afya

  1. Munch wa Annabelle

    Halmashauri nchini zimejipanga kumchafua Rais Samia kwenye ahadi yake ya siku 100 kada ualimu na afya

    Habari za asubuhi Katika hali ya kushangaza halmashauri karibu zote Tanzania zinataka kuchafua jitihada kubwa za Mh Rais Dr Samia Hassan Suluhu alizoweka kwa kutoa ajira takribani 12,000 kama ahadi yake ya siku 100 alivoitoa na kwa asilimia 100 kaitekeleza. Kipembepembe kinakuja kwa hawa...
  2. Sigonella Island

    Wazee wa kupiga deki hakikisha hili kwa usalama wa afya yako

    Haya wale wazee wa kutafuta ujiko kwa kufyonza bakteria na chembechembe za nnyaa.... Jambo la kuzingatia huyo mwanamke msafi au papa yake anajua kuitunza au ndio harufu ya samaki kama tupo ferry. Inakata stimu unapukua faragha upo na pisi inaita kwa nje kwa ndani harufu ya papa kama kaficha...
  3. Roving Journalist

    Responded Hospitali ya Muhimbili Mloganzila yaomba radhi baada ya huduma kusimama kwa saa kadhaa Januari 13, 2026

    UFAFANUZI KUHUSU HITILAFU YA MTANDAO ILIYOATHIRI UTOAJI WA HUDUMA. Dar es Salaam: Tarehe 13. 01. 2026 Leo tarehe 13. 01. 2026 ilitokea hitilafu ya kifaa cha mawasiliano cha mtoa huduma za mtandao (ISP) kiitwacho Fiber Optic Media Converter. Hitilafu ya kifaa hiki ilisababisha kukatika kwa...
  4. Pdidy

    KERO Manispaa ya Ubungo fungeni vyoo vya Mbezi Kituoni ni hatarishi kwa afya, havifai kabisa kutumika

    Mungu tusaidie jamani Serikali na Manispaa ya Ubungo tunaomba fungeni vyoo vya Mbezi Kituoni. Vile vyoo ni hatarishi kwa afya ya binadamu kwa kweli, nimeenda mchana nikafika kuona vyoo 3 vinaelea kinyesi kizito juu, yaani unafungua hiki kimejaa maji na kinyesi juu nenda kile nenda kingine...
  5. Dr Luu

    Hekima ni kula kabla ya jua kuzama kwa afya njema

    Hii ni kweli kwa kiwango kikubwa, na siyo tu “hekima ya kale.” Kuna sababu za kibiolojia na kiafya zinazoiunga mkono. Ifuatayo ni misingi ya kisaikolojia na kiafya inayoeleza hilo: 1. Umeng’enyo wa chakula (Digestion) Mwili wa binadamu unaendeshwa na mfumo wa saa za kibaolojia (mzunguko wa...
  6. A

    KERO Jinsi Porojo za wanasiasa zinavyoharibu Sekta ya Afya nchini

    Kumekua na kukithili kwa porojo za kisiasa juu ya sekta ya afya nchini, hali inayopelekea huduma kuendelea kuwa duni na zisizoridhisha. Jambo moja wapo ni hili la kupitiwa na kubadilishwa kwa miundo ya kimshahara katika sekta ya afya,, jambo hili kila Waziri anaepewa dhamana kuongoza wizara ya...
  7. Hance Mtanashati

    Nafurahia magumu anayoyapitia Fella kuhusu afya yake na aliowasaidia kumtenga haswa chama kile

    Kwa anayoyapitia Fella binafsi nimefurahi sana. Natamani yamkumbe zaidi ya hapo mpaka akili imkae sawa. Jamaa kalia weeee kaona isiwe kesi mkewe kaja kutoa povu eti kwa nini aliwasaidia wanamkataa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣. Jamaa acha apitie magumu tu maana ni kada wa chama kileeeeeee hivyo msaada au huruma ya...
  8. L

    Nina kilo 86 lakini kila ninayekutana naye anasema nimekonda sana! Nifanyeje ili ninenepe kwa haraka?

    Jamani nahitaji msaada wenu. Hivi karibuni nimepima kilo zangu nikawa nina kilo 86, nikasafiri kwenda mkoani kwaajili ya sikukuu kila ninayekutana naye ananiambia kuwa nimekonda! Jamani nifanyaje je? Ni ugonjwa au ni shida gani, maana mimi najiona niko kawaida ila watu wanasema nimekonda...
  9. Amicable Group

    Heri ya Mwaka Mpya 2026 – Tunawatakia mwaka wenye afya, mafanikio na maendeleo endelevu kwa kila mmoja!

    Heri ya Mwaka Mpya 2026 – Tunawatakia mwaka wenye afya, mafanikio na maendeleo endelevu kwa kila mmoja!
  10. Mkalukungone Mwamba

    Ludovick Rwezaura: Sheria ya kanisa Katoliki inakataza kuwaita waumini malofa na wapumbavu

    Aliyejitambulisha kama muumini wa kanisa katoliki aliyebatizwa na anayepokea sakrament, Ludovick Joseph, aeleza vifungu vya sheria vinavyowabana viongozi kuwafokea waumini kwa lugha kali.
  11. stakehigh

    Ukikaribia mwisho wa maisha, utagundua vitu vyote ulivokuwa unapigania havina maana. Familia na afya ndo vyenye maaana zaidi

    Kwanza nimpongeze alieandika huu uzi: https://www.jamiiforums.com/threads/kuna-umri-ukifika-vitu-vingi-vinakosa-maana-isipokua-pesa-familia-na-afya-njema.2324044/ ukwel ni kwamba katika ujana, unaweza kudhan una vitu vya msingi sana vya kupigania kama mali, fedha, wanawake lakini kwa sisi...
  12. Dr Luu

    Tupia ushauri wa afya na salamu za sikuu ya Christmas

    Habari wapendwa wanaJF wenzangu nawatakia heri ya sikuu kuu na mwaka mpya kwenu nyote kwa upendo na mshikamano baina yetu, kila la kweri nyote. Tusisahau kutunza afya zetu kwani ndio utajiri namba moja WEALTH = HEALTH
  13. The Father of All

    Hivi aliyemteua Mwigulu alichunguza changamoto,Sijui kama wenzangu huwa mnamuelewa

    Huwa simuelewi mwigulu. Nikimuelewa huwa sijui kama anajielewa au kuelewa asemacho. Sijui kama wenzangu huwa mnamuelewa. Anaongea kana kwamba mdomo na ubongo havina mawasiliano. Wakati mwingine inakuwa vigumu kumtofautisha na hamnazoo aongeapo. Anaongea sana kuliko bosi wake. Anaongea kama...
  14. A

    KERO Serikali iingilie kati! Wauguzi na Wahudumu wa Afya wa Muhimbili, uongozi haututendei haki, hali yetu ni tete

    Tunaleta kilio chetu kwa Serikali na Mamlaka husika kwa kuwa watendaji wa huko wameshindwa kutusikiliza. Wakuu wa Idara kutoka Kurugenzi ya Uuguzi, wamekuwa na tabia ya kujiweka kwenye posho za NHIF na IPPM. Mgao wanaopata wao ni mkubwa kuliko watoa huduma waliohudumia wagonjwa. Ili hali kwa...
  15. bukoba boy

    Bima ya Afya NSSF

    Wadau kwema! Naomba kujua kuhusu bima ya Afya ya NSSF kwa wanachama wake.Iko vipi sababu amekuja Inspection officer wao ofisini ametushawishi tujiunge kwani ni kama bure sababu hakuna gharama nyingine zaidi ya michango.Unapewa list ya hospitali maalum kwenye mkoa husika.
  16. Fbn

    Bima ya Afya inatakiwa kuwa ni ya Serikali tu. Mfano watu milioni 62 wakilipa kwa mwezi shiling 2000. Angalia hapa

    Tanzania kuna mahali kuna shida na hizi shida sio kwao kwa watawala tuliopo nao. Ukusanyaji wa pesa ungekuwa na mpangilio mzuri hakuna mtu angeshindwa kuchangia ila mfumo uliopo sio mzuri. Fikiria kama serikali ingeweza kuweka bima ya mwezi 2000 hata chokorohaa na wasio jiweza wangelipa maana...
  17. Josemyinga

    Ulaaji usiofaa hatari kwa afya yako

    Je wajua? Ulaaji usiofaa unaweza kuongeza hatari ya matatizo ya moyo 😟 “Chips yai na soda baridi sana” 🔥 Hivi vitu vinaongeza mafuta mabaya (kolesteroli) mwilini na vinaweza kuziba mishipa ya damu. Kwa mujibu wa WHO, kati ya vifo 5, vifo 4 vinahusishwa na magonjwa ya moyo. Mshtuko wa moyo...
  18. A

    Msaada wa tiba tatizo la moyo baada ya kufanya mazoezi

    Habari zenu wakuu, Nina shida naomba niwashirikishe nipate ushauri, kila asubuhi huwa nafanya mazoezi ya kukimbia na ya viungo takriban saa mbili hivi ila sipati shida yoyote. Lakini naweza nikakaa kwa baadae nikapata tatizo la moyo kuripuka au moyo kushtuka hata kama hakuna kitu cha kushtua...
  19. M

    Jenista Mhagama alikuwa Waziri wa Afya wakati wa maandamano, kaondoka na siri gani?

    1. Wananchi wangapi walipelekwa hospitali kupata matibabu kwa majeraha ya risasi? 2. Wananchi wangapi walikufa kwa risasi? 3. Miili ya wananchi wangapi walipewa ndugu zao? 4. Miili ya wananchi wangapi haikuchukuliwa na ndugu zao? Yeye kama waziri wa afya alijua taarifa hizi? Je, hizi taarifa...
  20. Mcmillan de Maghayo

    Hivi huko India hamna bwana afya.

    Mzuka wana jamvi! Kuna sababu gani sasa ya kutubagua waafrika weusi. Sisi weusi ndo inabidi tuwabague. Najiuliza huko India hamna bwana afya? Video chini.
Back
Top Bottom