JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania
Fundi wa mahaba
Ni yupi anayebisha ?
Siambi kujipa sifa, tena ambazo sinazo
Hunifuata sharafa, mahali penye mzozo
Wanijua makhalifa, nawachangia mawazo
Kunao wengi magwiji, tena watajika haswa
Kuna mafundi bobezi, vyuoni wamemaizi
Ila kwa wangu ujuzi, hawawezi piga mbizi
Kidogo labda miluzi, na hapo...