tanzania

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
  1. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kyerwa, Kagera: Kuna tofauti ya bei ya Kahawa Tanzania na Uganda, wakulima tunapigwa tukiuza Kahawa yetu Uganda

    Katika Wilaya ya Kyerwa mkoani Kagera, hususan katika kata zinazopakana na nchi jirani ya Uganda, yaani kata za Mrongo na Bugomora, wananchi ni wazalishaji wakubwa wa zao la kahawa aina ya Robusta kwa wingi. Lakini kumekuwa na unyanyasaji mkubwa ambapo mamlaka husika wilayani humo zimekuwa...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya Amsons Group ya Tanzania inahusishwa kuinunua Oryx kwa Dola Milioni 250

    Kampuni ya Amsons Group yenye makao makuu yake nchini Tanzania, inaripotiwa kuwa katika mazungumzo ya hatua ya juu ya kuinunua kampuni ya Oryx Energies katika dili linalokadiriwa kuwa na thamani ya dola milioni 250 (Zaidi ya shilingi bilioni 650 za Kitanzania), kwa mujibu wa taarifa kutoka...
  3. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania 𝐖𝐚𝐭𝐮𝐦𝐢𝐚𝐣𝐢 𝐰𝐚 𝐢𝐧𝐭𝐚𝐧𝐞𝐭𝐢 𝐰𝐚𝐦𝐞𝐨𝐧𝐠𝐞𝐳𝐞𝐤𝐚 Nchini Tanzania

    ➡️Machi 2025: Watumiaji milioni 49.3 ➡️Machi 2026: Watumiaji milioni 58.9 Hii ni ongezeko la asilimia 19.5.
  4. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Ukweli mtupu: Hakuna Kipindi Timu za Taifa za Tanzania Zimepata Mafanikio Makubwa kama Awamu ya Sita.Samia ana Nyota Kali Sana.

    Hii rekodi inayowekwa na Serikali ya awamu ya sita kwenye sekta ya michezo mbalimbali kuanzia soka Hadi mbio haijawahi wekwa hapo kabla. Wakati haters wa mama walipojitokeza kusema anaingiza siasa kwenye michezo mara anatumia hela hivi na vile kupitia goli la mama historia ilikuwa inaandikwa na...
  5. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Tanzania iko salama chini ya CCM

    Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeendelea kuwa tumaini na nguzo imara ya Taifa letu kupitia sera, falsafa na dira inayoweka mbele maslahi ya Watanzania. Kwa miaka mingi, CCM imebeba dhamana ya kulinda amani, kuimarisha umoja na kusukuma gurudumu la maendeleo ya Tanzania mbele. Ni dhahiri kuwa...
  6. J

    JamiiForums Tanzania BUNDIBUGYO STRAIN is looming large! na Tanzania tumo miongoni tunaohatarishwa

    Virus vya Ebola hii ni hatari zaidi ya ile Ebola iliyozoeleka. Je Serikali inajiandaa kukabiliana nayo! Je mwananchi wa kawaida katika family level tunajiandaa na hii new reality? Kuelekea 2029 tutegemee matukio ya kushangaza sana na ku disrupt mwenendo wa kawaida wa maisha ya mwanadamu. Hivyo...
  7. Best home tutor

    JamiiForums Tanzania Wawekezaji wengi hasa kutoka nje wananyanyasa wazawa Tanzania

    Salama. Wawekezaji wengi hasa kutoka bala la Asia hawa wachina ,wakorea ,Mahindi ni watu ambao wanawanyanyasa sana wazawa kwenye maeneo waliyowaajili. Hawa watu ni hawazingatii kabisa sheria za kazi na wanakuaga na kauli Tata za matusi ,malipo kidogo ,hawana huruma wala utu kwao wanaamini...
  8. DodomaTZ

    JamiiForums Tanzania Miezi Saba ya Ganzi: Tanzania inaelekea wapi?

    Ni takribani miezi saba sasa tangu Taifa liingie katika ukurasa mpya wa huzuni, majonzi na maumivu ya kijamii na kisiasa kufuatia yaliyotokea kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29. Tangu wakati huo, Tanzania imeonekana kutembea kwa kusitasita kama taifa lililopoteza dira, huku sintofahamu ikitanda...
  9. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Lucas Mwashambwa amedhihirisha haijui Tanzania

    Leo Lucas kaanzisha Thread anasema Mama amebadilisha maisha ya Watanzania Mimi nikamjibu kwa picha kumuonesha maisha ya Watanzania Sasa hizi ni picha za Mbeya, nimemwonesha akauona umasikini hadi akashangaa akaanza kusema ni picha za mitandaoni na sio picha halisi za Tanzania The fact...
  10. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Kwanini majiji yetu Tanzania hatuwezi kuyafanya yawe masafi kama Kigali?

    Hivi kwa nini licha ya kuwa jirani na Rwanda bado hatujapata motivation ya kufanya majiji yetu yawe masafi? Tuna majiji sita tu 1. Dar es Salaam 2. Mwanza 3. Arusha 4. Dodoma 5. Tanga 6. Mbeya Hivi hatuwezi kuanzisha kampeni kali ya "KEEP OUR CITIES CLEAN" watu walipishwe faini za kutosha...
  11. passioner255

    JamiiForums Tanzania Kwanini utekaji na uumizwaji wa watu umeota mizizi Tanzania ?

    Je huu uhuni una Baraka kutoka kwa Mkuu juu? Kwa sababu vyombo vyote vya usalama vinareport kwa mkuu kwa hiyo anajua kila kitu. Je vyombo vya usalama havina uwezo wa kuthibiti haya...
  12. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Kwa nini vijana wanataka aletwe Tanzania Msanii Sharukhan

    Habari za Sabato! Nimeshangazwa Sana na mawazo ya vijana. Mnawaza nini vijana? Mnataka nini Vijana? Mkoje ninyi vijana? Katika hali ya kustaajabisha GenZ wanasema wao tatizo lao sio Soka, tatizo lao sio ajira, ajira hawana tatizo nalo. Nikajiuliza kivipi tena wakati vijana ninyi ni jobless...
  13. P

    JamiiForums Tanzania Tanzania tuna import maji kutoka nje baada ya miaka 64 ya uhuru

    Hii chupa ya dripu ina nusu lita ya kimiminika aina ya ‘maji’. Lebo hapo inasema "0.9% w/v" Sodium Chloride (chumvi). Kwa kifupi, maana yake ni kwamba 99.1% ya hii chupa ni maji. Kwenye hii dripu ya 500 ml, kuna gram 4.5 ya chumvi. Kilichobaki 495ml ni maji. Haya maji yamekuja kutoka India kwa...
  14. Yoda

    JamiiForums Tanzania Rio asilaumiwe sana kuja Tanzania kwa mgongo wa serikali

    Ukifuatilia utagundua ni nadra au haiwezekani wadau na mastaa wa michezo hasa wa mpira wa miguu kujitenga na utawala au watawala wowote wale hata wawe madikteta katili kiasi gani. Sijajua sababu ya jambo hili ni nini ila kwa kiasi kikubwa mpira wa miguu una mafungamano makubwa sana na watawala...
  15. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania US Yaibana Tanzania Kufuatia Human Rights Abuse na Sakata la Boniface Mwangi na waathira wengine kutoka kenya na Tanzania

    Marekani imechukua hatua kali dhidi ya mkuu mmoja wa polisi nchini Tanzania baada ya kumwekea sanctions kutokana na madai ya ukiukaji wa haki za binadamu wakati wa uchaguzi mkuu uliopita. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na serikali ya United States, Kamishna Msaidizi Mkuu wa Polisi, Faustine...
  16. secretarybird

    JamiiForums Tanzania Hivi Indira Gandhi alipomwambia Nyerere, "nitaimeza hiyo Tanzania yako ndani ya India yangu", alimaanisha nini? 🤔.

    Wakuu, aliyekuwa waziri mkuu wa India bibie Indira Gandhi, alipomwambia baba wa Taifa letu kuwa, "nitaimeza hiyo Tanzania yako ndani ya India yangu", alimaanisha nini? Kama Kuna anayejua kile alichomaanisha Indira binti Jawaharlal Nehru, anijuze tafadhali 😎. Mshana Jr Mbaga Jr Mzee...
  17. Think2

    JamiiForums Tanzania Gerson msigwa :Serikali haiwalipi mastaa kuja Tanzania wanakuja kutokana na ukaribu na mheshiwa waziri Makonda

    Msigwa wadanganye watoto wako tu star mkubwa wa ball duniani aje bure ajilipie gharama zote za passport kuja tanzania kisa ameitwa na Makonda? Usikute hata ulaya hawamjui msukuma Makonda 😂 😂 na hilo trako lake kubwa 😂 Tusifiche ukweli tuwambie watanzania pesa zao za kodi wanalipwa hawa mastaa...
  18. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Hakuna na wala hapatakuwepo na mgogoro wa kidiplomasia baina ya Tanzania, Marekani na EU, Puuzeni upotoshaji wa wafuata mkumbo waliokosa agenda.

    Uhusiano wa Tanzania na washirika wake wa maendeleo na kidiplomasia kote ulimwenguni ikiwa ni pamoja na serikali ya Marekani, Umoja wa Ulaya EU, Urusi, Japan, China n.k ni mzuri sana na unaendelea kuimarika kila uchwao kwa maslahi mapana ya wananchi wa nchi zote husika. Porojo na upotoshaji...
  19. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Tanzania Defies Propaganda on Coexistence

    Tanzania remains committed to peace, economic growth, regional integration, and religious freedom. No amount of propaganda can erase the country’s longstanding record of coexistence.
  20. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Tanzania: United for Peace & Sovereignty

    Tanzanians are united in defending their country’s dignity, sovereignty, and peace. External campaigns built on misinformation will never define Tanzania’s identity or future
Back
Top Bottom