Myebusi Mweusi
JF-Expert Member
- Jan 23, 2022
- 668
- 1,505
Kwa jìnsi nilivyo nadhifu, kwa jinsi nilivyo na haiba njema, watu wanashangaa sana wakiona sijihusishi na mambo mengi ya dunia, licha ya kiwa nayapenda.
Mademu wanapapatika juu yangu nami naumia kwa kushindwa kuwamudu.
Nikikatiza mtaani huķu Uswahilini kwetu watoto wananìlilia na kuniita baba, baba, baba, yaani nina mivuto kinoma, kumbe ndani sina kitu, boss anadororesha uchumi wangu.
Leo ningekula kitimoto na konyagi yàngu size ya kati. Lakini mshahara wangu wa mwezi wa pili hadi leo sijaupata.
Mwajiri ni jeuri na kiburi, anafanya analotaka yeye. Hakika nitaķuja mwendea kwa mganga, heshimu watu na kuwajali.
Huyu ñgambili nitamkomesha
Mademu wanapapatika juu yangu nami naumia kwa kushindwa kuwamudu.
Nikikatiza mtaani huķu Uswahilini kwetu watoto wananìlilia na kuniita baba, baba, baba, yaani nina mivuto kinoma, kumbe ndani sina kitu, boss anadororesha uchumi wangu.
Leo ningekula kitimoto na konyagi yàngu size ya kati. Lakini mshahara wangu wa mwezi wa pili hadi leo sijaupata.
Mwajiri ni jeuri na kiburi, anafanya analotaka yeye. Hakika nitaķuja mwendea kwa mganga, heshimu watu na kuwajali.
Huyu ñgambili nitamkomesha