tanzania

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
  1. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Pamoja na kuja Tanzania uso wa Rio Fernand hauna Tabasamu

    Guys inaonekana kalazimishwa kuja TZ.body language imekataa kabisa aha hanha ila sisi ndo tunashoboka hatari. Ukimwangalia yaani kama haelewi kinachoendelea endelea anabaki kushangaa shangaa tu.na madrama yenu. .
  2. K

    JamiiForums Tanzania Tanzania tumekosa mabilioni kwasababu ya tamaa na ubinafsi wa Mama Samia

    Wizi wa kijinga wa kura umeharibu mahusiano ya watanzania wenyewe kwa wenyewe , majirani zetu kama Kenya, nchi za south Africa. Lakini imeharibu mahusiano na wadau wanao tusaidia kwenye afya, barabara, na uwekezaji. Kwasasa mfano hakuna visa tena zinatoka kwa wafanyabiashara wetu kwenda Marekani...
  3. R

    JamiiForums Tanzania Waziri Ulega: Tanzania inapendeza, ziko picha Watanzania wamepiga kwenye barabara na madaraja yetu, unaweza ukadhani uko Dubai

    Wakuu, Ni ya kweli haya au ndo Ulega anapenda kujiamulia mambo :BBRUHH: Sasa kwa nini watu wanasafiri kwenda Dubai wakati tayari tuko Dubai, Na lile vumbi la Nanjilinji je? -------------- Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega (Mb.), akiwasilisha Bungeni Mpango na Makadirio ya Mapato na Matumizi ya...
  4. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakenya watatu wakamatwa Tanzania wakielekea Mozambique kujiunga na kundi la ISIS

    Yusuf Mbashir (19), Ahmed Shaban (21) na Abdul Karim Salim (22) walizuiliwa Horohoro border kabla ya kukabidhiwa kwa maafisa wa Kenya huko Lunga Lunga, Kwale. Polisi wanasema vijana hao hawakuwa na travel documents na walikuwa wakielekea kwa magaidi wa ISIS-linked militants huko Mozambique...
  5. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Trump kavurugwa. Vitu gani anapost bila caption?

    Nani anamchanganya huyu mzee? Ni AI generated lakini hadi rais wa nchi kubwa hivi anapost? Tf? Source: https://truthsocial.com/@realDonaldTrump/posts/116591901587847680
  6. 100 others

    JamiiForums Tanzania Mabadiliko ya Ghafla ya Vyombo vya Habari na Uhuru wa Kisiasa Tanzania

    Kuna hivi vyombo vya habari vya machawa navyo siku hizi wanazungumza siasa, wasafi tv, clouds media na vyombo vingine vya habari zikiwemo youtube channel za machawa, nao siku hizi wanachambua siasa na matukio ya MO29. Ila naona serikali inaendelea kutumia hivi vyombo na lengo kuu lao si kwa...
  7. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Tanzania Kuelekea Nishati ya Nyuklia

    Tanzania inaendeleza nishati ya nyuklia kama sehemu ya mkakati wake wa muda mrefu wa kubadilisha vyanzo vya nishati na kuunga mkono ukuaji endelevu wa uchumi. Ili kuongoza juhudi hizi, tumeandaa mpango kabambe wa kitaifa wa maendeleo ya nishati ya nyuklia ili kuongeza uwezo wa megawati 1,200 za...
  8. ngara23

    JamiiForums Tanzania Rio Frednand haja post ziara yake nchini TANZANIA kwenye social platforms zake

    Nyota wa zamani wa Man U na team ya Taifa England yupo Tanzania Kwa ziara ya siku mbili, na kesho anatarajiwa kufika Dodoma Bungeni Ujio wake tulitegemea awe balozi wa utalii na michezo Ila naona yeye alivochukulia ni kama ametokea Bunju B kwenda Kawe, yaani amechukulia kuwa ni jambo la...
  9. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Mfumo wa kubadilisha umiliki wa magari nchini umejaa vikwazo vingi visivyo na ulazima

    Mfumo wa kubadilisha umiliki wa magari nchini Tanzania umejaa vikwazo vingi visivyo na ulazima. Hii ndiyo sababu leo utakuta magari mengi yanatumika na watu tofauti kabisa na wale waliopo kwenye umiliki rasmi wa nyaraka. Hali hii inaleta changamoto kubwa kwa vyombo vya usalama, hasa pale...
  10. K

    JamiiForums Tanzania From the Pitch to the Pillars of Power: Evaluating the Mismatch of Media Scrutiny in Tanzania

    This critique originates from the deeply frustrated perspective of an ordinary citizen—a passionate observer who is tired of watching immense intellectual talent and public influence squandered on sports debates while vital national assets are bargained away in silence. Day after day, Tanzanians...
  11. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Beside Tanzania, ni nchi gani Africa ungechagua kuweka makazi ya muda mrefu?

    Mimi ningechagua Botswana, Kuna demokrasia, kuna utulivu, hakuna mfumuko wa bei, lakini pia ni nchi inayoongoza kuwa na wadada wenye makebo makubwa.
  12. U

    JamiiForums Tanzania Tanzania yaendelea kuwa kitovu cha Utawala Bora Afrika, Kikwete apokea wataalamu kutoka Somalia kuja kujifunza Utawala Bora

    Tanzania imeendelea kuimarisha nafasi yake kama kitovu cha mafunzo ya utawala bora barani Afrika baada ya kupokea ujumbe wa wataalamu 25 kutoka Somalia kwa ajili ya mafunzo maalumu ya uendeshaji bora wa utumishi wa umma. Akizungumza wakati wa mapokezi ya ujumbe huo, Waziri wa Nchi, Ofisi ya...
  13. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Hija ya WAWATA nchini Italia, Ufaransa na Ureno! Chemchemi ya Baraka na Neema Kwa Tanzania!, Wanawake Hawa 49 ni Baraka Kubwa Sana kwa Taifa Letu!

    Wanabodi Hii ni C & P from RatibaPodcast Lengo la hija ye yote ni kuleta furaha ya ndani ya mhujaji. Ni Kitendo cha kujialika upya wa maisha. (Vatican Media) VATICAN Hija ya Wawata Nchini Italia, Ufaransa na Ureno! Chemchemi ya Baraka na Neema Lengo la hija ye yote ni kuleta furaha ya ndani...
  14. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Hivi ni mimi tu au Tanzania watu wengi wanaona kumuuliza mtu “unaitwa nani?” siku ya kwanza ni kama umemtongoza?

    Unaweza kukutana na mtu mkasalimiana, mkapiga story dakika 20, mkacheka kabisa… lakini hakuna anayesema jina lake. Mpaka mnaombana namba ndipo mchezo unaanza: “Ni-save nani?” Kuna ile culture ya kuzunguka sana kabla ya kuingia kwenye personal details. Watu wanaogopa kuonekana too direct au...
  15. Fbn

    JamiiForums Tanzania Polisi wa tanzania ni la kujifunza someni hapa.

    Habarini polisi wa tanzania japo mumekuwa kwenye katiba ya CCM sehemu yao. Kuna jambo la kujifunza sana maana ndio kitengo duniani kinachukiwa na kuwa na lawama tokea mlipo shiriki kumtesa Yesu na nyie ndio mumefanya pasaka kuwa pro max. Idara za polisi duniani zilizojijenga na kuwa karibu na...
  16. Best home tutor

    JamiiForums Tanzania Vurugu zilizotokea ziongezwe kwenye somo la historia ya Tanzania na maadili.

    Huu ni mtazamo wangu binafsi Kwakua Tanzania haijawahi kushuhudia vurugu za aina yeyote suala hili lingeongezwa kwenye somo la historia ya Tanzania na maadili ili kuonesha chanzo cha vurugu ,namna ya vurugu zilivyomalizika,jitihada za serikali zilizochukuliwaa. Lakini pia elimu kwa vijana...
  17. figganigga

    JamiiForums Tanzania Hivi Mbeya ni Tanzania? Nimekuta Vumbi la kutisha kama Jehanamu. Narudi Iringa

    Eti ndo jiji lilitoa Spika wa Tanzania 🤣🤣🤣 Siwezi kulala Mbeya... Usiku huu Nageuza Iringa.. Ntalala mbele kwa mbele japo hata Makambako.. CCM mumelaaniwa.. Kwanini huyu Mzanzibari Samia anawadhalilisha Mbeya? Wamemkosea nini? Halafu vumbi la Mbeya likaa kwenye Kope na mabegani.. Mbeya...
  18. M

    JamiiForums Tanzania PICHA: David Kafulila aifikisha Tanzania nafasi ya 9 Duniani kwa PPP.

    Hongera Rais Samia, Hongera Kafulila Hongera team PPP Centre
  19. NYOLODO

    JamiiForums Tanzania Package ya kiongozi bora hapa tanzania ifanyiwe reforms. Awe anajua masuala ya kijamii,ngaz ya jamii yanavyotatuliwa.

    Wqkuu salama? Ni imani yangu tuko vizuri kwa namna yake. Wale wanaokutana na magumu kama ilivyo utofaut kat yetu, niwatie moyo! Nawaombea mpate salama, afua na siha iliyo njema mbeleni. Taifa linapitia mambo mengi sana yanayozua sitofahamu. Mfululizo wa maswali kulingana na matukio kadhaa...
  20. wajingawatu

    JamiiForums Tanzania Kwanini bei ya Petroli Uganda na Kenya ni ndogo kuliko Tanzania?

    Bei ya petroli uganda ambayo ni landlocked country ni $1.3 wakati kenya ni 1.4Usd ila Tanzania ni $ 1.589. Tunapigwa???? EWURA hebu mkuje mtupe sababu
Back
Top Bottom