bima ya afya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    JamiiForums Tanzania KERO Bima ya Afya ya Jeshi(JWTZ) haitusaidii Wanajeshi na Familia zetu

    JWTZ limeanzisha bima ya afya kwa ajili ya wanajeshi na familia zao ila bima hiyo imekuwa na msaada mdogo sana ukilinganisha na fedha ambazo tunachangia kwa mwezi kitoka katika mishahara yetu. Masharti ya kunufaika katika bima hii ni mengi sana kiasi kwamba wanufaika wanashindwa kunufaika nayo...
  2. T

    JamiiForums Tanzania Hiyo bima ya afya ya taifa NHIF ni ubabaishaji na usanii mtupu, yaani wanachukua hela ila magonjwa na vipimo kibao havimo kwenye hiyo bima

    Yaani serikali inasisitiza bima ya afya kwa wote lkn kusema kweli hii bima ya afya ya sasa ni shida tupu maana ukienda hospitali na ukaenda bila fedha unaweza usitibiwe Yaani ukienda hospitali hauna hela ya matibabu unategemea tu kikadi cha bima utarudi nyumbani na bima yako na haujatibiwa...
  3. H

    JamiiForums Tanzania Sielewi kwanini Bima ya Afya kwa wote inashindikana Tanzania!!

    Habarini, Kwanini lakini kitu cha muhimu kama hiki hakitiliwi maanani? Watu wanapanga kuandamana kwaajili ya masilahi ya wanasiasa badala ya maandamano kwaajili ya BIMA YA AFYA KWA WOTE kwani ndiyo shida ya Watanzania walio wengi. Ni bora wapinzani mkawekeza kwenye matatizo ya wananchi siyo...
  4. Robot la Matope

    JamiiForums Tanzania KERO Makosa madogo ya Taarifa za NIDA yanawanyima wananchi huduma za NHIF, Serikali ipo kimya!

    Kuna wakati taifa linafika mahali ambapo ukimya unakuwa ushiriki katika mateso. Leo, maelfu ya Watanzania wanashuhudia jambo ambalo linaumiza mioyo yao kila siku. Wazazi wetu, wale waliotulea kwa jasho, damu na machozi, wanazuiwa kupata huduma muhimu za afya kwa sababu ya tofauti ndogo sana...
  5. The Watchman

    JamiiForums Tanzania Tozo ya Shilingi 10 itawekwa kwenye kila kilo moja ya sukari kugharamia Mfuko wa Bima ya Afya kwa wote

    Serikali imependekeza vyanzo vya ziada vya mapato kupitia Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2026/2027 ili kugharamia Mfuko wa Bima ya Afya kwa Wote. Hatua hii itahusisha marekebisho ya sheria yatakayoongeza kodi na tozo kwenye bidhaa za sigara na sukari nchini. Mabadiliko yaliyopendekezwa ni kama...
  6. funaku

    JamiiForums Tanzania Ummy Mwalimu na fursa ya kukamilisha bima ya afya kwa wote!

    Watanzania wengi wameshangilia ujio wa Mhe.Ummy Mwalimu a.k.a ODO hivi sasa akiwa mtumishi mwandamizi kumsaidia Rais Samia. Ni ukweli usiopingika kuwa mwanasheria huyu na mbunge mstaafu anao uzoefu mkubwa katika sekta ya afya na pia uzoefu wa kipekee katika kutambua changamoto za afya hususani...
  7. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Serikali Kuwagharamia Wazee na Watoto Bima ya Afya

    Bima ya Afya kwa Wote kugharimu shilingi 150,000 kwa kaya (watu sita). Wasio na uwezo (wazee, watoto, wajawazito na wenye ulemavu) watagharamiwa na serikali.
  8. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Mchengerwa: Serikali imetoa Sh Bilioni 48.8 Bima ya Afya kwa wote, Wanufaika 463,228 waanza kupata huduma za matibabu

    Serikali imeanza rasmi utekelezaji wa Mpango wa Bima ya Afya kwa Wote kwa kaya zisizo na uwezo kwa kutoa Shilingi bilioni 48.8 kwa ajili ya kuwawezesha wananchi wa makundi maalum kupata huduma za afya kwa uhakika. Kupitia utekelezaji huo, jumla ya kaya 172,297 tayari zimefikiwa na kuingizwa...
  9. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Mexico yafuata Mfano wa Samia, yazindua Bima ya Afya kwa wote

    Samia anaendelea kuwa sio tuu Mwalimu wa Africa Bali mfano Bora Kwa viongozi wengine Duniani Kwa kuanzisha bima ya Afya Kwa wote ambapo na Nchi ya Mexico imeiga.Pia soma Ndani ya siku 100 SSH atimiza ahadi ya kuanzisha Bima ya Afya kwa wote. Vigelegele vyasikika kwa Wananchi wakipewa kadi za...
  10. ngara23

    JamiiForums Tanzania Kwenye Uislam, Bima ni Haram kama ilivyo kamari

    Wanazuoni wa kiislam, wanaelimisha kuwa ni vyema muislam kujiepusha na aina zote za Bima Aidha iwe ya afya, chombo cha moto, nyumba, biashara n. K Bima ni gambling tu, yaani pata potea, Kwa tafsiri ya kiislam ni kamari maana unaweza pata usichostahiri Mfano unaweza kuweka Bima laki 5...
  11. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Ndani ya siku 100 SSH atimiza ahadi ya kuanzisha Bima ya Afya kwa wote. Vigelegele vyasikika kwa Wananchi wakipewa kadi za matibabu bure

    Ahadi ya Kampeni ya kuanzisha bima ya Afya Kwa wote imetimia ndani ya siku 100 za Uongozi wa Rais Samia. Ambapo Zoezi la kukabidhi kadi Kwa Wananchi walengwa wasio na uwezo wa kuchangia vifurushi linasndelea Nchi nzima na wamefurahia na mumshukuru Rais Kwa kuwajali Afya zao...
  12. A

    JamiiForums Tanzania KERO Bima ya Afya ya NHIF kwenye kifurushi cha Toto Afya ambayo kinauzwa 150,000/= ni kero

    Nina jambo ambalo linaumiza sana aisee, ni kuhusu Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) kwenye Kifurushi cha Toto Afya ambayo kinalipiwa Shilingi 150,000/=. Mtoto wangu amezaliwa na tatizo la maji mengi kichwani (Hydrocephalus) na akafanyiwa operation Hospitali ya Taifa Muhimbili, anatakiwa...
  13. funaku

    JamiiForums Tanzania Bima ya Afya kwa wote UHIF: Hatimaye Rais Samia atekeleza mfupa mgumu uliowashinda Marais waliopita

    Hii ni historia na kumbumbu muhimu kwa Rais Samia kwa kujali afya ya watanzania hususani wa hali ya nchini. Nimeshuhudia zoezi la kuwapatia wananchi bima ya afya likiendelea nchi nzima ikiashiria ule mkwamo wa miaka mingi wa kubishania kwenye podium au bungeni umeisha na sasa ni real deal.
  14. R

    JamiiForums Tanzania Naibu waziri wa Afya, Dkt. Florence Samizi: Serikali itagharamikia bima ya afya kwa wote kwa makundi maalum

    Akijibu swali la Mbunge wa Jimbo la Ukonga Bakari Bakari Shingo, kuhusu Serikali kukemea vitendo vya kutoza gharama za matibabu kwa wajawazito na watoto chini ya umri wa miaka 5, Naibu waziri wa Afya Dkt. Florence Samizi amejibu kwa kutoa ufafanuzi " Serikali inatekeleza sera ya afya ya mwaka...
  15. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Kikao Kazi cha Waziri wa Afya na Wahariri wa Vyombo vya Habari Kuhusu Bima ya Afya kwa Wote

    https://www.youtube.com/live/FWBr6vt6MjY
  16. funaku

    JamiiForums Tanzania Hii ndio sababu inayomfanya Samia kuwa kinara wa kukumbukwa katika kuanzisha Bima ya afya kwa wote

    Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!! Kazi na Utu...! Kwa fahari kubwa sana na kwa tabasamu lisilo kifani na nikiwa kama mdau wa muda mrefu hapa JF mwenye kuipambania kero ya kutokuwepo kwa bima ya afya kwa wote ninayo furaha kubwa sana kutambua usikivu wa Mhe. Rais na Mwenyekiti wa CCM SAMIA...
  17. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Gharama ya Bima ya Afya kwa wote ni Tsh. 150, 000 kwa kaya, wasio na uwezo kugharamiwa na serikali

    Serikali imetangaza rasmi kuanza utekelezaji wa mpango wa Bima ya Afya kwa Wote katika awamu ya kwanza. Katika awamu hiyo, kitita cha huduma muhimu za afya kitatolewa na skimu za Bima ya Afya kwa gharama ya shilingi 150,000 kwa kaya yenye watu wasiozidi sita. Akizungumza kuhusu mpango huo...
  18. McLaren

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Meneja Mawasiliano NHIF James Mlowe: Samia atazindua bima ya afya kwa wote Januari hii kwa kutoa kadi ya mfano kwa kaya maskini

    Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuzindua rasmi Bima ya Afya kwa Wote Januari hii, kwa kutoa kadi ya mfano kwa kaya maskini, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa ahadi yake ya siku 100 za kuimarisha huduma kwa wananchi. Uzinduzi huo utaashiria kuanza rasmi kwa utekelezaji wa mfumo wa Bima ya...
  19. bukoba boy

    JamiiForums Tanzania Bima ya Afya NSSF

    Wadau kwema! Naomba kujua kuhusu bima ya Afya ya NSSF kwa wanachama wake.Iko vipi sababu amekuja Inspection officer wao ofisini ametushawishi tujiunge kwani ni kama bure sababu hakuna gharama nyingine zaidi ya michango.Unapewa list ya hospitali maalum kwenye mkoa husika.
  20. Fbn

    JamiiForums Tanzania Bima ya Afya inatakiwa kuwa ni ya Serikali tu. Mfano watu milioni 62 wakilipa kwa mwezi shiling 2000. Angalia hapa

    Tanzania kuna mahali kuna shida na hizi shida sio kwao kwa watawala tuliopo nao. Ukusanyaji wa pesa ungekuwa na mpangilio mzuri hakuna mtu angeshindwa kuchangia ila mfumo uliopo sio mzuri. Fikiria kama serikali ingeweza kuweka bima ya mwezi 2000 hata chokorohaa na wasio jiweza wangelipa maana...
Back
Top Bottom