kuku

  1. Bei rahisi Electronicks

    Njia gani mnafanya kuku wa kienyeji wazoee haraka

    Njia gani mnatumia kuwafanya kuku wageni wa kienyeji wazoe haraka ata ukiwafungulia bandani waludi jioni.
  2. comrade_kipepe

    Hii ni aina gani ya kuku??

    Leo nimepita maeneo flani hapa dar nikaona kuku ambao sijawaelewa. Paja lake tuu wanauza 15,000 Hilo paja ni nene sana Lina nyama nyingi uzito ni zaidi ya kg1 Shingo yake ni ndefu sana halafu nene mno. Hii ni mbegu aina gan ya kuku? Mfupa wake ni ngumu kama wa mbuzi kuuvunja lazima upige panga
  3. Room 28

    Baada ya Ufugaji kuku kunishinda Nataka nigeukie Sungura

    Wakuu, Kufuga kuku kuna changamoto nyingi na gharama kubwa ! Hapa nimekumbuka hivi viumbe Sungura nilivifuga sekondari vinazaliana haraka na vina nyama tamu san!! Nataka nifuge hivi sasa! Kwa ajili ya chakula tu kwangu
  4. Fbn

    Waziri katambi ina maana mpaka waziri wako mkuu kutumia chama na swala la mwenge umesitisha si umejumuisha CCM nayo.

    Wana JF wenye kudadavua maana mambo ya serikali yanatumia CCM. Na yeye kauli zake kadai mpaka CCM.Kama tukiamua msumeno utumike kweli japo katiba sijui kama ni muelewa maana hata wajibu wa sheria na katiba za nchi sijui kama anaelewa. kuanzania sasa mwiguru na wengine wote CCM mshakatazwa kama...
  5. Fbn

    Hapa kama tumechekesha kweli:waziri wa vijana ila motivation sio mtendaji ila alikuwa kama msanii wa mr nguruwe,vanira na kuku.

    Tanzania kuna sehemu ukiweza kuwa dotto magari kwa uwezo mdomo wako basi umeweza kufika kukomboa nchi. Hapa naongelea uwezo wa ndani ya nchi kujumu domo vs matendo. Kuna jamaa yule yeriko Nyerere kwa kujifanya vingwa wa vitabu na matendo ni kitu tofauti sana. Leo uwezi kumuona mtu kama mwenye...
  6. ufalmedigital

    🐔 Kozi ya Ufugaji wa Kuku – Mwongozo Kamili wa Biashara ya Kuku

    7 Ufugaji wa kuku ni moja ya biashara rahisi kuanza lakini yenye faida kubwa nchini Tanzania. Kozi hii ya ChuoSmart inalenga kukufundisha hatua kwa hatua jinsi ya kuanzisha, kusimamia na kukuza mradi wa kuku kwa mafanikio—iwe ni kuku wa nyama au mayai. Kozi hii imeandaliwa kwa lugha rahisi ya...
  7. ankol

    Nifuge Kuku au Sato?

    Habarini wadau. Nimepata kamtaji hapa ka 10m, Nina eneo la ekari mbili Mkuranga. Enyi wajuvi. Naombeni msaada kwenu. Ufugaji upi unalipa kati ya samaki sato au kuku wa kisasa? Naomba maoni yako hapa.
  8. C

    Kuku wana uhusiano mkubwa sana na dinosaur

    Angalia wanavyofanana sana, Katika kutoa insight ya makala ninayoandaa kuhusiana na kuku nitagusia hili swala ambalo limeshafanyiwa uchunguzi na wanasayasi wengine. Ukimuona kuku ujue umemuona T.Rex mdogo Kwa kuthibitisha hili licha ya mfanano wao wa muonekano, chunguza tabia zakuku, Kuku ni...
  9. C

    Je, kuku ana uwezo wa kunusa harufu ? nilifanya utafiti huu nikagundua anaweza kutambabua harufu

    Muda si mrefu nitachapisha makala yangu kuhusiana na hili na nitakuja kuiuza humu JF Naomba niwapitishe kidogo kwenye utafiti nilioufanya na namna nilivyofanya I1li kutambua kweli kuku wanatumia macho tu kutofautisha chakula au wananusa harufu pia. Nilichukua nylon ambayo ilikua imewekewa...
  10. Brayan_Jk

    Tunawashukuru Wafugaji wa Kuku kwa hili🫶🏾💚

    Mwezi wa Aprili umekuwa mwezi mkubwa zaidi wa Fuga App tangu tulipozindua. Idadi kubwa zaidi ya watumiaji wapya kwa mwezi mmoja. Wastani wa ukuaji wa 55% kila mwezi. Na sehemu muhimu zaidi ukuaji wote ni bila matangazo ya kulipia Hakuna matangazo ya kulipa. Hakuna kampeni. Wafugaji wanawaambia...
  11. kaisar19

    Wafugaji wa kuku wa kisasa tukutane hapa

    Habari wakuu, Khalysh investment tusambaza chakula cha kuku cha aina zote kwa bei ya kiwandani—ubora wa hali ya juu, bei rafiki, na uhakika wa matokeo shambani. 🐔 AINA ZA CHAKULA TUNAZOTOA: 🔹 Kuku wa Nyama (Broilers) ✔️ Starter – kwa vifaranga (ukuaji wa haraka) ✔️ Grower – kuku wanaokua ✔️...
  12. C

    Kitu nilichokigundua kuhusiana na kuku

    Mwanzo nilikua najua kwamba ili kuku watage mayai lazima wawe wamepandiwa na jogoo, nilikua na amini hivyo kwa miaka na miaka hadi siku za karibuni Kiuhalisia ni kwamba kuku anataga kwa mzunguko wake wa kawaida hata bila jogoo lakini mayai yake hayataweza kutotolewa bila jogoo Hicho ndo kitu...
  13. T

    Mr. Kuku Scam: Kisa cha utapeli mkubwa zaidi wa uwekezaji nchini Tanzania

    Mwaka 2018 hadi 2020, Tanzania ilishuhudia moja ya scam kubwa na werevu zaidi katika historia ya kifedha ya nchi. Mfanyabiashara kijana aitwaye Tariq Machibya, anayejulikana zaidi kwa jina la Mr Kuku, aliibuka na biashara iliyokuwa inaahidi utajiri wa haraka utajiri chap chap.... Alifungua...
  14. mirindimo

    PICHA: Hii siku rafiki zetu walipoteza maisha kama kuku PUMZIKENI KWA AMANI

  15. R

    Musukuma: Tunatenga hela nyingi ya 10% lakini Wakusanyaji wetu hawana utaalamu kukusanya madeni, wanaenda kudai wanarudi na mkaa na kuku

    Mbunge wa Jimbo la Geita Vijijini, Joseph Musukuma wakati akichangia hoja leo Aprili 15, 2026 Bungeni, ameitaka serikali kuzingatia ukusanyaji wa madeni wa mikopo ya asilimia 10% kwenye Halmashauri kwa kuajiri vikundi au vijana wasomi wenye ujuzi huo ambapo kwa sasa kazi hiyo inasimamiwa na...
  16. Prof Phraoh AI

    Kwanini Ulimwengu Umeundwa Mahususi kwaajili ya ku support Uhai kama mtu anavyotengeneza banda kisasa ili kuku wakae ?. Vita kali dhidi ya atheist Ep2

    ‎ulimwengu una mipangilio sensitive kama frequency ya redio ( ambapo ukibadikisha kidogo tu huipati channel hiyo ) ambapo kama ulimwengu ungekuwa tofauti kidogo tu hata kidogo sana uhai usingewezekana kabisa. ‎ ‎Mfano mmoja tu wa kuelewa: ‎Nguvu inayoshikilia atom pamoja inaitwa strong...
  17. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    Ni kipi kitatokea iwapo jogoo la kuku likampanda kanga jike ama bata jike vipi kuhusu Tausi pia?

    Ni mfano tu kwa maana sijawahi kuona hadi umri huu. Chukulia mfano jogoo la kuku lipandane na kanga jike au either uchukue mbegu za jogoo la kuku kisha upandikize kwenye bata,Tausi au kanga jike ni kipi kitatokea wakuu? Nauliza nijue tu si kwa ubaya kabisa kwa wataalamu wa sayansi za wanyama...
  18. C

    Je, kwanini kuku ni wakorofi sana ?

    Kuku angekua mkubwa kama n'gombe lazima tungeshika adabu kwasababu wana ubabe na ukorofi mwingi usio wa lazima. ukiwaweka kuku pamoja lazima waonyeshane uwezo wa kupiga na anayepiga zaidi lazima aheshiniwe na bila hivo ata kua ana bonda tu wengine na muda mwingine ana bonda bila sababu. kwa...
  19. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    Picha: Kuku mwenye manyoya yaliyojigeuza nje ndani. Je, wanakazi Gani hasa huko ulimwenguni?

    Nimekuwa nao lakini ajabu kila mtu akiwaona anashangaa na wengi wananituhumu labda ninao kwa ajiri ya kazi flani za kishirikina ikizingatiwa na kwamba wakihitaji niwauzie siuzi maana mie ni kwa ajiri ya mapambo na kula tu nje na kuku wengine. Kwani Hawa kuku nilichongundua wanauzito sana. Pia...
  20. W

    Sheikh Ponda: Mtu akikusanya matrilioni alafu akajenga banda la kuku huyo ni fisadi, BAKWATA wamekusanya matrilioni yako wapi?

    Sheikh Issa Ponda ambaye ni miongoni mwa Waislamu 12 waliofungua kesi dhidi ya Serikali (RITA, Msajili wa Jumuiya za Kijamii kutoka Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi, Mwanasheria Mkuu wa Serikali) na BAKWATA leo Machi 12, 2026 amewavaa vikali BAKWATA juu ya matrilioni ya fedha wanayoyapata lakini...
Back
Top Bottom