Kwa muda mrefu sana haikumbukiki ilianza lini, ilizoeleka kuwa aina fulani ya nguo au uvaaji kuwa ndiyo alama ya Uislamu.
Kuvaa matarabushi, misuli, barghashia, kanzu, sandali, baibui na Abaya ilihesabiwa kama ndiyo alama za uislamu.
Lakini siku za hivi karibuni wameibuka wahadhiri mbali mbali...