sehemu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Bwege2030

    Sehumu ambazo mstaafu hashauriwi kuwekeza

    SEHEMU AMBAZO MSTAAFU HASHAURIWI KUWEKEZA Fikisha ujumbe kwa wahusika 🎯Volatile investments. aina za wekezaji ambazo bei yake sokoni inaweza kupanda au kushuka its average price anytime. Kama cryptos 🎯High-risky investments. uwekezaji ambao hauna uhakika wa kulinda mtaji wako na faida yako...
  2. PLOII

    Wadau mna lipi la kusema? Maana sielewi Simba as the

    Wadau mna lipi la kusema? Kesho nilale ndani au?
  3. Vien

    Sehemu pekee naweza ruhusu mwanamke akawa juu yangu ni wakati wa sex tuu

    Habari wana JF, Naandika haya si kwa lengo la kudhalilisha mwanamke, bali kuweka wazi msimamo wangu kuhusu nafasi ya mwanaume katika jamii na familia. Katika mpangilio wa asili na kimajukumu, mwanaume amepewa jukumu la kuwa kiongozi. Uongozi si ubabe, si dharau, si kumkandamiza mwanamke- bali...
  4. W

    Tujifunze kwa Mrusi: Hizi ni njia mbalimbali za kujua kama kuna Camera za siri Sehemu ulipo

    Mamlaka nchini Kenya na Ghana zinaendelea na uchunguzi kufuatia ripoti nzito kuwa mwanaume mmoja, raia wa Urusi, aliwarekodi kwa siri wanawake wa mataifa hayo mawili wakati wakiwa faragha, na kisha kusambaza video hizo mtandaoni bila ridhaa yao. Vyombo vya habari barani Afrika na nchini Urusi...
  5. B

    Natafuta sehemu kujifunza kutengeneza Furniture

    Wakuu habari, Nahitaji sehemu kama workshop nikajifunza kutengeneza Furniture za kisasa. Kama kuna sehemu ama mtu ana ofisi nitafurahi nikajitolea. Ikiwa kuna malipo kidogo naweza kulipia nifikie lengo. Asanteni. Mawasiliano: 0759226857 Nipo Mbezi ya Kimara.
  6. Mzee makoti

    Kuna kitambulisho cha mwanachuo kimeokotwa sehemu...

    Kuna ID ya mwanachuo wa TUMAINI UNIVERSITY, nimekiona somewhere... Sijui namna za kumpata nimpe... ....au atakitengeneza kingine.... SAMIA ANATOSHA HADI 2040.
  7. MBOKA NA NGAI

    DRC: Sehemu ya uwanja wa ndege wa Kisangani walipuliwa na droni za AFC/M23

    Mpaka sasa, bado vita vya mashariki mwa DRC, vinazidi kupamba moto. Baada ya kundi la M23 kuachia mji wa uvira, kwa shinikizo la Marekani, serikali ya DRC kupitia jeshi lake na washilika wake, waliendelea kushambulia ng'ome za kundi hilo katika maeneo mbali mbali, Kivu kusini na kasikazini...
  8. aBuwash

    Napangisha fremu ipo Songea Mjini kabisa ugabe sehemu yenye mzunguko mkubw wa biashara

    Habari za saiz wadau wa jf, Kama kichwa Cha habari kinavosema, Napangisha fremu ipo SONGEA ugabe mjini kabisa. Fremu ni mpya yakuchangamkia maana songea kupata fremu sio kazi ndogo haswa ukifika mwez wa tatu kutokana na MZUNGUKO wa BIASHARA KILEMBA NI MILLION MBILI KODI NI LAKI MBILI KWA MWEZI...
  9. A

    KERO Barabara ya Mbamba-Bay - Liuli/Kiagara kipande cha 2 km bado ni sehemu korofi wakati wa mvua

    Barabara ya mbamba-bay to Liuli/Kiagara(apo ni Lipingo) kipande cha km mbili na pointi ni miaka mingi sasa bado ni sehemu korofi sana wakati wa mvua
  10. Mtemi mpambalioto

    RIDHWANI je ulimaanisha hakuna kuhama vituo kwa wanoanza kazi au wote hata wa zamani?

    NCHI MOJA MATAMKO KIBAOOO KILA WAZIRI AKIJA ANABADILI SERA je nyie hamuoni mnageuka MIUNGU WATU? Ridhwani tuambie je umemaanisha wanaonza kazi yaani First appointment ndio hawaruhusiwi kubadili vituo au kuhama au unamaanisha WOOTE hata wa zamani katika.maeneo yao? Nakukumbusha tu kupitia Bunge...
  11. Carlos The Jackal

    Moderators wa JF rudisheni uzi wangu niloshauri Samia Suluhu Azuiwe kuuza Sehemu ya Akiba ya Dhahabu ya Taifa

    Ni Lazima Watanzania Wajue, nini maana ya HAZINA ya Dhahabu, umuhimu wake hasa katika Usalama wa NCHI kwa kuzingatia SIASA na Mabadiliko ya Kisera ya Dunia. HAZINA ya Dhahabu, haitakiwi kamwe Kuuzwa kwa ajili ya Miundo mbinu, Huu ni ZAIDI YA USENGEE !! Kwa akili ya Samia na Genge lake maana...
  12. S

    Msaada wa sehemu ya kujishikiza wakuu; Hali ni mbaya

    Habari wakuu Week kadhaa nyuma nilileta Uzi wa kumba Akira ya medical lab ila Hadi Leo bado sijafanikiwa kupata Leo nakuja tena kwenu kama kuna MTU ana sehemu hata yakupata nauli Tu kwa siku pia nipate hata Ile sabbu Tu yakunitoa nyumbani Elimu yangu NI diploma, Nina skills kadhaa kama...
  13. jamaikatz

    Ni sehemu gani watu wanapasifia sana ila ulivyofika ukaona ni pa kawaida tu

    Ni sehemu gani watu wanapasifia sana ila ulivyofika ukaona ni pa kawaida tu
  14. M

    Sony na TCL watangaza ubia; Televisheni za Bravia ni sehemu ya makubaliano

    Bila dalili za awali, kampuni ya TCL imetangaza mpango wa kununua kitengo cha burudani za nyumbani cha Sony, kinachojumuisha televisheni na vifaa vya sauti vya nyumbani. Kampuni hizo mbili zinatarajiwa kuingia katika ubia (joint venture), ambapo TCL itakuwa na hisa kubwa ya asilimia 51. Kwa...
  15. Dogoli kinyamkela

    Kuna dhambi nyingine ukiingia imekula kwako kuja utoke omba sana , Imagine mtu sehemu ya OUTPUT yeye Anaifanya INPUT🤔

    Kuna dhambi nyingine ukiingia imekula kwako kuja utoke omba sana , Imagine mtu sehemu ya OUTPUT yeye Anaifanya INPUT🤔
  16. Chizi Maarifa

    Ni kwanini Sehemu nyingi Duniani zilifurahia Morocco kufungwa?

    Nadhani Morocco kuna kitu wajifunze. Jamaa pengine ile kubebwa iliwafanya wachukiwe na watu wengi. Hadi nchi za Kiarabu nyingine zilifurahia tukio hili.
  17. D

    Naomba ushauri; nimerudi safari nimekuta mke sehemu za Siri zinamuuma na anazichua kwa maji ya moto.

    Baada ya kujichua siku tatu amepona. Hii imekaaje wadau?!!! Maana sielewi elewi tu.
  18. Luca Paguro

    Just imagine kuishi kwenye nchi X

    Imagine unaishi kwenye nchi X ambayo maji yanaweza kukatika hata siku 7 bila sababu za msingi Na hapo nchi X ina mito mingi, maziwa mengi na bahari ipo sehemu kubwa tu, na ukichimba chini maji yapo ya kutosha lakini wananchi wake wanateseka na shida ya maji kuanzia wanazaliwa hadi wanakufa, na...
  19. O

    Usifanye sehemu ya biashara yako kuwa kama chumba chako

    Kuvua viatu ILI unihudumie hiyo haipo na siwezi kununua au kwenda maeneo yenye sheria HIZO HATA kama Nina viatu vya kupachika.. Naingia pokea PESA yangu utafanya usafi hutaki subiri jamaa ZAKO iwe biashara ndogo au KUBWA jifunze biashara sio maghetoni
  20. Godoro la kioo

    Hii ni Hali ya kawaida au Kuna Tatizo sehemu

    Salam wakuu. Bila kuwachosha Kuna Hali flani imekuwa ikijirudia Sasa nashindwa kuelewa je ni Hali ya kawaida au dishi lishaanza kuyumba Yaani Kuna Ile unatembea tembea mara umefika sehemu ukiangalia Yale mazingira na kinachoendelea pale ni kama siyo mageni yaani kama ushawahi kufika hapo kabla...
Back
Top Bottom