tamisemi

  1. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania TAMISEMI, suala la ustawi wa familia lichukulieni kwa uzito mkubwa

    Tunafahamu kuwa utumishi wa umma unahusisha kufanya kazi popote pale kulingana na mahitaji ya Serikali. Hata hivyo, ni muhimu pia kutambua kwamba familia ndiyo msingi wa jamii imara. Kuna watumishi wengi, hususan wanawake walioolewa na wanaume waliooa, ambao hupangiwa vituo vya kazi katika...
  2. A

    JamiiForums Tanzania KERO Halmashauri ya Mji TARIME imekaidi agizo la Katibu Mkuu TAMISEMI kulipa posho za pesa za KUJIKIMU watumishi wapya

    Habari, mm nimwajiriwa mpya wa serikali katika Halmashauri ya Mji Tarime ajira za mwezi January 2026, pamoja na katibu mkuu TAMISEMI kutoa waraka wa kuelekeza watumishi wapya wote walipewe pesa za kujikimu kufikia tarehe 15 June 2026 lakini mpaka leo hatujalipwa pesa hizo, wametufanyia danganya...
  3. BigTall

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Responded Wizara ya Michezo na TAMISEMI wako wapi wakati viwanja vya michezo na maeneo ya kijamii vikiendelea kubadilishiwa matumizi?

    Kuna mambo ya kusikitisha, na mengine yanayoumiza. Ni matukio yanayokufanya ujiulize maswali mengi bila kupata majibu hasa ukiwaza mwelekeo kesho kwenye mambo muhimu yanayogusa ustawi wa jamii. Mnamo Agosti 12, 2024, aliyekuwa Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Damas Ndumbaro, alifika...
  4. Yoda

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wanaoomba pesa kwenye mapenzi sasa hivi ndio wanaitwa TAMISEMI?

  5. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Naibu Katibu Mkuu OWM- TAMISEMI, Mativila Aagiza Wakandarasi Kuzingatia Ubora Katika Utekelezaji Wa Miradi

    Naibu Katibu Mkuu kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM- TAMISEMI) anayeshughulikia Miundombinu, Mhandisi Rogatus Mativila, amewataka wakandarasi wanaotekeleza miradi mbalimbali chini ya Mradi wa TACTIC kuzingatia viwango vya ubora vilivyoainishwa katika...
  6. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Mkurugenzi wa Manispaa ya Shinyanga anaficha Barua za Uhamisho zinazotoka Ofisi ya Rais Utumishi

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Shinyanga Amekuwa akificha barua za uhamisho zinazotoka kwa OR Utumishi kwa baadhi ya watumishi ambao ana chuki nao. Na pia amekuwa akifanya Hamisho za ndani kwa uonevu pindi anapopishana na watumishi hao. Mfano, Kuna dereva na Transport officer wamepelekwa...
  7. instinct desire

    JamiiForums Tanzania Tamisemi, Tunaomba wanafunzi warudi nyumbani likizo wasibaki shuleni mtaàla wa sasa unapima ufahamu siyo content based curriculum

    Kwa huu mtaàla mpya hakuna haja ya Wanafunzi kukesha sana shuleni na content za T/L, huu mtaàla unamruhusu mwanafunzi kuwa na maarifa zaidi ya Yale anayoyapata shuleni, kwahyo mtoto anaendelea kujifunza akiwa katika mazingira yyte Yale iwe nyumbani au shuleni. Tuwape wanafunzi nafasi waendelee...
  8. DEO mtiifu

    JamiiForums Tanzania KERO Walimu wanaojitolea mradi wa GPE-TSP chini ya TAMISEMI hawaajiriwi rasmi pamoja na kucheleweshewa mishahara

    Wakuu habari za mihangaiko ya hapa na pale. Kuna jambo linasikitisha kidogo, na kama ungekuwa ni wewe sidhani kama ungefurahia, mwaka jana 2025 serikali ilianzisha mradi wa kusapoti elimu yetu kutokana na upungufu wa walimu mashuleni na katika mradi huo viliainishwa vitu vingi ikiwemo sifa za...
  9. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kero ya Wanafunzi kulazimishwa kusoma tuition shule za Serikali

    Habari wana Jamii Forums, Naomba kuwasilisha hii kero kwa umma na taarifa hizi zifike TAMISEMI na Wizara ya Elimu. Kuna utaratibu mbovu sana kwa wanafunzi wanaosoma shule ya msingi Tandika iliyoko wilaya ya Temeke mkoa wa Dar Es Salaam. Wanafunzi wamekuwa wakilazimishwa kusoma masomo ya...
  10. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kuna Bachelor degree courses zinatolewa UDOM lakini hazipo kwenye soko la ajira

    Kuna kozi za education zinatutesa sana. Kozi hizi nyingi zinatolewa UDOM. Mfano bachelor of education in psychology, education in administration and management, education in policy planning, adult education and community development. Zote hizi na nyingine zinatolewa kwenye vyuo vikuu lakini...
  11. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania TAMISEMI ya SAMIA kama hamtashughulika na Majizi yaliyopo Halimashauri ya BUTIAMA , Hospitali Mpya ya Wilaya ya BUTIAMA Haitokaa Kumalizika Ujenzi

    Mimi ni Chadema Damudamu, na kama ambavyo Chama Changu hakiitambui Serikali hii ilotokana Uchaguzi Haramu !! Kuna Wakati kama Mtanzania Unaumia na kutoa Machozi !!. Ukamilashaji wa Ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya BUTIAMA , Sulihisho sio Kubadilisha Ma DMO , Ma DMO mtabadili sana na Kila...
  12. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Video : Baba Levo Alivyomtilia Shoti Waziri wa Tamisemi Kwenye Familia Yake

    Mtu kaumbuka huku Hadi akalazimika kujitetea hadharani Ili Mke wake asiliamshe timbwili 😂😂😂😂👇👇 https://www.threads.com/@radiomaarifatz/post/DXKlIPljjqq?xmt=AQF0S1U-gBF5xxJ8wC0Ju0Or1znu4YiRDB5E_9pbsApAIoQokX9KopbCuzwusbMZynTJaZxd&slof=1 My Take Mambo binafsi ya kifamilia hayapaswi kuongelewa...
  13. Taiq

    JamiiForums Tanzania TAMISEMI kwa nini hamtoi majina ya watumishi waliohama?

    Habari za leo? Ndugu zangu nimefikia uhamuzi huu wa kuuliza ni kwa nini Tamisemi haitoi majina ya watumishi waliopata uhamisho? Jibu ninalofikiria binafisi ni kutokana na kuwepo na uvunjifu wa sheria za uhamisho na hivyo basi wahusika kuamua kuficha uvunjifu huo. Hivi karibuni kumekuwepo na...
  14. A

    JamiiForums Tanzania KERO Responded TAMISEMI tembeleeni waajiriwa wenu kwenye vituo vya kazi hasa ajira mpya hawapokelewi vizuri

    Serikali hasa TAMISEMI watoe tu uhamisho hata kama hajamaliza miaka mitatu, haswa kwa hawa watumishi wapya! Kuna baadhi ya wilaya za pembezoni kama mkoa halmashauri zao, watumishi wapya wanapokuja hawapokelewi vizuri vituo vyao vya kazi. Watumishi wapya wanapoleta chachu nzuri ya maendeleo...
  15. A

    JamiiForums Tanzania KERO TAMISEMI inaajiri bila kuwa na bajeti? Kilio cha stahiki ya ajira mpya Halmashauri ya Bumbuli kina mwaka sasa hakuna majibu

    Halmashauri ya Bumbuli haijalipa posho ya kujikimu kwa ajira mpya tangu Mwaka 2025 Mwezi Februari, watu wanamaliza mishahara kulipia deni waliloahidi kupewa mwaka mmoha uliopita, kibaya zaidi hakuna maelekezo yoyote. Inamaana TAMISEMI wanaajiri watu bila kutoa bajetI za watumishi na ukizingatia...
  16. Mdeke_Pileme

    JamiiForums Tanzania Ajira Mpya Halmashauri Ya Wilaya Ya Mafia 2025/2026 – Stahiki za kujikimu hazijalipwa

    Ninaandika hapa kuwasilisha kero inayotukumba sisi baadhi ya watumishi wapya wa Afya wa Halmashauri ya Mafia tulioajiriwa mwaka 2025/2026. Mpaka sasa, watumishi hatujalipwa hatujalipwa kabisa hela ya kujikimu, bila maelezo yoyote rasmi kutoka kwa wahusika. Hali hii inaleta maswali makubwa juu...
  17. M

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Barua za Uhamisho TAMISEMI kwa sasa hazisainiwi na Ofisi ya Katibu Mkuu?

    Habari, kuna tatizo naona since November 2025 barua za mwisho kutoka hadi sasa kuna strikes imewekwa kuzuia barua ambazo tayari ziko ofisi ya katibu mkuu kuto sainiwa ikisemekana uhamisho wote umezuia na waziri mwenye dhamana. Sisi tulioajiriwa mikoani na tunafamilia ziko mbali na sisi ndoa...
  18. A

    JamiiForums Tanzania KERO Mamlaka ya Utumishi wa Umma na TAMISEMI mtutendee haki katika Suala la UHAMISHO WA WATUMISHI

    Unakuta mtu una Cheti cha ndoa, umeshathibitishwa kazini, ukiomba uhamisho unakataliwa na kuambiwa uombe kwenye mfumo. Mfumo ukiomba haukuruhusu eti mpaka miaka mitatu. Hii ni kinyume na haki za binaadamu. Mnataka tuishije tunapokuwa mbali na ndoa zetu? Mamlaka husika naomba litende haki Kwa...
  19. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Waziri Shemdoe: Watumishi wa TAMISEMI fanyeni kazi kwa upendo na ushirikiano ili kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM– TAMISEMI), Prof. Riziki Shemdoe amewataka watumishi wa OWM- TAMISEMI kufanya kazi kwa bidii, upendo, ushirikiano, pamoja na ubunifu katika utendaji wao ili kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi. Prof. Shemdoe...
  20. A

    JamiiForums Tanzania KERO Ajira Mpya TAMISEMI Sumbawanga tunalia njaa, tusaidiwe fedha zitoke, tukihoji HR anakuwa mkali

    Ninaomba mtusaidie kupaza sauti kuhusu suala la kupata pesa za kujikimu sisi ajira mpya upande wa TAMISEMI Sumbawanga Municipal Council. Nimepata ajira yangu huku lakini ninayoyasikia na kuyaona yanaumiza sana. Kinachumiza zaidi ni kwamba HR wa Manispaa ni mkali kama pilipili alituambia siku...
Back
Top Bottom