damu

Damu is a god of vegetation and rebirth in Sumerian mythology.

View More On Wikipedia.org
  1. Mshana Jr

    Damu za wanyama

    Sio viumbe hai wote wana damu moja inayofanana rangi Ingawa mara nyingi tunafikiria damu kuwa nyekundu kabisa, jamii ya wanyama inaonyesha wigo mzuri wa uhandisi wa kibiolojia. Rangi ya damu imedhamiriwa na rangi maalum za kupumua zinazotumiwa kusafirisha oksijeni kupitia mwili. Unaweza...
  2. JimCarrey

    Nifanyaje niache kubeti?

    Guys naombeni ushauri unaofaa nimekua mraibu wa kubeti mpaka Sina Tena marafiki, Nina madeni mpaka kausha damu, mkewangu anataka aondoke aniache, Nina watoto wanne na wanasoma, mwaka jana tu kidogo watimuliwe shule kwa kukosa ada. Nikakomaa miezi mitatu bila kubeti ila imeshindikana nimeanza...
  3. Naxria abdalla

    Tatizo la wingi wa damu

    Natumai hamjambo nina tatizo la damu nyingi mwilini pia damu ni chafu naomba maelekezo nn cha kufanya niweze kupunguza damu mwenyewe kabla sijaenda kuchangia. Ahsanteni
  4. Sifi Leo

    Vikampuni vya mikopo online ni vikundi vya kausha damu, hivi Benki kuu imevisajili kweli? Mbona Zuri pesa wanatukana hivi?

    Aise, kwema wadauh? Leo nimecheka sana mwanangu mmoja alikopa elfu 40,000 wakampa 24,000/= badala ya 40,000 aise nilishangaa jamaa akala kiapo cha kutokulipa deni hilo, sasa hizo simu kutoka kwa zuri pesa ni balaa. Jamaa akaamua kuwatandika block la maana weee! UJUMBE uliofatia hapo ni balaa...
  5. USSR

    Kama ni kweli itakuwa Mungu ameamua kusimama na taifa na kuondoa waliopanga kumwaga damu za watanzania

    Alionekana tangu zamani kuwa na elements za kichochezi hadi leo asubuhi. tunasubiri kauli ya RPC wa Geita Sofia Jongo USSR
  6. technically

    PostGE2025 Leo nimetonyeshwa kidonda kilichokuwa kinaelekea kupona, Moyo wangu unavuja damu

    Jamaa zangu wa karibu ninaofanya nao biashara wa 3 walikufa October 29 mwaka Jana. Aisee nasikia uchungu Sana Leo nimetoneshwa kidonda I'm so sorry nimekumbuka mambo mengi Sana ambayo nilikuwa nimeanza kuyasahau
  7. ngara23

    Waliuliwa Watanganyika, mchunguzi ni Mzanzibari Leo ameamua kubagaza damu za Watanganyika

    Ningeshangaa report iandaliwe na Mzanzibari asimlinde dada yake? Hivi huku Tanganyika alikosa mzalendo wa kufanya uchunguzi? Watanganyika waliohudhuria wao ni kupiga makofi pindi ripoti ya tume ikisomwa Yaani mnasomea habari za mauaji mnapiga makofi ya Nini? Niliwaona mabolozi wa mabeberu...
  8. Parabolic

    Mbunge: Kuna muuguzi alipelekwa India kusomea robotic surgery, amerudi amepangiwa kukusanya damu

    Mbunge wa Nyasa Mkoani Ruvuma, John Nchimbi ameitaka Serikali kuwapanga watumishi wake kulingana na weledi wao, ili kuepusha kuwapanga maeneo yasiyowahusu na hivyo kuzorotesha ufanisi katika kazi. Nchimbi aliyasema hayo April 17 bungeni jijini Dodoma alipokuwa akichangia hotuba ya mapato na...
  9. PAYE

    Kiapo cha damu na aliyekuwa mpenzi wangu kinanitesa, sijui hata nifanyaje kujinasua na maagano

    Habari zenu Wakuu! Nina jambo ambalo linanitesa kwa muda sasa baada ya kupita kwenye mahusiano ya nyuma ambayo niliyaona kuwa ni kila kitu kwangu. Wakati ule tulikuwa vijana, damu inachemka, na tuliamini kuwa upendo wetu ulikuwa wa kipekee kuliko wa mtu mwingine yeyote hapa duniani. Katika...
  10. Castle_Lite

    Kutokwa na damu puani kunasababishwa na nini? Na tiba mbadala ni ipi?

    Wakuu Nina omba msaada wa Tiba mbadala kwa anaye fahamu. Natokwa na Damu puani . Ishu imeanza Ijumaa. Ijumaa imetoka mara 1 asubuh. Jumamos mara 2 asubuh na mchana Jumapil mara 5. Asubuh saa 3 na mchana saa 7 . (Nikaenda hosp) usiku saa 4 na usiku wa manane kuamkia leo zimetoka mara 2. Jumla...
  11. Red black

    Sadaka ya damu ni noma inajibu haraka sana

    wakati unamchinja sema maneno machache tu
  12. comrade_kipepe

    Tujifunze kutafuta pesa kwa jasho na damu

    Linapokuja suala la pesa unatakiwa uweke mambo mengine pembeni, HURUMA,DINI,HOFU leo nmemfunza kitu huyu bodaboda. Nilikua nataka nyama ya nguruwe kwa ajili ya kulia na pilau ya pasaka, nikamcall bodaboda akanifuatie nyama akadai yeye muislamu habebi kitimoto, nikamwambia sawa. Alivyokata...
  13. Waufukweni

    Nchimbi awaomba viongozi wa dini kumwombea Rais Samia dhidi ya 'Watu wabaya'

    Makamu wa Rais wa Tanzania, Dkt. Emmanuel Nchimbi amewaomba viongozi wa dini kuendelea kumwombea Rais Samia Suluhu dhidi ya watu wabaya ili wasipate nafasi ya kumsogelea yeye mwenyewe na Ikulu. Dkt. Nchimbi amesema hayo jana Ijumaa, Februari 6, 2026 wakati wa hafla ya Usimikaji na Uzinduzi wa...
  14. R

    Wito wa dharura kwa Serikali: Mbinu pekee ya kupambana na TFF kisayansi bila kumwaga damu!

    1. Mpeni maiki mzee Warioba aitishe mchakato wa Katiba Mpya kuanzia Sasa, Lissu na Polepole wateuliwe Moja Kwa Moja kuwa wabunge wa mchakato wa Katiba Mpya, watoke huko walipo Hadi Bungeni. Wawekwe safe house chini ya uangalizi wa Serikali kwa usalama wao, wanafamilia pekee waruhusiwe kuwaona...
  15. Roving Journalist

    ACT Wazalendo: Machi 8, hatutasherehekea mafanikio ya Mwanamke Duniani, mioyo yetu bado inavuja damu, Oktoba 29 imeacha kovu

    HOTUBA YA KIONGOZI WA WANAWAKE - ACT WAZALENDO KWA WAANDISHI WA HABARI NA TAIFA Kauli Mbiu: Machozi ya Mama – Deni la Taifa UTANGULIZI NA SALAMU YA CHAMA Ndugu Waandishi wa Habari, na Watanzania wenzangu mnaonitazama na kunisikiliza, Nawasalimu kwa salamu ya chama chetu: TAIFA LA WOTE...
  16. figganigga

    Serikali ya awamu ya Sita inanuka damu za Watoto wetu

    Salaam Wakuu, Yaani sasa ndo nimegundua kwamba, Mtu akipata madaraka kwa kumwaga damu, anakuwa ananuka damu hata aoge kwa jiki. Juzi Karikaoo wakati wa Uzinduzi wa Soko lililoungua, baada ya Wakina Samia kufika, soko zima likawa linanuka damu za watu. Watu wakawa wanatema mate chini.. Yaani...
  17. CHASHA FARMING

    VICOBA/KAUSHA DAMU shida ni watu hawana Financial education, wangekuwa nayo kusingekuwa na shida

    KAUSHA DAMU/VICOBA ni tatizo kwa sababu hatuna financial education. Huwa nasikiliza watu wanavyo ponda VICOBA nabakia kucheka kimoyomoyo tu, au nikisiki wanasiasa wanavyo laumu mikopo ya kausha damu nabakia kushangaa. Yaani Wabongo tumehamisha magoli kulaumu VICOBA bila kujua huo mfumo hauko...
  18. Manyanza

    Sifa za watu wenye Group 'O' Ia damu

    Kwanza kabisa watu wenye group ‘O’ hawalogeki na ukijaribu kuwaloga yanakurudia, ukijitahidi kumloga humuwezi lazima mambo yadunde na mara nyingi wabaya wao wakishindwa huanza kuwapakazia watu hawa mambo ya uongo na kuwachukia bila sababu za msingi hasa baada ya kushindwa kuwaangusha. Wanapenda...
  19. Genius Man

    Jeshi limejaa damu za watanzania kuna vibaka, wezi, wauwaji, wala rushwa na watekaji mpaka maiti

    Jeshi limejaa damu za watanzania kuna vibaka, wezi, wauwaji, wala rushwa na watekaji mpaka maiti. Vitendo hivi vilivyoonekana wazi ndani ya jeshi havikubariki na nikinyume cha sheria na haki za binadamu ni ushenzi na upumbavu na wahusika wanajijua, wanajua kwa matendo yao baadae wataona uchungu...
  20. Carlos The Jackal

    Unamfanyaje Ndugu yako aliyekutapeli MILIONI 5 na sasa anakutukana, anakublock na kukutambia ?.

    Yaani Ndugu yako, ambaye anakuambia 'Ndugu nimeyumba Biashara, Niazime MILIONI 5 nifanye kuizungusha TU chap chap kisha nikurejeshee". Unampa Kiasi hiko pasipo Kuandikishana ila Ndugu wengine, Rafiki, Wazazi, wakafahamu umempa. Miezi na Mwaka unapita, hamna Pesa kurejeshwa. Baadaé...
Back
Top Bottom