ugonjwa

  1. D

    JamiiForums Tanzania Ugonjwa wa kupenda big nyanshi unanimaliza; Kila nikipanga kumwacha ananitegea nyanshi, tunaanza upya😌😌

    Ninamaliza mwaka wa tatu Sasa wa kuweka Nia ya kumwacha Kila mara maana ni jeuri sana huyu mwanamke. Tatizo linakuja hapa kwenye huu udhaifu nilionao wa kupenda nyanshi lililonona ambalo huyu mwanamke analo ndo maana ninaye. Tatizo zaidi ni kwamba huu udhaifu tayari huyu mwanamke anaujua. Kila...
  2. Dogoli kinyamkela

    JamiiForums Tanzania Eti UKIMWI ni ugonjwa ? 😆 mtu anagamba public kabisa na kudai UKIMWI ni ugonjwa !! Nani alikufa na ukimwi?

    Eti UKIMWI ni ugonjwa ? 😆 mtu anagamba public kabisa na kudai ukimwi ni ugonjwa !! Nani alikufa na UKIMWI..?
  3. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Ujue Ugonjwa wa GOUT, chanzo, dalili, madhara na tiba yake

    Gout/Jongo ni ugonjwa sungu wa jamii ya YABISI ambao umefahamika kwa miaka mingi sana. Inasadikika kuwa watu wa kwanza kuutambua ugonjwa huu walikuwa watu wa Misri, kunako miaka ya 2640BC. Mtaalamu wao wa tiba Hippocrates aliuita ugonjwa huu “Ugonjwa Wa Kumfanya Mtu Asitembee†na aliuhusisha...
  4. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Ugonjwa wa bawasiri: Chanzo, Dalili na tiba

    Bawasiri (Hemorrhoids/Piles) Bawasiri ni hali ambapo mishipa ya damu katika sehemu ya haja kubwa (rectum na eneo la haja kubwa) huvimba na kuwaka, na kusababisha maumivu, kuwasha, au kutokwa damu. Aina za Bawasiri Bawasiri za ndani – hutokea ndani ya sehemu ya haja kubwa, mara nyingi hazina...
  5. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Ugonjwa wa Parkinso

    Ugonjwa wa Parkinson ni ugonjwa wa mfumo wa neva unaoendelea taratibu, unaoathiri sehemu ya ubongo inayodhibiti mwendo wa mwili. Unatokana na kupungua kwa seli zinazozalisha dopamine, kemikali muhimu inayosaidia mawasiliano kati ya neva zinazodhibiti misuli na mwendo. Dalili kuu: Kutetemeka...
  6. Nomadiq

    JamiiForums Tanzania Je, ni kosa kusambaza ugonjwa kwa makusudi, hasa magonjwa ya ngono?

    Salaam wanagenzi na wakuu Kuna baadhi ya watu wanajijua kabisa kuwa wameathirika na ugonjwa fulani wa zinaa, kama Upungufu wa kinga mwilini, kaswende, kisonono nk Lakini kwa makusudi anajihusisha kimapenzi na watu mbalimbali, akitumia mbinu kama kusisitiza msitumie kinga mradi tu akuambukize...
  7. Manyanza

    JamiiForums Tanzania Hivi uongo ni ugonjwa au tabia tu mbaya ?

    Wakuu nimekuwa nikijiuliza bila hata kupata majibu . Uongo unaweza kuwa ni ugonjwa au moja ya tabia tu mbaya ? Kimsingi kila binadamu ana madhaifu yake anaweza akadanganya ili kuepuka aibu na wakati mwingine kutaka kujilinda, au kutafuta faida hasa kwenye ishu za pesa, na wakati mwingine mtu...
  8. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Ujue Ugonjwa wa Presha

    Ugonjwa wa Presha (Shinikizo la Damu - Hypertension) Presha ni hali ambapo damu inasukuma kwa nguvu kupita kiasi kwenye kuta za mishipa ya damu kwa muda mrefu, jambo linaloweza kuharibu moyo, figo, ubongo, na macho. Vipimo vya kawaida: Presha ya kawaida: chini ya 120/80 Presha iliyoinuka...
  9. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Huu ndio Ugonjwa wa Bawasili

    ## Ugonjwa wa Bawasili (Hemorrhoids/Piles) Bawasili ni uvimbe wa mishipa ya damu iliyopo kwenye sehemu ya haja kubwa (rectum na anus) unaosababishwa na shinikizo kupita kiasi kwenye eneo hilo. Aina mbili: Bawasili za ndani - hutokea ndani ya haja kubwa, mara nyingi hazina maumivu lakini...
  10. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Ugonjwa wa kansa

    # Ugonjwa wa Kansa Kansa ni ugonjwa unaotokana na ukuaji usio wa kawaida na usiodhibitiwa wa seli za mwili, ambazo huanza kugawanyika bila mpangilio na kuvamia tishu zinazozunguka au kusambaa sehemu nyingine za mwili (metastasis). ## Chanzo cha Kansa Uvutaji sigara na tumbaku – husababisha...
  11. Bushmamy

    JamiiForums Tanzania Wanaume wenye ugonjwa wa Tezi dume vijijini wanakosa matibabu ya ugonjwa huo kutokana na umaskini

    Miaka hii miwili nilikuwa maeneo ya vijijini basi katika zunguka yangu huko nilikutana na wazee kadhaa huko wakiugulia huu ugonjwa uitwao Tezi dume. Baadhi ya wazee niliongea nao Waliniambia ya kuwa wana tatizo Hilo Kwa muda mrefu ila ni kuwa hawana fedha Kwa ajili ya kwenda kufanya upasuaji...
  12. Bushmamy

    JamiiForums Tanzania Wanaume wenye ugonjwa wa Tezi dume vijijini wanakosa matibabu ya ugonjwa huo kutokana na umaskini

    Miaka hii miwili nilikuwa maeneo ya vijijini basi katika zunguka yangu huko nilikutana na wazee kadhaa huko wakiugulia huu ugonjwa uitwao Tezi dume. Baadhi ya wazee niliongea nao Waliniambia ya kuwa wana tatizo Hilo Kwa muda mrefu ila ni kuwa hawana fedha Kwa ajili ya kwenda kufanya upasuaji...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Mwanamke, Ulisumbuliwa na Ugonjwa Gani ukawa unajitibu mwenyewe Bila Kujua Kuwa Chanzo ni Ujauzito Mchanga?

    Katika maisha ya kila siku, wanawake wengi hupitia mabadiliko mbalimbali ya kiafya bila kuelewa chanzo chake halisi. Wakati mwingine, dalili zinazoonekana kama magonjwa ya kawaida zinaweza kuwa ishara ya ujauzito mchanga. Ni muhimu kwa mwanamke kuutambua mwili wake na kufahamu mabadiliko...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Kipi nafuu kwa mtu wa karibu anaepitia ugonjwa wenye maumivu makali sana ambao hawezi kupona, Afariki au aendelee kuwa hai akiteseka

    Kipi nafuu kwa mtu wa karibu anayepitia ugonjwa wenye maumivu makali yasiyo na tiba—aendelee kuishi akiteseka kwa maumivu makali au apate mwisho wa mateso yake ? Swali hili gumu huibua hisia nzito na tafakari ya kina kuhusu maana ya huruma, utu na ubora wa maisha.
  15. Kazanazo

    JamiiForums Tanzania Huu ugonjwa bado unaogopeka na wagonjwa bado wananyanyapaliwa

    Jana katika tembea tembea zangu nikakutana na mmama anatembea kwa miguu, tukiwa umbali wa meter kama 100 hivi yule mmama alidondosha kitu akaacha kukiokota akawa anaendelea kutembea, kwa mbali naona ishara za watu wakistua nimstue yule mama arudie kitu alichodondosha nami sikuelewa tukapishana...
  16. S

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Maganda ya nanasi hutibu ugonjwa wa U.T.I

    Mimi huku nilipo nimeona maeneo mengi ya wafanyabiashara wa mananasi wanauza na kutoa maganda ya mananasi kuwapa wateja kwa wanaoomba. Ila nimeona wateja wengi ni wakike wanasema maganda ya mananasi yanatibu U.T.I kama ukichemsha na kunywa maji yake. Je, kuna ukweli wowote U.T.I inaondolewa...
  17. L

    JamiiForums Tanzania Mkulima wa Kenya atumia teknolojia ya China kupambana na ugonjwa wa mnyauko wa nyanya

    Kwa karibu mwaka mmoja, Hellen Rono, mkulima kutoka Kaunti ya Bomet magharibi mwa Kenya, amefanikiwa kuzuia ugonjwa wa mnyauko wa nyanya kwa kutumia teknolojia ya kupandikiza iliyoanzishwa kupitia ushirikiano wa kilimo kati ya China na Kenya, baada ya miaka mingi ya kuona mazao yake yakiharibika...
  18. K

    JamiiForums Tanzania Kuhusu Ugonjwa wa Kujikojolea kitandani

    Habari za wakati huu wana Jamiiforum, mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 26, nimeishi na tatizo la kujikojolea kitandani tangu utotoni hadi hivi sasa ambapo bado sijapona kwa 100% ila namshukuru Mungu nimeanza kupata nafuu kidogo na pia nimefahamu vingi vingi sana kuhusu tatizo hili na...
  19. Mikopo Consultant

    JamiiForums Tanzania Kwa kurejelea Biblia na Quran Tukufu, inawezekana kwa shetani kupitia uganga na uchawi kumpa mtu ugonjwa na akaugua hata kufa?

    Kulingana na imani za kidini, hasa kwa kurejelea Biblia Takatifu na Qur'ani Tukufu, jibu la msingi ni kwamba shetani anaweza kutumia uganga na uchawi kusababisha magonjwa au madhara, lakini hawezi kufanya hivyo kwa mamlaka yake mwenyewe—lazima kuwe na ruhusa au makadirio ya Mungu. Katika vitabu...
  20. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Huwa nakula vitumbua hadi 18 na supu ama chai ajabu baada ya masaa2 napata Njaa Kali mno hadi kutetemeka je ni ugonjwa?

    Binafisi napenda sana vitumbua tena sana. Mfano Leo hii nimeingia mgahawani nikaagiza vitumbua 15 hadi muhudumu akashangaa na vilipoishia nikaagiza aongeze vitumbua3. Nikalipia nikaenda zangu. Baada ya masaa2 tu Njaa ambayo nilipata si ya kawaida hadi nikawa naona Giza na kutetemeka kabisa...
Back
Top Bottom