utu

Utu, later worshipped by the East Semitic Akkadian-speaking Babylonians as Shamash, was the ancient Mesopotamian sun god, god of justice, morality, and truth, and the twin of the Mesopotamian goddess Inanna (Ishtar in the Assyrio-Babylonian language), the Queen of Heaven. His main temples were in the cities of Sippar and Larsa. He was believed to ride through the heavens in his sun chariot and see all things that happened in the day. He was the enforcer of divine justice and was thought to aid those in distress. According to Sumerian mythology, he helped protect Dumuzid when the galla demons tried to drag him to the Underworld and he appeared to the hero Ziusudra after the Great Flood. In the Epic of Gilgamesh, he helps Gilgamesh defeat the ogre Humbaba.

View More On Wikipedia.org
  1. Eli Cohen

    Kujichua ni kawaida na afya. Watu wengi huendelea nayo hadi utu uzima ila pale inapokuwa uraibu hadi kususia sex na majukumu basi shida unakuta ni hii

    Sio kwamba eti ni punyeto ndio imefanya umeaanza kuona hakuna utamu katika sex , no , ni afya ya akili ndio director wa hii movie, unakuta mtu anachakata mikono kila muda kwa kutumia energy zake zote na akifanya hivi akili yake hutulia tuli kuliko kama angepata jagina. Usicheze na kitu kinaitwa...
  2. Fbn

    Walivyo, kesho watatoa ufafanuzi kwanini Jeshi lilisema "Kazi na Utu"

    Baada ya watu kuanza kuuliza kwa nini jeshi linachukua neno kauli mbiu ya CCM lile neno. Kesho mtarajie wakaitisha vyombo vya habari kama kawaida yao.
  3. mwehu ndama

    Boss wa mke wangu ana moyo wa utu sana

    Leo niliitikia wito wakwenda ofisini kwa mke wangu kuonana na boss wake kwaajili ya mazungumzo! Nimefika tumezungumza mambo mengi sana Kubwa zaidi boss wake kasema nimruhusu mke wangu ampangie nyumba karibu na kazini ili awe anapata muda wakupumzika mapema nakufanya kazi zaidi maana ilikuwa...
  4. K

    Yaani mnamshauri mwenzenu kitu ambacho hata ninyi msingefanya, Mnamtia mwenzenu kwenye matatizo. Ilimradi yenu yananyoka, Muwe na utu hata kidogo

    Yaani unajuwa kabisa hicho unacho mshauri hakina afya kwa Taasisi/taifa na kwake pia, Lakini kwasababu ya maslahi yenu binafsi mnafanya. Mambo yakienda ndivyo sivyo mnasema sisi hatuna mamlaka ya kufanya maamuzi. Zigo lote anabeba pekeake 1. Inawezekana kwa sababu umegundua bosi wako upeo wake...
  5. Zack Abdul

    Kazi na Utu: Tunasonga Mbele

    #KaziNaUtuTunasongaMbele #TabasamuLaUtu #maendeleoendelevu #diplomasiayakiuchumi
  6. Stability

    Kwanini kobaz wengi wa JF wanachagua sana dini kuliko au dhidi ya utu na mantiki.

    Firstly, nakumbuka walivyofurahia vijana wa tanzania kuuliwa na hamas kipindi kile, walivua utanzania kabisa na kushabikia hamas kisa tu ni kobaz wenzao. Pia mnajua upande gani waliokuwa juzi hapa. Then, fuatilia nyuzi zao, wako tayari kusimama na muuaji haijalishi ni ukatili wa namna gani...
  7. U

    Raisi Samia ameonyesha utu kwa vitendo kutembelea magereza

    Watanzania tujisikie farari kumpata mama anatujari na ana utu
  8. Eli Cohen

    Ukishaona utu, logic na reasoning umemzidi haina haja kuendelea kubishana naye tofauti na hapo unapambana uige fikra tasa zake au unakaribia kuwa yeye

    Mnawafahamu humu waimba pambio wa upande ule kama wanahaga haga kama kuku aliekatwa kichwa. Wamejawa matusi maana hawana facts. Wamejawa maandishi ya kutunga maana itikadi zao na waliowatuma wenyewe ni wa kutunga. Mnawajua wako radhi kuchagua dini dhidi ya uhai wa watu. Watasapoti chochote...
  9. Eli Cohen

    Haiwezekani ukawa unalaani vikali UZAYUNI (zionism) huku unashibikia JIHAD. Point yako kubwa ni ipi haswa, unalenga utu au itikadi?

    Logic ndio kitu hamna. Mnabebeka na mihemuko ya kiitikadi na matango pori mnayorishwa kwenye vijiwe vya gahawa na aljazeera Kama unaweza kusema uzayuni ndio sababu kuu ya mitafaruku duniani huku ukishabikia jihad ya kukata vichwa watu kaskazini mwa naijeria then wewe sio solution ya tatizo...
  10. Eli Cohen

    Sasa mmeleewa kuwa uzee na usomi sio heshima na hekima, heshima ni utu, hekima ni uwajibikaji.

    Its 12:00pm Muwe na mchana mwema
  11. Waufukweni

    Rais Samia atunukiwa Tuzo ya Heshima Nigeria kwa mchango wake kwa Jamii na Ubinadamu

    Uongozi wa Chuo Kikuu cha Jimbo la Nasarawa, Keffi (NSUK), umemtunuku shahada ya heshima ya udaktari Rais wa Tanzania, Samia Suluhu, kwa mchango wao mkubwa kwa ubinadamu na jamii kwa ujumla. Akipokea Tuzo hiyo, Samia amesema "Napokea utambuzi huu kwa unyenyekevu mkubwa na shukrani...
  12. Mkalukungone Mwamba

    Nape: Vyombo vya Dola visipojali UTU, CCM itang'oka!

    Mbunge wa Mtama (CCM), Nape Nnauye ametahadharisha kuwa bila kusimamia utu, Chama cha Mapinduzi (CCM) inaweza kuondoka madarakani hivyo akaonya wanachama ndani ya chama hicho wasione aibu kusimamia utu. Nape aliyewahi kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa...
  13. Kipenzi Changu

    Padri ahoji Je hii ndio Kazi na Utu? Alihesabu miili 13 ya waliouawa MO29 mbele ya Kanisa

    Kwa nini ionekane ni kosa kwa Kanisa kukemea mauaji? Kwani nini
  14. Robert Heriel Mtibeli

    Mamlaka inayotoka kwa Mungu ni Ile inayotenda Haki na kulinda utu wa watu wake

    Ijumaa Kareem! 1. Mara nyingi watu waovu hutumia maandiko kupotosha Jambo Fulani au kuhalalisha uovu Fulani. 2. Sio Kila mamlaka inatoka kwa Mungu. 3. Zipo Mamlaka za kihalifu ambazo chimbuko lake ni Shetani(roho chafu).. 4. Mtu yeyote anayekuambia Mamlaka zote zinatoka kwa Mungu kaa ukijua...
  15. Eli Cohen

    2026, kuna viakaunti vingi humu vitachangia mambo ya kuudhi au pengine yasio kuwa na utu. Visikutoe katika reli, utu wako ni zaidi ya mitandao.

    🎉Cheer up. LIVE TO THE FULLEST🎊
  16. Robert Heriel Mtibeli

    Roadmap 2026: Siasa za utakaso. Utu wa Kale

    ROADMAP 2026: SIASA ZA UTAKASO. UTU WA KALE. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli 1. Leo ni January Moja 2026. 2. Namshukuru MUNGU kwa kutupa nafasi hii. Wote mnajua jinsi mwaka uliopita 2025 ulivyokuwa mwaka mgumu na mbaya katika maisha yetu. Ulikuwa mwaka wa Damu. 3. Sasa mwaka 2026 umeaanza...
  17. The Palm Beach

    Tundu Lissu akataa kuuza utu wake kwa hongo. Majaji hawataki kuingia kwenye rekodi mbaya. Samia akosa namna sahihi ya kuachana na kesi ya mtu huyu..!

    Ukitaka kuelewa ni kwanini risasi 42 alizopigwa Tundu Lissu Septemba 7, 2017 na 16 zikaingia mwilini mwake hazikupata ruhusa za kuondoa uhai wake, basi jibu unaweza kulipata wakati huu kwa kuangalia mtiririko wa matukio kumhusu.. Simulizi ya Wakili Dr Rugemeleza Nshala (unaweza kufuatilia...
  18. H

    PostGE2025 ICC, Maendeleo ya Kesi ua Uhalifu dhidi ya Utu

    Mahakama ya ICC Inasema ilipokea mashtaka ya uhalifu dhidi ya ubinadamu. Kesi hiyo ilifunguliwa na taasisi za kimataifa zinazotetea haki za binadamu, ambapo mashtaka makubwa ni pamoja na: 1. Mauaji ya maelfu ya waandamanaji 1. Utekaji, mauaji na upotezaji wa wapinzani wa kisiasa, wanaharakati...
  19. DuaZaMama

    Utafiti: Utu uzima huanzia miaka 32

    Utafiti wa Cambridge umebaini jinsi ubongo unavyokua kutoka utotoni hadi uzeeni, ukiorodhesha “hatua” tano tofauti za ukuaji na mabadiliko manne makubwa katika umri wa miaka ya 9, 32, 66 na 83. Ukipinga wazo kwamba utu uzima huanza kabla ya miaka ishirini au ishirini na zaidi, wanasayansi...
  20. Think2

    Kampeni ya kuunfollow media zote Tanzania zinazotumiwa na serikali hii dhalimu isiokuwa na utu

    Wa kwanza ayo TV Wasafi fm Efm Crown TV Jambo TV na wengine kibao Taja media nyingine hapo chini tutembeze unfollow.
Back
Top Bottom