uislamu

  1. Mkwawe

    Askofu mkosoaji wa uislamu avamiwa na kudungwa kisu katikati ya ibada

    Askofu wa Assyriac Church Mari Mari Emmanuel alidungwa kisu pamoja na waumini kadhaa katikati ya ibada huko Wakeley Jumatatu usiku. Shambulio hilo lilitokea katika Kanisa la Christ The Good Shepherd Church. Picha hiyo ilinaswa kwenye mkondo wa moja kwa moja wa ibada na ilionekana kuonyesha...
  2. Mhaya

    Ukristo na Uislamu ni Dini mbili zisizofanana kabisa

    Labda hii watu hawajui. Leo si tunazungumzia dini zetu, let's go. Kuna tofauti ya watu walioandikwa kwenye Biblia na Koran, hilo kwanza ulijue. Ibrahim unayemsoma kwenye Biblia si Ibrahim unayemsoma kwenye Koran. Ibrahim wa kwenye Biblia baba yake anaitwa Terah ila wa kwenye Koran anaitwa...
  3. Jason Bourne

    Yanayoendelea Zanzibar tusubiri majibu ya Wahanga na kuzaa gharika

    Nimestushwa na kuogopa tena nikalazimika kuisoma Katiba ya Zanzibar mara mbili. Leo Waislamu wa Zanzibar wanawavamia na kuwapiga vibaya Wazanzibar wenzao ambao sio Waislamu kwakuwa tu wanakula kwa mama lishe mchana mda ambao wale waislamu wanakuwa wamefunga. Vipigo vimeenea kila kona ya mji wa...
  4. Trainee

    Itambue miezi mitukufu kwa mujibu wa uislamu. Mwezi wa Ramadhani si katika miezi mitukufu

    Assalaamu àlaykum wa rahmatullaahi wa barakaatuh Kuna watu wakiona heading kama hiyo tayari astaghfirullaah zinakuwa nyingi wakidhani labda nimepotosha. Twende pamoja kwa ufupi sana utanielewa Kalenda wanayotumia waislamu (si kwamba mimi siyo mwislamu bali mimi na wenzangu baadhi tunaitumia...
  5. M

    Tanzania ni nchi ya pili Afrika kuamini uchawi na ushirikina. Elimu duni, kuamini dini sababu kuu za kuamini uchawi sana

    Nchi zinazoongoza kwa kuamini ushirikina (uchawi) barani Afrika. 1. Cameroon 2. Tanzania. DINI NI SABABU YA WATANZANIA KUAMINI SANA UCHAWI NA USHIRIKINA Ukiamini dini za ukristo na uislamu ni lazima pia uamini na ushirikina maana imani hizo zinategemana. Quran imeongelea ushirikina na ina...
  6. BAKIIF Islamic

    Msiogope hizi Tahasusi za form 5 na 6, katika Uislamu, hakuna mgawanyo wa 'Elimu Dunia' na 'Elimu Akhera'

    Mgawanyo wa Elimu usiokubalika katika uislamu (Usio sahihi) -Katika uislamu, HAKUNA mgawanyo wa Elimu Dunia na Elimu Akhera -Mgawanyo huu ni potofu wenye dhana ovu kua kuna maisha ya dini yanayoongozwa na Mwenyezi MUNGU na maisha ya Dunia yanayoongozwa na binadamu Katika uislamu elimu maana...
  7. Webabu

    Vita vya Gaza ni mwendelezo wa vita dhidi ya Uislamu kwa mtindo mpya

    Katika historia ya dunia hakujawahi kuwepo utulivu .Ni vita tu kwa mitindo tofauti kulingana na muda. Vita hivyo viko vya aina mbili.Vile vya kiuchumi na maslahi ya kidunia ambavyo hupiganwa na mashetani wawili wote wenye malengo ya kidunia. Vita vya aina ya pili ni vya kidini ambavyo hupiganwa...
  8. Mhaya

    Mitume hawakuvaa kanzu au kufuga ndevu kwa sababu ya Uislamu

    Back in history, many years ago... Kulikuwa hakuna teknolojia, hivyo wengi walikuwa hawanyoi ndevu... Muislamu kusema kufuga ndevu ni culture ya uislamu, sio kweli... Maana nimekuta Sheikh anasema, watu wote kwenye biblia ni waislamu, mpaka yesu... Na ndio maana hata kwenye Movie za Yesu...
  9. M

    Swali: Mwanamke anaweza kumuolea Kaka yake kwenye Uislamu?

    Kuna picha inasambaa mitandaoni ikimuonyesha Bidada akimvisha pete Mwanamke mwenzie. Kulingana na Mavazi yao ni dhahiri kuwa hao wadada ni Waislamu kiimani, kama unavyojua kwenye wengi huwa hapakosi maneno basi kuna baadhi ya watu wakasema kuwa huyo Dada anamuolea ndugu yake wa kiume, na...
  10. MK254

    Imam atolea maelezo jinsi inaruhusiwa kuteka na kuua watu kwenye uislamu

    Aagiza Wayahudi wasakwe na kutekwa na kuuawa maana kurani imetoa maagizo hayo, Wayahudi wanafahamika kama "people of the book" kwenye kurani. ==================...
  11. BAKIIF Islamic

    Uislamu ulifika Afrika na kukubalika vyema kabla ya mji wa Makka (Saudia)

    Katika mwezi Mei 614 CE, Muhammad (s.a.w) aliwashauri idadi fulani ya wanafunzi wake wa kwanza, waliokuwa wakikabiliwa na mateso kutoka kwa wakaaji washirikina wa Mji wa Makka (Saudia), kutafuta kimbilio ng'ambo ya Bahari Nyekundu huko Axum. Katika utamaduni wa Kiislamu, tukio hili...
  12. Mhaya

    Makundi ya Kigaidi ya Kikristo

    1. Lord's Resistance Army (LRA): Hili ni kundi la waasi lililoanzishwa mwaka 1987 nchini Uganda na Joseph Kony. Kundi hili limehusishwa na vitendo vya kikatili, ikiwa ni pamoja na utekaji nyara, mauaji, na kuwatumia watoto kama wapiganaji. LRA limekuwa likiendesha harakati zake katika maeneo ya...
  13. Jackwillpower

    UISLAMU NI ZAIDI YA DINI

    Uislamu ni zaidi ya dini Ni himaya ya kisiasa yenye kunyakua maeneo au nchi za wengine. Dini ya Kislamu ina malengo makuu matatu; 1) Kunyakua Mekka 2) Kunyakua Yerusalemu 3) Kunyakua Kostantinopo 4) Kunyakua Roma/Vatican Wakiamini Uislamu utakuwa dini ya kiulimwengu kama tu wakifanikisha...
  14. Mhaya

    Athari za vita vya Kidini

    Katika historia ya binadamu, vita vya kidini vimekuwa ni mojawapo ya matukio yenye athari kubwa kijamii, kiuchumi, na kisiasa. Vita ya Israel na Palestina imedhihirisha wazi udini miongoni mwa watanzania wengi. Mara nyingi, mizozo hii inachochewa na tofauti za imani na itikadi za kidini, ikileta...
  15. Ritz

    Kama Hamas wanaamini katika Uislamu wanawezaje kumuua mtu wanayehisi ni Al-Shabaab (Muislamu)?

    Wanaukumbi. #JoshuaMollel: 👉🏽Ukitazama video mmoja ya wanaoaminika kuwa wauaji anamuuliza Joshua kwa Lugha ya kiarabu kwamba yeye ni mmoja wa kundi la kigaidi la “Al-Shabaab”? Nina maswali: 1) Kama Hamas wanaamini katika Uislamu wanawezaje kumuua mtu wanayehisi ni Al-Shabaab (Muislamu)? 2)...
  16. Melki the Storyteller

    Nashawishika kuingia kwenye uislamu kutokana na sheria za ndoa walizonazo

    Nahisi sheria hizo ndio chanzo kikubwa cha wanawake wengi wa kiislamu kuwa ni wenye maadili na wanaothamini sana ndoa zao. Sheria ya talaka inawabana sana, hawana namna zaidi ya kutumikia ndoa na kuheshimu waume zao Ndoa sio kifungo kwenye uislamu Ni kama vile walifahamu mapema kuwa wanawake...
  17. Kijakazi

    Majini na Uislamu, elephant in the room!

    soma kuhusu sayansi ya majini kama unataka kuulewa uislamu vizuri, majini yanatambulika hata na kitabu kitukufu cha uislamu Kuran. waislamu wanaamini kabisa uwepo wa majini kama ulishawahi kuishi na wanao practice uislamu utakuwa ulishuhudia vitu na mambo ya ajabu kuhusu majini. Kuamini uwepo...
  18. Mr George Francis

    FAHAMU kuhusu TALAKA na taratibu zake katika UISLAMU. [Sehemu Ya 6]

    FAHAMU kuhusu TALAKA na taratibu zake katika UISLAMU. Sehemu Ya 6 Utaratibu wa TALAKA katika uislamu, umeleta debate mbalimbali baina ya majaji na Mahakimu. Baadhi wametofautiana katika kutafsiri kifungu cha 107(3) cha Sheria ya Ndoa. Baadhi yao wanasema, =baada ya mume kutamka TALAKA...
  19. Mr George Francis

    FAHAMU kuhusu TALAKA na taratibu zake katika UISLAMU. [Sehemu Ya 5]

    FAHAMU kuhusu TALAKA na taratibu zake katika UISLAMU. Sehemu Ya 5 Sehemu iliyopita tulianza kuangalia aina mbalimbali za TALAKA katika sheria za dini ya kiislamu. Ufuatao ni mwendelezo wa aina hizo, (v). Talaka kabla ya Jimai. 💔Ni kuvunja mkataba wa ndoa kabla ya kufanya tendo la jimai...
  20. Mr George Francis

    FAHAMU kuhusu TALAKA na taratibu zake katika UISLAMU. [Sehemu Ya 5]

    FAHAMU kuhusu TALAKA na taratibu zake katika UISLAMU. Sehemu Ya 5 Sehemu iliyopita tulianza kuangalia aina mbalimbali za TALAKA katika sheria za dini ya kiislamu. Ufuatao ni mwendelezo wa aina hizo, (v). Talaka kabla ya Jimai. 💔Ni kuvunja mkataba wa ndoa kabla ya kufanya tendo la jimai...
Back
Top Bottom