kichwa

Kichwa (Kichwa shimi, Runashimi, also Spanish Quichua) is a Quechuan language that includes all Quechua varieties of Ecuador and Colombia (Inga), as well as extensions into Peru. It has an estimated half million speakers.
The most widely spoken dialects are Chimborazo, Imbabura and Cañar Highland Quechua, with most of the speakers. Kichwa belongs to the Northern Quechua group of Quechua II, according to linguist Alfredo Torero.

View More On Wikipedia.org
  1. Empty containers Tanzania

    JamiiForums Tanzania Kuna hii concept kuwa MTU mwenye kichwa kidogo anakuwa na IQ ndogo..!?

    Ipo Concept Moja kuwa MTU mwenye kichwa mviringo na mwenye kichwa kidogo ana IQ ndogo Au ana poor cognitive ability. Na vise versa yake kuwa watu wenye vichogo na vichwa vikubwa Wana good cognitive ability... Je dhana hii inaweza ikawa na ukweli kiasi Gani ?..
  2. bless on

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kila Rais wa Marekani: Lazima aondoke na kichwa kimoja

    KILA RAIS WA MAREKANI LAZIMA AONDOKE NA KICHWA KIMOJA Unapokuwa rais wa nchi yoyote ile ni kwamba unafuata kile ambacho watu fulani wanataka ukifuate, unaweza kuja na mipango yako na isifanye kazi. Unawekewa mkakati kwamba tunakuweka wewe ila tunataka ufanye hili na lile, unatakiwa kufuata...
  3. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Japo Nilikuwa Simkubali Baba Levo Kwa Uchawa Compared to ZZK, Leo Nimemsikia Bungeni, Kumbe ni Bonge la Kichwa, ni Akili Kubwa!, Nimememkubali Sana!.

    Wanabodi, Baada ya kuibuka kwa fani mpya ya uchawa, mimi nimekuwa nikiwaona machawa kama ni majitu fulani majinga zero brain!, nilipoangalia line up ya wagombea ubunge wa jimbo la Kigoma Mjini, kupitia CCM, kulikuwa na very good big brain, siku ya matokeo ya kura za maoni ya CCM zikitangazwa...
  4. A

    JamiiForums Tanzania KERO Wiki tatu bila maji: Wananchi wa Unyinga, Mamise na Unyakumi tunataka ufafanuzi kutoka SUWASA

    Tunapenda kufichua kero kubwa inayowakabili wananchi wa maeneo ya Unyinga, Mamise na Unyakumi na maeneo mengine mjini Singida kutokana na ukosefu wa huduma ya maji takribani wiki tatu sasa Kwa kipindi cha hivi karibuni, maeneo haya yamekuwa yakikumbwa na ukosefu wa maji kwa siku nyingi...
  5. 6 Pack

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania WASHINGTON, MAREKANI: Mtu mmoja auawa baada ya kufyatua risasi kwenye Geti la Ukaguzi la White House, Mpita Njia ajeruhiwa

    Niaje waungwana Habari ndio hiyo, baada ya muda mchache wa kutangaza makubaliano mapya na Iran, ghafla milio ya risasi ilisikika nje ya white house na kusababisha hatihati katika eneo zima la ikulu ya Marekani. Hapa inawezekana Netanyahu anahusika kuhakikisha Trump haingii makubaliano yoyote...
  6. Alexido jz instagram

    JamiiForums Tanzania INSHU YA TEMBA ALIEKATWA KICHWA, SIO YA KISIASA MSIPOTOSHE, KIJANA, ALIKUA UVCCM

    Nimeshangazwa mitandaoni watu wamekomalia kuwa inshu hiyo ni ya kisiasa, wengine wameenda mbali eti mganga anaetuhumiwa si mganga ni ka mchezo tu, kuikinga serikali. Kama tutaendelea hivi sioni haja ya kufatilia siasa mana naona imekua too much, tumeanza kuwa wajinga, watu wamekamatwa kichwa...
  7. BARDIZBAH

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania ONSTREAM imeliwa kichwa naombeni site nyingine kali ya kudownload movie offline

    Wazee ni wiki ya pili sasa Onstream imegoma kabisaaa. Toeni msaada wa sites nyingine kali nzuri za kudownload movie.
  8. R

    JamiiForums Tanzania Kwa hiyo one can say with certainty ni akina nani walimkata mtu kichwa

    Kwahiyo kwa leo kwa hili la Jumbe confirmed watekaji wamejulikana. Chapter closed. Twende tukalime
  9. MakinikiA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jirani akinyolewa wewe tia maji kichwa chako

    Raia wachoma magurudumu ya magari barabarani huku mgomo wa usafiri ukiendelea Kenya Chanzo cha picha,NMG Wahudumu wa uchukuzi wa umma wamesema watalemaza sekta ya usafiri hadi pale mamlaka ya udhibiti bei wa mafuta EPRA itabatilisha uamuzi wa kupandisha bei ya lita moja ya mafuta ya petroli...
  10. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Mganga gani anaweza Baki na Maini na Kichwa cha mtu siku zote hizo Huku akijua wenzake Wamekamatwa ? Hakuogopa kutajwa? Kukimbia ? Kuvifukia?

    Kuna Movie inachezwa na "Mfumo" kuhakikisha wananipa Nguvu Ripoti Uchwara ya CHANDE !!. Watanzania Shtukeni !!.
  11. R

    JamiiForums Tanzania Haya ya Kichwa, polisi siwaamini, wamejijengea sifa ya kutoaminika

    Wamejijengea hawana sifa ya kuaminika. Na hili la kichwa, nitakuwa wa mwisho kuwaamini. Kama walikana kumshikilia Sativa, na mbaya zaidi yule kijana SOKA aliyeripoti kwao kuchukua pikipiki yake, leo eti niwaamini. HAPANA Soma pia Kichwa cha Marehemu James Temba, aliyeokotwa Mto Msimbazi...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Kichwa cha Marehemu James Temba, aliyeokotwa Mto Msimbazi chapatikana Kitunda, Kibeberu. Polisi Wathibitisha

    Kichwa cha Marehemu James Temba Chadaiwa kupatikana maeneo ya Kitunda Kibeberu. Ni yule aliyeookotwa Mto msimbazi akiwa anaelea bila kicwa ambapo mwili wake ulisafirishwa kwenda kwao Moshi na kuzikwa. Soma: Mwili wa James Temba, aliyepotea umeokotwa mto Msimbazi ukiwa hauna kichwa Ni mara...
  13. gallow bird

    JamiiForums Tanzania Mafua makali,homa, kichwa kuuma,tumbo kuuma,ni ugonjwa gani?

    Nimeona Instagram ya yericko Nyerere akizungumzia ugonjwa huo mpya Nipo igunga na kuna familia zimekumbwa na ugonjwa huo Yaani hayo mafua zaidi ya wiki hayasikii dawa Mwenye kujua shida nini atueleze
  14. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Hivi katika maisha yako umewahi kuzika ndg yako asiye na kichwa ?

    Ni hii ya dogo aliyeuawa kikatili na kukutwa mtoni akiwa hana kichwa. Isikie tu maana si kawaida. Mimi hadi hapa nimewahi sikia ni kijijini kwetu Kaya kama 6 kutoka kwetu bibi alikatwa katwa mapanga kwa imani zetu Kanda ya ziwa na kisha kichwa chake wakaenda nacho hao wakataji. Hatukwenda...
  15. Q

    JamiiForums Tanzania Jiulize, hivi CHADEMA ndio wangekuwa wamesema watamkata mtu kichwa kama yule Shehe.

    Yule shehe aliyesema atawakata watu vichwa hata kuhojiwa hajahojiwa, hiyo ndio maana halisi ya double standard ya jeshi la polisi. Kama Chadema ndio wangekuwa wamesema watamkata mtu kichwa, baada ya tukio la Temba, leo viongozi wote wa Chadema kuanzia Heche hadi Mkiti wa tawi wangekuwa...
  16. W

    JamiiForums Tanzania Baba Levo: Anayekataa Chadema sio Chama Kikubwa cha upinzani huyo naye kichwa chake kitakuwa kina shida

    Akifanya mahojiano katika kipindi cha Medani Kuu na Chief Odema, Mbunge Kigoma Mjini, Clayton Revocatus Chiponda 'Baba Levo' amesema kuwa anaekataa CHADEMA sio chama kikubwa cha upinzani huyo mtu kichwa chake kitakuwa kina shida. Mimi nakiheshimu sana chama cha CHADEMA kimeleta upinzani nchini...
  17. comrade_kipepe

    JamiiForums Tanzania Khalifa saidi wa TheChanzo, huyu jamaa ni kichwa hasa

    Naombeni tuu msije mkamnyakua maana jamaa amekataa uchawa na ameacha akili yake ifikiri kwa kina bila uoga na bila kujali mkono wa chuma. Alichokiongea kwenye hii video kina make sense sana, na sio mara ya kwanza huyu jamaa kutema madini bila uoga aisee. RESPECT BRO 🫡
  18. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania ARUSHA: Akamatwa kwa kumuua mtoto wake wa miezi nane na kumtenganisha kichwa na kiwiliwili

    Jeshi la Polisi Mkoani Arusha linamshikilia mtu mmoja aitwaye Salmin Rajab (29) fundi ujenzi, mkazi wa Sinoni Jijini Arusha kwa tuhuma za mauaji ya mtoto wake aitwaye Sahiri Salmin mwenye umri wa miezi nane, kwa kumchinja shingoni na kutenganisha kichwa na kiwiliwili. Akithibitisha kutokea kwa...
  19. Equation x

    JamiiForums Tanzania Ebu umiza kichwa kidogo?

    Elimu yako, inakusaidiaje au itakusaidiaje katika kujiajiri na kutengeneza ajira kwa wengine? Sema ukweli, achana na mambo ya kujimwambafai na wingi wa vyeti. Karibu kwa mjadala.
Back
Top Bottom