Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
Historia ya nafasi ya Makamu wa Rais nchini Tanzania imebadilika sana tangu Muungano wa mwaka 1964. Tanzania ilianza ikiwa na Makamu wa Kwanza na Makamu wa Pili, mfumo ambao ulihusisha kwa karibu nafasi ya Rais wa Zanzibar na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano. Mwaka 1995 mfumo huo ukabadilika...
Fifteen years ago, the World Bank predicted Tanzania would need a century to achieve 100% rural electrification. In 2026, Tanzania, through REA, achieved universal village grid electrification. Every official mainland village now has core electricity infrastructure. Extending electricity to...
We are the people. We are the taxpayers. We are the voters. We are the citizens.
AM NOT GOING TO PRETEND EVERYTHING IS NORMAL?! 😡
And yes, I love Tanzania. ❤️🇹🇿
THAT is exactly why this shit hurts so much.
We cannot keep normalising things that should never be normal. I’m angry . I’m fucin...
Kwanza nakusalimia Kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania.Kazi iendelee.
Naandika Kwa maumivu makali moyoni juu ya udikteta wa kutisha unaofanywa Kwa walimu wanaodai madai mbalimbali hapa wilayani Kilindi Tanga.Pesa za likizo hazitolewi Kwa wakati Kwa watumishi na zikija zimekatwa.
Pesa...
Ndugu Nchimbi kwanza nikupe pongezi nyingi kwa kuondoka kifungoni.
Awali nilitangaza humu kwamba ningefungua masikio yangu yote nisikilize uliyokuwa ukiyaseama baada ya maneno uliyosema kuhusu waTanzania waidai katiba kwa nguvu zao zote..
Maana yangu ya kufungua masikio, nilitaka niwe na...
Hello everyone,
I hope you are all doing well. Today, I would like to share an in-depth analysis looking at Tanzania’s current political and economic trajectory through a historical lens.
This piece evaluates how strategic decisions made a decade ago have structurally reshaped our democratic...
Na Benny Mwaipaja, Dar es Salaam
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), amesema kuwa Tanzania ina dhamira ya kuimarisha zaidi ushirikiano wa kiuchumi na maendeleo na Serikali ya Jamhuri ya Comoro, ili kuleta manufaa ya pamoja kwa wananchi wa nchi hizo mbili.
Mhe. Balozi Omar...
Kama wewe ni mpenzi wa Game la Mpira Nazani 😁 nikisema Division kwenye Eftooball unanielewa sio 👋.
Ukiwa unacheza hii Game kuna Division ukifika kupitia Ai au PVP uwa inakua ngumu sana unakuta kila unayekutana naye anakaza balaa 😀.
Ugumu unaanzia hapa Division 5 na 4 ila bado unaweza kucheza...
Visa, vitimbi vinaanza Sasa, file zito jekundu lipo MEZANI kwa Bwana.
Pamoja yakuwa ana cheo cha UBALOZI lakini sio raia.
Pamoja yakuwa aliwai kuwa waziri wa mambo ya ndani ILA sio raia.
Baada kujiuzuru siasa ndo tunabaini sio raia( kamuuze mzee ulimwengu baada ya kujiuzuru ukuu wa WILAYA...
Naanza Kwa Wino Mzito wa salamu, "Kwa Haki, Mshikamano, Uzalendo na Uwajibikaji wa Pamoja", wote Twaitikia "Ndio Tamaduni zetu Watanzania".
Ndugu wa Tanzania, kutokana na hoja mbali mbali za Kikatiba, Itaji la muda mlefu la Katiba mpya na uitaji wa Mchango wa kisomi na Kitaaluma kwenye...
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kila Mtanzania anapaswa kutimiza wajibu wake bila kuogopana, akisisitiza kuwa Tanzania ni kinara katika kuheshimu haki na kuhimiza uwajibikaji.
Dkt. Mwigulu amesema hayo leo, Agosti 25, 2026 wakati akishiriki katika...
Watanzania tuungane kwa pamoja tupigane na hiki kikundi Cha mashetani.
Kama mtu mkubwa kama huyu anajiuzulu Ina mana imefika pabaya na too much.
Too much arrogance
Too much innocent blood shed
Too much theft
It is time my fellow tanzanians
Mtawala asipokupenda tu kichwa kinawekwa juu ya mkuki iwe fundisho kwa wengine 😂😂🙌
Waliowahi kuiona watanielewa😂
Ni mwendo wa kuwindana na kukaa kimachale machale sana.
Nina heshima kubwa sana na viongozi wa kikatolic waliomlea Nchimbi na Mpango. Hawa jamaa wapewe heshima kubwa,
Ni catholic church pekee ambalo limesimama na Watanzania
Ni hawahawa Catholic walimfanya JPM ajutie kuwa Mkatolic! It is no joke hawa watu wana utimamu wa akili against all myths na...
Kuna viongozi wanaotoka upande wa Tanzania bara katika serikali hii ya awamu ya sita chini ya Raisi Samia ambao wananchi wa Tanzania bara wanawaona kuwa wasaliti wakubwa wa Tanzania bara, au kama wanavosema "wasaliti wa Tanganyika".
Siku ikifika yakawakuta ya kuwakuta msije mkamlaumu mtu, kwa...
1) Mwaka 1962- Mwalimu Julius Nyerere
- Mwalimu Alijiuzulu nafasi yake ya "Waziri mkuu wa Tanganyika" miezi michache tu baada ya uhuru. Alimwachia kijiti Rashid Mfaume Kawawa na kurudi vijijini kujenga na kuimarisha chama cha TANU.
Kabla ya muungano
2) Mwaka 1977- Ali Hassan Mwinyi
-...
Tanzania imesema ushiriki wake katika Mkutano wa 17 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa Kupambana na Kuenea kwa Hali ya Jangwa na Ukame (UNCCD COP17) unalenga kuimarisha juhudi za kurejesha ardhi iliyoharibika, kuhifadhi malisho na kuongeza ustahimilivu wa jamii dhidi ya ukame...
Tanzania imepewa mkopo wa billion 459 kutoka Korea kusini fedha hizo zitatumia kwenye ujenzi wa chuo cha AI and digital technology
Mimi najua hizo ela wamekopa za kuwalipa majaji wa mchongo kila siku kukopa hii nchi itauzwa
Source: Africaninsider
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.