wakachoma magari ya Chadema kama kule Chato. Kama wiki moja tu wamechanganyikiwq hivi je...
  15. zee_latown

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania kupata pisikali kwa kujitoa ufahamu

    Ni mwanzo tulivu sana wa weekend... maeneo fulani nimetulia na PC yangu nikaona nieleze kinaga ubaga kuhusu jambo hili lililoshamiri mno miongoni mwetu tulio wengi. ingawa jmbo hili halisemwi semwi sana ila limejiotea mizizi mno na bila shaka athari zake ni mbaya sana... nitazieleza mwishoni...
  16. A

    JamiiForums Tanzania KERO Wakazi wa Wilaya ya Micheweni – Pemba tunasumbuliwa kupata Vyeti vya Kuzaliwa, tunachoka kusubiri

    Sisi Wananchi wa Wilaya ya Micheweni, Mkoa wa Kaskazini Pemba tuna malalamimo juu ya upatikanaji wa Vyeti vya Kuzaliwa katika Ofisi ya Uwakala wa Usajili wa Matukio ya Kijamii, ukihitaji unasumbuliwa kuliko maelezo. Unaweza kufuatilia kwa muda wa mwaka mzima hujapata cheti cha mtoto wako...
  17. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kupuuzwa kwa uwepo wa watumishi wa kujitolea baadhi ya ofisi za Serikali; Hususani katika kupata stahiki na posho

    Mdau hapa. Leo ningependa kuzungumzia changamoto zinazowakumba baadhi ya watumishi wa kujitolea katika ofisi za serikali, hususan maeneo ya kusini mwa Tanzania. Sitapenda kutaja majina ya ofisi husika kwani wahusika wanajitambua wenyewe. Kumekuwa na tabia ya baadhi ya watumishi wa kujitolea...
  18. M

    JamiiForums Tanzania Serikali Imesema inatekeleza Sheria ya Afya ya Jamii ambayo inamtaka mtoa maudhui, mada au matangazo yanayohusu afya kupata kibali

    Serikali Imesema inatekeleza Sheria ya Afya ya Jamii ya Mwaka 2009 Kifungu Na.173 (1), ambacho kinamtaka mtoa maudhui, mada au matangazo yanayohusu afya ya jamii kupata kibali kutoka kwa waziri wa afya au ofisa aliyeidhinishwa na waziri. Kauli hiyo imeolewa bungeni leo Na Naibu Waziri wa Afya...
  19. Chizi Maarifer

    JamiiForums Tanzania Shati kama la Echolima1 naweza kupata wapi ?

    Mzuka wana jamvi ? Nimeona shati kwenye avatar ya Echolima1 nimevutiwa nalo, la unyama sana mixer ulokwiz hivi naweza kupata wapi kirahisi bongo ?
  20. Good doctor

    JamiiForums Tanzania Kwa comb ya PCP SIX ufaulu wa CDC naweza kupata kozi ya MD Kwa vyuo kama KCMC, Bugando na Kairuki?

    Husika na mada tajwa hapo juu msaada 🥺 please
Back
Top Bottom