Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,925
- 30,274
Kanali...Mdini wa Kizimkazi ulikiwa unahojiwa nini? Tupe Summary basi.
Hakuna mtu anayeandika na kueleza chochote kwa mlengo wa kidini anayeheshimiwa chini ya jua na watu wanaojielewa. Kwanini upo "biased" sana katika dini kwa kila jambo ufanyalo. Kimsingi, sio mimi wengi hatukuheshimu humu JF sababu ya udini unaouendekeza we mzanzibar.Kanali...
Nasikitika kuwa unaniandikia kwa kebehi na kejeli.
Huu si uungwana na ustaarabu.
Hili mosi.
Pili.
Mimi sitoki Kizimkazi.
Kanali...Hakuna mtu anayeandika na kueleza chochote kwa mlengo wa kidini anayeheshimiwa chini ya jua na watu wanaojielewa. Kwanini upo "biased" sana katika dini kwa kila jambo ufanyalo. Kimsingi, sio mimi wengi hatukuheshimu humu JF sababu ya udini unaouendekeza we mzanzibar.
Summarize ulikuwa unaongea nini katika hayo mahojiano?