wastani wa kipato cha mafundi katika fani hizi ukoje
kwa mikoa mikubwa kama Dar, Mwanza,Arusha na Dodoma?
Fundi simu
Fundi wa computer
Fundi umeme wa majumbani
Fundi wa vifaa vya electronics kiujumla
Fundi umeme wa magari
Habari wandugu,
Je kwa level gani ya Elimu ya Automobile Engineering (namaanisha Certificate, Diploma au ni lazima iwe Bachelor Degree) mtu anaweza kufanya yafuatayo:-
Kufanya Diagnosis, Ku-interpret na ku-analyse data
Engine swapping
ECU Remapping
Electrical system maintainance
Mechanical...
Hello wana JF,
Naomba mtu anayefahamu fundi wa Mitsubishi anisaidie kwa Arusha.
Gari inachelewa sana kubadili gear na inatembea kwa rpm kubwa sana kwa speed ndogo na kuna muda inakosa nguvu kabisa.
Asanteni sana.
Binadamu yeyote mwenye akili inayofanya kazi huwa ana maono/ ndoto ya kuja kuwa mtu fulani katika jamii.
Maono haya yanatokana na uwezo wa mtu wa kufikiri, mazingira, elimu aliyonayo, vitu anavyoona au kusikia.
Katika mazingira yote hayo, mtu mmoja alikuwa na ndoto ya kuja kuwa air...
Baada ya Baa ya Kitambaa Cheupe kuteketea kwa moto na kupelekea hasara kubwa kwa mmiliki wa Baa hiyo, chanzo cha moto chatajwa.
Fundi wa idara ya dharura wa TANESCO, Jackson Henry amesema chanzo cha moto ulioteketeza baa ya Kitamba Cheupe iliyopo Tabata jijini Dar es Salaam ni fundi aliyekuwa...
Kuna karakana ndogo inahitaji fundi wa kushona viatu vya kiume hasa travolta.
Mjuzi, awe na uwezo wa kutengeneza hivyo viatu na vionekane vipya kabisa.
Malipo kwa kila pea ni sh. 5000/=
Kama una huo ujuzi, na huna kazi kwa sasa; njoo ujumuike na timu yetu kwa kazi.
Karibu pm, kwa mwenye ujuzi tu.
Habarii Wanajf, Mimi ni Mhitimu wa level 3 VETA mwaka 2023.
Naomba msaada kwa yeyote anayeweza kunisaidia nikapata kazi inayoendana na fani yangu hapo juu!!!
Nipo tayarii kufanya Kazi sehemu yeyote ndani ya Tanzania.
Nb: Naweza kazi na nina uzoefu wa kutoshaa!!!
Habari wakuu,
Juzi nilinunua simu aina ya Samsung galaxy, sasa nikaona niiwekee protector.
Kwa bahati mbaya fundi wakati anajaribu kuweka protector akawa amepasua , kioo cha simu yangu hadi kikavuja.
alikuwa mbishi kukilipa, hadi nilipomtishia kwenda polisi akaniomba nimpe siku mbili.
Sasa...
Heshima kwenu ndugu zangu!
Nashawishika kuandika maoni haya Leo nikitambulika kama fundi Samico, Fundi bora kabisa wa umeme na ujenzi kwa bei nafuu kwa watu wote na taasisi!
Wateja wangu ni wengi wakiwemo hata makahaba wenyewe! Napatikana kwa simu 0711756341 au Instagram tafuta...
Ni kwa ramani ya vyumba viwili sebule jiko na wash room.
Upana na urefu wa nyumba ni kama mita nane kwa saba na nusu.
Ila pesa ya fundi kaniambia ni 750,000. Sasa kabla sijazama, embu naombeni ushauri maa a mimi ndo mara yangu ya kwanza kujenga.
Hii ni fair ama napigwa? Msingi wenyewe...
Habari?
Unamtafuta fundi kisha unampa kazi yako na unampa malipo yake kama mlivyokubaliana.
Akimaliza kufanya kazi yako anaipiga picha na kuianika mitandaoni akijitangaza kwamba ni yeye kaifanya.
Hapa mfano mkubwa ni fundi wa ujenzi, deco, kupaua ,rangi nk. Wanafanya kazi kisha wanapiga...
Engineer Ribert Gabriel kwa sababuzisijojulikata, amejiita Local Fundi.
Huyo amajiita LOCAL FUNDI katika MRADI wa Ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mkoa wa Geita
Eng. Robert Gabriel ambaye amewahi kuwa MKUU wa MIKOA ya GEITA, MWANZA na MARA ktk kipindi cha Awamu ya Tano chini ya...
Habarini wanajamvi, nina simu BASIO KYV43 ambayo nilikuwa nahitaji kuiflash.
Kwa bahati mbaya nimeenda kwa mafundi wawili wamehangaika mwisho wakashindwa.
Kama kuna fundi (Dar es Salaam) anaweza kuflash simu hii basi anipm ili tufanye kazi.
Pesa ipo mfuko wa shati
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.