tanzania

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
  1. ChoiceVariable

    IMF: Wakati Tanzania Inatarajia Kufikia GDP ya $ Bilioni 💯 ,DRC Kuipita Ethiopia na Kuwa Nchi ya 5 Kwa Uchumi Mkubwa Africa 2026.

    My Take SSH ndio ataandika historia ya kukuza Uchumi kutoka Dola Bilioni 70 na Kufikia Dola Bilioni 💯 Kwa mara ya kwanza katika Historia ya Tanzania. https://www.threads.com/@africaviewfacts/post/DXPPfhxkaJ2?xmt=AQF0bBngHHIzlkgokmYGVVuwVBsecSwiOLLHMz28k-srvW3l8fXay2lmKA6cb0Hq9vuKSnY&slof=1
  2. M

    Anaeamini Chadema ina nguvu, hajui siasa za Tanzania

    Anaeamini Chadema ina nguvu, hajui siasa za Tanzania. Chama hivi sasa wanaosikilikana Heche, Mnyika na Amani. Tofauti na zamani Mdee Bulaya Boniface Jackub Salum Mwalim Kigaira
  3. M

    Iran imetufunza jambo kama taifa

    Kwamba umoja, mshikamano na kujipanga kiteknojia na kijeshi ni jambo muhimu sana. Wananchi kukataa Propaganda za wanaharakati na nchi za magharibi ndio msingi wa uzalendo. Tujifunze kwamba sote ni binaadam, hakuna mwenye nguvu wala mdogo, umoja na mshikamano hakuna lisilowezekana
  4. K

    Tanzania ndiyo inarudisha nyumba ukanda mzima kwenye haki (Kenya -Africa kusini)

    Tanzania kwasababu ni kati ya nchi kubwa kwenye ukanda wa bahari hindi kutoka Kenya mpaka South Africa kwa masikitiko makubwa ndiyo tunarudisha nyuma jitihada za maendeleo kwa kuzuia demokrasia nchini kwetu tena ni watu wachache tu. Tanzania ingekuwa nchi ya demokrasia nzuri na katiba nzuri...
  5. O

    Trafficking Allegations Zawaka Moto! Wakenya 9 Washikiliwa Tanzania Bila Charges “Sea Mfalme” Yazua Taharuki

    Wadau, kuna hii story imeanza kuwasha moto Wakenya tisa ambao ni seafarers wamekwama kule Kilwa, Tanzania tangu March 30, 2026 baada ya meli yao FV Sea Mfalme kushikiliwa kwa allegations za human trafficking. According to reports, hii vessel ilitoka Mombasa March 14 ikiwa na watu 61 onboard...
  6. O

    Kenyan Ship Impounded in Tanzania: Human Trafficking Claims

    The Kenya Maritime Authority has confirmed that the Kenyan-flagged fishing vessel M/V Sea Mfalme has been impounded in Tanzania over alleged human trafficking activities The vessel was seized on 30 March 2026 in Kilwa, Tanzania A diplomatic and maritime standoff is unfolding after MV Sea...
  7. Roving Journalist

    Kiongozi wa ACT, Dorothy Semu akabidhiwa uenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD)

    Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Bi. Dorothy Semu, amekabidhiwa uenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) kwa kipindi cha mwaka mmoja, akichukua nafasi hiyo kutoka CHADEMA baada ya chama hicho kumaliza muda wake. Kwa mujibu wa Katiba ya TCD, chama tawala cha Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
  8. Kichuguu

    TANZANIA NBC Premier League : Mbio za Top Scorer

    Mpaka sasa hivi msimamo wa first ten huko hivi Yanga ina wawakilishi wanne; JKT ina wawili, Azam, Simba, Dodoma jiji na Namungo wana mmoja mmoja kila mmoja.
  9. Waufukweni

    Bilionea Motsepe na ARC waondolewa kwenye kesi ya Tsh. Bilioni 505.7 ya Mradi wa Graphite wa Tanzania

    Mahakama Kuu ya Gauteng imeamua kuwa kampuni ya uwekezaji ya Patrice Motsepe, African Rainbow Capital (ARC), haiwezi kuwajibishwa katika kesi ya dola milioni 195 (Tsh. Bilioni 505.7) iliyofunguliwa na kampuni ya Marekani, Pula Group. Mahakama hiyo pia ilibainisha kuwa ARC haiwezi kubeba lawama...
  10. O

    Meli yenye Bendera ya Kenya yazuiliwa Tanzania, KMA yathibitisha uchunguzi unaendelea

    Mamlaka ya Usafiri wa Majini Kenya, Kenya Maritime Authority (KMA), imethibitisha kuwa meli yenye bendera ya Kenya imezuiliwa nchini Tanzania, huku uchunguzi ukianzishwa kubaini chanzo cha tukio hilo. Katika taarifa rasmi, KMA ilisema meli hiyo, inayojulikana kama M/V Sea Mfalme, inashikiliwa...
  11. S

    Hivi kweli Watanzania tumeamua kujifanya hatuelewi Polepole na Tundu Lissu wapo walipo kwa sababu ya kutupigania sisi na Tanzania?

    Inasikitisha sana. Ona kwamba Pole Pole na Tundu Lissu, hadi leo, wanashikiliwa na Polisi kwa sababu ya kutupigania Watanzania na Tanzania kama nchi. Sasa kweli Watanzania tumeridhika na hali ya hawa watu wawili muhimu kuwekwa ndani na sie tukaona ni sawa tu, hatutaki kufanya lolote kuwapigania...
  12. S

    Kuna maamuzi mengine ya majaji wa Tanzania hata kama wewe sio mwanasheria unaona wazi wanakosea - labda ni maagizo ya juu

    Ifikie mahali mahakimu na majaji nchini mune aibu kupelekeshwa kamakondoo wa kuchinjwa. Kuna mamamuzi mengine ya kimahakama ambayo hata sisi tusio wanasheria tnaona wazi mnafanya makosa - kwa kutumia common sense tu, wala sio elimu ya sheria. Sasa ifikie wakati mahakimu na majaji mjitambue...
  13. Pfizer

    Rasmi, Mashindano ya Miss Tanzania sasa kuendeshwa na Lamata Village Entertainment

    Mkurugenzi wa kampuni ya toka The Look Ltd Basila Mwanukuzi amekabidhi umiliki wa uandaaji wa mashindano ya Miss Tanzania kwa kampuni ya Lamata Village Entertainment inayomilikiwa mwongoza filamu nchini Leah Mwendamseke 'Lamata'. Aliyekuwa mmiliki wa Miss Tanzania, Basilla Mwanukuzi (kulia)...
  14. Ileje

    Rostam Aziz ndiye kidume pekee hapa Tanzania; Gesi yake, media yake, dhahabu yake, Mbuga za wanyama zake!

    Pia soma:Uhuru wa habari umepigwa kitanzi; Rostam Aziz anunua gazeti la Mwananchi
  15. Mkalukungone Mwamba

    Millya: Tanzania itaendelea kutekeleza wajibu wake mkuu wa kusukuma juhudi za kuanzishwa EAC

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Tanzania, James Ole Millya amesema Tanzania ikiwa mwanachama mwaminifu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), itaendelea kutekeleza wajibu wake mkuu wa kusukuma juhudi za mtangamano ili kufikia malengo ya kuanzishwa kwa jumuiya...
  16. Fene

    Tanzania ipo juu kwa utajiri wa rasilimali kuliko UK according to chatgpt, Hivi hii kitu ni kweli?

    Je kati ya Tanzania vs UK ipi nchi yenye rasilimali nyingi za asili zaidi? Kwa ujumla, Tanzania ina rasilimali za asili nyingi zaidi kuliko Uingereza (UK). Kwa nini Tanzania ina rasilimali nyingi zaidi? Tanzania ina: Madini mengi (dhahabu, almasi, tanzanite, nickel n.k.) Ardhi kubwa ya...
  17. youngkato

    Je, AI Itachukua Kazi Yako? Ukweli Kuhusu Akili Bandia na Ajira Tanzania

    Akili Bandia (Artificial Intelligence – AI) imeanza kubadilisha namna dunia inavyofanya kazi. Kutoka kwenye biashara, benki, kilimo, hadi elimu, mashine na mifumo ya kompyuta yenye uwezo wa kujifunza sasa zinaweza kufanya baadhi ya kazi ambazo zamani zilifanywa na binadamu. Hali hii imezua swali...
  18. M

    Mwandishi Kenya: Serikali ya Tanzania inaniwinda sababu haipendi tunavyofanya

    Serikali ya Tanzania inaniwinda mimi binafsi, kwasababu haipendi tunafanya na tunasema ukweli, Serikali ile ya Tanzania ni ya kiimla haikuchaguliwa na Wananchi wa kweli, ni serikali ambayo imeiba kura na wakaua watu. Sisi kama Maskani tukiangazia wanatuwinda, wametutumia mpaka mademu...
  19. JanguKamaJangu

    Serikali ya Tanzania kuingilia Uchaguzi wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC): TOC ijiandae kufungiwa na IOC

    "Waacheni wananchi watoe yaliyomo vifuani mwao kwa uhuru. Kwa kufanya hivyo itatusaidia sisi kama Serikali kwa namna mbili; Kwanza, tutajua wananchi wetu wanafikiria nini kuhusu jambo fulani. Pili, itatusaidia sisi kama Serikali iwapo tumekosea tuweze kujisahihisha na kuendelea kuwakelea...
  20. RMK Freelancers Agency

    BARUA YA WAZI KWA WADAU WA MASOKO YA MITAJI TANZANIA (CMSA, DSE, WIZARA YA FEDHA)

    BARUA YA WAZI KWA WADAU WA MASOKO YA MITAJI TANZANIA Kwenda kwa: Capital Markets and Securities Authority (CMSA) Dar es Salaam Stock Exchange (DSE) Wizara ya Fedha Tanzania YAH: Maboresho ya Sheria, Teknolojia ya Trading, na Vigezo vya Uandikishaji ili Kukuza Soko la Mitaji Tanzania...
Back
Top Bottom