special

Special forces or special operations forces (SOF) are military units trained to conduct special operations. NATO has defined special operations as "military activities conducted by specially designated, organized, selected, trained and equipped forces using unconventional techniques and modes of employment".Special forces emerged in the early 20th century, with a significant growth in the field during World War II, when "every major army involved in the fighting" created formations devoted to special operations behind enemy lines. Depending on the country, special forces may perform functions including airborne operations, counter-insurgency, counter-terrorism, foreign internal defense, covert ops, direct action, hostage rescue, high-value targets/manhunt, intelligence operations, mobility operations, and unconventional warfare.In Russian-speaking countries, special forces of any country are typically called spetsnaz, an acronym for "special purpose". In the United States, the term special forces often refers specifically to the U.S. Army Special Forces, while the term special operations forces is used more broadly for these types of units. Members of special forces units are often called "operators", a term originating with Delta Force.

View More On Wikipedia.org
  1. Cainan

    Special Thread: Mashine za aina zote katika miradi midogo na mikubwa

    Habarini wakuu, Nimeamua kuandaa uzi collective kwa ajili ya mashine mbalimbali ambazo zinatumika katika shughuli mbalimbali hapa nchini. Nitakuwa natoa maelezo ya machine pamoja na picha (muonekano) na bei yake Post ntazipanga katika sytematic order ambayo itawezesha mtu kupata picha ua...
  2. Gang Chomba

    Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

    yanga ilianzishwa mnamo mwaka 1935 na inasemekana ndo klabu kongwe na yenye mafanikio zaidi hapa nchini. klabu hii ilianzishwa na wazalendo halisi wa nchi hii waliokuwa wakiji shughulisha na uchuuzi wa nazi na samaki na muda wao wa jioni ulipofika walikuwa wakijumuika pamoja kusakata kabumbu na...
  3. K

    Vyakula/matunda na tiba zake special thread

    Habari zenu wakuu?? Nimeona nianzishe Uzi huu ili kupeana up dates kuhusu vyakula/dawa asiri na matibabu yake Kwani nina amini hata kabla ya hospital's kulikuwa na matibabu ya asiri lakini yame potea au wengi hatuya jui kuto kana na technologies development/mazingira tuliyo kulia Kiukweli ni...
  4. tpaul

    Uzi maalumu kwa single mothers: Single Mothers Special Thread

    Ndugu wanaMMU, naingia kwenye mada moja kwa moja bila kuwachosha wala kuwapotezea muda. Baada ya kuona idadi ya single mothers inazidi kuongezeka kila kukicha, nimeshawishika kufungua uzi maalumu kwa ajili yao ili kwa pamoja tuweze kutoa mawazo jinsi ya kuwasaidia na kuwashauri. Hii itasaidia...
  5. Bujibuji Simba Nyamaume

    Ushauri special kwa wanaume special

    Kaka zangu..... Hebu kabla hatujalala tuambiane kakitu. Kuna wanawake Mungu amewapa tu akili nyingi. Yaani naturally tu ana akili sana, ana mawazo ya mbali sana, ana upeo mkubwa, amekomaa kichwani, yuko serious na maisha, yuko very calculative na akikushauri ukamsikiliza unatoboa. Wengine wa...
  6. D

    UEFA EURO 2024: Special Thread.

    Naam, ni Hakika! Wakati ligi mbalimbali duniani zikielekea ukingoni, mashabiki kote duniani wanatarajia kwa hamu kuanza kwa tukio kubwa zaidi la soka barani Ulaya, UEFA EURO 2024. Mashindano haya ya kusisimua, yanayofanyika mara moja kila baada ya miaka minne, yataanza kutimua vumbi Ijumaa...
  7. Burkinabe

    Mlioko serikalini msijione 'Special' sana. Mambo wakati mwingine hubadilika kwa kasi usiyoitarajia

    Habari wana JF. Kuna baadhi ya watumishi wa serikali, kuanzia ngazi ya chini kabisa hadi ngazi ya juu kabisa huwa wanajiona wao ni watu maalum sana. Kama hujawahi kukutana na watu wa aina hiyo, basi nakuhakikishia iko siku utakutana nao. Wengi wao husahau ule usemi wa "cheo ni dhamana". Hao...
  8. Eli Cohen

    Kuna wanaume wanafeli sana, hawala anakula vyakula vya nyota 5 nyumbani wanaishia kuviangalia kwenye TV

    Sikatai chakula ni chakula tu, ila hakuna asiyependa kula mapocho pocho. Usijitetee eti hautaki kulisha masumu ya kizungu watoto wako hahahah, mara nyingi msosi nyumbani kwao hawa jamaa inabaki tu basic ya Mtanzania wa kawaida: Ugali dagaa tembelee, Chai na vitumbua vya mama salma mtaani, Wali...
  9. Suley2019

    Iconic Movie scenes and trailers special thread

    Wakuu niaje? Karibuni tukumbushane baadhi ya scene kali kabisa kwenye Movies zetu pendwa. Leo mimi nadondonsha scene hii fupi kutoka Shaolin Soccer. Unaikumbuka?
  10. Battor

    Leap year Special Thread

    Kwa wote tunaotambua nguvu iliyojificha kwenye namba. Uzi huru kutupia chochote unachoamini ni mafanikio kwako, usikate tamaa jibidishe kwani huu ndo mwaka wa neema kwa wanaojituma. Pia usiache kumshukuru Mungu kwa kila hatua unayopitia.
  11. Travis Wax

    Valentine special (mke ) anahitajika

    Hello Guy's kama kichwa kinavyo someka Binti / Mwanamke aliye single anahitajika: Sifa za Mwanamke: - Mwenye: heshima, Nidhamu, Utii, Hekima, Uvumilivu. - Umri: Miaka 25 - 45 - Ukazi: Dar es salaam / East Africa Sifa za Mwanaume: Mrefu, Mweupe Mwenye hofu ya Muenyezi Mungu Mpole, Mcheshi na...
  12. Marhabaa

    Taarab: Special thread

    Hii ni special thread Kwa wapenzi wa muziki wa mwambao wa Pwani. Natoa nafasi - Zuhura shaabani
  13. Amavubi

    Nyimbo zimeenda wapi kwenye mabasi ya kukodishwa(Special Car Hire)?

    Wasalaam Kabla magari ya KUKODISHA maarufu kama Costa hayajarasimishwa nilikuwa nashuhudia ABIRIA WENGI WAKIIMBA NYIMBO ZA MAOMBOLEZO Naukiza swali, zile nyimbo zimepitwa na wakati? Maana siku hizi ni KIMYA KIMYA
  14. TAJIRI MKUU WA MATAJIRI

    Bikira ina nini special kwa watu wa dini hadi waitukuze kiasi hiki?

    Kuna dini moja inamwabudu mwanamke bikira, alizaa mtoto zaidi ya mmoja, lakini bado wanamuita bikira mtakatifu mama wa Mungu. Dini nyingi wanaamini kwamba peponi ukifika unapewa wanawake bikira 72, ambao ni mabikira milele, hata uwafyantue kiasi gani wao wataendelea kuwa mabikira tu milele na...
  15. C

    Anayejua nafasi special zinazotolewa na jeshi je, Ni kwel zipo na kama zipo zinatolewa kwa mfumo gani?

    Msaada tafadhali kwa anayejua zaidi kuhusu nafasi special zinazotolewa na jeshi je? Ni kweli zipo na kama zipo zinatolewa kwa mfumo gani?
  16. M

    Special Thread: Video za udambwi/manjonjo kwenye mpira wa miguu

    Wanasema mpira sio kushinda magoli tu, bali mpira ni kujua kuuchezea na kuutawala. Huu ni uzi maalumu wa kutupia video za udambwi dambwi wa mastaa kwenye ulimwengu wa mpira wa miguu. Mimi naanza na hawa viumbe wawili Lionel Messi na Cristiano Ronaldo DONDOSHA NAWEWE CLIP YA VIDEO...
  17. Light saber

    What's so special about J Cole

    Nataka nianze kumsikiliza huyu mwamba .. baada ya kujua kuwa Yeye na studio yake wameproduce Soundtracks za kwenye Creed 3 . Wanazi wa hip hop Scars Extrovert Nipeni ngoma tano Bora za huyu mwamba nizisikilize.. itakuwa vyema pia nikipata na facts kumhusu
  18. Mr mutuu

    Kwa waliomaliza form 4, kama una roho ndogo usiende kusoma special schools (shule za vipaji maalumu)

    Hizi shule(mzumbe,pugu,kisimiri,ilboru,kibaha and the likes) japokua siku izi nyingi zimepoteza sifa zake aisee kama una moyo mwepesi usiende huko unaweza kupata depression au pressure ukashindwa kusoma Miaka Hio mwisho wa miaka ya 2000 niliripoti Moja ya shule tajwa hapo combination ya pcm...
  19. BlackPanther

    Morocco National Football Team (The Atlas Lions) Special Thread

    MOROCCO NATIONAL FOOTBALL TEAM 🇲🇦 HONORS: Tafadhali, wenye elements za ubaguzi wapite pembeni, uzi huu hauwahusu!
  20. BlackPanther

    Morocco National Football Team (The Atlas Lions) Special Thread

    Moderator kuna thread mbili zimeniijia, naomba ufute hii ambayo haina chochote ndani yake
Back
Top Bottom