Sote ni mashahidi,
kwamba katibu mkuu wa chadema, hata kwa kumtazama tu kwa macho, achilia mbali kumskiliza, ni wazi kabisa anaweza kua ni kichochea cha ufisadi unaoendelea chadema na matumizi mabaya ya ofisi kwa viongozi mbalimbali wa chadema taifa.
Ni dhaifu sana, ni muoga mno na kabisa...
Hii ni historia nyingine muhimu sana kwa Rais Samia kwa kuweza kufanyia kazi wazo la kimaendeleo katika huduma za jamii.
Ukiondoa alama nyingine muhimu sana ya ujenzi wa majengo ya huduma za dharura yaani Emergency Medicine Departments katika vituo zaidi ya 100 vya huduma za afya leo hii...
Wanaharakati wanasababisha walinzi wetu kuandamana muda mrefu zaidi kuliko waandamaji wenyewe jambo ambalo linachosha vyombo vyetu .
Kama wataamua kuahirisha hiyo tarehe na kutangaza tarehe nyingine wataendelea kuleta mzigo mkubwa na uchovu Kwa vyombo vyetu kwakweli
Maandamano yanaruhusiwa...
Mkurugenzi wa Biashara ya Kimataifa na Diplomasia ya Uchumi katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi John Ulanga, akizungumza katika kipindi cha Clouds 360 cha Clouds Media leo Juni 22, 2026, ameeleza kuwa ni Ziara za Rais nje ya nje ya nchi au Viongozi wengine...
Kuna baadhi yetu hatukupata bahati ya kufahamu lugha za asili, na hatujui lugha za nje tunajua kiswahili pekee kwa sababu wazazi hawakuwa wakizutumia kwa sababu walikuwa wa kutoka kabila tofauti, na shule pia tulisoma Kayumba so kipengele.
Je, wewe unafahamu lugha gani nyingine za ndani na nje...
Ni kama Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) inazunguka ndani ya mtego uliowekwa na Msajili wa Vyama vya Siasa baada ya kuandikiwa tena barua ya ofisi hiyo ikitakiwa kujieleza kwa nini isisimamishiwe usajili kutokana na kukiuka masharti ya Sheria ya vyama vya siasa.
Rungu hili la msajili...
OW-TAMISEMI wanatumia vigezo gani kuhamisha mishahara na taarifa za utumishi?
Kama wanataka rushwa waseme ili niwatumie wanihamishie taarifa zangu, haiwezekani mwaka wa pili huu tangu nihamie halmashauri nyingine lakini taarifa na mshahara zinasoma halmashauri nilikotoka hii siyo sawa...
Anonymous
Thread
baada
halmashauri
kuhama
kutoka
kwenda
moja
mshahara
nyingine
Je,
inaweza kua motro wa round ya kwanza ulikua mkali sana?
Au mshedede unasukutua hadi unagusa maini na mapafu yake?
Ana changamoto ya afya ya via vya uzazi au kisaikolojia?
Je,
hakuandaliwa kikamilifu au amechoka baada ya kutoka kwenye shughuli nyingine nzito zaidi, sehemu nyingine...
Ndio, pamoja na umuhimu wa bidhaa hii katika asilimia zaidi ya 80 kwenye mapishi lakini bado emeendelea kutopewa heshima yake kama kiungo muhimu,
Sizani kama napaswa kuelezea saaana wasifu wa Chumvi hapa, mana sizani kama kuna mtu anaweza pitisha siku 3 bila kutumia hiki kiungo. Hivi ni kwa...
Data nilizozichunguza zimeonyesha bila shaka yeyote kwamba, kuwa na id mbili ni dalili kubwa sana ya tatizo la afya ya akili
kuwa na id zaidi ya moja ambazo zote zipo active ni moja ya dalili kubwa ya tatizo la afya ya akili na saikolojia kwa ujumla ambayo dalili hiyo inakutaka kuwahi katika...
Hii serikali unaguzi hauishi.
Wote na degree moja, ila mwingine kapewa nyumba, ana posho /hela ya nauli na mshahara wa moto.
Wewe uko na basic ya 1.2m na unavimbishiwa na boss, mkuu wa hidara, mkuu wa section nk.
Mahala pako na shida. Kama vipi tuwe tuna reshuffle.
Si wengine ata kaunda suti...
"Jitihada za vyombo kudhibiti ghasia na vurugu zile ndio zimefanya Tanzania iwe leo ilivyo. Vyenginevyo tungelikuwa tunazungumza hadithi nyingine. Lakini hapa mwenyekiti haimaanishi kuwa kwa wale ambao tutabaini wamekiuka sheria na taratibu za kazi zao kwamba hatutawajibisha, tutawajibishana." -...
Uchambuzi wa video na picha ulikuwa sehemu kubwa katika uchambuzi wa tume, hususan katika kuelewa madhara ya kibinadamu. Jumla ya picha mnato 450 na picha mjongeo (video) 880 zilikusanywa kwa njia mbalimbali na baadhi zilikuwa zimesambazwa mitandaoni kwa zaidi ya mara moja."
Picha hizi...
Jaji Chande akiwasilisha ripoti ya Uchunguzi wa matukio ya Oktoba 29, anasema "Jumla ya picha mjongeo 450, picha mjongeo 880, zilikusanywa kwa njia mbalimbali na baadhi zilikuwa zimesambaa mitandaoni kwa zaidi ya mara moja.
Picha hizi zilipatikana na ziliwasilishwa na mashuhuda wa matukio...
Taarifa zinazosambaa kwamba Marekani imekubali kuilipa Iran dola bilioni 6 ni propaganda za zinazorejelea tukio la zamani lililotokea Septemba 2023 kipindi Biden akiwa Rais wa Marekani.
Dola Bilioni 6 zilikuwa sehemu ya makubaliano ya kubadilishana na wafungwa, ambapo Marekani ilitoa ruhusa...
My Take
Wakaombe Kwa Beberu USA wanakoshoboka huku wakisifiwa na desperate and useless Chadema fans 😂😂👇👇
Kiukweli Uganda wamejua kunifurahisha.
Tanzania ya Samia tuna Akiba ya miezi 3 na matenki yakikamilika tutakuwa na Akiba ya mwaka mzima.
-----
Uganda 🇺🇬 has turned down Kenya’s 🇰🇪 request...
Mkuu wa Mkoa Albert Chalamila ametoa kauli hiyo baada ya hotuba ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi kusema uchunguzi uliofanywa na vyombo vya ulinzi na usalama umebaini kuwa taharuki iliyozuka nchini ya watu kuibiwa sehemu zao za siri ni uzushi wenye nia ya kuvunja amani ya nchi.
Mkuu wa Mkoa Dar, Albert Chalamila (Chala boy) huyo anasema Tangu asikie ukishikwa bega nyeti zinapotea amekuwa makini sana, maana hana mali nyingine zaidi ya hizo zaga.
Soma pia
~ Katambi: Madai ya kuibiwa Nyeti ni uzushi
~ Suala la watu kupoteza nyeti, tumesahau Ripoti ya CAG, kupanda bei ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.