Leo nimepita maeneo flani hapa dar nikaona kuku ambao sijawaelewa.
Paja lake tuu wanauza 15,000
Hilo paja ni nene sana Lina nyama nyingi uzito ni zaidi ya kg1
Shingo yake ni ndefu sana halafu nene mno.
Hii ni mbegu aina gan ya kuku?
Mfupa wake ni ngumu kama wa mbuzi kuuvunja lazima upige panga
Wakuu,
Kufuga kuku kuna changamoto nyingi na gharama kubwa ! Hapa nimekumbuka hivi viumbe Sungura nilivifuga sekondari vinazaliana haraka na vina nyama tamu san!!
Nataka nifuge hivi sasa!
Kwa ajili ya chakula tu kwangu
Wana JF wenye kudadavua maana mambo ya serikali yanatumia CCM.
Na yeye kauli zake kadai mpaka CCM.Kama tukiamua msumeno utumike kweli japo katiba sijui kama ni muelewa maana hata wajibu wa sheria na katiba za nchi sijui kama anaelewa.
kuanzania sasa mwiguru na wengine wote CCM mshakatazwa kama...
bei
ccm
chama
katambi
kati
kuku
kuongeza
kupanda
kupanda bei
kutumia
maana
mkuu
mpaka
mwenge
nayo
ng'ombe
nguruwe
nyama
nyama ya ng'ombe
swala
ufugaji
ufugaji wa kuku
wako
waziri
waziri katambi
Tanzania kuna sehemu ukiweza kuwa dotto magari kwa uwezo mdomo wako basi umeweza kufika kukomboa nchi.
Hapa naongelea uwezo wa ndani ya nchi kujumu domo vs matendo.
Kuna jamaa yule yeriko Nyerere kwa kujifanya vingwa wa vitabu na matendo ni kitu tofauti sana.
Leo uwezi kumuona mtu kama mwenye...
7
Ufugaji wa kuku ni moja ya biashara rahisi kuanza lakini yenye faida kubwa nchini Tanzania. Kozi hii ya ChuoSmart inalenga kukufundisha hatua kwa hatua jinsi ya kuanzisha, kusimamia na kukuza mradi wa kuku kwa mafanikio—iwe ni kuku wa nyama au mayai.
Kozi hii imeandaliwa kwa lugha rahisi ya...
Habarini wadau.
Nimepata kamtaji hapa ka 10m, Nina eneo la ekari mbili Mkuranga.
Enyi wajuvi.
Naombeni msaada kwenu.
Ufugaji upi unalipa kati ya samaki sato au kuku wa kisasa?
Naomba maoni yako hapa.
Angalia wanavyofanana sana,
Katika kutoa insight ya makala ninayoandaa kuhusiana na kuku nitagusia hili swala ambalo limeshafanyiwa uchunguzi na wanasayasi wengine.
Ukimuona kuku ujue umemuona T.Rex mdogo Kwa kuthibitisha hili licha ya mfanano wao wa muonekano, chunguza tabia zakuku,
Kuku ni...
Muda si mrefu nitachapisha makala yangu kuhusiana na hili na nitakuja kuiuza humu JF
Naomba niwapitishe kidogo kwenye utafiti nilioufanya na namna nilivyofanya
I1li kutambua kweli kuku wanatumia macho tu kutofautisha chakula au wananusa harufu pia.
Nilichukua nylon ambayo ilikua imewekewa...
Mwezi wa Aprili umekuwa mwezi mkubwa zaidi wa Fuga App tangu tulipozindua.
Idadi kubwa zaidi ya watumiaji wapya kwa mwezi mmoja. Wastani wa ukuaji wa 55% kila mwezi. Na sehemu muhimu zaidi ukuaji wote ni bila matangazo ya kulipia
Hakuna matangazo ya kulipa. Hakuna kampeni. Wafugaji wanawaambia...
Habari wakuu,
Khalysh investment tusambaza chakula cha kuku cha aina zote kwa bei ya kiwandani—ubora wa hali ya juu, bei rafiki, na uhakika wa matokeo shambani.
🐔 AINA ZA CHAKULA TUNAZOTOA:
🔹 Kuku wa Nyama (Broilers)
✔️ Starter – kwa vifaranga (ukuaji wa haraka)
✔️ Grower – kuku wanaokua
✔️...
Mwanzo nilikua najua kwamba ili kuku watage mayai lazima wawe wamepandiwa na jogoo, nilikua na amini hivyo kwa miaka na miaka hadi siku za karibuni
Kiuhalisia ni kwamba kuku anataga kwa mzunguko wake wa kawaida hata bila jogoo lakini mayai yake hayataweza kutotolewa bila jogoo
Hicho ndo kitu...
Mwaka 2018 hadi 2020, Tanzania ilishuhudia moja ya scam kubwa na werevu zaidi katika historia ya kifedha ya nchi. Mfanyabiashara kijana aitwaye Tariq Machibya, anayejulikana zaidi kwa jina la Mr Kuku, aliibuka na biashara iliyokuwa inaahidi utajiri wa haraka utajiri chap chap....
Alifungua...
Mbunge wa Jimbo la Geita Vijijini, Joseph Musukuma wakati akichangia hoja leo Aprili 15, 2026 Bungeni, ameitaka serikali kuzingatia ukusanyaji wa madeni wa mikopo ya asilimia 10% kwenye Halmashauri kwa kuajiri vikundi au vijana wasomi wenye ujuzi huo ambapo kwa sasa kazi hiyo inasimamiwa na...
ulimwengu una mipangilio sensitive kama frequency ya redio ( ambapo ukibadikisha kidogo tu huipati channel hiyo ) ambapo kama ulimwengu ungekuwa tofauti kidogo tu hata kidogo sana uhai usingewezekana kabisa.
Mfano mmoja tu wa kuelewa:
Nguvu inayoshikilia atom pamoja inaitwa strong...
Ni mfano tu kwa maana sijawahi kuona hadi umri huu.
Chukulia mfano jogoo la kuku lipandane na kanga jike au either uchukue mbegu za jogoo la kuku kisha upandikize kwenye bata,Tausi au kanga jike ni kipi kitatokea wakuu?
Nauliza nijue tu si kwa ubaya kabisa kwa wataalamu wa sayansi za wanyama...
Kuku angekua mkubwa kama n'gombe lazima tungeshika adabu kwasababu wana ubabe na ukorofi mwingi usio wa lazima.
ukiwaweka kuku pamoja lazima waonyeshane uwezo wa kupiga na anayepiga zaidi lazima aheshiniwe na bila hivo ata kua ana bonda tu wengine na muda mwingine ana bonda bila sababu.
kwa...
Nimekuwa nao lakini ajabu kila mtu akiwaona anashangaa na wengi wananituhumu labda ninao kwa ajiri ya kazi flani za kishirikina ikizingatiwa na kwamba wakihitaji niwauzie siuzi maana mie ni kwa ajiri ya mapambo na kula tu nje na kuku wengine.
Kwani Hawa kuku nilichongundua wanauzito sana. Pia...
Sheikh Issa Ponda ambaye ni miongoni mwa Waislamu 12 waliofungua kesi dhidi ya Serikali (RITA, Msajili wa Jumuiya za Kijamii kutoka Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi, Mwanasheria Mkuu wa Serikali) na BAKWATA leo Machi 12, 2026 amewavaa vikali BAKWATA juu ya matrilioni ya fedha wanayoyapata lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.