tuhuma

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    TUHUMA NZITO ZALITIKISA BARAZA LA ARDHI NA NYUMBA MASWA.

    Mwenyekiti wa Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya ya Maswa, Joseph Timothy Kaare, anakabiliwa na malalamiko yanayodai kuwa amekuwa akiendesha shughuli za baraza hilo kwa kutumia maamuzi binafsi yanayokiuka taratibu na miongozo ya Serikali. Baraza hilo, ambalo lipo chini ya Wizara ya Ardhi...
  2. TheForgotten Genious

    CHAUMMA na tuhuma za kuibiana mabilioni

    CHAUMMA wanalalamika Salum Mwalimu kawaibia mabilioni, najiuliza waliyapata wapi hayo mabilioni? Au ni malipo ya ule mradi wao na CCM, huyu Mwalimu ndio swahiba wake DJ na hii ndio ilikuwa michezo yao kabla hawajanyonyolewa na TAL pale city FEB 21. Anyway toaneni makende, naona mzee Hashimu...
  3. Mkalukungone Mwamba

    Hakim matatani kwa tuhuma za ubakaji

    Nahodha wa Morocco, Achraf Hakimi, atafikishwa mahakamani kujibu shtaka la ubakaji, waendesha mashtaka wa Ufaransa wamethibitisha. Mwanamke mmoja alimshutumu beki huyo wa klabu ya Paris Saint-Germain kwa kumbaka nyumbani kwake katika eneo la Paris mwaka 2023, akiwa na umri wa miaka 24. Hakimi...
  4. Parabolic

    Boniyai afika Polisi Oysterbay kuhojiwa, asema tuhuma za kupanga maandamano ni za uongo, aulizwe Kihongosi

    Mwenyekiti wa CHADEMA, Kanda ya Pwani, Boniface Jacob maarufu Boniyai ameripoti katika kituo cha Polisi Oysterbay jijini Dar es Salaam leo Juni 16, 2026, akisema amehojiwa kuhusu tuhuma za kuratibu maandamano yanayotarajiwa kufanyika Julai 7, 2026 akisema tuhuma hizo ni za uongo. Akizungumza...
  5. Waufukweni

    Mpina: Kuna tuhuma za wizi wa kutisha! Deni la serikali lapaa kutoka trilioni 60.7 hadi 115.2 kwa miaka mitano

    "Kuna tuhuma ya wizi wa kutisha kwenye mikopo ya serikali ambapo kwa miaka mitano iliyopita deni la serikali limeongezeka kutoka trilioni 60.7 Machi 2022 hadi trilioni 115.2 Februari 2026, sawa na ongezeko la trilioni 54.3. Deni limeongezeka kutoka ukuaji wa wa asilimia 7 hadi ukuaji wa asilimia...
  6. R

    Wachina wanne wakamatwa kwa tuhuma za Utekaji

    Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam linaendelea na majukumu yake ya msingi ya kuzuia vitendo vya kihalifu na kwa ujumla hali ya Jiji ni salama. Hata hivyo tarehe 14 Mei, 2026 majira ya saa 04:30 usiku Polisi walipokea taarifa kuwa katika majengo pacha ya 'PSSSF Mtaa wa Mission Ilala Dar...
  7. Idugunde

    Rais Samia kama ana uchungu na Watanganyika kwanini hamchukulii hatua Afande Mafwele pamoja na tuhuma zote hizi?

    Watanganyika tunaonewa sana. Kwanza kabisa taifa letu lilimezwa na sasa halijulikani lilipo. Tanganyika imemezwa. Tunadanganywa eti kuna Tanzania bara na Zanzibar. Alafu tunaumizwa sana. Maana utekaji umekuwa ukiumiza amani ya mioyo ya watu. Angalia tukio la Sativa. Kwenda kutupwa porini na...
  8. S

    SI KWELI Video: Polisi Uganda wamekamata gauni la kifahari aliyekuwa spika wa nchi hiyo kufuaia tuhuma za rushwa zinazomkabili

    Police in Uganda have arrested a dress belonging to Parliament Speaker Anita Among. The designer outfit, which she wore during President Museveni's recent swearing-in, was reportedly purchased for Ksh. 1.1 million. Among is facing corruption allegations.
  9. Echolima1

    Magaidi zaidi ya 41 wakamatwa huko Bahrain kwa tuhuma za kuisaidia iran

    Bahrain iliwakamata watu 41 waliohusishwa na Kikosi cha Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu cha Iran, baada ya uchunguzi wa usalama kubaini shirika lililohusiana na IRGC na itikadi ya Wilayat al-Faqih. Kesi hizo zilihusisha mawasiliano na vyombo vya kigeni, shughuli zinazohusiana na ujasusi na...
  10. Cute Wife

    Polisi wasema Dammour Nyakairo maarufu Ninja anashikiliwa kwa tuhuma za uhalifu, hii ni baada kelele mtandaoni kuhusu kupotea kwake

    Wakuu, Tarehe 02/05/2026 saa tatu asubuhi eneo la Mburahati Kinondoni alikamatwa Dammour Massoumbe Nyakairo, na kupelekwa kituo cha Polisi Chang'ombe kwa tuhuma za kujihusisha na vitendo vya kihalifu. Baadhi ya ndugu zake tangu alipokamatwa walijulishwa na kwenye mahojiano ya awali ametoa...
  11. Manyanza

    Askari aliyemkamata Rais wa Venezuela akamatwa kwa tuhuma za ku-bet

    Askari wa kikosi maalum cha Jeshi la Marekani, Gannon Ken Van Dyke, amekamatwa kwa tuhuma za kutumia taarifa za siri za kijeshi kujipatia fedha kupitia kamari. Kwa mujibu wa waendesha mashtaka wa Marekani, Van Dyke alikuwa sehemu ya operesheni ya siri iliyosababisha kukamatwa kwa aliyekuwa Rais...
  12. Roving Journalist

    RC Mtanda: Uchunguzi unafanyika tuhuma za Mtumishi wa Sekou Toure kulazimisha watu wanunue majeneza kwake

    Muda mfupi baada ya Mdau wa JamiiForums.com kutoa wito kwa Uongozi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Sekou Toure kufanua uchunguzi juu ya tuhuma za Mtumishi wa Mochwari hospitalini hapo kudaiwa kutumia nafasi yake kujineemesha binafsi na kuwakwaza wenye uhitaji wanaofika kazini kwake, Mkuu wa Mkoa...
  13. Chakaza

    Kama Tuhuma hizi kuhusu Pesa alizopewa Yanga Zina ukweli, Gerson Msigwa Jiuzulu Mara Moja ni Aibu

    Kuna hizi pesa zinatajwa kutolewa eti kwa Jina la Goli la mama, na Yanga wamekabidhiwa milioni 60 wakati ukalali wao ni milioni 20. Jee kwa vile muhusika na mpanga mipango ya fedha hizo ni wewe huu sio WIZI? Ni aibu kwa mtu ambaye pia ni msemaji mkuu wa Serikali kuwa mwizi au kushiriki wizi wa...
  14. Roving Journalist

    Akamatwa kwa tuhuma za kujaribu kumbaka bibi mwenye umri wa miaka 80 mkazi wa Sinoni - Arusha

    Kamanda wa Polisi mkoa wa Arusha, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi SACP Justine Masejo amesema wanamtafuta mtu mmoja anayedaiwa kujaribu kumbaka bibi mwenye umri wa miaka 80 mkazi wa Sinoni Jijini Arusha kufuatia picha mjongeo inayoonekana katika mitandao ya kijamii ikimuonesha...
  15. Roving Journalist

    Watu 6 wakamatwa kwa kutuhumiwa kumuua Askari Arusha. Walimshambulia wakidhani ni mwizi

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha linawashikilia watu sita kwa tuhuma za mauaji ya Askari Polisi aitwaye Roland Mollel ambaye ni mkazi wa Arusha yaliyotokea Aprili 15, 2026 muda wa usiku. Kwa mujibu wa taarifa ya Kamanda wa Polisi Mkoani humo, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi SACP Justine...
  16. O

    Msanii wa Tanzania Matonya Afikishwa Mahakamani Mombasa kwa Tuhuma za Unyanyasaji wa Kijinsia

    Msanii wa Bongo Flava kutoka Tanzania, Matonya, amekamatwa na kufikishwa mahakamani mjini Mombasa akituhumiwa kwa kosa la unyanyasaji wa kijinsia, katika kesi iliyozua mjadala mkubwa katika ukanda wa Afrika Mashariki. Matonya, ambaye jina lake halisi ni Sefu Shabani Ramadhan, alifikishwa mbele...
  17. instinct desire

    Naomba mjue kuwa report ya CAG siyo final lazima tume iundwe ili kuthibitisha tuhuma ndo maana huwa inajibiwa na ndiyo Haki

    Nashangaa kuona Kuna upinzani washaanza kutoa mapovu it means licha ya kukaa bungeni akina heche hawajui utaratibu wa kufanyia KAZI report ya CAG...shame on you. Huwezi ukamshtaki mtu bila kumpa nafasi ya kujitetea, Hiyo ndo demokrasia lazima tume iwahoji wahusika/serikali itoe ufafanuzi wa...
  18. Dalton elijah

    Dkt Ayub Rioba akana tuhuma za yeye kuwa chawa

    Kwa wale walioamua kuendelea kunitukana na kusema mimi 'chawa' na kwamba sasa ninarudi kushika jembe au kusota, nina ujumbe wenu pia! Nilizaliwa ktk familia ya mwalimu wa shule ya msingi. Niliishi maisha ya Mtanzania wa kawaida kabisa. Wali au sukari vilikuwa vitu adimu. Mnavipata tu siku za...
  19. U

    Mkurugenzi Mkuu idara ya kudhibiti ugaidi aliyejiuzulu majuzi anachunguzwa kwa tuhuma za kuvujisha nyaraka za siri

    25min ago FBI investigating if top counterterrrorism official who resigned leaked classified info By AP FILE - Joe Kent, then-director of the US National Counterterrorism Center, speaks during a congressional debate at KATU studios, October 7, 2024, in Portland, Oregon. (AP Photo/Jenny Kane...
  20. Waufukweni

    Rais Samia amzawadia Gari Mama Kanumba

    Katika kilele cha Siku ya Wanawake Duniani, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemzawadia mama mzazi wa marehemu Steven Kanumba gari jipya aina ya Harrier New Model. Hatua hii imekuja kama ishara ya kuthamini mchango mkubwa wa marehemu Kanumba katika kukuza...
Back
Top Bottom