COLOMBOZI AJAY
New Member
- Feb 19, 2024
- 3
- 2
BUKOBA MANISPAA
KAGERA ,TANZANIA
Nakusalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. : Kwanza Hongera na kazi katika harakati za kulipambania Taifa hasa kwenye secta ya AFYA hapa nchini.
Sisi ni wahudumu wa afya ngazi ya jamii, kutoka MKOA KAGERA wilaya ya BUKOBA MANISPAA tulifanya uhamasishaji wa Jamii kuhusu jinsi ya kujikinga na mripuko wa ugonjwa wa MARBURG ambapo ofisi ya HALMASHAURI ilituahidi kuwa tutalipwa kiasi cha shilingi lakini moja ( 100,000/) kwa kila moja kila mwezi kwa kipindi cha miezi mitatu yaani kuanzia mwezi March 2023 mpaka mwezi June 2023 kutokana na uhamasishaji huo. Tulisainishwa fomu na kuambiwa tufungue Account kila mmoja kwa ajili ya kupata malipo hayo.
Tulianza kazi hiyo tangu 17/03/2023 mpaka 30/06/2023 kulingana na maelekezo tuliyopewa na mratibu wa C H Ws BUKOBA MANISPAA.
Tumehangaika Kwa mda mrefu tukitaka kujua ni lini tutalipwa POSHO hiyo. Hatukupata MAJIBU sahihi. Kwa ngazi ya wilaya mpaka mkoa
Mh: Malalamiko hayo yanatoka Kwa wahudumu wa afya ngazi ya jamii (C H Ws) zaidi ya 120 Kwa KATA zote 14 na mitaa yake. Mh: mpaka Sasa ni muda mrefu umepita bila majibu.
Tunaomba msaada ili tuweza kupa utatuzi wa kero hii
Tutashukuru sana endapo suala Letu lipatatiwa ufumbuzi, wako katika ujenzi wa Taifa.
Mwakilishi wa (C H Ws). KUTOKA BUKOBA MANISPAA MKOA KAGERA.
Asante.
KAGERA ,TANZANIA
Nakusalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. : Kwanza Hongera na kazi katika harakati za kulipambania Taifa hasa kwenye secta ya AFYA hapa nchini.
Sisi ni wahudumu wa afya ngazi ya jamii, kutoka MKOA KAGERA wilaya ya BUKOBA MANISPAA tulifanya uhamasishaji wa Jamii kuhusu jinsi ya kujikinga na mripuko wa ugonjwa wa MARBURG ambapo ofisi ya HALMASHAURI ilituahidi kuwa tutalipwa kiasi cha shilingi lakini moja ( 100,000/) kwa kila moja kila mwezi kwa kipindi cha miezi mitatu yaani kuanzia mwezi March 2023 mpaka mwezi June 2023 kutokana na uhamasishaji huo. Tulisainishwa fomu na kuambiwa tufungue Account kila mmoja kwa ajili ya kupata malipo hayo.
Tulianza kazi hiyo tangu 17/03/2023 mpaka 30/06/2023 kulingana na maelekezo tuliyopewa na mratibu wa C H Ws BUKOBA MANISPAA.
Tumehangaika Kwa mda mrefu tukitaka kujua ni lini tutalipwa POSHO hiyo. Hatukupata MAJIBU sahihi. Kwa ngazi ya wilaya mpaka mkoa
Mh: Malalamiko hayo yanatoka Kwa wahudumu wa afya ngazi ya jamii (C H Ws) zaidi ya 120 Kwa KATA zote 14 na mitaa yake. Mh: mpaka Sasa ni muda mrefu umepita bila majibu.
Tunaomba msaada ili tuweza kupa utatuzi wa kero hii
Tutashukuru sana endapo suala Letu lipatatiwa ufumbuzi, wako katika ujenzi wa Taifa.
Mwakilishi wa (C H Ws). KUTOKA BUKOBA MANISPAA MKOA KAGERA.
Asante.