Amri Athuman’ King Majuto’ alizaliwa mwaka 1948 jijini Tanga na kusoma shule Msambwini, Tanga, alianza kuigiza 1958 akiwa na umri wa miaka 9 akiigiza katika majukwaa Mzee Majuto maarufu kama King...
M's Tanzania wa Kwanza (Hayati Theresa)
Mwaka 1960 ndipo Mashindano ya urembo nchini yalipoanza na hayatakuwa na muonekano wa kimataifa kwa sababu yalifanyika kwenye maeneo machache.
Kwani...
Kabla hajaukwaa Ukuu wa Wilaya, moja ya habari kubwa zaidi kumuhusu Jokate Mwengelo ambayo iliwahi kutikisa bara zima la Afrika, ni pale ambapo jarida bora zaidi ulimwenguni la Forbes lilipomtaja...
Juzi akiwa anasherehekea birthday Wema akadai kuwa ana miaka 33.
Lkn vyanzo vingine vya taarifa za kuaminika zinaonesha tofauti. Mfano Wikipedia inaonesha Wema amezaliwa 1988 na kumfanya Wema...
Ni rapper mkali kwenye game. Ana jina kubwa. Anatoa kazi nzuri sana na ana mashabiki wengi sana hasa vijana wa miaka ya 2000s. But details zake hazijulikani.
Haijulikani majina yake halisi...
Mbwiga wa Mbwiguke mdomo mwingi lakini uwezo wake wa kuandika upo chini sana. Yeye kama mtu maarufu, inabidi atafute mtu wa kumuandikia huko mitandaoni.
https://youtu.be/z_Ev4ytqGmk?si=WvAsJcAtt7CK4XOq
Msanii wa filamu @wemasepetu amefunguka kueleza jinsi siku yake muhimu yakuzaliwa ilivyogeuka mwika katika yake ambayo imemfanya aape tutosherekea...
Nimekuwa nikifatilia baadhi ya show anazofanya msanii RayVany kwenye show zake hasa za Wasafi festival!
Kusema ukweli ni msanii ambaye amekuwa akiwekeza sana kwenye show hizi sana sana hata...
Habari zenu wana JF. Baruti ni kijana anayekuja kwa kasi katika sanaa nzima ya muziki nchini. Hamasa aliyokuwa nayo katika kufikia malengo yake imefanya vijana wengine mitaani kupambana zaidi na...
Kwenye hili collabo la watu wazima Mandojo & Domokaya "Wanok nok" walilo mshirikisha komando Jide.
Komando alikinukisha upande wa chorus vibaya sana.
"Wanafki nafki watu wa kupakazia
Yasowahusu...
Leo ni siku ya kuzaliwa ya Nyota Wa Muziki wa Barani Afrika, Naseeb Abdul, maarufu Diamond Platnumz!
Mwanamuziki huyu anatimiza Miaka 34, akiwa na Mafanikio ya Nyimbo Nyingi zinazoingia katika...
Asee salam
Jana kuna filamu (bongo Movie) nilikua naangalia sasa kuna scene moja ya gerezani
Asee kilichonishangaza nikuona et mfungwa kwanza kavaa hereni pia kaachia ndevu na nywele . Sasa...
Kwa mujibu wa orodha iliyotolewa na mtandao maarufu duniani.
Msanii namba moja Afrika Diamond Platnumz ameshikilia namba mbili kwenye bara ili lenye nchi zaidi ya 50 na wasanii zaidi ya million...
Mwanaume aliyetambuliwa kwa jina la Duane "Keffe D" Davis amekamatwa na Polisi, akihusishwa moja kwa moja na mauaji ya Rapa Tupac Shakur aliyepigwa risasi katika mitaa ya Las Vegas.
Licha ya...
Part one: Kwanini Juma Nature hujibu baadhi ya maswali tofauti na anavyo ulizwa?
Juma Nature ni akili ya kesho. Unahitaji kutumia akili nyingi sana kumuelewa Juma Nature. Ukijaribu kumuelewa...
Diamond Platnumz ndio baba wa bongofleva.
Anaichezesha sanaa ya bongo anavyotaka yeye.
Wasafi Festival ni tamasha alilofanikiwa sana na linazidi kuwa na nguvu.
Tamasha la kiingilio kikubwa hapa...
Denis Kasia a.k.a Lokasa ya Mbongo, mpiga gitaa la maarufu nchini DRC asie na mpinzani, leo ni miezi mitano tangu amefariki na bado hajazikwa. Inasemekana kuna mgogoro azikwe wapi.
R.I.P mchawi...
Nimepiga hesabu za Cuba nikaongeza ujuzi wa mjini,
Wote mnamjua wema alivo karibu na mama yake ni nini wema asingekijua kuhusu maoni hasi ya mama yake?
Angelien ile video vyema utagundua...
jamani naombeni kufahamu taaluma ya Babuu wa Kitaa, Nimeshituka sana kuambiwa kuwa naye ni miongoni mwa TV presenters ya TV station fulani hivi hapa mjini na tena analipwa pesa ndefu sana kuliko...
Jamani niseme ukweli kila nikichunguza penzi la Wema na Whozu naonaga kama limekaa upande mmoja hivi.
Wema anampenda sana Whozu ila kwa Whozu naonaga kama anamtumia tu Wema kufanikisha mambo yake...
Sasa ni hivi, mnakumbuka kipindi Bashite amewaita wauza unga, kwenye watu maarufu alimuita Director. Sasa ni hivi Director hakusingiziwa na Bashite kama wengi tulivyodhani kipindi kile. Director...
Huyu binti amekuwa tunamuona wakizurura duniani na Rais mstaafu Baraka Obama.
Leo nimekutana na picha zake mtandaoni, ni amejizeekea kabisa.
Mwili umefumuka, hafanyi mazoezi kama mama yake...